Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: USIPITE HEBU soma HAPA

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 40 of 40
    1. #1
      Billie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2011
      Posts : 1,741
      Rep Power : 802
      Likes Received
      444
      Likes Given
      186

      Default USIPITE HEBU soma HAPA

      Jana 14 june Tukiwa katika mizunguko yetu ya life mi na rafiki yangu ghafla alipokea simu yake iliyokua ikiita na baada kukatika nikaona kama jamaa ghafla katokwa na mood {kapotea kimawazo} nakaanza kumdodosa kwa nini amechange ghafla kidogo agome kunieleza ila baada kushow care akanieleza yafuatayo:
      MPENZI WAKE ALIPATWA NA TATIZO LA KIFAMILIA MWAKA JANA na HILO TATIZO LILIPELEKEA MPENZI WAKE KUOKOKA tangu safari yake ya wokovu imeanza kwa huyo mpenzi wake imemsababishia kukonda,anacomplicates life kitu kidogo tu YESU HAPENDI hata kiss imekuwa tabu kupata na mengine kibao hadi kupelekea jamaa yangu akae pembeni kucheki trend ya huyo mpenzi wake.Sasa ile simu aliyotoka kupigiwa ilikuwa ni taarifa kutoka kwa rafiki yake na jamaa yangu huyu ambaye anasoma na huyo msichana chuo kimoja hapa nchini ikimueleza kuwa mpenzi wake hasomi na anafail mitihani sana kutokana na kuwa MUDA wote anautumia kusali na free time yake anaitumia kuhubili Injili chumba hadi chumba kwenye hosteli za pale chuoni anaposoma na anazidi kupungua kwa kukonda kwa ajili ya kuzidisha kufunga(fasting) mara kwa mara.SASA JAMAA YANGU AMEINGIWA NA HURUMA ANAHISI MPENZI WAKE ANACHANGANYIKIWA NA KILA AKIMFUATA KUMUELEZA NDO KABISA JAMAA YANGU ANAONWA KAMA SHETANI ANAMTUMIA JAMAA ILI AMTOE MIKONONI MWA YESU.jamaa yangu hajui pa kuanzia mi nimeshindwa kumshauri nimemsihi ajipe muda aombe ushauri kwa watu mbali mbali ila nimeona bado nina nafasi ya kumshauri jamani mnalionje hili swala?
      nduu/mamaya likes this.
      **Ni hayo tu**

    2. Study Abroad

    3. #21
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,282
      Rep Power : 33530
      Likes Received
      7955
      Likes Given
      7506

      Default

      Quote By Bajabiri
      Wadau wa hapa mna kumbukumbu
      Hasa konnie.

    4. #22
      dfreym's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2010
      Posts : 279
      Rep Power : 593
      Likes Received
      49
      Likes Given
      164

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      huu mtihani
      If money doesn’t grow on trees then why banks have branches?

    5. #23
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1894
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      Kama jamaa bado anampenda aende kanisa analosali binti ajaribu kuongea na viongozi wake wamsihi kama yy hataki kumsikiliza. Na pia jamaa ajiweke karibu na Mungu inawezekana huyo sie aliepangiwa.

    6. #24
      tedo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,479
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1259
      Likes Given
      880

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      Hivi watu wanaokoka kutokana na matatizo yaliyowapata?. shame on them. Yesu gani huyo anatafutwa kwa nguvu hivyo baada ya matatizo. We need sometime to come to agreement that also problems are part of our life hata dunia ina ups and downs we need to accept that.

    7. #25
      ninawi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 13
      Rep Power : 381
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      siku zote dawa ya moto ni moto. cha kufanya huyo kijan aokoke na yeye akishaingia zizini ndo ataona utamu wake na Mungu atamfanyia jambo. Nakushukuru kwa kutupa taarifa bt nakusikitikia km hujampa Yesu maisha yako wewe

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      mkurugenz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 200
      Rep Power : 399
      Likes Received
      15
      Likes Given
      16

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      no comment today

    10. #27
      ALEYN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,000
      Rep Power : 580
      Likes Received
      121
      Likes Given
      17

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      Kama hii stori ni ya kweli Mwambie Huyo Jamaa yako amuachie Mwanamke afanye Kazi ambayo MUNGU ANAMTUMIA. Hakika nawaambieni Huyo Mwanamke atakuja kutulia, Huyo Jamaa Yako mwambie asimwache huyo Mwanamke maana MUNGU amempenda ili Amtumikie, Inawezekana Mungu amemuita kupitia MATATIZO YA FAMILIA.

    11. #28
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,638
      Rep Power : 11269
      Likes Received
      1460
      Likes Given
      570

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      Cyo jukwaa langu lakini acha niache ujumbe huu!

      Maandiko yananena hv: Usidharau mahubiri ya watumishi wake.

      Kazi kweli kweli!!

    12. #29
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      Huyo wa kanisa lipi? tukupe ushauri.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    13. #30
      Bufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 337
      Rep Power : 427
      Likes Received
      56
      Likes Given
      161

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      I've been saying this "dini inafanya waTZ wengi kua almost vichaa" sii-dis dini na ni vyema sana mtu unapomkumbbuka Muumba wako ila iwe kwa kiasi, mwanako ajaribu kumshawishi huyo mpenzi wake kwa kutumia mistari ya Biblia pia it might work out ila ikizingua basi jamaa achukue 50 zake. Kuna mistari kwa Bible sikumbuki mafungu exactly ila nakumbuka vitabu, in Mithali inasema mshike sana elimu usimuache aende zake, in Muhubiri anasema na kila jambo lifanyike kwa kiasi, in Zaburi anasema kazi na sara, in Mithali tena anasema Mungu ni Mungu wa mpangilio yani kila jambo lifuate mkondo wake na in Mathayo anasema ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari. Hebu mtie hayo mafungu

    14. #31
      Bufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 337
      Rep Power : 427
      Likes Received
      56
      Likes Given
      161

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      Wakuu labda tunatumia Biblia tofauti, ni sehemu Mungu kasema nikikutumia acha mambo yako yote fanya kazi yangu tu? Paul mwenyewe alikua anahubiri na bado alikua fundi mzuri sana wa kutengeneza tents kwa ajili ya kipato chake, muda wote ukiwa kwa maombi tu bila kufanya kazi Mungu atakuangushia manna toka mbinguni ule.!? acheni hizo bana huyo mwanamke anazingua Yesu kasema acha dhambi na unifuate ajasema acha kazi zako za kila siku na uniombe tu. Dini inapoteza TZ/Africa ya leo for sure watu wanadanganywa sana na dini zao.

    15. #32
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,066
      Rep Power : 6536
      Likes Received
      2621
      Likes Given
      1300

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      Hapo hakuna relationship asepe tu awaachie walokole wenzie
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    16. #33
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,075
      Rep Power : 3256
      Likes Received
      1244
      Likes Given
      1194

      Default

      Quote By ALEYN
      Kama hii stori ni ya kweli Mwambie Huyo Jamaa yako amuachie Mwanamke afanye Kazi ambayo MUNGU ANAMTUMIA. Hakika nawaambieni Huyo Mwanamke atakuja kutulia, Huyo Jamaa Yako mwambie asimwache huyo Mwanamke maana MUNGU amempenda ili Amtumikie, Inawezekana Mungu amemuita kupitia MATATIZO YA FAMILIA.
      Mungu anamtumia ndio afeli mitiani kwa uzembe wa kutosoma,...hamna kitu kama hicho..asome kwa bidii na huku akihubiri injili hapo sawa

    17. #34
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,247
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      522
      Likes Given
      175

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      huyo jamaa ana pepo ndio maana ana muona mwenzake kachanganyikiwa.njoo kwa yesu

    18. #35
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,055
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      Usifungiwe nira na wasioamini, kwa hiyo mshauri kama anamtaka naye aokoke waendane sawa, au amuache tu maana ndoa hiyo haitadumu kwa utofauti wa imani.
      The unseen is illustrated by the seen.

    19. #36
      Mallaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2008
      Location : Jerusalem
      Posts : 2,562
      Rep Power : 1089
      Likes Received
      24
      Likes Given
      28

      Default

      Kwa uliyoyaeleza ni dalili tosha za kujua kuwa huyo binti anaumwa ugonjwa wa Major Depressive Disorder (MDD) ambazo dalili zake ni kukosa interest ya vitu alivyokuwa akivifanya zamani, kukosa hamu ya chakula , feeling sad , loss of weight , desperate, feeling worthless and guilty on small things, may even commit suicide due to feeling of worthless.
      Chukua Hatua haraka ya kumpeleka hospital kwa ajili ya psychiatrist consultation lkn mtampoteza huyo binti. Anayoyafanya sio kwa mapenzi yake bali ni underlying problem.
      Quote By Billie
      Jana 14 june Tukiwa katika mizunguko yetu ya life mi na rafiki yangu ghafla alipokea simu yake iliyokua ikiita na baada kukatika nikaona kama jamaa ghafla katokwa na mood {kapotea kimawazo} nakaanza kumdodosa kwa nini amechange ghafla kidogo agome kunieleza ila baada kushow care akanieleza yafuatayo:
      MPENZI WAKE ALIPATWA NA TATIZO LA KIFAMILIA MWAKA JANA na HILO TATIZO LILIPELEKEA MPENZI WAKE KUOKOKA tangu safari yake ya wokovu imeanza kwa huyo mpenzi wake imemsababishia kukonda,anacomplicates life kitu kidogo tu YESU HAPENDI hata kiss imekuwa tabu kupata na mengine kibao hadi kupelekea jamaa yangu akae pembeni kucheki trend ya huyo mpenzi wake.Sasa ile simu aliyotoka kupigiwa ilikuwa ni taarifa kutoka kwa rafiki yake na jamaa yangu huyu ambaye anasoma na huyo msichana chuo kimoja hapa nchini ikimueleza kuwa mpenzi wake hasomi na anafail mitihani sana kutokana na kuwa MUDA wote anautumia kusali na free time yake anaitumia kuhubili Injili chumba hadi chumba kwenye hosteli za pale chuoni anaposoma na anazidi kupungua kwa kukonda kwa ajili ya kuzidisha kufunga(fasting) mara kwa mara.SASA JAMAA YANGU AMEINGIWA NA HURUMA ANAHISI MPENZI WAKE ANACHANGANYIKIWA NA KILA AKIMFUATA KUMUELEZA NDO KABISA JAMAA YANGU ANAONWA KAMA SHETANI ANAMTUMIA JAMAA ILI AMTOE MIKONONI MWA YESU.jamaa yangu hajui pa kuanzia mi nimeshindwa kumshauri nimemsihi ajipe muda aombe ushauri kwa watu mbali mbali ila nimeona bado nina nafasi ya kumshauri jamani mnalionje hili swala?

    20. #37
      Elia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2009
      Location : magogoni
      Posts : 3,173
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      484
      Likes Given
      823

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      hata Yesu walidhani amechanganyikiwa; Amwache dada wa watu afanyekazi ya kuokoa roho zilizo potea
      "Honesty is very expensive gift. Do not expect it from cheap people".
      -Warren Buffet


    21. #38
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4279
      Likes Given
      906

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      Ata kuwa na pepo huo sio ulokole wa kweli. Mshauri rafiki yako akawaone wachungaji.

    22. #39
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,547
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      6208
      Likes Given
      2281

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      kama hii stori ni ya kweli...
      Huyo binti anasoma biblia gani?
      Si imeandikwa shika sana elimu, usimuache aende zake?

    23. #40
      mgeni10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2010
      Posts : 445
      Rep Power : 518
      Likes Received
      102
      Likes Given
      462

      Default Re: USIPITE HEBU soma HAPA

      Kaunga , Hongera kwa uamuzi wa kujiandalia maisha ya Baadae

      Bwana akushike na kukuongoza ktk safari yako ya WOKOVU
      Kaunga likes this.

    24. Miaka 50
    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...