Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: SEX got me in Trouble.. Please HELP!

    Report Post
    Page 9 of 14 FirstFirst ... 7891011 ... LastLast
    Results 161 to 180 of 273
    1. #1
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15464
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Siku zimekuwa zikienda najihisi tofauti tofauti, naona mwili wangu kama haupo kawaida.
      Nikishika tits zangu I feel tender, najiona nimebadilika badilika tu but nashindwa kuelezea.
      Saizi nakula zaidi kuliko kawaida yangu na najikuta nataka utulivu wa mara kwa mara.
      Ndio nimetambua saizi nina mimba. Hio inafanya niwe nina habari mbili mbaya na nzuri.

      Mbaya ni kuwa nina mimba ya mtu ambae sijui atakuwa yupi! Najiuliza baba watoto ni nani kati
      ya wa 5 niliokutana nao katika zile siku za kutikisha mimba ule mwezi wa mwisho ambao niliacha sex rasmi.
      Sina raha, sina amani sabb nataka mtoto ajue baba yake wa kweli ni yupi.
      sina la kufanya ila mimba sitoi! Wangekuwa wote ni waswahili ningejipanga vizuri.
      Tatizo katika hao wa 5 moja mchina, mwingine mzungu watatu waswahili. Wote nilitumia condom,
      kasoro mmoja, nimesahau ni yupi.

      Habari nzuri I am pregnant with twins nilikuwa nawatafuta kwa nguvu zote.
      Bonus ni kuwa najisikia kufanya kila mara. Naomba mnisaidie ushauri pliiiiiz!

      No mwaaaaah! nahisi kuzimia!
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    2. FemaTV & Radio

    3. #161
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15464
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Quote By Kiranga
      I love a charming temptress, even as I recognize her decadent lewdness and ubiquitous un-ashamedness, and steer clear like a seasoned sage or a geeky griot.

      kaaaaah! be a darlin and melt hicho kiingereza Kiranga. sijaambulia kitu papito.

      btw you have seen through the crystal ball to think it somesot of story tellin? teh teh teh
      Elizabeth Dominic likes this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    4. #162
      Kaizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2008
      Posts : 13,986
      Rep Power : 21892
      Likes Received
      6938
      Likes Given
      7789

      Default Re: SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Quote By Kiranga
      I love a charming temptress, even as I recognize her decadent lewdness and ubiquitous un-ashamedness, and steer clear like a seasoned sage or a geeky griot.
      Ngoja nitafute dikshenare. Erotica, hapa umepotea mazima
      "Bunduki bila risasi yaua namna gani"
      Email: [email protected]

    5. #163
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15464
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Quote By Kaizer
      Ngoja nitafute dikshenare. Erotica, hapa umepotea mazima

      mchungaji Kaizer hebu tumia dikshenare fasta. unaweza kuta ndio

      ana declare yupo tayari kuwa baba alafu sijaelewa. pliiiizi.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    6. #164
      Cool Gentleman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th June 2012
      Posts : 277
      Rep Power : 405
      Likes Received
      113
      Likes Given
      205

      Default Re: Breaking News!! SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Quote By Erotica
      i think i lyk u jst the way u ar. dare to dare Ero. mwaaaaaaaah.
      Na badoo na badooo, sijafika mwishooo . . . mi si kama wale wanaojisifu kwa . . . . .
      Erotica likes this.

    7. #165
      Kaizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2008
      Posts : 13,986
      Rep Power : 21892
      Likes Received
      6938
      Likes Given
      7789

      Default Re: SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Quote By Erotica
      mchungaji Kaizer hebu tumia dikshenare fasta. unaweza kuta ndio

      ana declare yupo tayari kuwa baba alafu sijaelewa. pliiiizi.
      Ingekua ivo Erotica, asingeandika ivo..in fact nakushauri usisome maneno yote baada ya "even",,,
      Erotica likes this.
      "Bunduki bila risasi yaua namna gani"
      Email: [email protected]

    8. Miaka 50

    9. #166
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15464
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: Breaking News!! SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Quote By Cool Gentleman
      Na badoo na badooo, sijafika mwishooo . . . mi si kama wale wanaojisifu kwa . . . . .

      ...................... dayme! hii mimba naona inaniharibia. am loosing touch.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    10. #167
      Mshiiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2008
      Location : Sillicon Valley - USA
      Posts : 1,351
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      58
      Likes Given
      17

      Default Re: SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Mbaya sana na tamu sana kwa kuwaridhisha watano na pengine kila mtoto mmoja na baba yake. Wanaweza wakazaliwa mmoja mzungu na mwingine mchina. Hongera sana.
      Erotica likes this.
      “You will not be punished for your anger; you will be punished by your anger.”

    11. #168
      GTesha's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th June 2012
      Posts : 199
      Rep Power : 389
      Likes Received
      41
      Likes Given
      9

      Default Re: SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Quote By Erotica
      Siku zimekuwa zikienda najihisi tofauti tofauti, naona mwili wangu kama haupo kawaida.
      Nikishika tits zangu I feel tender, najiona nimebadilika badilika tu but nashindwa kuelezea.
      Saizi nakula zaidi kuliko kawaida yangu na najikuta nataka utulivu wa mara kwa mara.
      Ndio nimetambua saizi nina mimba. Hio inafanya niwe nina habari mbili mbaya na nzuri.

      Mbaya ni kuwa nina mimba ya mtu ambae sijui atakuwa yupi! Najiuliza baba watoto ni nani kati
      ya wa 5 niliokutana nao katika zile siku za kutikisha mimba ule mwezi wa mwisho ambao niliacha sex rasmi.
      Sina raha, sina amani sabb nataka mtoto ajue baba yake wa kweli ni yupi.
      sina la kufanya ila mimba sitoi! Wangekuwa wote ni waswahili ningejipanga vizuri.
      Tatizo katika hao wa 5 moja mchina, mwingine mzungu watatu waswahili. Wote nilitumia condom,
      kasoro mmoja, nimesahau ni yupi.

      Habari nzuri I am pregnant with twins nilikuwa nawatafuta kwa nguvu zote.
      Bonus ni kuwa najisikia kufanya kila mara. Naomba mnisaidie ushauri pliiiiiz!

      No mwaaaaah! nahisi kuzimia!
      shoga kwanza hongera, na pia wala usilalamike unajua watu wanakesha kwa waganga kutafuta watoto? sasa wewe umewapata wala usilalamike sana.
      kuhusu baba we angalia yule ambaye anajifanya yupo karibu na wewe kwa kipindi hiki mtumie kulea mimba na pia atakuwa anakupa faraja na kukupety pety kwa kipindi hiki na kupunguza stress pia, so atleast kwa kipindi hiki cha miezi tisa kutakuwa na mtu wa kukusaidia kulea mimba hiyo sawa eeh? make sure hutoki nje ya hao wa tano na kama wote wamekwisha kula kona atakaye kuwa interested na wewe kwa kipindi hiki usimkatalie ila tu make sure amepima na unajua hali yake ya vvu sawa eeh?
      kuhusu hamu ya kufanya mapenzi sana wala usiogope, maana mwanamke anapo pata ujauzito kuna mambo mawili yanatokea eidha hamu ya kyfanyana itoweke moja kwa moja mpaka anapojifungua ama hamu inaongezeka na kila mara anakuwa na hamu ya kufanyana so kwako wewe inaonekana kuwa hamu yako ipo juu ya kufanyana, fanyana mwaya wala usiogope maana ni haki yako ila tu cha msingi kuwa makini na style utakazo kuwa unatumia ili zisikuumize wewe maana katumbo kanakuwa hako so the best style kwako inaweza kuwa ni ile ya kulala ubavu, kifo cha mende sio nzuri maana mwanaume atakuumizia tumbo na pia unaweza ukafanya mbuzi kagoma sawa eeh?
      Erotica likes this.

    12. #169
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15464
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Quote By Kaizer
      Ingekua ivo Erotica, asingeandika ivo..in fact nakushauri usisome maneno yote baada ya "even",,,


      bada ya neno lile la even nikaona maneno yenye viruti

      kama decay, shame, geek, mengine nimetoka hola! nikaona

      then nikakumbuka huyu Kiranga anasomea ubudha. hasemi maneno bure wala

      si kwa yoyote. sbb kagusia hata kama sielewi am feel erotic n hav a rite. think Kaizer think!

      it minz atakuwa na kasehem ka physikia hata kama roho kanajali uwepo wa Ero
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    13. #170
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,087
      Rep Power : 41562
      Likes Received
      5985
      Likes Given
      1052

      Default Re: SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Quote By Erotica
      bada ya neno lile la even nikaona maneno yenye viruti

      kama decay, shame, geek, mengine nimetoka hola! nikaona

      then nikakumbuka huyu Kiranga anasomea ubudha. hasemi maneno bure wala

      si kwa yoyote. sbb kagusia hata kama sielewi am feel erotic n hav a rite. think Kaizer think!

      it minz atakuwa na kasehem ka physikia hata kama roho kanajali uwepo wa Ero
      Umezibuka,

      Kiranga anajali wote, hata wasiokuwapo mstarini wenye character za Mumma mongrel Jezebel na chembe za mwenye pembe mwenyewe.

      Hata Yesu alisema wapendeni hata mnaopingana nao.

      Naamini Erotica akipata msaada wa maombi ya wapendwa atajirudi na anaweza kuwa mke mzuri, hata akawa mama mchungaji kusaidia kuongoza kundi

      Au hata awe mchungaji mwenyewe.

      Imagine that, rev. Erotica, itabidi tumtafutie jina jingine.
      Erotica likes this.
      Banda lishavunjika, jogoo kaondoka. Vifaranga hangaika, kumtoa nyoka.


    14. #171
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,270
      Rep Power : 50787
      Likes Received
      9194
      Likes Given
      14444

      Default

      Quote By Pombekali
      Kati ya hao watatu hakuna mmoja kati ya hawa,Bishanga, ErickB52,Baba V,Boflo na Saint Ivuga?,nijibu then ntakushauri
      Pombekali mi huyu ni wangu na anajua huwa situmii hayo magozi ila nilikuwa safari..nahisi hao wengine ndo wahusika

    15. #172
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,270
      Rep Power : 50787
      Likes Received
      9194
      Likes Given
      14444

      Default

      Quote By Kaizer
      mmmhh.. Kaunga.....apa nimevunjikaje mbavu? gfsonwin tunachoshana sana tu, mwenyewe si mnamsikia hapa anawaatarifu mfyonzo? EE Mungu nisaidie!

      Ila haina maana kuwa maungamo yamesitishwa ila mnamsingizia Elizabeth Dominic
      Erotica, hongera kwa MImba....Mungu anakuona na amekutembelea kama alivomtembelea Sara. sasa basi come this way upatemo maujuzi ya wakati wa mimba from gfsonwin, Kaunga atakupa maujuzi ya kitabibu namna ya kuitunza akisaidiana na MziziMkavu

      Usimkaribie Asprin kama ambavyo hutakiwi kumwona Erickb52

      Uwe mpole kama CUTE ili ukijifungua wawe macutie kama mapacha wa cacico.
      Hehehe Kaizer tutake radhi
      Kwanza ksa huyo mtoto ni wako siuseme tu
      Asprin, MziziMkavu and Erotica like this.

    16. #173
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,308
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Erotica, gfsonwin na fidel80 post zenu nusura zinivunje mbavu ......,
      Erotica my lovely mke mwenza umelikoroga so kulinywa inakuhusu.....afu hongera kwa ujauzito wa mapacha!
      Erotica likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    17. #174
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,672
      Rep Power : 21309
      Likes Received
      10028
      Likes Given
      13931

      Default Re: SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Quote By sweetlady
      Erotica, gfsonwin na fidel80 post zenu nusura zinivunje mbavu ......,
      Erotica my lovely mke mwenza umelikoroga so kulinywa inakuhusu.....afu hongera kwa ujauzito wa mapacha!
      sweetlady mzima mamii? mbona umecheka wakati ni kweli?
      sweetlady likes this.

    18. #175
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,308
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Quote By gfsonwin
      sweetlady mzima mamii? mbona umecheka wakati ni kweli?
      Mie mzima gfsonwin khofu kwako my dearest.......huezi amini nimecheka mpaka nimeshindwa kuendelea kusoma!.... Erotica kweli kiboko g......amechanganya mpaka wachina lol
      gfsonwin likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    19. #176
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Breaking News!! SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Quote By FirstLady1
      jamani mwali Erotica watu watano uliwezaje ku do bila protection mmmmh..Na kale kaugonjwa umepita mama? unanitia simanzi ujue@Ndahani ana habari hizi
      FirstLady1, mjini hapa akili jmu kichwa...ukienda kichwa kichwa utalea mwana si wako... Erotica huoni kama janja janja sana. Speed zake mi akhuuu...simuwezi
      Erotica likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    20. #177
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,672
      Rep Power : 21309
      Likes Received
      10028
      Likes Given
      13931

      Default Re: SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Quote By sweetlady
      Mie mzima gfsonwin khofu kwako my dearest.......huezi amini nimecheka mpaka nimeshindwa kuendelea kusoma!.... Erotica kweli kiboko g......amechanganya mpaka wachina lol
      utamuweza mtu wa meru huyu? nahisi na kile cha meru huwa navuta kidogo manake leo katoa mpya. uko mitaa ya wapi ma dearest?
      sweetlady likes this.

    21. #178
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Breaking News!! SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Quote By Erotica
      my kungwi FirstLady1 hujanielewa, nimesema ktk hao w5 mmoja sikutumia condom

      ila sikumbuki ni yupi. Ndahani bado ananirusha roho, usimwambie tafadhali.
      Haaahaa Erotica...siri imefichuka
      Erotica likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    22. #179
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,308
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Quote By gfsonwin
      utamuweza mtu wa meru huyu? nahisi na kile cha meru huwa navuta kidogo manake leo katoa mpya. uko mitaa ya wapi ma dearest?
      Kumbe Erotica ni wa meru eeh?.....basi atakuwa anatumia cha meru huyu.... gfsonwin kesho tukijaliwa unipe mda tuendelee na lile darasa letu la jana......nilijirejista but mpaka sasahivi sijaletewa majibu!.....sawa my lovely teacher?
      gfsonwin likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    23. #180
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,672
      Rep Power : 21309
      Likes Received
      10028
      Likes Given
      13931

      Default Re: SEX got me in Trouble.. Please HELP!

      Quote By sweetlady
      Kumbe Erotica ni wa meru eeh?.....basi atakuwa anatumia cha meru huyu.... gfsonwin kesho tukijaliwa unipe mda tuendelee na lile darasa letu la jana......nilijirejista but mpaka sasahivi sijaletewa majibu!.....sawa my lovely teacher?
      shaka ondoa ma dearest shostito. but nakumiss kweli.
      sweetlady likes this.

    Page 9 of 14 FirstFirst ... 7891011 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...