Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 37 of 37
    1. #1
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,926
      Rep Power : 8258
      Likes Received
      2645
      Likes Given
      3618

      Default Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Nazungumzia kuingia kwenye penzi kwa mara ya kwanza halafu ukapenda kikwelikweli.


      Ilinitokea tena nikiwa na miaka 18..nilimpenda sana huyu binti, sidhani kama kuna saa ilipita bila kumuwaza….kibaya zaidi mawazo kumhusu yeye yalikuwa negative tu: “Hivi sasa hivi yuko wapi? Kuna mtu yuko naye nini? mbona simuoni kama ilivyo kawaida.


      Kiukweli hata yeye alinipenda sana…….na kuna wakati aliniambia naye huwaza hivyohivyo. Nakumbuka nilivyokuwa nakwenda nyumbani kwao mida ya usiku “kumuiba” tena kwa ujasiri mkubwa nikishiriana na rafiki yangu.
      Inakuwa hivi: Mida ya mchana tunapanga mchezo mzima…Usiku mida ya saa 4 nazuka kwao nyuma ya nyumba..na kumtuma kijana mmoja mdogomdogo hivi (Sasa hivi kakua..humtumi tena).. halafu yeye anaingia kwao na binti na kumpiga konye.


      Binti anajiandaa kabisa akisubiri Wazazi na ndugu walale (Yeye alikuwa analala chumba kimoja na dada yake ambaye tulikuwa tunashibana). Halafu mida ya saa tano anatoroka kupitia mlango wa uwani..Dada anaufunga!
      Sijapata kupenda kama nilivyowahi kupenda wakati ule. Kuna siku nilimuona na jamaa mmoja hivi wakipiga story kwa muda mrefu sana….Nikajua nimeibiwa, wacha nimtandike na barua ndefu ya talaka huku moyo unadunda……..Nilivyompa nikabaki najilaumu “Hivi akikubali tuachane kweli nitahimili”?


      Saa 8 saa 9 saa 10 hakuna dalili yeyote ya majibu ya kukubali kuvunja uhusianao au kuomba msamaha….Dah!! Si Roho wala mwili haukuwa wangu, Jasho linanitoka chakula hakipiti kila mtu anajua nimepata maradhi ya ghafla…Sitasahau……….Ilipofika saa 12 akamtuma mtu na barua ya kuomba msamaha……..Nilifurahi hakuna mfano…
      Unajua nilimjibu vipi……..USIRUDIE TENA SIPENDI TABIA HII, MPENZI HALAFU UJE TUONANE.


      Aaah penzi la kwanza kwenye utineja lione hivyo hivyo!!!!!!!!!!


      Nawasilisha nanyi nipeni uzoefu wenu.
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"
      #21

    FemaTV & Radio

  • style="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="https://www.jamiiforums.com/customavatars/avatar20070_8.gif" alt="King'asti's Avatar" />
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 26th November 2009
    Location : The Jungle
    Posts : 17,107
    Rep Power : 28886
    Likes Received
    11615
    Likes Given
    4783

    Default

    Hapo ndo umeongea la mbolea.
    Suali la msingi sana hili.
    Quote By platozoom
    Wazazi wangapi wanaongea na watoto wao kuhusu mabadiliko katika maumbile yao na complications zake!
    The Boss and platozoom like this.

  • #22
    platozoom's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th January 2012
    Posts : 3,926
    Rep Power : 8258
    Likes Received
    2645
    Likes Given
    3618

    Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

    Quote By cmoney
    dah akaniharibu koz baada ya hapo sikuwahi kupenda tenaa hadi leo..
    Usimwite tena beki tatu..sema mpenzi wangu wa zamani akaujeruhi moyo wangu.Pole
    "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

  • #23
    platozoom's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th January 2012
    Posts : 3,926
    Rep Power : 8258
    Likes Received
    2645
    Likes Given
    3618

    Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

    Quote By King'asti
    Hapo ndo umeongea la mbolea.
    Suali la msingi sana hili.

    Nibusu basi nijisikie "mtu kati ya binadamu"
    "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

  • #24
    don2011's Avatar
    Member Array
    Join Date : 9th April 2011
    Posts : 23
    Rep Power : 414
    Likes Received
    1
    Likes Given
    0

    Default

    Quote By BONGOLALA
    mimi na mpenzi kwenye kahawa na migomba usiku bila kuogopa kulalia nyoka,anatandika kanga
    ichi ki2 cha mliman ich, mnanikumbusha mbal xana jaman

  • #25
    pusy monster's Avatar
    Member Array
    Join Date : 20th February 2012
    Posts : 37
    Rep Power : 372
    Likes Received
    4
    Likes Given
    2

    Default

    Quote By platozoom
    Nazungumzia kuingia kwenye penzi kwa mara ya kwanza halafu ukapenda kikwelikweli.


    Ilinitokea tena nikiwa na miaka 18..nilimpenda sana huyu binti, sidhani kama kuna saa ilipita bila kumuwaza….kibaya zaidi mawazo kumhusu yeye yalikuwa negative tu: “Hivi sasa hivi yuko wapi? Kuna mtu yuko naye nini? mbona simuoni kama ilivyo kawaida.


    Kiukweli hata yeye alinipenda sana…….na kuna wakati aliniambia naye huwaza hivyohivyo. Nakumbuka nilivyokuwa nakwenda nyumbani kwao mida ya usiku “kumuiba” tena kwa ujasiri mkubwa nikishiriana na rafiki yangu.
    Inakuwa hivi: Mida ya mchana tunapanga mchezo mzima…Usiku mida ya saa 4 nazuka kwao nyuma ya nyumba..na kumtuma kijana mmoja mdogomdogo hivi (Sasa hivi kakua..humtumi tena).. halafu yeye anaingia kwao na binti na kumpiga konye.


    Binti anajiandaa kabisa akisubiri Wazazi na ndugu walale (Yeye alikuwa analala chumba kimoja na dada yake ambaye tulikuwa tunashibana). Halafu mida ya saa tano anatoroka kupitia mlango wa uwani..Dada anaufunga!
    Sijapata kupenda kama nilivyowahi kupenda wakati ule. Kuna siku nilimuona na jamaa mmoja hivi wakipiga story kwa muda mrefu sana….Nikajua nimeibiwa, wacha nimtandike na barua ndefu ya talaka huku moyo unadunda……..Nilivyompa nikabaki najilaumu “Hivi akikubali tuachane kweli nitahimili”?


    Saa 8 saa 9 saa 10 hakuna dalili yeyote ya majibu ya kukubali kuvunja uhusianao au kuomba msamaha….Dah!! Si Roho wala mwili haukuwa wangu, Jasho linanitoka chakula hakipiti kila mtu anajua nimepata maradhi ya ghafla…Sitasahau……….Ilipofika saa 12 akamtuma mtu na barua ya kuomba msamaha……..Nilifurahi hakuna mfano…
    Unajua nilimjibu vipi……..USIRUDIE TENA SIPENDI TABIA HII, MPENZI HALAFU UJE TUONANE.


    Aaah penzi la kwanza kwenye utineja lione hivyo hivyo!!!!!!!!!!


    Nawasilisha nanyi nipeni uzoefu wenu.
    duuuuh............!!!

  • Study Abroad

  • #26
    platozoom's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th January 2012
    Posts : 3,926
    Rep Power : 8258
    Likes Received
    2645
    Likes Given
    3618

    Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

    Quote By pusy monster
    duuuuh............!!!
    Vipi funguka na wewe..au ulishawahi kulizwa?
    "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

  • #27
    platozoom's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th January 2012
    Posts : 3,926
    Rep Power : 8258
    Likes Received
    2645
    Likes Given
    3618

    Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

    Quote By don2011
    ichi ki2 cha mliman ich, mnanikumbusha mbal xana jaman
    Kwa hiyo digree yako ina mengi!
    "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

  • #28
    Ruttashobolwa's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 22nd February 2012
    Posts : 13,435
    Rep Power : 19775
    Likes Received
    4277
    Likes Given
    906

    Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

    Penzi la kwanza noma.
    platozoom likes this.

  • #29
    platozoom's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th January 2012
    Posts : 3,926
    Rep Power : 8258
    Likes Received
    2645
    Likes Given
    3618

    Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

    Quote By ruttashobolwa
    Penzi la kwanza noma.
    Ulipona heart attack
    "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

  • #30
    cmoney's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 14th October 2011
    Posts : 363
    Rep Power : 456
    Likes Received
    73
    Likes Given
    51

    Default

    Quote By platozoom
    Usimwite tena beki tatu..sema mpenzi wangu wa zamani akaujeruhi moyo wangu.Pole
    mkuu alikuwa amenizidi miaka ka saba hivi...hakuwa mpenz labda kifanyio

  • #31
    Ruttashobolwa's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 22nd February 2012
    Posts : 13,435
    Rep Power : 19775
    Likes Received
    4277
    Likes Given
    906

    Default

    Quote By platozoom
    Ulipona heart attack
    sikupata hiyo!

    Nillisumbuka sana nikawa na shinda nyumbani wakati haikuwa kawaida yangu na demu alikuwa jirani yetu.

    Nakumbuka nilifumwa na baba yake huyo demu tukiwa wawili tu akaenda kusema nyumbani nikapewa onyo lakini sikusikia.
    platozoom likes this.

  • #32
    TrueLove's Avatar
    Member Array
    Join Date : 12th January 2012
    Posts : 73
    Rep Power : 385
    Likes Received
    11
    Likes Given
    98

    Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

    Haaaaaaaaaaaaaaaa....

  • #33
    Meritta's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 26th April 2011
    Posts : 1,265
    Rep Power : 665
    Likes Received
    267
    Likes Given
    475

    Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

    Quote By platozoom
    Nazungumzia kuingia kwenye penzi kwa mara ya kwanza halafu ukapenda kikwelikweli.


    Ilinitokea tena nikiwa na miaka 18..nilimpenda sana huyu binti, sidhani kama kuna saa ilipita bila kumuwaza….kibaya zaidi mawazo kumhusu yeye yalikuwa negative tu: “Hivi sasa hivi yuko wapi? Kuna mtu yuko naye nini? mbona simuoni kama ilivyo kawaida.


    Kiukweli hata yeye alinipenda sana…….na kuna wakati aliniambia naye huwaza hivyohivyo. Nakumbuka nilivyokuwa nakwenda nyumbani kwao mida ya usiku “kumuiba” tena kwa ujasiri mkubwa nikishiriana na rafiki yangu.
    Inakuwa hivi: Mida ya mchana tunapanga mchezo mzima…Usiku mida ya saa 4 nazuka kwao nyuma ya nyumba..na kumtuma kijana mmoja mdogomdogo hivi (Sasa hivi kakua..humtumi tena).. halafu yeye anaingia kwao na binti na kumpiga konye.


    Binti anajiandaa kabisa akisubiri Wazazi na ndugu walale (Yeye alikuwa analala chumba kimoja na dada yake ambaye tulikuwa tunashibana). Halafu mida ya saa tano anatoroka kupitia mlango wa uwani..Dada anaufunga!
    Sijapata kupenda kama nilivyowahi kupenda wakati ule. Kuna siku nilimuona na jamaa mmoja hivi wakipiga story kwa muda mrefu sana….Nikajua nimeibiwa, wacha nimtandike na barua ndefu ya talaka huku moyo unadunda……..Nilivyompa nikabaki najilaumu “Hivi akikubali tuachane kweli nitahimili”?


    Saa 8 saa 9 saa 10 hakuna dalili yeyote ya majibu ya kukubali kuvunja uhusianao au kuomba msamaha….Dah!! Si Roho wala mwili haukuwa wangu, Jasho linanitoka chakula hakipiti kila mtu anajua nimepata maradhi ya ghafla…Sitasahau……….Ilipofika saa 12 akamtuma mtu na barua ya kuomba msamaha……..Nilifurahi hakuna mfano…
    Unajua nilimjibu vipi……..USIRUDIE TENA SIPENDI TABIA HII, MPENZI HALAFU UJE TUONANE.


    Aaah penzi la kwanza kwenye utineja lione hivyo hivyo!!!!!!!!!!


    Nawasilisha nanyi nipeni uzoefu wenu.
    Eeeeh mi hapo tu ndo uliponiacha hoi, wanaume bhana mh
    platozoom likes this.
    "Ni UPENDO tu"

  • #34
    mchajikobe's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 14th August 2009
    Posts : 1,197
    Rep Power : 736
    Likes Received
    96
    Likes Given
    35

    Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

    Quote By platozoom
    Nazungumzia kuingia kwenye penzi kwa mara ya kwanza halafu ukapenda kikwelikweli.


    Ilinitokea tena nikiwa na miaka 18..nilimpenda sana huyu binti, sidhani kama kuna saa ilipita bila kumuwaza….kibaya zaidi mawazo kumhusu yeye yalikuwa negative tu: “Hivi sasa hivi yuko wapi? Kuna mtu yuko naye nini? mbona simuoni kama ilivyo kawaida.


    Kiukweli hata yeye alinipenda sana…….na kuna wakati aliniambia naye huwaza hivyohivyo. Nakumbuka nilivyokuwa nakwenda nyumbani kwao mida ya usiku “kumuiba” tena kwa ujasiri mkubwa nikishiriana na rafiki yangu.
    Inakuwa hivi: Mida ya mchana tunapanga mchezo mzima…Usiku mida ya saa 4 nazuka kwao nyuma ya nyumba..na kumtuma kijana mmoja mdogomdogo hivi (Sasa hivi kakua..humtumi tena).. halafu yeye anaingia kwao na binti na kumpiga konye.


    Binti anajiandaa kabisa akisubiri Wazazi na ndugu walale (Yeye alikuwa analala chumba kimoja na dada yake ambaye tulikuwa tunashibana). Halafu mida ya saa tano anatoroka kupitia mlango wa uwani..Dada anaufunga!
    Sijapata kupenda kama nilivyowahi kupenda wakati ule. Kuna siku nilimuona na jamaa mmoja hivi wakipiga story kwa muda mrefu sana….Nikajua nimeibiwa, wacha nimtandike na barua ndefu ya talaka huku moyo unadunda……..Nilivyompa nikabaki najilaumu “Hivi akikubali tuachane kweli nitahimili”?


    Saa 8 saa 9 saa 10 hakuna dalili yeyote ya majibu ya kukubali kuvunja uhusianao au kuomba msamaha….Dah!! Si Roho wala mwili haukuwa wangu, Jasho linanitoka chakula hakipiti kila mtu anajua nimepata maradhi ya ghafla…Sitasahau……….Ilipofika saa 12 akamtuma mtu na barua ya kuomba msamaha……..Nilifurahi hakuna mfano…
    Unajua nilimjibu vipi……..USIRUDIE TENA SIPENDI TABIA HII, MPENZI HALAFU UJE TUONANE.


    Aaah penzi la kwanza kwenye utineja lione hivyo hivyo!!!!!!!!!!


    Nawasilisha nanyi nipeni uzoefu wenu.
    Aaah mimi nilikutana na gogo,yaani alikuwa hajiwezi kwa chochote,kanikatisha tamaa ya mapenzi mpaka sasa sihitaji tena mapenzi nahisi wote watakuwa magogo kama yule wa kwanza!!
    platozoom likes this.
    tired of being fooled!!

  • #35
    Chitu's's Avatar
    Junior Member Array
    Join Date : 23rd June 2012
    Posts : 1
    Rep Power : 0
    Likes Received
    0
    Likes Given
    0

    Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

    hahahahaa! Mie nilikuwa muoga sana nahisi ni kwa7bu binti ndie ambaye alianzisha, Sasa ushakuwa mjanja?

  • #36
    platozoom's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th January 2012
    Posts : 3,926
    Rep Power : 8258
    Likes Received
    2645
    Likes Given
    3618

    Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

    Quote By Meritta
    Eeeeh mi hapo tu ndo uliponiacha hoi, wanaume bhana mh
    Kumbe mnapenda hivo eeeh...nimejifunza mie
    "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

  • #37
    platozoom's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th January 2012
    Posts : 3,926
    Rep Power : 8258
    Likes Received
    2645
    Likes Given
    3618

    Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

    Quote By mchajikobe
    Aaah mimi nilikutana na gogo,yaani alikuwa hajiwezi kwa chochote,kanikatisha tamaa ya mapenzi mpaka sasa sihitaji tena mapenzi nahisi wote watakuwa magogo kama yule wa kwanza!!
    Kwani gogo ni mapenzi..khahaa
    "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

  • Miaka 50
    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...