Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Msaada jamani

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      Danp36's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2010
      Location : dar es salaam,mbezi beach,tanzania
      Posts : 232
      Rep Power : 497
      Likes Received
      18
      Likes Given
      13

      Default Msaada jamani

      Wana jamii forum poleni na kazi za kulijenga taifa,naomba kuuliza,kuna rafiki yangu mtaani hapa anampenzi wake ambae anatarajia kutangaza uchumba.lakini huyo mwanamke kamwambia ukweli jamaa kwamba,yeye anatokea kwenye kabila wanalo practise fgm{wanakeketa},na wamemfanyia hicho kitendo tangu utotoni,je kuna matatizo gani jamaa atapata?,pia nasikia hawapati hisia kama wanawake wengie.msaada


    2. #2
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,983
      Rep Power : 6908
      Likes Received
      2750
      Likes Given
      36

      Default Re: Msaada jamani

      Duh!Sina uhakika na ninachofikiri kama ni sahihi,ngoja waje wajuzi watakuambia!

    3. #3
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,851
      Rep Power : 5677
      Likes Received
      6324
      Likes Given
      2425

      Default Re: Msaada jamani

      ina maana rafiki yako hajajigijigi na huyo mchumba wake?

    4. #4
      Ronn M's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Location : Moshi~Arusha
      Posts : 1,283
      Rep Power : 616
      Likes Received
      660
      Likes Given
      403

      Default Re: Msaada jamani

      Sasa kama jamaa ameambiwa ukweli na anataka kuoa wewe unataka msaada gani? I mean what specifically do you want us to advise?

    5. #5
      Sokwe Mjanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 473
      Rep Power : 12066
      Likes Received
      206
      Likes Given
      29

      Default Re: Msaada jamani

      Mbona kama amemwambia ni poa tu, hata mtu akikeketwa bado ni mtu na anaweza bado kuwa mama bora kabisa wa familia. Ni utamaduni uliopitwa na wakati na tunapaswa tuuchukie na kuupiga vita kwa nguvu zote ila haimaanishi kuwa waliopitia hiyo kitu tuwatenge, nadhani tatizo lake kubwa ni mama wakati wa kujifungua anapata shida na anaweza kuchanika zaidi na pia mama kukosa hamu ya baba. Tatizo la kujifungua waweza kuchagua upasuaji na ikawa sawa tu na tatizo la mama kukosa hamu ya tendo ni kukaa na kuzungumza nae mkaenda sawa. Asisitishe huo mpango aisee kama wanapendana


    6. #6
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2730
      Likes Received
      748
      Likes Given
      6

      Default Re: Msaada jamani

      hata akikosa hisia, kutega 'k' jamaa akaburudika si anaweza?

    7. #7
      Maprosoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2010
      Location : Sinza/Dar es salaam
      Posts : 2,383
      Rep Power : 1014
      Likes Received
      263
      Likes Given
      57

      Default Re: Msaada jamani

      Sasa si ungeandika heading vizuri!! siyo unaandika msaada jamani ......ovyooo.

    8. #8
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 531
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Msaada jamani

      Mwambie aoe tu hawana noma, mie nilikuwa na girlfriend wangu alikuwa amekeketwa lakini sikumuoa kwa sababu dini ilikuwa ni kikwazo na wazazi wake walikataa na wakampeleka nje ya nchi kusoma ili kututenganisha.

    9. #9
      Dr. Wansegamila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Location : Kwetu pazuri
      Posts : 350
      Rep Power : 2086
      Likes Received
      145
      Likes Given
      88

      Default

      Quote By Tegelezeni View Post
      Mwambie aoe tu hawana noma, mie nilikuwa na girlfriend wangu alikuwa amekeketwa lakini sikumuoa kwa sababu dini ilikuwa ni kikwazo na wazazi wake walikataa na wakampeleka nje ya nchi kusoma ili kututenganisha.
      wewe nae......................... Wenzio tunazika, wewe unatongoza.

    10. #10
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 730
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default Re: Msaada jamani

      Hua nasikia wanawake waliofanyiwa fgm hua hawaenjoy tendo la ndoa kama wengine na pia wakati wa kujifungua wanapoteza damu nyingi sana!

    11. #11
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,138
      Rep Power : 0
      Likes Received
      539
      Likes Given
      277

      Default Re: Msaada jamani

      Acha longo longo dogo. Kwani ukisema ukweli kwamba wewe ndio unataka kuvuta hicho kifaa kuna ubaya gani?.
      Muda wote ulipokuwa unakula mzigo mbona hukugundua kama mashine ilishachongwa. Leo amekuambia mwenyewe hali halisi unataka kugairi. utoto huo!

    12. #12
      afrodenzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Location : sweet home
      Posts : 15,617
      Rep Power : 26577
      Likes Received
      5850
      Likes Given
      5721

      Default Re: Msaada jamani

      Kwanini unachungulia uvungu wa rafikiyo? ?

    13. #13
      Badu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 350
      Rep Power : 425
      Likes Received
      55
      Likes Given
      41

      Default Re: Msaada jamani

      Weka mambo hadharan wewe

    14. #14
      stephot's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2012
      Location : DSM
      Posts : 796
      Rep Power : 593
      Likes Received
      221
      Likes Given
      607

      Default Re: Msaada jamani

      Mwanamke aliyekeketwa ana enjoy sex kama wanawake wengine isipokuwa tu uwezekano wa ku-climax huwa ni mdogo sana,ila kadri mnavyoishi pamoja utakuja kugundua kuwa kuna positions ambazo mkizitumia (ukifanya mautundu flani) ana-climax bila matatizo yoyote,pia swala la kuchanika wakati wa kujifungua inategemea na alivyokeketwa kwani wengine wanajifungua bila hata ya kuchanika.

    15. #15
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 9,070
      Rep Power : 17578
      Likes Received
      5018
      Likes Given
      5776

      Default Re: Msaada jamani

      mabwaku! nitarudi. . . .

    16. #16
      MASELE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : KIBAHA/DAR ES SALAAM
      Posts : 240
      Rep Power : 443
      Likes Received
      57
      Likes Given
      30

      Default Re: Msaada jamani

      Quote By charminglady View Post
      mabwaku! Nitarudi. . . .
      nawe umekeketwa
      Blessed are the peacemakers: for they shall be called the children of God

    17. #17
      dady f's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 1st February 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Afikilie kwanza kabla ya mamuz

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...