Kaimu Mkurugenzi msaidizi wa Kitengo cha Tiba Asilia kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Paulo Mhame amesema wanaume wengi hawana nguvu za kiume.
Alisema pamoja na tatizo hilo kuwa kubwa, cha ajabu serikali bado haijakubali kutumia pesa kufanya utafiti wa kuandaa dawa ya kisasa ya kutibu matatizo ya nguvu za kiume...watu wengi wanamiminika kwa waganga wa asili kusaka dawa alisema.
Mpaka sasa waganga wa jadi zaidi ya 1,000 wamejiandikisha nchini kwa wanatoa dawa za kutibu upungufu wa nguvu za kiume,
heri msiwe nazo muache uchangudoa..
hii itakuwa ni natural way ya kupunguza maambukizi mapya ya ukimwi..
ukisimamisha kimoja leo hadi mwakaniii .....safi
Naona mnatafuta kisingizio cha kutoka nje ya ndoa!
Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala
heri msiwe nazo muache uchangudoa..
hii itakuwa ni natural way ya kupunguza maambukizi mapya ya ukimwi..
ukisimamisha kimoja leo hadi mwakaniii .....safi
na wewe utakuwa na li plastiki lako unajiliwaza au sio?
JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.
ritz wengine wananza kuchokonolewa chemba zao wakiwa wadogoooooooo! hata kama alizaliwa rijali unakuta baada ya muda na yeye ni victim, enzi hizo kabla sijaolewa nilikutana na mkaka, nikasema ni mkaka wa haja, ila wakati tunakiss for the first tym nikaona ukimshika makalio anapiga ukunga wa ajabu, nikasema hichi nini, hebu leo nijionee, ukimuweka v.i.d.o.l.e anafurahia mpaka basi anataka niendelee tu kumuweka tu, lakini ku-du ha du wala nini?? na hiyo ni miaka ya 2000 alikuwa 24yrs old mimi ndio tu nimemaliza A level. lol nilishangaa sana na ndio ukawa mwisho wangu mi na yy! so mambo mengi yanachangia now days guys kuwa hawako imara kama simba! ila huyo kaka anatamani kuwa normal mpaka kesho, hajaoa, ila huwa tunawasiliana na ninampa moyo kuwa akiamua anaweza kuacha na akawa mzima tena!
Usiniambie uliliwa na p.u.n.g.a! Du! Malizia stori bana enhe na wewe uli-enjoy?
Watu hawajiamini,mwanamme kamili bao la kwanza ni ndani ya dakika 1 hadi tano,sasa watu wamemezeshwa sumu kwamba lazima uende nusu saa bao 1 ukienda chini ya hapo basi una upungufu wa nguvu za kiume,wanaume tujiamini,kama unataka kupiga bao moja kwa nusu saa zipo njia natural(withdrawal) na great foreplay na si kutumia madawa,achaneni na hayo madawa.
Tafsiri ya nguvu ya kiume ni kusimamisha au kuzalisha? Isije ikawa na hawa jamaa wanachanganya habari. Ila juzi tena kuna ishu nyingine kuwa mabodaboda wako hatarini kuwa wagumba. Hii ni hatari
Tafsiri ya nguvu ya kiume ni kusimamisha au kuzalisha? Isije ikawa na hawa jamaa wanachanganya habari. Ila juzi tena kuna ishu nyingine kuwa mabodaboda wako hatarini kuwa wagumba. Hii ni hatari
Ah, hao mabodaboda wacha wawe wagumba wamalize kizazi cha mabodaboda, wahuni sana, last week mwenzao kaja kapita upande wa kushoto wakati nimesimamisha gari kumpisha mtoto avuke akaja kumgonga na kuanza kunishutumu mie wakajaa kama nzi pale, nina bahati nilikuwa na silaha wakasogea mbali leo ningekuwa marehemu kwa kosa la mhuni mwenzao nae kaanguka kaumia kichwa. Wakome though am sorried to the passengers!
Katumia standard gani huyu? Kama mtu ana wanawake watatu na kapiga moja moja, si kwamba hana, ila kagawa. Wanaonunua hizi dawa ni wale wanaooa wake wengi na kila siku ana zamu. Siye wenye mke mmoja aka, kila siku inakuwa mpya. Pombe pia inafanya vijana wengi kuwa na nguvu hafifu. Acheni kunywa mipombe mikali.
Wanaume wengi naamini wako poa kabisa zaidi ya inavyodhaniwa, kuna vitu kadhaa vinachangia watu kuonekana hawana nguvu za kiume au kukosa kabisa nguvu za kiume. Lakini pia wakizingatia mambo flani hakika wanakuwa sawa kabisa.
Kwanza kutojiamini; mwanaume akikosa kujiamini anapokuwa katika tendo la ndoa ni kawaida kukuta uume unakosa nguvu. Pili- Matumizi ya pombe. Wanaume wengi ambao wanatumia zaidi pombe (hasa pombe kali au ulevi wa kupitiliza) kamwe huwezi kuwa mzuri wa ngono, wengi wanajidanganya kuwa ukinywa pombe kali eti unachelewa kukojoa.... nadhani ni dhana potofu. Kwa mtu unayeweza kuchezea na ngono vizuri hata ukiwa mkavu bado unaweza kufanya uchelewe kukojoa. Tatu - Uwezo wa kuwa tayari wa kushiriki hiyo ngono... jamani ngozo huwa inajengwa na mawazo (feelings) ingawa nguvu inatumia pia, sasa mara zote ufanywaji wa ngono ni lazima uwe umeandaliwa kwa mawazo, kama mtu hakujiandaa kushiriki ngono kimawazo kamwe uume hauwezi kusimama au hata kama utasimama ushiriki wake hauwezi kuwa mzuri. Hii ina maana kuwa mtu mwenye msongo wa mawazo kamwe hawezi kushiriki vizuri. Nne - Matumizi ya tumbaku (sigara) na madawa ya kulevya, haya ndo balaa zaidi. Mtu ambaye anatumia hayo mambo kwa muda mrefu inapunguza nguvu za kiume. Kwetu sisi wanaume ubovu wake ni kuwa unapohitaji kufanya ngono lazima uume (mboo) usimame, hii ina maana moja kwa moja kama uume haukusimama basi tayari inakuwa tatizo. Kwa wenzetu kina dada (kina mama) hata kama hana hisia, au hana nguvu au vinginevyo ngumu kujua kwani maumbile yanawa-favor. Kwani wao hata wakiamua ku-pretend hutaweza kujua, mwingine waweza kukuta hata hamu hana lakini huwezi kujua.
Watu hawajiamini,mwanamme kamili bao la kwanza ni ndani ya dakika 1 hadi tano,sasa watu wamemezeshwa sumu kwamba lazima uende nusu saa bao 1 ukienda chini ya hapo basi una upungufu wa nguvu za kiume,wanaume tujiamini,kama unataka kupiga bao moja kwa nusu saa zipo njia natural(withdrawal) na great foreplay na si kutumia madawa,achaneni na hayo madawa.
Seconded!!!
Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
"Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.
Hawa Jamaaa kweli shule yao haiwasaidii...ratio ya Tz inaruhusu,nina wanawake wa4, acha nightstand ..niwapige 3 x 4/week ????? Its obvious watapigwa Moja moja wote..ya Nini Nijichoshe wakati Urithi wetu ..Mambo ya Kumpiga 3 au 4 hayapo siku izi.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
uKIZINGATIA NA HAKA KAUGONJWA KETU UKIJITIA UFUNDI MWINGI NI LAZIMA UUKWAE- KAMOJA TU KA HAMU KANATOSHA!!
Have patience with all things, but chiefly have patience with yourself.- Saint Francis de Sales
nakubaliana na mdau kwa 100% hivi vitu tumevizuea sana kuviona hadharani inabidi wavisitiri kidogo
By ndetia
kweli kabisa wanaume wengi hatuna nguvu na inasababishwa na mambo mengi vyakula,ugumu wa maisha na wamawake wenyewe unakuta ofisin mwanmke kajaliwa hips halafu kavaa min ikiinama shida akikaa mbele yako tabu tupu sas wanaume tumeshazoea kuona maumbile ya kike kiholela kwa hiyo kunakuwa hamna cha ajabu hata hisia zinaisha zaman kuona chupi ya mwanamke ni ishu leo hii majumba chupi zote zinaanikwa sehemu moja hata ukiwa kwenye daladal lazima uone chupi in short macho yamezoea kuona maumbile ya kike ya siri ndio maana wadhungu wananyonyona sana ili kuweka ile kitu stable
Kaimu Mkurugenzi msaidizi wa Kitengo cha Tiba Asilia kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Paulo Mhame amesema wanaume wengi hawana nguvu za kiume.
Alisema pamoja na tatizo hilo kuwa kubwa, cha ajabu serikali bado haijakubali kutumia pesa kufanya utafiti wa kuandaa dawa ya kisasa ya kutibu matatizo ya nguvu za kiume...watu wengi wanamiminika kwa waganga wa asili kusaka dawa alisema.
Mpaka sasa waganga wa jadi zaidi ya 1,000 wamejiandikisha nchini kwa wanatoa dawa za kutibu upungufu wa nguvu za kiume,
Mkuregenzi .. I honestly beg to differ ... Hakuna Mapungufu ya Nguvu hata kidogo ... kuna matumizi yasiyo sahihi ya nguvu za kiume!! Wote hao wanaokwenda kutafuta dawa etc ... wako kwenye namna fulani ya abuse nguvu zao etc ...!! ..!!
Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
"Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.
Ah, hao mabodaboda wacha wawe wagumba wamalize kizazi cha mabodaboda, wahuni sana, last week mwenzao kaja kapita upande wa kushoto wakati nimesimamisha gari kumpisha mtoto avuke akaja kumgonga na kuanza kunishutumu mie wakajaa kama nzi pale, nina bahati nilikuwa na silaha wakasogea mbali leo ningekuwa marehemu kwa kosa la mhuni mwenzao nae kaanguka kaumia kichwa. Wakome though am sorried to the passengers!
Duh! Pole sana kwa mkasa. Ila kwa upande mwingine wanasaidia sana katika sekta ya usafiri sema hawana mwongozo
ritz wengine wananza kuchokonolewa chemba zao wakiwa wadogoooooooo! hata kama alizaliwa rijali unakuta baada ya muda na yeye ni victim, enzi hizo kabla sijaolewa nilikutana na mkaka, nikasema ni mkaka wa haja, ila wakati tunakiss for the first tym nikaona ukimshika makalio anapiga ukunga wa ajabu, nikasema hichi nini, hebu leo nijionee, ukimuweka v.i.d.o.l.e anafurahia mpaka basi anataka niendelee tu kumuweka tu, lakini ku-du ha du wala nini?? na hiyo ni miaka ya 2000 alikuwa 24yrs old mimi ndio tu nimemaliza A level. lol nilishangaa sana na ndio ukawa mwisho wangu mi na yy! so mambo mengi yanachangia now days guys kuwa hawako imara kama simba! ila huyo kaka anatamani kuwa normal mpaka kesho, hajaoa, ila huwa tunawasiliana na ninampa moyo kuwa akiamua anaweza kuacha na akawa mzima tena!
Follow Us Here