Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa nini lakini???

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 960
      Rep Power : 578
      Likes Received
      155
      Likes Given
      2

      Default Kwa nini lakini???

      Mara nyingi nimekutana na wanawake wakiwa na alama ya love bite aidha shingoni,shavuni,kwenye paji la uso n.k
      hii inamaana wanaume huwa hawawapigi busu wapenzi wao? Mbona kwa wanaume si sana na sijawahi kuona, au ndio tuseme wanawake ni walaini zaidi?

    2. Miaka 50

    3. #2
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: Kwa nini lakini???

      Wewe mwanamke au mwanaume?Nina sababu ya kukuuliza hili,kama unaweza nijibu!

    4. #3
      Nehondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Location : dar slam
      Posts : 308
      Rep Power : 454
      Likes Received
      76
      Likes Given
      28

      Default Re: Kwa nini lakini???

      Rangi inachangia pia...wanawake wengi wanangozi ya rangi moja ya karoti hahaha so lovebite kuonekana ni rahisi kuliko wanaume na rangi zao za kahawia

    5. #4
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,138
      Rep Power : 12000
      Likes Received
      2627
      Likes Given
      1583

      Default

      Quote By Eiyer
      Wewe mwanamke au mwanaume?Nina sababu ya kukuuliza hili,kama unaweza nijibu!
      heshima yako mkuu. nlikumiss sana ndg yangu. nakuona leo upo kwenye malavidavi ukiulizia jinsia, hahahahaaaa...!!!. mia

    6. #5
      Asabaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 619
      Rep Power : 490
      Likes Received
      127
      Likes Given
      21

      Default Re: Kwa nini lakini???

      Sio love bite hiyo itakua mbu wamewatafuna au mkorogo wakati wakujisugua...

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Gaspery Lasway's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 1,140
      Rep Power : 619
      Likes Received
      239
      Likes Given
      22

      Default Re: Kwa nini lakini???

      Wengine huwa wanang'atwa lol!

    9. #7
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 960
      Rep Power : 578
      Likes Received
      155
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Asabaya
      Sio love bite hiyo itakua mbu wamewatafuna au mkorogo wakati wakujisugua...
      inamaana huwezi kutofautisha jeraha na mbu na kiss?

    10. #8
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 960
      Rep Power : 578
      Likes Received
      155
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Eiyer
      Wewe mwanamke au mwanaume?Nina sababu ya kukuuliza hili,kama unaweza nijibu!
      huwezi kuuliza swali juu ya swali au na wewe umekuwa kama wale akina ...........

    11. #9
      Ngekewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2008
      Posts : 4,482
      Rep Power : 1450
      Likes Received
      388
      Likes Given
      179

      Default Re: Kwa nini lakini???

      Love bite ni kwa wanawake!

    12. #10
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 960
      Rep Power : 578
      Likes Received
      155
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Ngekewa
      Love bite ni kwa wanawake!
      na kwa wanaume inaitwaje?

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...