Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 48
    1. #1
      Mzee Wa Rubisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : Chini ya mgomba
      Posts : 1,299
      Rep Power : 696
      Likes Received
      210
      Likes Given
      272

      Default Jamaanii kuku aliyemaliza debe la mahindi,karanga sasa kaliwa

      Jamani kuku kamaliza debe la mahindi,Niliaaza taratibu kumlushia mbegu za mahindi nilishutuka debe limekwisha ,hivyo hivyo kamaliza debe la karanga.Kuku huyu sasa kanenepa sana kapendeza sana na anavutikia kila kona anakopita.Kuku huyu kila inapofika siku ya kuliwa au kuchinjwa,utasikia kuku anaumwa tumbo,kuku ameshikwa na ungonjwa wa mafua.mala kuku anaendesha kila saaa.Kuku huyu utasikia akisema nipo mwezini, sikukuu hikifika hili aliwe kuku amekuwa anaruka kwa sababu ya mabawa yake.
      Sasa waungwana na debe la mtama limefika nusu bado kuku ataki kuliwa,Tatito kubwa la kuku huyu kila asubuhi anapoamuka utasikia analalamika kuomba nimrushie mtama au nimpunguzie mtama.
      Kuku huyu siku zinafika kuliwa kitoeo na kila zana zakumchinja zimeandaliwa,maji ya moto ya kumnyonyolea pia na grovis lakini kuku huyu anapotea mtaaa ataonekana jioni kuja kulala bandani kwake.?
      Sasa kuku huyu ataliwa kubudu siku ikifika.

      Baada ya kupata ushauri wa wadau nilisitisha kutoa mbegu kwa kuku huyo.
      Wiki ikapita nikasikia kuku analalamika kudai mbegu kama alivyozoeya.
      Nikazidisha ukimia,Kuku kaomba kuonana mami,nikatoa nje,kama kawaida akab nami sikukooa,
      Kuku kumbe ni wakufungwa nilihisi ni wakienyeji anawezakujitafutia chakula wapi,
      Kuku njaaa ikazidi,kaomba mwenye nimfaute na wapi anikute.
      Nikagoma mbengu sitoe,wala sirushi,na sipigi.
      Nilizoea kumpatia karanga ,mahindi,na mtama,nikabadiri nikamtupia ulezi akala kwa tamaaa ya kukosa mbengu,
      Taratibu nilisha mwandalia theta kwa oparation, kuku akapatia hudumu takatifu.
      Sasa hakuna mbegu tena kila siku kuku anataka ulezi,
      Niwashukuru wote niliyotoa ushari
      Ramadhan njema


      Last edited by Mzee Wa Rubisi; 24th July 2012 at 12:59. Reason: To update
      mito likes this.


    2. #2
      Mzee Wa Rubisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : Chini ya mgomba
      Posts : 1,299
      Rep Power : 696
      Likes Received
      210
      Likes Given
      272

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      Jamaaa kuku huyo nimfanyaje.nimpige manati aliwe kibudu au?

    3. #3
      Mzee Wa Rubisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : Chini ya mgomba
      Posts : 1,299
      Rep Power : 696
      Likes Received
      210
      Likes Given
      272

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      Nimesitisha kumpatia mbegu kuku kaanza kulalamika kila siku,?

    4. #4
      Gunda66's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th March 2012
      Location : Tabata Dar-es-Salaam
      Posts : 84
      Rep Power : 383
      Likes Received
      54
      Likes Given
      51

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      hahahahahahahaha,,, siku utashtukia imebaki mifupa bla hta kuonja minofu,, pole zako.

    5. #5
      Bufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 342
      Rep Power : 432
      Likes Received
      56
      Likes Given
      162

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      Aahahhahahahah! the words used are crazy, kuku bado anataka invoice ili mzigo utolewe bandarini.
      WALIMWEUSI likes this.


    6. #6
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,574
      Rep Power : 12091
      Likes Received
      2814
      Likes Given
      1608

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      Mkuu huyo ni kuku poli. Huyo kuku hafugiki. Ukiona hivyo ujue anakula kwako na kulala polini. Mia
      LD likes this.

    7. #7
      BornTown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2008
      Location : ???
      Posts : 1,484
      Rep Power : 868
      Likes Received
      283
      Likes Given
      104

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      wenye kuku wala hawaitaji manati asubui anaenda kutafuta chakula jioni anarudi bandani kulala mwisho wa siku utasikia vifaranga vinalia kuku katotoa kapata jogoo la jirani lililo bora.

      wewe endelea kumtupia mtama na mahindi usisahau kumwekea bakuli la maji ya kunywa akimaliza kula ashuhie chakula akalale...
      ushauri...fungua banda weka chambo cha mtama na mahindi akiingia ndani funga nyoyoa manyoa atabaki kuwa wako ukizubaa wenzio watamnyoyoa mbawa na kumtotolesha
      Shakazulu and Mzee Wa Rubisi like this.
      "DONT BE A WOMAN THAT NEEDS A MAN BE A WOMAN A MAN NEEDS!!!!"

    8. #8
      ChaterMaster's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th August 2009
      Posts : 374
      Rep Power : 575
      Likes Received
      57
      Likes Given
      112

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      nice speech!
      HAMA ANALOGY(CCM) HAMIA DIGITAL(CDM)

    9. #9
      HorsePower's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 2,798
      Rep Power : 3829
      Likes Received
      1771
      Likes Given
      1641

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      Quote By Mzee Wa Rubisi View Post
      Jamani kuku kamaliza debe la mahindi,Niliaaza taratibu kumlushia mbegu za mahindi nilishutuka debe limekwisha ,hivyo hivyo kamaliza debe la karanga.Kuku huyu sasa kanenepa sana kapendeza sana na anavutikia kila kona anakopita.Kuku huyu kila inapofika siku ya kuliwa au kuchinjwa,utasikia kuku anaumwa tumbo,kuku ameshikwa na ungonjwa wa mafua.mala kuku anaendesha kila saaa.Kuku huyu utasikia akisema nipo mwezini, sikukuu hikifika hili aliwe kuku amekuwa anaruka kwa sababu ya mabawa yake.
      Sasa waungwana na debe la mtama limefika nusu bado kuku ataki kuliwa,Tatito kubwa la kuku huyu kila asubuhi anapoamuka utasikia analalamika kuomba nimrushie mtama au nimpunguzie mtama.
      Kuku huyu siku zinafika kuliwa kitoeo na kila zana zakumchinja zimeandaliwa,maji ya moto ya kumnyonyolea pia na grovis lakini kuku huyu anapotea mtaaa ataonekana jioni kuja kulala bandani kwake.?
      Sasa kuku huyu ataliwa kubudu siku ikifika/
      Inawezekana kuku wako unawalishia jirani zako, pole sana! Angalia huko kuku wako anakopenda kutembelea akiwa anatafuta kitu cha kutafuna, inawezakana pia ikawa ameshamaliza na madebe ya mtama na karanga za jirani yako, na wenzio ndo wameshamchinja!
      By the way, kuchinja kuku ni mpaka umpe debe zima la mtama na karanga??!
      Tafakari!
      Don’t judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant.

    10. #10
      Mzee Wa Rubisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : Chini ya mgomba
      Posts : 1,299
      Rep Power : 696
      Likes Received
      210
      Likes Given
      272

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      Quote By BornTown View Post
      wenye kuku wala hawaitaji manati asubui anaenda kutafuta chakula jioni anarudi bandani kulala mwisho wa siku utasikia vifaranga vinalia kuku katotoa kapata jogoo la jirani lililo bora.

      wewe endelea kumtupia mtama na mahindi usisahau kumwekea bakuli la maji ya kunywa akimaliza kula ashuhie chakula akalale...
      ushauri...fungua banda weka chambo cha mtama na mahindi akiingia ndani funga nyoyoa manyoa atabaki kuwa wako ukizubaa wenzio watamnyoyoa mbawa na kumtotolesha
      Tatizo hapo sasa kumnyooyoa mabawa hili asiruke hapatikani.

    11. #11
      Mzee Wa Rubisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : Chini ya mgomba
      Posts : 1,299
      Rep Power : 696
      Likes Received
      210
      Likes Given
      272

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      Quote By figganigga View Post
      Mkuu huyo ni kuku poli. Huyo kuku hafugiki. Ukiona hivyo ujue anakula kwako na kulala polini. Mia
      Je inawezekana asiwe kuku huyu au kunguru.?

    12. #12
      Gaspery Lasway's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 1,178
      Rep Power : 630
      Likes Received
      246
      Likes Given
      22

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      You made ma day! Hakika huyu si kuku tena uyo atakuwa popo tena ogopa anaelekea kuwa na bawa na kuwa popo bawa
      Mzee Wa Rubisi likes this.

    13. #13
      Mzee Wa Rubisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : Chini ya mgomba
      Posts : 1,299
      Rep Power : 696
      Likes Received
      210
      Likes Given
      272

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      Quote By HorsePower View Post
      Inawezekana kuku wako unawalishia jirani zako, pole sana! Angalia huko kuku wako anakopenda kutembelea akiwa anatafuta kitu cha kutafuna, inawezakana pia ikawa ameshamaliza na madebe ya mtama na karanga za jirani yako, na wenzio ndo wameshamchinja!
      By the way, kuchinja kuku ni mpaka umpe debe zima la mtama na karanga??!
      Tafakari!
      Sasa hapo nitanyeje?
      Kuku huyu atakiwa kachinjwa na wangine siyo tatizo ni vigumu kupata kuku ambaye ajachinjwa kwa mida hii.

    14. #14
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,121
      Rep Power : 14538
      Likes Received
      6475
      Likes Given
      5043

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      we kazana kulisha, wenzio wanakula mpaka mayai ambayo hata hujaanza kuyapandikiza na ukijashtuka hata bandama za kuku watakuwa wamemaliza.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    15. #15
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,931
      Rep Power : 16839
      Likes Received
      2650
      Likes Given
      2033

      Default

      Quote By Mzee Wa Rubisi View Post
      Jamaaa kuku huyo nimfanyaje.nimpige manati aliwe kibudu au?
      Muuze tu huyo kuku mwisho ataibwa na kuliwa na watu wengine....

    16. #16
      Mzee Wa Rubisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : Chini ya mgomba
      Posts : 1,299
      Rep Power : 696
      Likes Received
      210
      Likes Given
      272

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      Quote By Gaspery lasway View Post
      You made ma day! Hakika huyu si kuku tena uyo atakuwa popo tena ogopa anaelekea kuwa na bawa na kuwa popo bawa
      sasa mkuu we fikili kaisha kula debe la mahindi,debe la karanga na sasa la mtama limefikia nusu.
      Washauri mbengu zangu zipoteee hivi hivi sibora ningesipanda kwingine.?

    17. awp is online now
      awp
      #17
      awp's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Location : Around the Corner
      Posts : 1,002
      Rep Power : 555
      Likes Received
      316
      Likes Given
      1093

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      mi nahisi huyo si kuku ni kunguru/mwewe!
      "Look Deep into Nature and then you will Understand Everything Better" - ALBERT Einstein

    18. #18
      Mzee Wa Rubisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : Chini ya mgomba
      Posts : 1,299
      Rep Power : 696
      Likes Received
      210
      Likes Given
      272

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      Quote By cacico View Post
      we kazana kulisha, wenzio wanakula mpaka mayai ambayo hata hujaanza kuyapandikiza na ukijashtuka hata bandama za kuku watakuwa wamemaliza.
      Kuku huyu mayai bado ajataga iweje wenzangu wale mayai?
      Cha ajabu kuku huyu mwanzo aliruka banda lao na kutua kwenye banda langu mwenye

    19. #19
      HorsePower's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 2,798
      Rep Power : 3829
      Likes Received
      1771
      Likes Given
      1641

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      Quote By HorsePower View Post
      Inawezekana kuku wako unawalishia jirani zako, pole sana! Angalia huko kuku wako anakopenda kutembelea akiwa anatafuta kitu cha kutafuna, inawezakana pia ikawa ameshamaliza na madebe ya mtama na karanga za jirani yako, na wenzio ndo wameshamchinja!
      By the way, kuchinja kuku ni mpaka umpe debe zima la mtama na karanga??!
      Tafakari!

      Quote By Mzee Wa Rubisi View Post
      Sasa hapo nitanyeje?
      Kuku huyu atakiwa kachinjwa na wangine siyo tatizo ni vigumu kupata kuku ambaye ajachinjwa kwa mida hii.
      Sasa kama kuku mwenyewe hachinjiki utafanyaje? Angalia, usilazimishe kuchinja kuku utapelekwa mahakamani na kufungwa miaka 30 kwa kosa la kumchinja kuku bila ridhaa yake! Tafuta kuku mwingine, mbona wako wengi! Tena huyu atakufilisi bure, hivi tu umemaliza debe zima la karanga na jingine la mahindi kabla ya kuchinja, je ukichinja si atamaliza gunia zima kwa siku? Kuna maendeleo hapo tena?
      Tafakari!
      Mzee Wa Rubisi likes this.
      Don’t judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant.

    20. #20
      Mzee Wa Rubisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : Chini ya mgomba
      Posts : 1,299
      Rep Power : 696
      Likes Received
      210
      Likes Given
      272

      Default Re: Jamaanii kuku kamaliza debe la mahindi,karanga

      Quote By Mzee Wa Rubisi View Post
      Jamani kuku kamaliza debe la mahindi,Niliaaza taratibu kumlushia mbegu za mahindi nilishutuka debe limekwisha ,hivyo hivyo kamaliza debe la karanga.Kuku huyu sasa kanenepa sana kapendeza sana na anavutikia kila kona anakopita.Kuku huyu kila inapofika siku ya kuliwa au kuchinjwa,utasikia kuku anaumwa tumbo,kuku ameshikwa na ungonjwa wa mafua.mala kuku anaendesha kila saaa.Kuku huyu utasikia akisema nipo mwezini, sikukuu hikifika hili aliwe kuku amekuwa anaruka kwa sababu ya mabawa yake.
      Sasa waungwana na debe la mtama limefika nusu bado kuku ataki kuliwa,Tatito kubwa la kuku huyu kila asubuhi anapoamuka utasikia analalamika kuomba nimrushie mtama au nimpunguzie mtama.
      Kuku huyu siku zinafika kuliwa kitoeo na kila zana zakumchinja zimeandaliwa,maji ya moto ya kumnyonyolea pia na grovis lakini kuku huyu anapotea mtaaa ataonekana jioni kuja kulala bandani kwake.?
      Sasa kuku huyu ataliwa kubudu siku ikifika/
      Huyu kuku nimfanyeje???

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...