Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 86
    1. #1
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 527
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Ni mtoto wa kaka yangu, na amezaliwa na kukulia Dar, mimi sikuwa karibu naye na ni msiri sana. Nimekuwa nikizungumza naye mara kwa mara lakini sio muwazi na hiyo ilitokana na yeye kujiwekea mipaka.

      Amesoma hapa nchini na nje ya nchi katika moja ya nchi za Scandinavia na sasa ni mwajiriwa serikalini. Sina uhakika sana umri wake lakini naamini ana zaidi ya miaka 40. Hivi karibuni nilishikwa na udadisi na katika mazungumzo na shemeji yangu,(mama yake) alinijulisha kwamba hata yeye na kaka yangu wanashangaa binti yao kutoolewa au hata kupata mtoto. Anakiri kwamba hawajawahi kumuona na mwanaume na hana mashoga wanaofika hapo nyumbani.

      Nilimdadisi iwapo waliwahi kumuuliza kuhusu kuolewa, shemeji akanijibu kwamba waliwahi kumuuliza na akajibu kwa kifupi kwamba hajapata mume na kipata atawajulisha. Lakini tangu siku hiyo akawa hana raha na akawaambia wadogo zake kwamba wazazi wamememchoka na sasa wanamnyanyasa. (anao wadogo zake wawili wa kike ambao wameshaolewa na kuzaa)

      Nilitoa wazo kwamba wamshauri japo apate mtoto, ushauri ambao aliukubali kwa mikono miwili, lakini ni nani wa kuzaa naye?

      Nimeshauri hatua ya kwanza ahame hapo nyumbani akapange mbali na nyumbani ili awe huru na hapo atakuwa na fursa ya kupata mwanaume japo wa kuzaa naye. Amekubali na sasa anatafuta nyumba ya kupanga.

      Lakini yuko worried kama atapata mwanaume mwaminifu ambaye sio mume wa mtu japo wa kuzaa naye tu basi. Ila swali lake aliuliza iwapo hapa nchini kuna uwezekano wa kufanyiwa IFV badala ya njia ya kujamiiana. Hilo sina uhakika nalo na ndio maana nimekuja hapa kutafuta ushauri..
      King'asti , BADILI TABIA , gfsonwin , Yummy , nyumba kubwa , Nehondo , MwanajamiiOne , marrykate , AshaDii , NATA , FirstLady1 , TaiJike , na wengineo ambao sijawataja, naomba msaada wenu ili nimsaidie mpwa wangu

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,197
      Rep Power : 41585
      Likes Received
      6102
      Likes Given
      1068

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Kwani kuolewa au kuzaa ni lazima?
      Ndahani, Tegelezeni and Primitive like this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    4. #3
      by default's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2011
      Location : on my way
      Posts : 817
      Rep Power : 561
      Likes Received
      197
      Likes Given
      17

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      {kwamba wazazi wamemchoka na sasa wanamnyanyasa} msemo uhu wadada weng aged ambao awajaolewa wanaupenda sana sorry 4her bt azd subri bahati yake

    5. #4
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 527
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By Kiranga
      Kwani kuolewa au kuzaa ni lazima?
      Sio lazima lakini yeye angependa apate mtoto. Kwani ni tatizo mtu kutaka ku-certify her desire?

    6. #5
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 527
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By by default
      {kwamba wazazi wamemchoka na sasa wanamnyanyasa} msemo uhu wadada weng aged ambao awajaolewa wanaupenda sana sorry 4her bt azd subri bahati yake
      Mkuu over 40 years aendelee kusubiri tu!


    7. #6
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,197
      Rep Power : 41585
      Likes Received
      6102
      Likes Given
      1068

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By by default
      {kwamba wazazi wamemchoka na sasa wanamnyanyasa} msemo uhu wadada weng aged ambao awajaolewa wanaupenda sana sorry 4her bt azd subri bahati yake
      Huyu mwanamama aliye na zaidi ya miaka 40, aliyesoma mpaka nje kwenye nchi za Scandinavia bado anakaa na wazazi? Au "wazazi wamemchoka" kwa maana ya kumchoka kusema suala la ndoa?
      Tegelezeni likes this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    8. #7
      The last don's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2011
      Location : Tanganyika
      Posts : 350
      Rep Power : 465
      Likes Received
      116
      Likes Given
      32

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Ohhh!..hivyo anatafuta sperms donors enhh?....Ok,nenda kamuulize tena anataka mbegu za aina gani? then kuja hapa tena kwa maelekezo zaidi......nahisi naweza kupata deal la kutoka mitaa hii.

    9. #8
      Shark's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th January 2010
      Posts : 4,573
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1305
      Likes Given
      245

      Default

      Quote By Tegelezeni
      Mkuu over 40 years aendelee kusubiri tu!
      Mi niko tayari kama issue ni mtoto tu, hata akitaka wawili.
      Ila mambo ya kuoana ntakua namdanganya kwa kweli!!

    10. #9
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 527
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By Kiranga
      Huyu mwanamama aliye na zaidi ya miaka 40, aliyesoma mpaka nje kwenye nchi za Scandinavia bado anakaa na wazazi? Au "wazazi wamemchoka" kwa maana ya kumchoka kusema suala la ndoa?
      Yeah ni kama bado anakaa na wazazi kwani kuna anaishi kwenye apartment ambayo iko in the same compound na anawasaidia wazazi kazi za nyumbani kwa kuwa wako aged

      Mimi simuelewi lakini anaonekana kutokuwa na ukaribu na wanaume, hata mimi ilinichukuwa muda sana kumzoea, in fact nimejuana naye ukubwani, mimi nimekulia mikoani na ninakuja DAR kikazi na huwa nafikia kwa wazazi wake.

    11. #10
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,303
      Rep Power : 13093
      Likes Received
      14171
      Likes Given
      15016

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      duh . . .
      Ntarudi kesho wakati nina akili

    12. #11
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 527
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By Shark
      Mi niko tayari kama issue ni mtoto tu, hata akitaka wawili.
      Ila mambo ya kuoana ntakua namdanganya kwa kweli!!
      sawa lakini kwa njia gani, ya kujamiiana au ya IVF?
      Je uko tayari kupima? (UKIMWI)
      Je una umri gani?
      Niko serious mkuu

    13. #12
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,791
      Rep Power : 27114
      Likes Received
      10119
      Likes Given
      14059

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      binafsi kwa hapa kwetu iyo njia sina halkika sana nayo(ivf). lakin dada huyo mpwao huwa ni mtu wa kaujichanganya? huwa anatoka toka out,au hata yuko katika hii mitandao ya kijamii? mwambie hivi aingie humu jf halafu atulize kichwa chake kwenye kuchangia nakuhakikishia atavuna wachumba balaa tena wa umri wake nakuhakikishia.

    14. #13
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 527
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By The last don
      Ohhh!..hivyo anatafuta sperms donors enhh?....Ok,nenda kamuulize tena anataka mbegu za aina gani? then kuja hapa tena kwa maelekezo zaidi......nahisi naweza kupata deal la kutoka mitaa hii.
      Mkuu mbegu ya aina yoyote, anachohitaji ni mtoto

    15. #14
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,197
      Rep Power : 41585
      Likes Received
      6102
      Likes Given
      1068

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By Tegelezeni
      Yeah ni kama bado anakaa na wazazi kwani kuna anaishi kwenye apartment ambayo iko in the same compound na anawasaidia wazazi kazi za nyumbani kwa kuwa wako aged

      Mimi simuelewi lakini anaonekana kutokuwa na ukaribu na wanaume, hata mimi ilinichukuwa muda sana kumzoea, in fact nimejuana naye ukubwani, mimi nimekulia mikoani na ninakuja DAR kikazi na huwa nafikia kwa wazazi wake.
      Kwani ni lazima kila mwanamke kuwa na ukaribu na wanaume? Wengine wito wao ulikuwa utawa ila wamekosea njia tu, wengine wana upungufu na homoni za kutaka kuwa na wanaume, wengine wametendwa siku nyingi hawataki hata mwanamme, wengine wasagaji wanataka wanawake wenzao.

      Mwacheni aishi maisha yake.

      Mkimletea bugudha ataoa kwa ajili ya pressure mwioshowe atawaletea bwana mapepe mtamshangaa tena hapa kaona nini huyu? Kumbe makosa yenu kumshurutisha.

      Kashakaa na wazungu wa Scandinavia huyu, anajua hata akiamua kukaa na mbwa wake tu poa, kuna watu wanaishi hivyo.

      Kumtaka mtu mwingine aishi kama unavyoona wewe maisha yanavyotakiwa ni kutaka mtu aishi kitumwa.

      Usikute hata hizo habari za IVF anakubali kwa sababu ya pressure, kesho keshokutwa mtoto atakua kuulizia baba, mama atasema mie sikutaka hata kuwa na mtoto, ndugu zangu ndio walionipa pressure.
      bhikola likes this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    16. #15
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 527
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By gfsonwin
      binafsi kwa hapa kwetu iyo njia sina halkika sana nayo(ivf). lakin dada huyo mpwao huwa ni mtu wa kaujichanganya? huwa anatoka toka out,au hata yuko katika hii mitandao ya kijamii? mwambie hivi aingie humu jf halafu atulize kichwa chake kwenye kuchangia nakuhakikishia atavuna wachumba balaa tena wa umri wake nakuhakikishia.
      Sio mtu wa kujichanganya kabisa, yaani sijui ni malezi, maana wazazi wake ni watu wa dini na wamewalea watoto wao kwa maadili ya hali ya juu sana. Kuna siku nilimuomba tutoke out, duh! alipinga sana na toka siku hiyo akawa hapendi kuongea na mimi kama zamani. mama yake kanishauri nimsaidie na nilimshauri ajiunge na JF akasema hana muda ila anapenda sana kusomamagazeti ya nje maana hata mimi namletea magazeti kama Hello, Woman Weekly, OK nk

    17. #16
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 527
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By Kiranga
      Kwani ni lazima kila mwanamke kuwa na ukaribu na wanaume? Wengine wito wao ulikuwa utawa ila wamekosea njia tu, wengine wana upungufu na homoni za kutaka kuwa na wanaume, wengine wametendwa siku nyingi hawataki hata mwanamme, wengine wasagaji wanataka wanawake wenzao.

      Mwacheni aishi maisha yake.

      Mkimletea bugudha ataoa kwa ajili ya pressure mwioshowe atawaletea bwana mapepe mtamshangaa tena hapa kaona nini huyu? Kumbe makosa yenu kumshurutisha.

      Kashakaa na wazungu wa Scandinavia huyu, anajua hata akiamua kukaa na mbwa wake tu poa, kuna watu wanaishi hivyo.

      Kumtaka mtu mwingine aishi kama unavyoona wewe maisha yanavyotakiwa ni kutaka mtu aishi kitumwa.

      Usikute hata hizo habari za IVF anakubali kwa sababu ya pressure, kesho keshokutwa mtoto atakua kuulizia baba, mama atasema mie sikutaka hata kuwa na mtoto, ndugu zangu ndio walionipa pressure.
      Mkuu hata yeye ameonekana kuridhia wazo la kupata mtoto, na mwezi uliopita nilikuja nDAR kikazi na mke wangu na alizungumza naye kwam kirefu akamweleza kwamba anapenda sana apete mtoto lakini wanaume wanamuogopa, sijui kwa sababu ya umri!

    18. #17
      by default's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2011
      Location : on my way
      Posts : 817
      Rep Power : 561
      Likes Received
      197
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By gfsonwin
      mwambie hivi aingie humu jf halafu atulize kichwa chake kwenye kuchangia nakuhakikishia atavuna wachumba balaa tena wa umri wake nakuhakikishia.
      mhh wakubwa wanafahdi umeongea kwa kujiamin mbona awa ninaohc ni age yangu waliopo umu watukutu sana kama smile utazanan k yake imeng'olewa bana

    19. #18
      The last don's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2011
      Location : Tanganyika
      Posts : 350
      Rep Power : 465
      Likes Received
      116
      Likes Given
      32

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Ok!..yupo tayari kuchukua hizo mbegu kwa njia gani?....I mean ile ya Sperms to Eggs kupitia baiolojia zetu au Sperms to eggs kupitia In Vitro Fertilization....ya kwanza we can walk the talk kama tutaridhiana maana lazima tuonane,ya pili cna haja ya kumuona ataje offer yake then its a deal.
      Tegelezeni likes this.

    20. #19
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2726
      Likes Received
      747
      Likes Given
      6

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      hajawahi hata kuwa na b/f katika maisha yake? huyo atakuwa ni freak, na probably hata kitobo utelezi hana..

    21. #20
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 527
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By The last don
      Ok!..yupo tayari kuchukua hizo mbegu kwa njia gani?....I mean ile ya Sperms to Eggs kupitia baiolojia zetu au Sperms to eggs kupitia In Vitro Fertilization....ya kwanza we can walk the talk kama tutaridhiana maana lazima tuonane,ya pili cna haja ya kumuona ataje offer yake then its a deal.
      hana hela bana mbona unafanya biashara sasa....... hata hiyo ya njia za asili yukom pouwa lakini kupima ukimwi ni lazima

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...