Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Usagaji Twiga Stars?

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 42
    1. #1
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,706
      Rep Power : 4188
      Likes Received
      989
      Likes Given
      410

      Default Usagaji Twiga Stars?

      Nikipitia habari za michezo asubuhi ya leo, nimefadhaishwa na habari ya kuwepo usagaji katika timu yet ya wasichana, Twiga Stars.
      Gazeti la Mwananchi toleo la SpotiMikiki(Juni 25 2012, uk wa pili), limeeleza kuwa imekuwepo tabia ya wasichana kusagana katika timu hiyo.
      Linaendelea kudai kuwa kocha wa timu hiyo Boniface Mkwasa, katika kuchukua hatua kukomesha tabia hiyo, alidiriki kuwafukuza wasichana kadhaa kutoka katika timu hiyo, lakini bila mafanikio.
      Hapa nilipo nimebaki najiuliza hivi vitendo ni vya kawaida kwa wasichana?
      Au ndio fasheni?
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      MNAMBOWA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 694
      Rep Power : 521
      Likes Received
      69
      Likes Given
      30

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      maashalaa!

    4. #3
      Fasouls's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 408
      Rep Power : 481
      Likes Received
      70
      Likes Given
      1

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      Wanaepuka mimba kutunza ajira zao.

    5. #4
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      mweeee na hili nalo?? asalaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

    6. #5
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      Sasa wewe vidada vile vimekomaa kuliko wanaume unategemea nini?
      Ndahani, FirstLady1 and Mamndenyi like this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    7. Study Abroad

    8. #6
      kimweri Jr's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th June 2012
      Location : DODOMA TANZANIA
      Posts : 30
      Rep Power : 356
      Likes Received
      10
      Likes Given
      5

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      Hata wana hisia jamani. Lakujiuliza ni kwamba kwani hawana waume au ma boyfriends?

    9. #7
      stephot's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2012
      Location : DSM
      Posts : 772
      Rep Power : 584
      Likes Received
      211
      Likes Given
      586

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      Siku hizi hata sishangai naona imeshakuwa hulka kwa kina dada,maana kwa siye wakina baba swala la wa se****e tumelisikia muda mrefu hapa nchini mwetu labda na wao wameamua kuiga,maana kama ni kusoma na wao wanasoma siku hizi,kama ni baiashara na wao wamo sasa kwenye hilo kwanini wawe nyuma!ndiyo mambo ya siku za mwisho kila mtu anafanya kile roho yake inapenda.

    10. #8
      conveter's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 115
      Rep Power : 373
      Likes Received
      13
      Likes Given
      21

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      mhhh lesbians nice.

    11. #9
      majorbuyoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 663
      Rep Power : 2612
      Likes Received
      183
      Likes Given
      238

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      sasa hivi hiyo michezo ndio fasheni, siohuko tu kila mahali.

    12. #10
      Bourgeoisie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2009
      Posts : 362
      Rep Power : 589
      Likes Received
      22
      Likes Given
      17

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      Wanawake wameshaona kawaida siku hizi.Hata vibinti katika shule za wasichana tu ndo zao hizo!Yaani ni kila mahali!Hakika tunakoelekea siko.

    13. #11
      GTesha's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th June 2012
      Posts : 199
      Rep Power : 388
      Likes Received
      41
      Likes Given
      9

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      kama wanaume wanawasumbua wafanyeje?

    14. #12
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,550
      Rep Power : 16758
      Likes Received
      2473
      Likes Given
      1841

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      Quote By GTesha
      kama wanaume wanawasumbua wafanyeje?
      Wanaume wanasumbua vipi??

    15. #13
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 588
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      Sitaki niseme kuwa imekuwa kawaida... ila kina dada wengi wanafanya hayo mambo! Pepo la kusaga toooooooooooooooooooooooooka!

    16. #14
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,706
      Rep Power : 4188
      Likes Received
      989
      Likes Given
      410

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      Jamani, kina dada wa JF hebu tupeni mwanga hapa, nisuala la mpito tu au ndo fasheni?
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    17. #15
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,531
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      tatizo ni kua wanatumia muda mwingi pamoja...ni sawa sawa na boarding school za wanawake...madada zetu wameshakulana wao kwa wao kwenye shule nyingi tu
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    18. #16
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,946
      Rep Power : 3697
      Likes Received
      3572
      Likes Given
      5738

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      Nimekosa hata la kuandika
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    19. #17
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 11,892
      Rep Power : 31775
      Likes Received
      5873
      Likes Given
      19165

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      Nakuunga mkono.

      Quote By FirstLady1
      Nimekosa hata la kuandika
      SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA

    20. #18
      Rogie's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Location : Darul Islamia
      Posts : 1,912
      Rep Power : 1144
      Likes Received
      478
      Likes Given
      333

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      mmhhhmm
      "You have your people,and I have mine"
      [email protected]

    21. #19
      GTesha's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th June 2012
      Posts : 199
      Rep Power : 388
      Likes Received
      41
      Likes Given
      9

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      Quote By Katavi
      Wanaume wanasumbua vipi??
      cheating na vitu ka hizo,

    22. #20
      babe S's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2011
      Posts : 699
      Rep Power : 514
      Likes Received
      180
      Likes Given
      159

      Default Re: Usagaji Twiga Stars?

      Hili wala si jambo jipya kama wengi wanavyosuggest hapa, ni tendency imekuwepo hata mashule ya jinsia moja(wasichana) since before haijawa fasheni, na hawa twiga stars wana hisia na hawakutani na vijana kila siku kambini hamna kumingle wala nini, dah wht d u expect?
      We never really grow up, we only learn to act in public.

    23. Miaka 50
    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...