5000 tu! hana experience kabisa!
Sipati picha, kama pango vile
Blessed are hearts that bend but shall never broken
kawaida tu
JANA SI NIMEKOSEA BOMA NIKAINGIA KWA MAMA MKWE, IMELEWA SANA JANA. CHIBOROIKWE IMECHOOOOKA SANA LEO!!
lori ikiingia haina breki, kumeharibika
"Look Deep into Nature and then you will Understand Everything Better" - ALBERT Einstein
Watu wakimya wamejaliwa busara, ufahamu na midomo inayonuka!
Mungu amrehemu nayeye anatarajia kulea watoto baadae?
"Quality is always better than quantity. That's why the people I call true are few."
Sidhani na siamini; labda ndotoni.
..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua
Haiwezekani kabisa anatafuta umaarufu tu!!
Weka namba yake tumuongezee statistic.
Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).
Inabidi muamini jamani kuna wanawake wanaachia vibaya,inafikia mahali hawezi kupata usingizi mpaka mkononi awe ameshikilia ze-dudu au angalau umuwekee puani tu asikie harufu yake.
Umati wote huo walikuwa wanatembea kwenda wapi? Hayo si maandamano je wapilata kibali kwa Kova?
Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te
Miaka 26 x 365 = siku 9,490
Amefanya mapenzi na wanaume 5,000. Kwa wastani toka siku ya kwanza azaliwe kila baada ya siku 1.9 amefanya mapenzi na mwanaume 1(kama sijakosea)
Huyu kiboko...
duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu uuuuuuuuuuuuh, thats more than nasty shz horrible
Maoni gani sasa unayohitaji? Kama ni kahaba na kwa siku anapata mteja 1 hadi 3 maana yake ni kias cha mwaka tu keshakamilisha hiyo idadi!
Follow Us Here