Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 37 of 37
    1. #1
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,968
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3651

      Default Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Nazungumzia kuingia kwenye penzi kwa mara ya kwanza halafu ukapenda kikwelikweli.


      Ilinitokea tena nikiwa na miaka 18..nilimpenda sana huyu binti, sidhani kama kuna saa ilipita bila kumuwaza….kibaya zaidi mawazo kumhusu yeye yalikuwa negative tu: “Hivi sasa hivi yuko wapi? Kuna mtu yuko naye nini? mbona simuoni kama ilivyo kawaida.


      Kiukweli hata yeye alinipenda sana…….na kuna wakati aliniambia naye huwaza hivyohivyo. Nakumbuka nilivyokuwa nakwenda nyumbani kwao mida ya usiku “kumuiba” tena kwa ujasiri mkubwa nikishiriana na rafiki yangu.
      Inakuwa hivi: Mida ya mchana tunapanga mchezo mzima…Usiku mida ya saa 4 nazuka kwao nyuma ya nyumba..na kumtuma kijana mmoja mdogomdogo hivi (Sasa hivi kakua..humtumi tena).. halafu yeye anaingia kwao na binti na kumpiga konye.


      Binti anajiandaa kabisa akisubiri Wazazi na ndugu walale (Yeye alikuwa analala chumba kimoja na dada yake ambaye tulikuwa tunashibana). Halafu mida ya saa tano anatoroka kupitia mlango wa uwani..Dada anaufunga!
      Sijapata kupenda kama nilivyowahi kupenda wakati ule. Kuna siku nilimuona na jamaa mmoja hivi wakipiga story kwa muda mrefu sana….Nikajua nimeibiwa, wacha nimtandike na barua ndefu ya talaka huku moyo unadunda……..Nilivyompa nikabaki najilaumu “Hivi akikubali tuachane kweli nitahimili”?


      Saa 8 saa 9 saa 10 hakuna dalili yeyote ya majibu ya kukubali kuvunja uhusianao au kuomba msamaha….Dah!! Si Roho wala mwili haukuwa wangu, Jasho linanitoka chakula hakipiti kila mtu anajua nimepata maradhi ya ghafla…Sitasahau……….Ilipofika saa 12 akamtuma mtu na barua ya kuomba msamaha……..Nilifurahi hakuna mfano…
      Unajua nilimjibu vipi……..USIRUDIE TENA SIPENDI TABIA HII, MPENZI HALAFU UJE TUONANE.


      Aaah penzi la kwanza kwenye utineja lione hivyo hivyo!!!!!!!!!!


      Nawasilisha nanyi nipeni uzoefu wenu.
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    2. Miaka 50

    3. #21
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,173
      Rep Power : 28899
      Likes Received
      11647
      Likes Given
      4812

      Default

      Hapo ndo umeongea la mbolea.
      Suali la msingi sana hili.
      Quote By platozoom
      Wazazi wangapi wanaongea na watoto wao kuhusu mabadiliko katika maumbile yao na complications zake!
      The Boss and platozoom like this.

    4. #22
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,968
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3651

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By cmoney
      dah akaniharibu koz baada ya hapo sikuwahi kupenda tenaa hadi leo..
      Usimwite tena beki tatu..sema mpenzi wangu wa zamani akaujeruhi moyo wangu.Pole
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    5. #23
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,968
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3651

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By King'asti
      Hapo ndo umeongea la mbolea.
      Suali la msingi sana hili.

      Nibusu basi nijisikie "mtu kati ya binadamu"
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    6. #24
      don2011's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th April 2011
      Posts : 23
      Rep Power : 415
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By BONGOLALA
      mimi na mpenzi kwenye kahawa na migomba usiku bila kuogopa kulalia nyoka,anatandika kanga
      ichi ki2 cha mliman ich, mnanikumbusha mbal xana jaman

    7. #25
      pusy monster's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Posts : 37
      Rep Power : 373
      Likes Received
      4
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By platozoom
      Nazungumzia kuingia kwenye penzi kwa mara ya kwanza halafu ukapenda kikwelikweli.


      Ilinitokea tena nikiwa na miaka 18..nilimpenda sana huyu binti, sidhani kama kuna saa ilipita bila kumuwaza….kibaya zaidi mawazo kumhusu yeye yalikuwa negative tu: “Hivi sasa hivi yuko wapi? Kuna mtu yuko naye nini? mbona simuoni kama ilivyo kawaida.


      Kiukweli hata yeye alinipenda sana…….na kuna wakati aliniambia naye huwaza hivyohivyo. Nakumbuka nilivyokuwa nakwenda nyumbani kwao mida ya usiku “kumuiba” tena kwa ujasiri mkubwa nikishiriana na rafiki yangu.
      Inakuwa hivi: Mida ya mchana tunapanga mchezo mzima…Usiku mida ya saa 4 nazuka kwao nyuma ya nyumba..na kumtuma kijana mmoja mdogomdogo hivi (Sasa hivi kakua..humtumi tena).. halafu yeye anaingia kwao na binti na kumpiga konye.


      Binti anajiandaa kabisa akisubiri Wazazi na ndugu walale (Yeye alikuwa analala chumba kimoja na dada yake ambaye tulikuwa tunashibana). Halafu mida ya saa tano anatoroka kupitia mlango wa uwani..Dada anaufunga!
      Sijapata kupenda kama nilivyowahi kupenda wakati ule. Kuna siku nilimuona na jamaa mmoja hivi wakipiga story kwa muda mrefu sana….Nikajua nimeibiwa, wacha nimtandike na barua ndefu ya talaka huku moyo unadunda……..Nilivyompa nikabaki najilaumu “Hivi akikubali tuachane kweli nitahimili”?


      Saa 8 saa 9 saa 10 hakuna dalili yeyote ya majibu ya kukubali kuvunja uhusianao au kuomba msamaha….Dah!! Si Roho wala mwili haukuwa wangu, Jasho linanitoka chakula hakipiti kila mtu anajua nimepata maradhi ya ghafla…Sitasahau……….Ilipofika saa 12 akamtuma mtu na barua ya kuomba msamaha……..Nilifurahi hakuna mfano…
      Unajua nilimjibu vipi……..USIRUDIE TENA SIPENDI TABIA HII, MPENZI HALAFU UJE TUONANE.


      Aaah penzi la kwanza kwenye utineja lione hivyo hivyo!!!!!!!!!!


      Nawasilisha nanyi nipeni uzoefu wenu.
      duuuuh............!!!

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,968
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3651

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By pusy monster
      duuuuh............!!!
      Vipi funguka na wewe..au ulishawahi kulizwa?
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    10. #27
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,968
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3651

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By don2011
      ichi ki2 cha mliman ich, mnanikumbusha mbal xana jaman
      Kwa hiyo digree yako ina mengi!
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    11. #28
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,466
      Rep Power : 19781
      Likes Received
      4293
      Likes Given
      1229

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Penzi la kwanza noma.
      platozoom likes this.

    12. #29
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,968
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3651

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By ruttashobolwa
      Penzi la kwanza noma.
      Ulipona heart attack
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    13. #30
      cmoney's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2011
      Posts : 365
      Rep Power : 457
      Likes Received
      74
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By platozoom
      Usimwite tena beki tatu..sema mpenzi wangu wa zamani akaujeruhi moyo wangu.Pole
      mkuu alikuwa amenizidi miaka ka saba hivi...hakuwa mpenz labda kifanyio

    14. #31
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,466
      Rep Power : 19781
      Likes Received
      4293
      Likes Given
      1229

      Default

      Quote By platozoom
      Ulipona heart attack
      sikupata hiyo!

      Nillisumbuka sana nikawa na shinda nyumbani wakati haikuwa kawaida yangu na demu alikuwa jirani yetu.

      Nakumbuka nilifumwa na baba yake huyo demu tukiwa wawili tu akaenda kusema nyumbani nikapewa onyo lakini sikusikia.
      platozoom likes this.

    15. #32
      TrueLove's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 73
      Rep Power : 385
      Likes Received
      11
      Likes Given
      98

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Haaaaaaaaaaaaaaaa....

    16. #33
      Meritta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2011
      Posts : 1,265
      Rep Power : 666
      Likes Received
      267
      Likes Given
      475

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By platozoom
      Nazungumzia kuingia kwenye penzi kwa mara ya kwanza halafu ukapenda kikwelikweli.


      Ilinitokea tena nikiwa na miaka 18..nilimpenda sana huyu binti, sidhani kama kuna saa ilipita bila kumuwaza….kibaya zaidi mawazo kumhusu yeye yalikuwa negative tu: “Hivi sasa hivi yuko wapi? Kuna mtu yuko naye nini? mbona simuoni kama ilivyo kawaida.


      Kiukweli hata yeye alinipenda sana…….na kuna wakati aliniambia naye huwaza hivyohivyo. Nakumbuka nilivyokuwa nakwenda nyumbani kwao mida ya usiku “kumuiba” tena kwa ujasiri mkubwa nikishiriana na rafiki yangu.
      Inakuwa hivi: Mida ya mchana tunapanga mchezo mzima…Usiku mida ya saa 4 nazuka kwao nyuma ya nyumba..na kumtuma kijana mmoja mdogomdogo hivi (Sasa hivi kakua..humtumi tena).. halafu yeye anaingia kwao na binti na kumpiga konye.


      Binti anajiandaa kabisa akisubiri Wazazi na ndugu walale (Yeye alikuwa analala chumba kimoja na dada yake ambaye tulikuwa tunashibana). Halafu mida ya saa tano anatoroka kupitia mlango wa uwani..Dada anaufunga!
      Sijapata kupenda kama nilivyowahi kupenda wakati ule. Kuna siku nilimuona na jamaa mmoja hivi wakipiga story kwa muda mrefu sana….Nikajua nimeibiwa, wacha nimtandike na barua ndefu ya talaka huku moyo unadunda……..Nilivyompa nikabaki najilaumu “Hivi akikubali tuachane kweli nitahimili”?


      Saa 8 saa 9 saa 10 hakuna dalili yeyote ya majibu ya kukubali kuvunja uhusianao au kuomba msamaha….Dah!! Si Roho wala mwili haukuwa wangu, Jasho linanitoka chakula hakipiti kila mtu anajua nimepata maradhi ya ghafla…Sitasahau……….Ilipofika saa 12 akamtuma mtu na barua ya kuomba msamaha……..Nilifurahi hakuna mfano…
      Unajua nilimjibu vipi……..USIRUDIE TENA SIPENDI TABIA HII, MPENZI HALAFU UJE TUONANE.


      Aaah penzi la kwanza kwenye utineja lione hivyo hivyo!!!!!!!!!!


      Nawasilisha nanyi nipeni uzoefu wenu.
      Eeeeh mi hapo tu ndo uliponiacha hoi, wanaume bhana mh
      platozoom likes this.
      "Ni UPENDO tu"

    17. #34
      mchajikobe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2009
      Posts : 1,197
      Rep Power : 736
      Likes Received
      96
      Likes Given
      35

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By platozoom
      Nazungumzia kuingia kwenye penzi kwa mara ya kwanza halafu ukapenda kikwelikweli.


      Ilinitokea tena nikiwa na miaka 18..nilimpenda sana huyu binti, sidhani kama kuna saa ilipita bila kumuwaza….kibaya zaidi mawazo kumhusu yeye yalikuwa negative tu: “Hivi sasa hivi yuko wapi? Kuna mtu yuko naye nini? mbona simuoni kama ilivyo kawaida.


      Kiukweli hata yeye alinipenda sana…….na kuna wakati aliniambia naye huwaza hivyohivyo. Nakumbuka nilivyokuwa nakwenda nyumbani kwao mida ya usiku “kumuiba” tena kwa ujasiri mkubwa nikishiriana na rafiki yangu.
      Inakuwa hivi: Mida ya mchana tunapanga mchezo mzima…Usiku mida ya saa 4 nazuka kwao nyuma ya nyumba..na kumtuma kijana mmoja mdogomdogo hivi (Sasa hivi kakua..humtumi tena).. halafu yeye anaingia kwao na binti na kumpiga konye.


      Binti anajiandaa kabisa akisubiri Wazazi na ndugu walale (Yeye alikuwa analala chumba kimoja na dada yake ambaye tulikuwa tunashibana). Halafu mida ya saa tano anatoroka kupitia mlango wa uwani..Dada anaufunga!
      Sijapata kupenda kama nilivyowahi kupenda wakati ule. Kuna siku nilimuona na jamaa mmoja hivi wakipiga story kwa muda mrefu sana….Nikajua nimeibiwa, wacha nimtandike na barua ndefu ya talaka huku moyo unadunda……..Nilivyompa nikabaki najilaumu “Hivi akikubali tuachane kweli nitahimili”?


      Saa 8 saa 9 saa 10 hakuna dalili yeyote ya majibu ya kukubali kuvunja uhusianao au kuomba msamaha….Dah!! Si Roho wala mwili haukuwa wangu, Jasho linanitoka chakula hakipiti kila mtu anajua nimepata maradhi ya ghafla…Sitasahau……….Ilipofika saa 12 akamtuma mtu na barua ya kuomba msamaha……..Nilifurahi hakuna mfano…
      Unajua nilimjibu vipi……..USIRUDIE TENA SIPENDI TABIA HII, MPENZI HALAFU UJE TUONANE.


      Aaah penzi la kwanza kwenye utineja lione hivyo hivyo!!!!!!!!!!


      Nawasilisha nanyi nipeni uzoefu wenu.
      Aaah mimi nilikutana na gogo,yaani alikuwa hajiwezi kwa chochote,kanikatisha tamaa ya mapenzi mpaka sasa sihitaji tena mapenzi nahisi wote watakuwa magogo kama yule wa kwanza!!
      platozoom likes this.
      tired of being fooled!!

    18. #35
      Chitu's's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      hahahahaa! Mie nilikuwa muoga sana nahisi ni kwa7bu binti ndie ambaye alianzisha, Sasa ushakuwa mjanja?

    19. #36
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,968
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3651

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By Meritta
      Eeeeh mi hapo tu ndo uliponiacha hoi, wanaume bhana mh
      Kumbe mnapenda hivo eeeh...nimejifunza mie
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    20. #37
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,968
      Rep Power : 8266
      Likes Received
      2671
      Likes Given
      3651

      Default Re: Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

      Quote By mchajikobe
      Aaah mimi nilikutana na gogo,yaani alikuwa hajiwezi kwa chochote,kanikatisha tamaa ya mapenzi mpaka sasa sihitaji tena mapenzi nahisi wote watakuwa magogo kama yule wa kwanza!!
      Kwani gogo ni mapenzi..khahaa
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...