Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

    Report Post
    Page 4 of 8 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 154
    1. #1
      Chal's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 113
      Rep Power : 460
      Likes Received
      45
      Likes Given
      4

      Default Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      habari!
      Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 34, ni mwanafunzi wa Masters katika chuo kimoja hapa nchini. Nimehitimu chuo kikuu UCLAS (kwa sasa Ardhi University) mwaka 2008.Wakati nipo chuoni mwaka wa kwanza nilitokea kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi mwenzangu,mahusiano ambayo mwanzoni sikuona kama yangefika mbali kwani hata jinsi yalivyoanza ilikuwa katika mazingira ambayo hakuna hata mmoja wetu aliyetarajia.

      Tulihitimu chuo mwaka 2008 bahati nzuri kila mmoja wetu akapata kazi ingawa ni mikoa tofauti. Mara kadhaa nilimwambia umuhimu wa kuachana kwani nilihisi kuwa sitakuwa na furaha katika familia kama tutaoana lakini alipinga na kulia sana akidai kuwa yeye ananipenda sana. Nakumbuka wakati tuko chuoni alitaka hata kuacha chuo kwasababu yangu. Sikuwa tayari kuona hili linatokea hivyo niliendelea na mahusiano naye nikitafuta namna nitakavyoachana naye kwa amani.

      Tuliendelea na mahusiano hayo ingawa sikuwa na furaha nayo na bahati mbaya niseme mwezi februari mwaka huu amenambia ana ujauzito wangu. Sifikirii kabisa suala la yeye kutoa mimba kwani kwa umri wangu nataka kuwa na mtoto. Nakumbuka katika mahusiano yetu sikuwahi kuishi naye kama mke wangu mtarajiwa hivyo mambo ninayopenda mke wangu awe nayo na tabia ninazopenda wala sikumuhimiza ayafanye.

      Naomba ushauri nifanyeje nimechanganyikiwa, sitaki kuwa na watoto wa mama tofauti tofauti na pia nataka sana mtoto wake azaliwe salama?

      Last edited by Chal; 12th June 2012 at 20:28.

    2. Miaka 50

    3. #61
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,443
      Rep Power : 13325
      Likes Received
      7671
      Likes Given
      6911

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Quote By Smile
      kumbe tamuuu eeeh ngoja nijilipue na mimi siku moja nifaidi utamu..
      Mkiwa mmepima wote ofcourse, na when you are ready to be a mother no matter what!
      Kongosho and Smile like this.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    4. #62
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1163
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      We acha kutuzingua Muoe binti wa watu muda wote huo unalamba burebure ukitegemea nini? umepanda mahindi sasa yameota usisingizie ulitaka mpunga... tena pekupeku acha hizo bana we oa binti huyo ndo mkeo.

    5. #63
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,292
      Rep Power : 23400
      Likes Received
      8226
      Likes Given
      5854

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Quote By Kaunga
      Mkiwa mmepima wote ofcourse, na when you are ready to be a mother no matter what!
      kupima muhimu my dear ..... nipe miezi miwili nitakupa majibu ya kizygote hapa.... ngoja nijizalie mie ...
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    6. #64
      KIDHEHA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 356
      Likes Received
      2
      Likes Given
      5

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      ukipanda mchicha utavuna mchicha..ishatokea na hakika mtoto wa muhimu sana so ushauri wangu oa tu huyo mwanamke..mmetoka mbali,,,ukimwacha ataolewa na nani wakati ushamzalisha?majibu yako hapahapa duniani

    7. #65
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,397
      Rep Power : 645
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Kitanda hakizai haramu
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi
      Reply With Quote

    8. RukaaJuu Final

    9. #66
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,269
      Rep Power : 13086
      Likes Received
      14148
      Likes Given
      15016

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      I will assassinate you with my bear hands, NO WAY!

      Quote By Kaunga
      He remind me of the boy l used to know.....
      Wimbo wa nani yule....

      Kweli tena hiyo kauli nilisharushiwa ya usoni, na one Fundikira son; huenda akawa huyu huyu Boss wako. Inabidi unipe ID yake ya ukwelii.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    10. #67
      WALIMWEUSI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : DSM
      Posts : 950
      Rep Power : 571
      Likes Received
      276
      Likes Given
      354

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Pole sana kaka.
      Lakini kwa nini kama kweli wewe hukuwa na mapenzi nae toka 2008 leo ni 2012 bado ulikuwa unashiriki naye tendo la ndoa? Wewe ndiye mkosaji katika hilo na hali ilivyo kwa sasa huna budi kumuoa tu ukizingatia kuwa hutaki kuzaa watoto wa mama tofauti na pia hutaki mimba itolewe
      The best mind-ultering drug is truth.

    11. #68
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,269
      Rep Power : 13086
      Likes Received
      14148
      Likes Given
      15016

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      I feel you, I feel you!

      Angalia usim-spoil, boys are very clever kwa mama zao.

      Quote By Kaunga
      You have no idea, ukishapata ndio utaelewa. He is big, 11 yrs now!

      Sio hivyo tu, anasema l am the best mom in the whole world!
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    12. #69
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,056
      Rep Power : 14521
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5006

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      can somebody out there pulizzzzzzz explain to me, what love is????? lord have mercy! nimesoma hizo comments huko juu, na issue yenyewe ya mtoa uzi! kwa kweli we far from the HEAVEN!
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    13. Sal
      #70
      Sal's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2008
      Location : Under the sky
      Posts : 367
      Rep Power : 657
      Likes Received
      129
      Likes Given
      458

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      ulitaka kumuacha mkiwa chuo lakini kwa huruma ukaendelea nae ili asiache chuo. Mlipomaliza chuo mkapangwa mikoa tofauti, kilichokufanya uendelee nae ni kitu gani tena? yaani mko mikoa tofauti lakini bado uhusiano unaendelea tena na mtu usompenda. unalo hilo, umelikoroga, linywe kaka yetu kwa roho moja. alikusitiri sana mkiwa chuo usihangaike hapa na pale. kwanza unajikanyaga hata hujui unataka nini, mara simtaki, mimba isitolewe, hutaki kuzaa watoto na mama tofauti, sasa ili usizae watoto wa mama tofauti, muoe.
      usisahau kutuchangisha michango ya harusi.
      Where there is great love, there are always miracles

    14. #71
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      oa tu kaka angu ila possibility ya kuwa na nyumba ndogo ni kubwa sana hasa kama demu mwenyewe humpendi..sikushauri sana kutoa mimba wala kumtosa kwani inavyoonekana mapenzi yake kwako ni makubwa sana japo mimi nae ingentokea kama hii ngeshachakachua ujauzito fasta sana..ila kwa nini kujingezea uovu katika maisha??

    15. #72
      mbalu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Location : Ntuzu
      Posts : 214
      Rep Power : 396
      Likes Received
      98
      Likes Given
      68

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Quote By The Boss
      haukuwahi kusikia matangazo ya kutumia kifudusi(condoms)??????????
      hata mlango wa kijani haujui huyu BIG POLE.
      Kongosho likes this.
      Ong'wizukuru Shimba nawe Shimba.

    16. #73
      Mtalingolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2011
      Location : Mbeya
      Posts : 1,924
      Rep Power : 972
      Likes Received
      324
      Likes Given
      43

      Default

      Quote By Chal
      sifikirii kumtelekeza mtoto lakini pia sifikirii kumuoa mama yake mbaya zaidi sihitaji kuwa na watoto wa mama tofauti.
      Basi sema mwenyewe unafikiria nin mwenzetu?

    17. #74
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,175
      Rep Power : 21618
      Likes Received
      13495
      Likes Given
      17794

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Quote By Kaunga
      I hate hiyo sentensi, maana nilishaambiwa hivyo wakati nimeenda home kujifungua mtoto wangu wa ujanani. i met vijana ambao tumekuwa nao kitaa nikiwa nasukuma mtumbo; halafu mtu ananiambie, "hivi Kaunga, matangazo ya condoms wewe hujawahi yaona?"

      Ukweli mchungu
      mtoto wa ujanani au watoto wa ujanani? lol
      no wonder Eiyer cant handle you lol
      Kongosho likes this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    18. #75
      Marga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th June 2012
      Posts : 81
      Rep Power : 367
      Likes Received
      17
      Likes Given
      2

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      about five years yet wasema humpendi!? je kupenda ni nini yaelekea hujui maana ya hilo neno pia
      uliweza muhurumia binti wakati mpo chuo kwanini usimhurumie mwanao damu yako atayelelewa hapo baadae pasipo na mapenzi ya baba na mama?
      unafikiri mtoto ameanza kua tatizo angali mimba akikua atakuaje?
      kua mwanaume rijali and be responsible foryour actions usitafute vigezo ooo cimpendi
      jiulize hayo maswali na ujijibu.

    19. #76
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,605
      Rep Power : 5624
      Likes Received
      6214
      Likes Given
      2293

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      kama ulikuwa humpendi kwa nini uliendelea kumnaniliu?

    20. #77
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,498
      Rep Power : 19788
      Likes Received
      4313
      Likes Given
      1263

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Kwa nini ulimpiga katerero wakati umpendi? Ina bidi umchukue au ulee huyo mtoto

    21. #78
      Chal's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 113
      Rep Power : 460
      Likes Received
      45
      Likes Given
      4

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Wanajamvi nafuatilia kwa makini kabisa ushauri mnaonipa, nashukuru kwa kuwa baadhi yenu mmenielewa vyema na mnajaribu kuvaa viatu vyangu kabla ya kushauri. Hili naliona vizuri kupitia ushauri mnaonipa though some advices are bitter

      Pia naheshimu sana ushauri wa baadhi ya wanajamvi ambao kwao jambo la muhimu kwa sasa ni kulaumu, nadhani hawa kwao ukweli kwamba jambo hili tayari limeshatokea (kwamba tayari mimba ipo) na halizuiliki tena si kipaumbele.

      Labda nikiri tu kuwa kupitia uzi huu, hali ya kuchanganyikiwa na kushindwa kujua nini nifanye imepungua na kwakweli napata mwanga. Hapa nakubali kuwa "problem shared lead to problem solved"...

      Naheshimu mawazo ya kila mmoja wenu, na naahidi mwishowe nitawashirikisha uamuzi nitakaofikia, bado nafuatilia ushauri mnaonipa
      Maty likes this.

    22. #79
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,978
      Rep Power : 1219
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Nenda kaendelee kutengeneza masikio,pua,jicho akamilike mkuu kuacha nusu nusu sio poa.Kama huyo umpendi si wamejaa kibao wewe kamilisha kiumbe hicho kwanza

    23. #80
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,443
      Rep Power : 13325
      Likes Received
      7671
      Likes Given
      6911

      Default

      Quote By The Boss
      mtoto wa ujanani au watoto wa ujanani? lol
      no wonder Eiyer cant handle you lol
      Mtoto, wengine bado Eiyer hajanipa! Na who says hawezi nihandle?
      Kongosho likes this.

    Page 4 of 8 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...