Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

    Report Post
    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 86
    1. #1
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 526
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Ni mtoto wa kaka yangu, na amezaliwa na kukulia Dar, mimi sikuwa karibu naye na ni msiri sana. Nimekuwa nikizungumza naye mara kwa mara lakini sio muwazi na hiyo ilitokana na yeye kujiwekea mipaka.

      Amesoma hapa nchini na nje ya nchi katika moja ya nchi za Scandinavia na sasa ni mwajiriwa serikalini. Sina uhakika sana umri wake lakini naamini ana zaidi ya miaka 40. Hivi karibuni nilishikwa na udadisi na katika mazungumzo na shemeji yangu,(mama yake) alinijulisha kwamba hata yeye na kaka yangu wanashangaa binti yao kutoolewa au hata kupata mtoto. Anakiri kwamba hawajawahi kumuona na mwanaume na hana mashoga wanaofika hapo nyumbani.

      Nilimdadisi iwapo waliwahi kumuuliza kuhusu kuolewa, shemeji akanijibu kwamba waliwahi kumuuliza na akajibu kwa kifupi kwamba hajapata mume na kipata atawajulisha. Lakini tangu siku hiyo akawa hana raha na akawaambia wadogo zake kwamba wazazi wamememchoka na sasa wanamnyanyasa. (anao wadogo zake wawili wa kike ambao wameshaolewa na kuzaa)

      Nilitoa wazo kwamba wamshauri japo apate mtoto, ushauri ambao aliukubali kwa mikono miwili, lakini ni nani wa kuzaa naye?

      Nimeshauri hatua ya kwanza ahame hapo nyumbani akapange mbali na nyumbani ili awe huru na hapo atakuwa na fursa ya kupata mwanaume japo wa kuzaa naye. Amekubali na sasa anatafuta nyumba ya kupanga.

      Lakini yuko worried kama atapata mwanaume mwaminifu ambaye sio mume wa mtu japo wa kuzaa naye tu basi. Ila swali lake aliuliza iwapo hapa nchini kuna uwezekano wa kufanyiwa IFV badala ya njia ya kujamiiana. Hilo sina uhakika nalo na ndio maana nimekuja hapa kutafuta ushauri..
      King'asti , BADILI TABIA , gfsonwin , Yummy , nyumba kubwa , Nehondo , MwanajamiiOne , marrykate , AshaDii , NATA , FirstLady1 , TaiJike , na wengineo ambao sijawataja, naomba msaada wenu ili nimsaidie mpwa wangu

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 526
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By cartura
      hajawahi hata kuwa na b/f katika maisha yake? huyo atakuwa ni freak, na probably hata kitobo utelezi hana..
      Hilo sijawahi kumuuliza

    4. #22
      Ngekewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2008
      Posts : 4,488
      Rep Power : 1452
      Likes Received
      388
      Likes Given
      181

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By Tegelezeni
      Ni mtoto wa kaka yangu, na amezaliwa na kukulia Dar, mimi sikuwa karibu naye na ni msiri sana. Nimekuwa nikizungumza naye mara kwa mara lakini sio muwazi na hiyo ilitokana na yeye kujiwekea mipaka.

      Amesoma hapa nchini na nje ya nchi katika moja ya nchi za Scandinavia na sasa ni mwajiriwa serikalini. Sina uhakika sana umri wake lakini naamini ana zaidi ya miaka 40. Hivi karibuni nilishikwa na udadisi na katika mazungumzo na shemeji yangu,(mama yake) alinijulisha kwamba hata yeye na kaka yangu wanashangaa binti yao kutoolewa au hata kupata mtoto. Anakiri kwamba hawajawahi kumuona na mwanaume na hana mashoga wanaofika hapo nyumbani.

      Nilimdadisi iwapo waliwahi kumuuliza kuhusu kuolewa, shemeji akanijibu kwamba waliwahi kumuuliza na akajibu kwa kifupi kwamba hajapata mume na kipata atawajulisha. Lakini tangu siku hiyo akawa hana raha na akawaambia wadogo zake kwamba wazazi wamememchoka na sasa wanamnyanyasa. (anao wadogo zake wawili wa kike ambao wameshaolewa na kuzaa)

      Nilitoa wazo kwamba wamshauri japo apate mtoto, ushauri ambao aliukubali kwa mikono miwili, lakini ni nani wa kuzaa naye?

      Nimeshauri hatua ya kwanza ahame hapo nyumbani akapange mbali na nyumbani ili awe huru na hapo atakuwa na fursa ya kupata mwanaume japo wa kuzaa naye. Amekubali na sasa anatafuta nyumba ya kupanga.

      Lakini yuko worried kama atapata mwanaume mwaminifu ambaye sio mume wa mtu japo wa kuzaa naye tu basi. Ila swali lake aliuliza iwapo hapa nchini kuna uwezekano wa kufanyiwa IFV badala ya njia ya kujamiiana. Hilo sina uhakika nalo na ndio maana nimekuja hapa kutafuta ushauri..
      King'asti , BADILI TABIA , gfsonwin , Yummy , nyumba kubwa , Nehondo , MwanajamiiOne , marrykate , AshaDii , NATA , FirstLady1 , TaiJike , na wengineo ambao sijawataja, naomba msaada wenu ili nimsaidie mpwa wangu
      Inaelekea anataka auziwe mbegu au vipi? Kama pochi ipo sawa kwangu after all huwa nazimwaga bure kwenye mashuka hasa kipindi hichi nilichokuwa mbali na mama watoto. Biashara hiyo haitakuwa na mmoja wetu atakaefungika na mwenziwe.

    5. #23
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,140
      Rep Power : 41573
      Likes Received
      6043
      Likes Given
      1056

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By Tegelezeni
      Mkuu hata yeye ameonekana kuridhia wazo la kupata mtoto, na mwezi uliopita nilikuja nDAR kikazi na mke wangu na alizungumza naye kwam kirefu akamweleza kwamba anapenda sana apete mtoto lakini wanaume wanamuogopa, sijui kwa sababu ya umri!
      Wanaume wanamuogopa kwani ana mapembe? Watu wamemzalisha Malkia wa Uingereza huyu mwanamke gani anayeogopwa na wanaume?
      Banda lishavunjika, jogoo kaondoka. Vifaranga hangaika, kumtoa nyoka.


    6. #24
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2725
      Likes Received
      747
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By Tegelezeni
      hata hiyo ya njia za asili yukom pouwa lakini kupima ukimwi ni lazima
      hapa i guess atakuwa katega 'k' anajisomea gazeti la 'woman weekly' halafu baadaye anauliza kama ushamaliza kuingiza mtoto teh teh teh...

    7. #25
      The last don's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2011
      Location : Tanganyika
      Posts : 350
      Rep Power : 465
      Likes Received
      114
      Likes Given
      31

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By Tegelezeni
      hana hela bana mbona unafanya biashara sasa....... hata hiyo ya njia za asili yukom pouwa lakini kupima ukimwi ni lazima
      Kiongozi kama hana hela huyo mtoto anayetaka azalishwe atamtosheleza vipi?.....kama vipi mwambie ampende mtu gafla bana au ant social?...wanazaa machizi town itakuwa yeye na maisha yake bana,napata mashaka kuna zaidi ya hili unapaswa kutujuza kuhusu huyo mpwa wako mkuu.
      bhikola likes this.

    8. Miaka 50

    9. #26
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 526
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By Ngekewa
      Inaelekea anataka auziwe mbegu au vipi? Kama pochi ipo sawa kwangu after all huwa nazimwaga bure kwenye mashuka hasa kipindi hichi nilichokuwa mbali na mama watoto. Biashara hiyo haitakuwa na mmoja wetu atakaefungika na mwenziwe.
      hana hela anataka charity

    10. #27
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 526
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By The last don
      Kiongozi kama hana hela huyo mtoto anayetaka azalishwe atamtosheleza vipi?.....kama vipi mwambie ampende mtu gafla bana au ant social?...wanazaa machizi town itakuwa yeye na maisha yake bana,napata mashaka kuna zaidi ya hili unapaswa kutujuza kuhusu huyo mpwa wako mkuu.
      lipi unataka kujua mkuu, kuwa particular

    11. #28
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,699
      Rep Power : 27094
      Likes Received
      10070
      Likes Given
      13974

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By cartura
      hajawahi hata kuwa na b/f katika maisha yake? huyo atakuwa ni freak, na probably hata kitobo utelezi hana..
      kha! yaani hata ww? don't bana u are old enough to saya such nonsense.
      Tegelezeni likes this.

    12. #29
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 526
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By cartura
      hapa i guess atakuwa katega 'k' anajisomea gazeti la 'woman weekly' halafu baadaye anauliza kama ushamaliza kuingiza mtoto teh teh teh...
      Unajua hapa sitarajii masihara kutoka kwa Ma-Great Thinker. Nilikuja hapa nikiamini kabisa kwamba nitapewa ushauri wa maana ili nimsaidia mpwa wangu. cartura naomba utani uweke pembeni hutapoteza chochote ukitoa ushauri wako mzuri na mungu atakubariki milele daima

    13. #30
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,699
      Rep Power : 27094
      Likes Received
      10070
      Likes Given
      13974

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By Tegelezeni
      Sio mtu wa kujichanganya kabisa, yaani sijui ni malezi, maana wazazi wake ni watu wa dini na wamewalea watoto wao kwa maadili ya hali ya juu sana. Kuna siku nilimuomba tutoke out, duh! alipinga sana na toka siku hiyo akawa hapendi kuongea na mimi kama zamani. mama yake kanishauri nimsaidie na nilimshauri ajiunge na JF akasema hana muda ila anapenda sana kusomamagazeti ya nje maana hata mimi namletea magazeti kama Hello, Woman Weekly, OK nk
      from what you have narrated, huyu dada anamatatizo makubwa tena ya kisaikolojia, wala siyo kwamba hapati wanaume bali anawachukia wanaume na hatak kutoka kwan hapend kupata company. sasa huyu zake unampeleka pale calabash anakutana na fujo za wale vijana wa fb mara 2 tu saikolojia itarudi manake atakutana na vijana wanajiimbia tu pale rege zao huku wakipiga bia zao ndipo atakapogundua kuwa life is nothing but only happiness.

      atakuwa alishawah kuwa na rafiki huko nje na akamtenda so akajenga -ve atitude. nikuulize swal la kizushi ni msabato huyu mdada? tena anasoma magazeti hyo ya nje ndo kabisa mwambie hawez kukuta huko aktumiwa salam na hao aliokuwa nao huko nje kupitia magazeti hayo.

      mlete kwangu for referal but nachaji bei ghali kidogo kwa ajili ya ushauri
      Tegelezeni likes this.

    14. #31
      The last don's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2011
      Location : Tanganyika
      Posts : 350
      Rep Power : 465
      Likes Received
      114
      Likes Given
      31

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Ok,kwangu mimi nilidhani ni deal,lakini inavyoonekana kuna swala la mapendo hapo...powah ngoja niwaachie waungwana wenye mapendo yao wajimwayemwaye kwanza.
      Tegelezeni likes this.

    15. #32
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,163
      Rep Power : 21615
      Likes Received
      13488
      Likes Given
      17791

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      wajomba wa siku hizi na tabia ya kuwatafutia vidume wapwa zao lol
      Tegelezeni likes this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    16. #33
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,140
      Rep Power : 41573
      Likes Received
      6043
      Likes Given
      1056

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By The Boss
      wajomba wa siku hizi na tabia ya kuwatafutia vidume wapwa zao lol
      Hapo sasa, mengine hata hayahusiki.

      Inanikumbusha ule wimbo wa watoto wa kiswahili wa Maandazi Road.

      "Mjombaaaaa, mjombaaaa, kwenda (sijui nini nini, nini) mjombaaa, akaniomba, akanit..."

      Mtoto wa kike mara mia hata angekuja shangazi yake au ma mdogo.
      The Boss and Tegelezeni like this.
      Banda lishavunjika, jogoo kaondoka. Vifaranga hangaika, kumtoa nyoka.


    17. #34
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 526
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By gfsonwin
      from what you have narrated, huyu dada anamatatizo makubwa tena ya kisaikolojia, wala siyo kwamba hapati wanaume bali anawachukia wanaume na hatak kutoka kwan hapend kupata company. sasa huyu zake unampeleka pale calabash anakutana na fujo za wale vijana wa fb mara 2 tu saikolojia itarudi manake atakutana na vijana wanajiimbia tu pale rege zao huku wakipiga bia zao ndipo atakapogundua kuwa life is nothing but only happiness.

      atakuwa alishawah kuwa na rafiki huko nje na akamtenda so akajenga -ve atitude. nikuulize swal la kizushi ni msabato huyu mdada? tena anasoma magazeti hyo ya nje ndo kabisa mwambie hawez kukuta huko aktumiwa salam na hao aliokuwa nao huko nje kupitia magazeti hayo.

      mlete kwangu for referal but nachaji bei ghali kidogo kwa ajili ya ushauri
      Ni mkatoliki....... mengine nitaku PM

    18. #35
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 526
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By The Boss
      wajomba wa siku hizi na tabia ya kuwatafutia vidume wapwa zao lol
      kaka nina hamu ya kuitwa babu mwenzio

    19. #36
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,140
      Rep Power : 41573
      Likes Received
      6043
      Likes Given
      1056

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By Tegelezeni
      kaka nina hamu ya kuitwa babu mwenzio
      Kama nilijua vile. Why am I not surprised?

      Kwa hiyo pressures hizi zinatokana zaidi na watu kutaka kuitwa babu zaidi ya huyu dada mwenyewe kutaka mtoto?
      The Boss and Tegelezeni like this.
      Banda lishavunjika, jogoo kaondoka. Vifaranga hangaika, kumtoa nyoka.


    20. #37
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Hapa naangalia tu. . . . . . .

    21. #38
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 526
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      Quote By Eiyer
      Hapa naangalia tu. . . . . . .
      Eiyer Nimeshaona PM yako, nitakuunganisha naye mkuu, hakikisha kipupwe hakiishi usham-mimbisha

    22. #39
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By Tegelezeni
      Eiyer Nimeshaona PM yako, nitakuunganisha naye mkuu, hakikisha kipupwe hakiishi usham-mimbisha
      Teh,teh,teh,teh,sebene langu huyo bibi ataliweza?Analiweza ma sweetie K tu!
      Tegelezeni likes this.

    23. #40
      Bufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 342
      Rep Power : 428
      Likes Received
      56
      Likes Given
      161

      Default Re: Mpwa wangu anatafuta mume wa kuzaa naye!

      I would seal that deal kama ningekua bongo, anyway best of luck to her.. IVF sijui kama bongo ipo ila Kenya wanayo najua mtu alienda fanya hivyo kenya so kama hatojali avuke boarder tu.

    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...