Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 36
    1. #1
      mchajikobe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2009
      Posts : 1,197
      Rep Power : 737
      Likes Received
      96
      Likes Given
      35

      Default Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Napenda kuwaomba samahani wakinadada wote wenye majina ya Angel,na pia kuhoji ni kwanini Angel tuu?Huku tunapoishi sisi mitaa kuna nyumba moja ya wageni(guest house) yote wamepangisha machangudoa,na mitaa hii ni moja kati ya mitaa iliyosheheni machangudoa hapa mjini darisalama,kinachonishangaza ni kwamba hao machangudoa wanaokaa kwenye hiyo nyumba,wote ni under 25,alafu wote wanajina moja hilo hilo la Angel,yaani mpaka inafikia mtu anamuelekeza mwingine bwana nipo hapa karibu na kwa kina Angel.Na sio hao tuu hata machangudoa wengine ambao hawaishi humo,yaani ukiwaita angel tuu wanageuka au mara nyingine hukufuata kabisa.Sasa hivi inawezekana nyumba inayohost watu karibu 30,kuhifadhi watu wenye jina moja tuu,au hii Angel inamaana katika shughuli zao?
      tired of being fooled!!

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,067
      Rep Power : 9501
      Likes Received
      3186
      Likes Given
      1237

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Mkuu mchajikobe hii guest ipo mitaa gani na inaitwaje nataka nifanye dili.
      mchajikobe likes this.
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    4. #3
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,992
      Rep Power : 8272
      Likes Received
      2694
      Likes Given
      3667

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Humu JF kuna angel msofe...Nimesema tu
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    5. #4
      babe S's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2011
      Posts : 700
      Rep Power : 516
      Likes Received
      180
      Likes Given
      160

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Nahisi wanajipachika tu hilo jina kwa ajili ya kazi, na kwa vile linasound utamu basi.....
      mito likes this.
      We never really grow up, we only learn to act in public.

    6. #5
      mchajikobe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2009
      Posts : 1,197
      Rep Power : 737
      Likes Received
      96
      Likes Given
      35

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Quote By babe S
      Nahisi wanajipachika tu hilo jina kwa ajili ya kazi, na kwa vile linasound utamu basi.....
      Na hata hao watoto wenyewe watamu kwelikweli sio jina tuu,yaani kama bidhaa hizi ni mpya,wengine wanasoma,yaani asubuhi shule,jioni kazini,huwezi amini kila siku wazazi wanawafuata bt watoto hawataki kurudi makwao,ngoma imewanogea!!!
      tired of being fooled!!

    7. Miaka 50

    8. #6
      mchajikobe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2009
      Posts : 1,197
      Rep Power : 737
      Likes Received
      96
      Likes Given
      35

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Quote By Fidel80
      Mkuu mchajikobe hii guest ipo mitaa gani na inaitwaje nataka nifanye dili.
      Sitaki kuhatarisha mahusiano yako,coz ukianzaa kudeal na hawa amini nakuambia hautahitaji mpenzi wa kuumizana kichwa mara vocha,mara outing,yaani hawa ni pesa unakula mzigo,kesho unahamia mlango mwingine,na uzuri wao hawakatai hela,alafu unaweza ukakuta ni warembo kuliko demu wako!!!Kama kunakamoja kakenya hako,hata ukikaintroduce kwenu hawawezi kukikataa na watahoji ulipokipata!!!
      tired of being fooled!!

    9. #7
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,056
      Rep Power : 14521
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5006

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Lord Have Mercy!
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    10. #8
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,055
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      260

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Nitatua dar. muda si mwingi, sasa mkuu hili ni ombi rasmi: kwa sababu sina mwenyeji jijini hapo, naomba nipelekee kwenye email yangu jina la hiyo gesti. hako kakenya unakokasifia saaaana naona nitaanza nako.

    11. #9
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,652
      Rep Power : 16779
      Likes Received
      2519
      Likes Given
      1941

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Quote By Fidel80
      Mkuu mchajikobe hii guest ipo mitaa gani na inaitwaje nataka nifanye dili.
      Tafadhali mkuu upo siriazi hujui hiyo guest ilipo??

    12. #10
      Msemaovyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 391
      Rep Power : 512
      Likes Received
      82
      Likes Given
      59

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Mkuu nipatie dairekshen basi angalau niipendezeshe Furaidei yangu yangu kwa kitu kipya kwangu lakini

    13. #11
      Vin Diesel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 5,866
      Rep Power : 19947
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      1615

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Quote By mchajikobe
      Napenda kuwaomba samahani wakinadada wote wenye majina ya Angel,na pia kuhoji ni kwanini Angel tuu?Huku tunapoishi sisi mitaa kuna nyumba moja ya wageni(guest house) yote wamepangisha machangudoa,na mitaa hii ni moja kati ya mitaa iliyosheheni machangudoa hapa mjini darisalama,kinachonishangaza ni kwamba hao machangudoa wanaokaa kwenye hiyo nyumba,wote ni under 25,alafu wote wanajina moja hilo hilo la Angel,yaani mpaka inafikia mtu anamuelekeza mwingine bwana nipo hapa karibu na kwa kina Angel.Na sio hao tuu hata machangudoa wengine ambao hawaishi humo,yaani ukiwaita angel tuu wanageuka au mara nyingine hukufuata kabisa.Sasa hivi inawezekana nyumba inayohost watu karibu 30,kuhifadhi watu wenye jina moja tuu,au hii Angel inamaana katika shughuli zao?
      Ni jina la kazi tu.....code name....
      Kuna sehemu wanajiita sweet....jina la endana na huduma wanayotoa....

    14. #12
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Quote By mchajikobe
      Napenda kuwaomba samahani wakinadada wote wenye majina ya Angel,na pia kuhoji ni kwanini Angel tuu?Huku tunapoishi sisi mitaa kuna nyumba moja ya wageni(guest house) yote wamepangisha machangudoa,na mitaa hii ni moja kati ya mitaa iliyosheheni machangudoa hapa mjini darisalama,kinachonishangaza ni kwamba hao machangudoa wanaokaa kwenye hiyo nyumba,wote ni under 25,alafu wote wanajina moja hilo hilo la Angel,yaani mpaka inafikia mtu anamuelekeza mwingine bwana nipo hapa karibu na kwa kina Angel.Na sio hao tuu hata machangudoa wengine ambao hawaishi humo,yaani ukiwaita angel tuu wanageuka au mara nyingine hukufuata kabisa.Sasa hivi inawezekana nyumba inayohost watu karibu 30,kuhifadhi watu wenye jina moja tuu,au hii Angel inamaana katika shughuli zao?
      yawezekana angel ni jina la kazi..kama wewe jina lako la JF ni MCHAJIKOBE

    15. #13
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,067
      Rep Power : 9501
      Likes Received
      3186
      Likes Given
      1237

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Katavi hiyo Guest ni ngeni kwangu huyu mchajikobe nimeomba direction hajanipa sijui sanaaa?
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    16. #14
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Quote By georgeallen
      Nitatua dar. muda si mwingi, sasa mkuu hili ni ombi rasmi: kwa sababu sina mwenyeji jijini hapo, naomba nipelekee kwenye email yangu jina la hiyo gesti. hako kakenya unakokasifia saaaana naona nitaanza nako.
      Jamaa kauliza wadada kwa nini wanajiita Angels..lakini naona ni kama vile alipoteza muda manake imekuwa tofauti..lol!
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    17. #15
      babe S's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2011
      Posts : 700
      Rep Power : 516
      Likes Received
      180
      Likes Given
      160

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Quote By mchajikobe
      Na hata hao watoto wenyewe watamu kwelikweli sio jina tuu,yaani kama bidhaa hizi ni mpya,wengine wanasoma,yaani asubuhi shule,jioni kazini,huwezi amini kila siku wazazi wanawafuata bt watoto hawataki kurudi makwao,ngoma imewanogea!!!
      Talking from experience eeeeh?
      We never really grow up, we only learn to act in public.

    18. #16
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Na wewe ukiwa huko guest unajiita nani?

    19. #17
      jamiif's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 956
      Rep Power : 547
      Likes Received
      242
      Likes Given
      511

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      jamani kwa upeo wangu, angel labda wanatumia kama vile ukimwita mpenzi wako, 'my angel nakupenda sana' labda...so wao ni angel wa kila mtu...lol!
      Quote By mchajikobe
      Napenda kuwaomba samahani wakinadada wote wenye majina ya Angel,na pia kuhoji ni kwanini Angel tuu?Huku tunapoishi sisi mitaa kuna nyumba moja ya wageni(guest house) yote wamepangisha machangudoa,na mitaa hii ni moja kati ya mitaa iliyosheheni machangudoa hapa mjini darisalama,kinachonishangaza ni kwamba hao machangudoa wanaokaa kwenye hiyo nyumba,wote ni under 25,alafu wote wanajina moja hilo hilo la Angel,yaani mpaka inafikia mtu anamuelekeza mwingine bwana nipo hapa karibu na kwa kina Angel.Na sio hao tuu hata machangudoa wengine ambao hawaishi humo,yaani ukiwaita angel tuu wanageuka au mara nyingine hukufuata kabisa.Sasa hivi inawezekana nyumba inayohost watu karibu 30,kuhifadhi watu wenye jina moja tuu,au hii Angel inamaana katika shughuli zao?

    20. #18
      Kidogo chetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 478
      Rep Power : 578
      Likes Received
      53
      Likes Given
      130

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Quote By Angel Msoffe
      Na wewe ukiwa huko guest unajiita nani?
      Gaspar

    21. #19
      don2011's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th April 2011
      Posts : 23
      Rep Power : 415
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Du wapiga para wakae macho apo. Angel wa leo co wa Kesho. Iyo ni xoo member

    22. #20
      Nehondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Location : dar slam
      Posts : 308
      Rep Power : 454
      Likes Received
      76
      Likes Given
      28

      Default Re: Samahanini wakina Angel mliopo humu jamvini!!!

      Inaonekana you were touched by an angel

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...