Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 61
    1. #1
      Mahunguchila's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Location : Kileleni
      Posts : 17
      Rep Power : 421
      Likes Received
      18
      Likes Given
      3

      Default Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa

      Habari zenu wana jamii,

      Leo nina ushauri kwa wale walioko kwenye ndoa, na nimeona niwape ushauri huu kufuatia yalompata dada yangu.

      Dada yangu aliolewa miaka ya 1990 na baba mmoja ambae by that time alikuwa mfanyakazi ktk shirika moja la uma. Alifukuzwa kazi, na sifahamu sababu ya yeye kufukuzwa kazi miaka ya 2000. Toka hapo sister kwa upendo aliishi na shemeji na hakuwahi kumsimanga kwa kutokuwa na kazi na mahitaji yake yote yalitimizwa na sister.

      Sister alikuwa mfanyakazi wa benk na kwa kweli kifedha alijiweza. Alimwamini sana mumewe na maisha yao yalikuwa ya upendo na amani. they had 4 kids. Wakati dada akimwamini sana mumuwe, kumbe mumewe alikuwa akifahamika mtaani kwa jina la POPOBAWA! Alikuwa MALAYA wa kupindukia! All those days ni kama sister alikuwa kafungwa akili kwani hata siku moja hakuwahi dhani kuwa the famous popobawa pale mtaani alikuwa ni mumewe. Alikuja kupoteza imani na mumuwe baada ya kumkuta usiku akufanya ngono na house girl wao jikoni.

      Hofu ya kupata maambukizi ya Ukimwi ilitawala maisha yake, na hakuchukua muda aliugua na kufariki kwa VVU.

      USHAURI: Kuna slogan moja ya wanajeshi, inasema TRUST NOTHING SUSPECT EVERYTHING! Pamoja na kuwa mnaaminiana sana na waume/wake zenu lakini jaribuni kuwa makini sana katika huu uaminifu kwani wanandoa wengi wamekuwa wakitumia neno kuaminiana vibaya! Mume hataki mke aguse simu yake, na ikitokea hivyo basi atalalamika mke wangu huniamini na wakati huo huo ana vimada zaidi ya kumi na anataka aaminike kwa mkewe.

      Ni mtazamo wangu tu Mahunguchila.
      RR, Paloma, Asprin and 13 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Blaine's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : on hiatus
      Posts : 1,482
      Rep Power : 3776
      Likes Received
      1038
      Likes Given
      369

      Default Re: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa.

      sad tale. may she RIP
      on jf hiatus

    4. #3
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,953
      Rep Power : 1435
      Likes Received
      1516
      Likes Given
      1621

      Default Re: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa.

      Miaka zaidi ya 12 imepita...ok RIP ur sister
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    5. #4
      Chauro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : kidunguche
      Posts : 2,656
      Rep Power : 996
      Likes Received
      1310
      Likes Given
      1526

      Default Re: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa.

      Asante kwa somo zuri........ lakini ndio ukweli unaoumiza rate ya VVU iko juu zaidi hasa kwa wanandoa
      Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).

    6. #5
      Jestina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 3,634
      Rep Power : 1449
      Likes Received
      850
      Likes Given
      356

      Default Re: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa.

      mnh usitoke,ukitoka basi tumia condom....


    7. #6
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,266
      Rep Power : 5115
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      232

      Default Re: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa.

      hii ni balaa tupu acha tu... RIP your beloved sister..

    8. #7
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,634
      Rep Power : 22062
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      803

      Default Re: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa.

      Yaani huwa inakera mtu anapokuwa mwaminifu alafu mwenzie ndo ivyo tena cha wote.
      Yaani suala la uaminifu kwenye ndoa ni gumu bse lina involve watu wawili wenye background tofauti.
      No wonder nowdays maana ya ndoa inapotea with time.
      Mtu yuko ndoani anagawa kama hana akili the same na kwa wanaume anapiga nje utadhani ameaidiwa bonus!
      Edo, BelindaJacob, Sashay and 1 others like this.
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    9. #8
      Mahunguchila's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Location : Kileleni
      Posts : 17
      Rep Power : 421
      Likes Received
      18
      Likes Given
      3

      Default Re: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa.

      Quote By Sizinga
      Miaka zaidi ya 12 imepita...ok RIP ur sister
      She passed away 2009

    10. #9
      Babuu blessed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2010
      Location : machame
      Posts : 1,129
      Rep Power : 740
      Likes Received
      265
      Likes Given
      54

      Default Re: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa.

      Tupo wangapi,julishaneni 1,2,3 na 4..kuna bint akipita hapa atatema cheche !

    11. #10
      KANYIMBI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Tanganyika
      Posts : 178
      Rep Power : 416
      Likes Received
      23
      Likes Given
      63

      Default Re: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa.

      Du!. Ngoja nianze kutulia na mamsap

    12. #11
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,483
      Rep Power : 1116
      Likes Received
      471
      Likes Given
      964

      Default Re: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa.

      mpe pole maana maisha kweli ni majuto hakutegemea ila Mungu atamuepusha na huyo popobawa

    13. #12
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,636
      Rep Power : 5630
      Likes Received
      6220
      Likes Given
      2324

      Default Re: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa.

      so sad........

      Jamani wanandoa mlinde afya na uhai wa wenza wenu..... Wengine wanadai mwanaume hawezi kuwa na mwanamke mmoja, qanadhani sifa kuwapanga mstari.....

      Wenye mafiga matano pia muache

    14. #13
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 727
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default Re: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa.

      Eeh Mungu niepushie mtu wa namna hiyo!

    15. #14
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2726
      Likes Received
      747
      Likes Given
      6

      Default Re: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa.

      dah, ukisikia ukweli mchungu ndiyo huu.... yaani dada alikuwa yuko so committed kwenye ndoa yake, at the end of the day analetewa virusi humo humo ndani..

    16. #15
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2726
      Likes Received
      747
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By Purple
      Eeh Mungu niepushie mtu wa namna hiyo!
      kwa uwezo wa Mungu sawa, otherwise wala huwezi kumjua kwa jinsi atakavyokutokea kwa tongozo la 'kumwingiza nyoka pangoni'

    17. #16
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,421
      Rep Power : 1036
      Likes Received
      1174
      Likes Given
      599

      Default Re: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa.

      Mtandao wa ngono ni mkubwa kuliko tunavyodhani na normally unapostukia game wewe unakuwa wa mwisho maana wengineo wote wanaokuzunguka wanakuwa tayari wameshanyaka issue.....
      andate likes this.
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    18. #17
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,634
      Rep Power : 22062
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      803

      Default Re: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa.

      Ni vyema tukawa waaminifu maana mtaja acha familia zikiteseka
      nyumba kubwa likes this.
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    19. #18
      nyumba kubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 4,047
      Rep Power : 2306
      Likes Received
      2874
      Likes Given
      3980

      Default Re: Mlio kwenye ndoa kuweni makini, ona huyu alichofanywa.

      Mi ndo maana nilishasema upelelezi ni muhimu. Mi napekua kuanzia begi mpaka simu. Nyie mnaokalia ooh utakufa kwa pressure; si kila mtu ana chance ya kuugua pressure (me included) ila kila aliye na wapenzi wengi au kwenye mtandao wa wapenzi wengi ana chance kuubwa tu ya kufa kwa ngoma. Napekua ili nijuage mapema kama naishi na popo bawa nichape lapa kabla ya kufa na kuacha wanagu niwapendao kuliko chochote kwenye hii dunia.
      mamkindi and 4realy like this.

    20. #19
      PMNBuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 907
      Rep Power : 607
      Likes Received
      120
      Likes Given
      28

      Default

      [QUOTE=Mahunguchila;4041332]Habari zenu wana jamii,

      Leo nina ushauri kwa wale walioko kwenye ndoa, na nimeona niwape ushauri huu kufuatia yalompata dada yangu.

      Dada yangu aliolewa miaka ya 1990 na baba mmoja ambae by that time alikuwa mfanyakazi ktk shirika moja la uma. Alifukuzwa kazi, na sifahamu sababu ya yeye kufukuzwa kazi miaka ya 2000. Toka hapo sister kwa upendo aliishi na shemeji na hakuwahi kumsimanga kwa kutokuwa na kazi na mahitaji yake yote yalitimizwa na sister.

      Duh, hii kali!

    21. #20
      PMNBuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 907
      Rep Power : 607
      Likes Received
      120
      Likes Given
      28

      Default

      Quote By Njowepo
      Yaani huwa inakera mtu anapokuwa mwaminifu alafu mwenzie ndo ivyo tena cha wote.
      Yaani suala la uaminifu kwenye ndoa ni gumu bse lina involve watu wawili wenye background tofauti.
      No wonder nowdays maana ya ndoa inapotea with time.
      Mtu yuko ndoani anagawa kama hana akili the same na kwa wanaume anapiga nje utadhani ameaidiwa bonus!
      Ameahidiwa bonus, ha ha ha ha...

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...