Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 37
    1. #1
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,967
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3648

      Default Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Nazungumzia kuingia kwenye penzi kwa mara ya kwanza halafu ukapenda kikwelikweli.


      Ilinitokea tena nikiwa na miaka 18..nilimpenda sana huyu binti, sidhani kama kuna saa ilipita bila kumuwaza….kibaya zaidi mawazo kumhusu yeye yalikuwa negative tu: “Hivi sasa hivi yuko wapi? Kuna mtu yuko naye nini? mbona simuoni kama ilivyo kawaida.


      Kiukweli hata yeye alinipenda sana…….na kuna wakati aliniambia naye huwaza hivyohivyo. Nakumbuka nilivyokuwa nakwenda nyumbani kwao mida ya usiku “kumuiba” tena kwa ujasiri mkubwa nikishiriana na rafiki yangu.
      Inakuwa hivi: Mida ya mchana tunapanga mchezo mzima…Usiku mida ya saa 4 nazuka kwao nyuma ya nyumba..na kumtuma kijana mmoja mdogomdogo hivi (Sasa hivi kakua..humtumi tena).. halafu yeye anaingia kwao na binti na kumpiga konye.


      Binti anajiandaa kabisa akisubiri Wazazi na ndugu walale (Yeye alikuwa analala chumba kimoja na dada yake ambaye tulikuwa tunashibana). Halafu mida ya saa tano anatoroka kupitia mlango wa uwani..Dada anaufunga!
      Sijapata kupenda kama nilivyowahi kupenda wakati ule. Kuna siku nilimuona na jamaa mmoja hivi wakipiga story kwa muda mrefu sana….Nikajua nimeibiwa, wacha nimtandike na barua ndefu ya talaka huku moyo unadunda……..Nilivyompa nikabaki najilaumu “Hivi akikubali tuachane kweli nitahimili”?


      Saa 8 saa 9 saa 10 hakuna dalili yeyote ya majibu ya kukubali kuvunja uhusianao au kuomba msamaha….Dah!! Si Roho wala mwili haukuwa wangu, Jasho linanitoka chakula hakipiti kila mtu anajua nimepata maradhi ya ghafla…Sitasahau……….Ilipofika saa 12 akamtuma mtu na barua ya kuomba msamaha……..Nilifurahi hakuna mfano…
      Unajua nilimjibu vipi……..USIRUDIE TENA SIPENDI TABIA HII, MPENZI HALAFU UJE TUONANE.


      Aaah penzi la kwanza kwenye utineja lione hivyo hivyo!!!!!!!!!!


      Nawasilisha nanyi nipeni uzoefu wenu.
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    2. Miaka 50

    3. #2
      Rubesha Kipesha's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th March 2012
      Posts : 82
      Rep Power : 378
      Likes Received
      12
      Likes Given
      29

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Ukimwi unaua!

    4. #3
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,967
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3648

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By Rubesha Kipesha
      Ukimwi unaua!
      Na mapenzi yanatesa!
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    5. #4
      New Nytemare's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th December 2011
      Location : Njombe Tanzania
      Posts : 172
      Rep Power : 409
      Likes Received
      30
      Likes Given
      2

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      afu ilikuwa ni dry tu no kinga...
      platozoom likes this.

    6. #5
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,967
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3648

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By New Nytemare
      afu ilikuwa ni dry tu no kinga...
      Mara ya kwanza tulikuwa waangalifu sana kwenye kinga (nilikuwa napenda kusoma habari za ukimwi sana na kujenga uelewa)....Lakini baadaye mara moja moja tunapiga akapela
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      BONGOLALA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 4,851
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1003
      Likes Given
      128

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      mimi na mpenzi kwenye kahawa na migomba usiku bila kuogopa kulalia nyoka,anatandika kanga
      platozoom likes this.

    9. #7
      Rebel volcano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 404
      Rep Power : 431
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      jitaarishe na mtoto wako wa kike kuibiwa kama ulivyoiba wa mwenzako,nadhani litakufurahisha penzi la kwanza la binti yako,na haswa akitoroshwa mlango wa nyuma,majira ya saa 5 usiku,bila ya wewe kuwa na taarifa yoyote!
      platozoom and r2ga like this.

    10. #8
      TIQO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 4,565
      Rep Power : 6845
      Likes Received
      1030
      Likes Given
      131

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Hongera mkuu kama alikuwa na bikra
      platozoom likes this.
      Mwisho wa Ubaya Aibu.

    11. #9
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,967
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3648

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By BONGOLALA
      mimi na mpenzi kwenye kahawa na migomba usiku bila kuogopa kulalia nyoka,anatandika kanga
      Duh...Mimi saa sita saa saba za usiku namrudisha binti kwao..tena na umri ule bila woga....Ila kuna wakati nilipigwa kabali wakachukua buku mbili
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    12. #10
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,967
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3648

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By Rebel volcano
      jitaarishe na mtoto wako wa kike kuibiwa kama ulivyoiba wa mwenzako,nadhani litakufurahisha penzi la kwanza la binti yako,na haswa akitoroshwa mlango wa nyuma,majira ya saa 5 usiku,bila ya wewe kuwa na taarifa yoyote!
      Tushukuru pia kuwa na wewe hukuwahi kuiba wala kuibiwa...na kwamba uliye naye umefunga naye ndoa na ni mpenzi wako wa kwanza!
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    13. #11
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 15,049
      Rep Power : 31282
      Likes Received
      7461
      Likes Given
      7480

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      huyo sister wa demu wako inaonekana nae alikua mzoefu...yaan hivi hivi anamtoa mdogo wake usiku kwenda kumomonyoa amri ya sita.
      platozoom likes this.

    14. #12
      Rebel volcano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 404
      Rep Power : 431
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By platozoom
      Tushukuru pia kuwa na wewe hukuwahi kuiba wala kuibiwa...na kwamba uliye naye umefunga naye ndoa na ni mpenzi wako wa kwanza!
      hujakosea na hiyo ndio tofauti kati yangu na yako,na najivunia kitu hicho!
      platozoom likes this.

    15. #13
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,967
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3648

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By Rebel volcano
      hujakosea na hiyo ndio tofauti kati yangu na yako,na najivunia kitu hicho!
      Kila la heri
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    16. #14
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,967
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3648

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By watu8
      huyo sister wa demu wako inaonekana nae alikua mzoefu...yaan hivi hivi anamtoa mdogo wake usiku kwenda kumomonyoa amri ya sita.
      Ujana tu! pili walikuwa hawajapishana sana umri.. haya yanatokea sana...!
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    17. #15
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 15,049
      Rep Power : 31282
      Likes Received
      7461
      Likes Given
      7480

      Default

      Quote By platozoom
      Ujana tu! pili walikuwa hawajapishana sana umri.. haya yanatokea sana...!
      kaka najaribu kufikiria wewe ulikua 18, na bila shaka ulikua umemzidi umri huyo kigoli...sasa najiuliza dada gani anayemruhusu mtoto mdogo chini ya 18 kupelekwa exile
      platozoom likes this.

    18. #16
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,967
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3648

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By watu8
      kaka najaribu kufikiria wewe ulikua 18, na bila shaka ulikua umemzidi umri huyo kigoli...sasa najiuliza dada gani anayemruhusu mtoto mdogo chini ya 18 kupelekwa exile
      Binti alikuwa 17yrs umri wa "Lulu"..Dada mtu ana 20yrs............Imeshakuwa historia..tulikuwa tunafanya makosa - ndio, lakini emotions za mapenzi sometimes zinahitaji "speed gavana"...nani wa kuzifunga? Wazazi wangapi wanaongea na watoto wao kuhusu mabadiliko katika maumbile yao na complications zake!
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    19. #17
      cmoney's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2011
      Posts : 365
      Rep Power : 457
      Likes Received
      74
      Likes Given
      52

      Default

      [QUOTE=Rebel volcano;4103996]hujakosea na hiyo ndio tofauti kati yangu na yako,na najivunia kitu hicho![/QUOTE Ulijuaje kama mke wako kwako ndo ilikuwa mara ya kwanza asije kuwa alikuektia bure..maana madem bana utasikia ah ilipotea bikra kwe baskeli
      platozoom likes this.

    20. #18
      cmoney's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2011
      Posts : 365
      Rep Power : 457
      Likes Received
      74
      Likes Given
      52

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      mi sijui nilikuwa form two hata miaka sikumbuki ila..beki tatu ndo alinitega ..dah nikajipigia mzigo wazazi walivyolala...and the life has neve been the same

    21. #19
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,967
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3648

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By cmoney
      mi sijui nilikuwa form two hata miaka sikumbuki ila..beki tatu ndo alinitega ..dah nikajipigia mzigo wazazi walivyolala...and the life has neve been the same
      Ukampenda au ndio ulipoza tu
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    22. #20
      cmoney's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2011
      Posts : 365
      Rep Power : 457
      Likes Received
      74
      Likes Given
      52

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      dah akaniharibu koz baada ya hapo sikuwahi kupenda tenaa hadi leo..

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...