Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 24
    1. #1
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,505
      Rep Power : 1706
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1916

      Default Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

      Hii skendo ilikuwa ni kama 'jumba bovu' mwanaume mkware aliamua kuniangushia mimi
      baada ya kuona hakuwa na majibu ya kujitosheleza kwa GF wake baada ya GF wake
      kugundua kuwa paketi moja ya condom imetumika ndani ya siku mbili ambazo huyo GF
      alikuwa safarini.

      Kama kawaida ya wadada, akiwa anafanya usafi ndani ya nyumba akaona kuna mipira 3
      kwenye 'dust bin' ikiwa na kile 'kimiminika'. Jinsi GF alivyo makini akaenda kuangalia kwenye
      droo ya kitanda kweli akakuta packet moja iko 'empty'. Utata ukaanzia hapo, juu ya nani
      katumia hiyo mipira. Ukweli ni kwamba jamaa alileta mwanamke mwingine wakati GF wake
      yuko safarini na kuivunja amri ya sita. Sasa lilijisahau kuweka mambo sawa ili kufuta ushahidi.

      Sijui niseme jamaa alikuwa na 'akili' au ni ujinga, wazo la haraka lililomjia ni kunisingizia eti
      mimi ndyoko ndo nilienda geto kwake kuibanjua amri ya sita na mdada mwingine.
      Halfu likaniandikia nimsitiri kutokana na skendo yake hiyo. Na kweli baada tu ya meseji yake kuingia
      mara Shemeji huyooooooo, simu inaita. Nilichoamua ni kutoipokea hiyo simu ya shemeji yangu.

      Ila nashukuru kwa sasa wameoana na wanaishi kwa amani. Baada ya miaka nane toka skendo hii kutokea
      juzi nikakutana nao. Huyo shemeji alivyo na kiherehere, si akaniuliza kuhusu hii maneno......! Nilichomjibu
      ni kwamba asahau tu 'UJANA NDO ULIKUWA UNATUSUMBUA".

      My take: Jamani vidume tuachanane na mambo ya kusingiziana mambo mabaya. Ukiamua kujitoa muhanga basi uwe tayari kukabiliana na matokeo yake. Hivi kama mimi ningekuwa nimeoa na jinsi ladies walivyo na uchungu wajuapo kuwa mashostito wao wanaibiwa MABF wao, ndoa yangu ingekuwa salama kweli hapo? Nomaaaaa!
      Last edited by ndyoko; 12th June 2012 at 16:56.
      Bujibuji and namlexink like this.
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,273
      Rep Power : 13087
      Likes Received
      14152
      Likes Given
      15016

      Default Re: Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

      Naomba uwe shosti angu basi.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    4. #3
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,399
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8073
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By Kongosho
      Naomba uwe shosti angu basi.
      Za siku konnie?

    5. #4
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,609
      Rep Power : 5624
      Likes Received
      6214
      Likes Given
      2299

      Default Re: Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

      loh hadithi ya namna hiyo unafikiri wanawake wanaikubali basi? Ila tu wanaamua kupotezea.......aka kufa na tai shingoni

    6. #5
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 727
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default Re: Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

      Wa siku hizi hatudanganyiki kiurahisi namna hiyo! Yani mtu atoke kwake aje kubanjukia kwa rafiki yake?lodge zote na hotel hajaziona?aisee wajinga ndo waliwao!

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Mr Rocky's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2007
      Location : Hungumalwa
      Posts : 9,206
      Rep Power : 46193
      Likes Received
      6552
      Likes Given
      5321

      Default Re: Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

      haiuziki hiyo aise
      yaani hapo kwa mke ingekuwa balaa
      Hiyo ya kusema rafiki alikuja kwangu wala haina mshiko aise


      Konie hujambo
      When you are in Love you can't fall asleep because reality is better than your dreams

    9. #7
      zimwimtu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2012
      Posts : 406
      Rep Power : 445
      Likes Received
      117
      Likes Given
      139

      Default Re: Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

      ujanja wa kizamani, saiv umdanganye nani namna hiyo! saiv match za nje zinachezwa hukohuko nyumban ni mpenz mmoja tu.

    10. #8
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,210
      Rep Power : 12015
      Likes Received
      2664
      Likes Given
      1584

      Default Re: Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

      Wanawake wajanja na wana hisia kali. we ukiano anataka kukuumbua we jifanye mkali tu.
      "yaani wewe unaleta condom zilizo tumia ndani kwangu? leo utanieleza hizo condom ulizitumia na nani. siku zote nakaa humu ndani mbona sijawahi kuziona?". mwendo wa kumgeuzia kibao hadi mwisho.
      NOTE:
      Usije ukajifanya kuomba msamaha. hawa viumbe hawasamehi wala kusahau mambo yanayo husu mapenzi. wapo radhi wakutoe roho. Mia
      ndyoko and Rada like this.

    11. #9
      Dr wa ukweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 856
      Rep Power : 588
      Likes Received
      169
      Likes Given
      54

      Default

      Quote By figganigga
      Wanawake wajanja na wana hisia kali. we ukiano anataka kukuumbua we jifanye mkali tu.
      "yaani wewe unaleta condom zilizo tumia ndani kwangu? leo utanieleza hizo condom ulizitumia na nani. siku zote nakaa humu ndani mbona sijawahi kuziona?". mwendo wa kumgeuzia kibao hadi mwisho.
      NOTE:
      Usije ukajifanya kuomba msamaha. hawa viumbe hawasamehi wala kusahau mambo yanayo husu mapenzi. wapo radhi wakutoe roho. Mia
      mkuu upo sawa hata kama ushahidi upo imefanya kosa ni kimlomalia hadi mwisho

    12. #10
      Mwalu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2010
      Location : dsm
      Posts : 359
      Rep Power : 544
      Likes Received
      71
      Likes Given
      57

      Default Re: Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

      kuna jamaa aliachiwa box za kondom na mkewe aliyekuwa akienda mkoa kikazi kwa muda mrefu kidogo ili atumie akizidiwa! jamaa akagoma kuzitumia akihofia kuulizwa katumia na nani!

    13. #11
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,273
      Rep Power : 13087
      Likes Received
      14152
      Likes Given
      15016

      Default

      za siku unazijua?
      Siku zako ziko wapi?

      Quote By Bishanga
      Za siku konnie?

    14. #12
      Mamzalendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : KASKAZINI
      Posts : 1,452
      Rep Power : 723
      Likes Received
      439
      Likes Given
      166

      Default

      Quote By figganigga
      Wanawake wajanja na wana hisia kali. we ukiano anataka kukuumbua we jifanye mkali tu.
      "yaani wewe unaleta condom zilizo tumia ndani kwangu? leo utanieleza hizo condom ulizitumia na nani. siku zote nakaa humu ndani mbona sijawahi kuziona?". mwendo wa kumgeuzia kibao hadi mwisho.
      NOTE:
      Usije ukajifanya kuomba msamaha. hawa viumbe hawasamehi wala kusahau mambo yanayo husu mapenzi. wapo radhi wakutoe roho. Mia
      sasa naelewa,mbona mwaka huu ntaeleweka,kumbe eh,
      figganigga likes this.

    15. #13
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,505
      Rep Power : 1706
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1916

      Default Re: Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

      Quote By figganigga
      Wanawake wajanja na wana hisia kali. we ukiano anataka kukuumbua we jifanye mkali tu.
      "yaani wewe unaleta condom zilizo tumia ndani kwangu? leo utanieleza hizo condom ulizitumia na nani. siku zote nakaa humu ndani mbona sijawahi kuziona?". mwendo wa kumgeuzia kibao hadi mwisho.
      NOTE:
      Usije ukajifanya kuomba msamaha. hawa viumbe hawasamehi wala kusahau mambo yanayo husu mapenzi. wapo radhi wakutoe roho. Mia
      Mhhhhhh! Mkuu we mwenyeji wa Mara nini!
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    16. #14
      Tegelezeni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2009
      Posts : 245
      Rep Power : 527
      Likes Received
      99
      Likes Given
      157

      Default Re: Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

      Quote By Purple
      Wa siku hizi hatudanganyiki kiurahisi namna hiyo! Yani mtu atoke kwake aje kubanjukia kwa rafiki yake?lodge zote na hotel hajaziona?aisee wajinga ndo waliwao!
      Purple ni nani alikudanganya kwamba Mbekenyela kulikuwa na lodge na hoteli miaka 8 iliyopita?

    17. #15
      Bufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 342
      Rep Power : 429
      Likes Received
      56
      Likes Given
      161

      Default Re: Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

      I once had the same scenario na gf wangu ila kwangu mie tuliachana mwisho wa siku.

    18. #16
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,273
      Rep Power : 13087
      Likes Received
      14152
      Likes Given
      15016

      Default Re: Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

      sijambo Mr Rocky
      za kupotea?
      Mr Rocky likes this.

    19. #17
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 727
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default

      Quote By Tegelezeni
      Purple ni nani alikudanganya kwamba Mbekenyela kulikuwa na lodge na hoteli miaka 8 iliyopita?
      2004 juzi tu hapa hakukua na lodge na hotel??okay kama hazikuwepo huko kwake kulikua kunawaka moto hadi aje kujibanjua kwa rafiki yake na kuacha uchafu??sijui kwa nini wanawake wengine hua wanadanganyika kiurahisi hivyo..kha!

    20. #18
      Kiranja Mkuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2010
      Posts : 2,084
      Rep Power : 887
      Likes Received
      284
      Likes Given
      34

      Default Re: Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

      Ndyoko, huenda kweli ulikuwa uaenda kufanyia matusi kwenye chumba cha rafiki yako ndo maana ikawa ni rahisi kukusingizia. Pia ndo maana hata wewe ukakubali kirahisi ili usipoteze uwanja wa nyumbani

    21. #19
      Mr Rocky's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2007
      Location : Hungumalwa
      Posts : 9,206
      Rep Power : 46193
      Likes Received
      6552
      Likes Given
      5321

      Default Re: Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

      Quote By Kongosho
      sijambo Mr Rocky
      za kupotea?
      Husninyo ametoroka humu simuoni na nina RB kuwa nisionekane humu mpaka aonekane yeye
      Mi mzima Konnie
      When you are in Love you can't fall asleep because reality is better than your dreams

    22. #20
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,505
      Rep Power : 1706
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1916

      Default Re: Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

      Quote By Kiranja Mkuu
      Ndyoko, huenda kweli ulikuwa uaenda kufanyia matusi kwenye chumba cha rafiki yako ndo maana ikawa ni rahisi kukusingizia. Pia ndo maana hata wewe ukakubali kirahisi ili usipoteze uwanja wa nyumbani
      Kwani si nilishasema mambo ya ujana. Au we umeelewaje, sasa hivi tumeshakuwa vikongwe hii maneno imebaki historia tu, eboo!
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...