Re: Moyo wenye ganzi. . . . . . !!

By
Eiyer
Usiombe ukakutana na mtu wa aina hii utayachukia mapenzi. . . . . Nakumbuka ilikua mwaka 1999 nilipokutana na bimti wa aina hii,ilinichukua miaka miwili kumuweka sawa. . . . . Yaani kila unachofanya kwake ni kibaya anaona wewe ni walewale,moyo wake ulishakufa ganzi zamani,hahisi wala hataki kupenda tena.Ukikutana na mtu wa dizain hii bora ule kona tu!
Anaka wapi huyo??au mimi ndo sielewi??KWENYE RED
Its only crazy who will be against to CDM!,only a fool who will fly CCM flag while is hungry!!
Follow Us Here