Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

    Report Post
    Page 3 of 8 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 154
    1. #1
      Chal's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 115
      Rep Power : 464
      Likes Received
      45
      Likes Given
      4

      Default Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      habari!
      Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 34, ni mwanafunzi wa Masters katika chuo kimoja hapa nchini. Nimehitimu chuo kikuu UCLAS (kwa sasa Ardhi University) mwaka 2008.Wakati nipo chuoni mwaka wa kwanza nilitokea kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi mwenzangu,mahusiano ambayo mwanzoni sikuona kama yangefika mbali kwani hata jinsi yalivyoanza ilikuwa katika mazingira ambayo hakuna hata mmoja wetu aliyetarajia.

      Tulihitimu chuo mwaka 2008 bahati nzuri kila mmoja wetu akapata kazi ingawa ni mikoa tofauti. Mara kadhaa nilimwambia umuhimu wa kuachana kwani nilihisi kuwa sitakuwa na furaha katika familia kama tutaoana lakini alipinga na kulia sana akidai kuwa yeye ananipenda sana. Nakumbuka wakati tuko chuoni alitaka hata kuacha chuo kwasababu yangu. Sikuwa tayari kuona hili linatokea hivyo niliendelea na mahusiano naye nikitafuta namna nitakavyoachana naye kwa amani.

      Tuliendelea na mahusiano hayo ingawa sikuwa na furaha nayo na bahati mbaya niseme mwezi februari mwaka huu amenambia ana ujauzito wangu. Sifikirii kabisa suala la yeye kutoa mimba kwani kwa umri wangu nataka kuwa na mtoto. Nakumbuka katika mahusiano yetu sikuwahi kuishi naye kama mke wangu mtarajiwa hivyo mambo ninayopenda mke wangu awe nayo na tabia ninazopenda wala sikumuhimiza ayafanye.

      Naomba ushauri nifanyeje nimechanganyikiwa, sitaki kuwa na watoto wa mama tofauti tofauti na pia nataka sana mtoto wake azaliwe salama?

      Last edited by Chal; 12th June 2012 at 20:28.


    2. #41
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,486
      Rep Power : 24256
      Likes Received
      5127
      Likes Given
      2740

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Quote By Smile View Post
      basi mpe sumu huyo dada maana hueleweki....
      wanaume wa siku hizi ndo maana k yangu ipo closed kwa muda....upepo sio mzuri kabisaaaaaaaaaa
      Vibaya hivyo....

      Zogolo Dangu Dawika Miye!


    3. #42
      Sunshow's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Posts : 697
      Rep Power : 523
      Likes Received
      97
      Likes Given
      2

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Ulifanya kosa kubwa sana kama hukuwa na mpango nae tokea 2008 na bahati nzuri kikazi mko mikoa tofauti si ndiyo ilikuwa nafasi nzuri ya kukata mawasiliano? Kama uliendelea kuwasiliana nae kwa kipindi chote hicho 5yrs basi anakufaa hizo kasoro zingine zitarekebishwa mbele kwa mbele maana inaonyesha chance yako kupata mwanamke mwingine ni ndogo ( from 2008 to 2012 hukuweza kupata girlfriend mwingine).

    4. #43
      nhassall's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 190
      Rep Power : 469
      Likes Received
      41
      Likes Given
      110

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      mimi naamini kabisa ulitaka kuzaa na huyo dada la sivyo ungetumia kinga,, cha maana hakikisha unamtunza mama mpaka mtoto atakapozaliwa halafu mkubaliane cha kufanya juu ya mtoto.

    5. #44
      Senator p's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th October 2011
      Posts : 262
      Rep Power : 438
      Likes Received
      38
      Likes Given
      0

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Kwanza ww elimu yako haijakusaidia ktk kote,yaan unatafuta master halafu unakua na uhusiano na bint ambye humpend na unagonga kama uko mbinguni,yaan hata mimi nakushnda m2 ambaye cna future nae sigongi peku,ww unazan kondom ziliwekwa ajir ya ukimw n mimba au uldanganywa kama Adam?
      Ushauri,mwache ajifungue 2,ulee ila ukome usirudie tena,m2nze ukisema umkatae walai upati tena mtoto,na hta ukimpata mwanamke unaempenda akikwambia ana mimba yako jua kekundu.

    6. #45
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,542
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      29

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      yaani mlikua mnapigana kavu kavu aisee...tutaangamia wengi sana. Mi ningekushauri ubebe mzigo tu maana ungekua humtaki ungetumia protection...starehe umepewa saivi unataka kukimbia
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune



    7. #46
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,725
      Rep Power : 13386
      Likes Received
      8056
      Likes Given
      7426

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Quote By Chal View Post
      habari!
      Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 34, ni mwanafunzi wa Masters katika chuo kimoja hapa nchini. Nimehitimu chuo kikuu UCLAS (kwa sasa Ardhi Univeversity) mwaka 2008.Wakati nipo chuoni mwaka wa kwanza nilitokea kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi mwenzangu,mahusiano ambayo mwanzoni sikuona kama yangefika mbali kwani hata jinsi yalivyoanza ilikuwa katika mazingira ambayo hakuna hata mmoja wetu aliyetarajia.

      Tulihitimu chuo mwaka 2008 bahati nzuri kila mmoja wetu akapata kazi ingawa ni mikoa tofauti. Mara kadhaa nilimwambia umuhimu wa kuachana kwani nilihisi kuwa sitakuwa na furaha katika familia hama tutaoana lakini alipinga na kulia sana akidai kuwa yeye ananipenda sana. Nakumbuka wakati tuko chuoni alitaka hata kuacha chuo kwasababu yangu. Sikuwa tayari kuona hili linatokea hivyo niliendelea na mahusiano naye nikitafuta namna nitakavyoachana naye kwa amani.

      Tuliendelea na mahusiano hayo ingawa sikuwa na furaha nayo na bahati mbaya niseme mwezi februari mwaka huu amenambia ana ujauzito wangu. Sifikirii kabisa suala la yeye kutoa mimba kwani kwa umri wangu nataka kuwa na mtoto. Nakumbuka katika mahusiano yetu sikuwahi kuishi naye kama mke wangu mtarajiwa hivyo mambo ninayopenda mke wangu awe nayo na tabia ninazopenda wala sikumuhimiza ayafanye.

      Naomba ushauri nifanyeje nimechanganyikiwa, sitaki kuwa na watoto wa mama tofauti tofauti na pia nataka sana mtoto wake azaliwe salama?

      Clean your own mess!
      Marry her and learn to love and appreciate her. She loves and adore you, nafikiri ni kitu ambacho watu wengi humu tungependa ("to be loved"). Usiende mbali, angalia wenzako wanavyolilia mapenzi, wewe huyataki unataka kupenda kungine ambapo hilo penzi lako laweza lisirudishwe.

      Au be a coward, and irresponsible muache azae huyo mtoto aje alelewe na baba mwingine.
      Kongosho likes this.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    8. #47
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,725
      Rep Power : 13386
      Likes Received
      8056
      Likes Given
      7426

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Quote By The Boss View Post
      haukuwahi kusikia matangazo ya kutumia kifudusi(condoms)??????????
      I hate hiyo sentensi, maana nilishaambiwa hivyo wakati nimeenda home kujifungua mtoto wangu wa ujanani. i met vijana ambao tumekuwa nao kitaa nikiwa nasukuma mtumbo; halafu mtu ananiambie, "hivi Kaunga, matangazo ya condoms wewe hujawahi yaona?"

      Ukweli mchungu
      The Boss, Maty, Kongosho and 1 others like this.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    9. #48
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,725
      Rep Power : 13386
      Likes Received
      8056
      Likes Given
      7426

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Quote By Sokwe Mjanja View Post
      Mbona maelezo yako umeyatoa vizuri tu na umeonesha kabisa unachokitaka, hufikirii kutoa mimba, unataka mtoto azaliwe salama, hutaki kuwa na watoto wa mama tofauti( hufikirii kuja kuzaa na mwingine) sasa unaomba ushauri upi kiongozi?
      Kajitambulishe kwa binti haraka iwezekanavyo. Huyo ndio kashakuwa mkeo tena, kama uliweza kuwa nae kwa miaka 5 tena mko mikoa tofauti nini shida sasa rafiki?
      Peleka posa, toa mahari kuwa na binti hasa kipindi hiki yu-mimbani, anahitaji sana ukaribu wako aisee, hata kama harusi itasubiri kidogo ila usithubutu kutoa hiyo mimba wala kumtelekeza huyo mama. Amekusaidia kukupunguzia mahamu yako wakati wa chuo umjali sasa na yeye please. Tena una bahati unasema anakupenda sana, huoni fahari kuwa na mke anaekupenda sana? Angalia usije kupata gume gume likaja kukusumbua katika ndoa
      Nimeona like haitoshi.
      Usipofuatilia ushauri huu pamoja na mingine, ujue kuna janga unalitafuta. I can only wish you whatever you deserve!
      Sokwe Mjanja likes this.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    10. awp is offline
      awp
      #49
      awp's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Location : Around the Corner
      Posts : 1,002
      Rep Power : 555
      Likes Received
      316
      Likes Given
      1093

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      wewe kaka unatuletea comedy hapa jf, hutaki kuzaa watoto wa mama tofauti at the same time hutaki kumuoa huyo dada, kwanini uli-do bila kutumia rambo?

      hilo ni chaguo ulilokupa mungu. huwezi kufanya mapenzi kwa mtu usiyempenda labda utuambie huyo dada alikubaka

    11. #50
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,724
      Rep Power : 23490
      Likes Received
      8529
      Likes Given
      5860

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Quote By Kaunga View Post
      I hate hiyo sentensi, maana nilishaambiwa hivyo wakati nimeenda home kujifungua mtoto wangu wa ujanani. i met vijana ambao tumekuwa nao kitaa nikiwa nasukuma mtumbo; halafu mtu ananiambie, "hivi Kaunga, matangazo ya condoms wewe hujawahi yaona?"

      Ukweli mchungu
      kwani uongo kaunga..?
      wewe ulijiachia tu...ulitegemea nini?
      Kaunga likes this.
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    12. #51
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 730
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      5 years kwenye relationship na mtu usiyempenda??acha kutudanganya..tena unasex nae bila condom afu unasema humpendi??aisee elimu yako haijakusaidia!

    13. #52
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,173
      Rep Power : 25450
      Likes Received
      14879
      Likes Given
      15834

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Hadithi inayokuja ni ya sungura sikia, at 34 hujui utakalo?
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    14. #53
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,725
      Rep Power : 13386
      Likes Received
      8056
      Likes Given
      7426

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Quote By Smile View Post
      kwani uongo kaunga..?
      wewe ulijiachia tu...ulitegemea nini?
      Ndio maana nilisema ukweli mchungu.
      Mimi niljiachia kwa kuwa kwanza na tamu that way; lakini pia nilitaka mtoto, na sijawahi juta. He is a reason for everything right now, l mean my sonushka!
      Smile likes this.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    15. #54
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,173
      Rep Power : 25450
      Likes Received
      14879
      Likes Given
      15834

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Kaunga, kumbe wewe ndo huwa unanifuata? Eiyer, njoo umtoe huyu mkeo, kaniganda kama ruba lol

      Quote By Kaunga View Post
      I hate hiyo sentensi, maana nilishaambiwa hivyo wakati nimeenda home kujifungua mtoto wangu wa ujanani. i met vijana ambao tumekuwa nao kitaa nikiwa nasukuma mtumbo; halafu mtu ananiambie, "hivi Kaunga, matangazo ya condoms wewe hujawahi yaona?"

      Ukweli mchungu
      The Boss and Kaunga like this.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    16. FP is offline
      FP
      #55
      FP's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 30th September 2009
      Posts : 8,087
      Rep Power : 46521
      Likes Received
      7955
      Likes Given
      7728

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      wewe kaka hukuwa na nia ya kumuacha huyo dada. tangu 2008 na mpo mikoa tofauti, leo ni 2012 kapataje mimba yako? ingekuwa kweli humpendi kama ulivyosema, alipomaliza chuo na kupata kazi tu ungeachana kabisa naye, sasa wewe nanii yake unaitumia, alafu unasema humpendi, tukueleweje? huyo oa tu ndugu yangu
      Don't wait for the Perfect Moment,
      Take the Moment and make it Perfect


    17. #56
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,575
      Rep Power : 12092
      Likes Received
      2814
      Likes Given
      1608

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Huyo kama humpendi jua hata ukimwambia atoe hatakubali. hiyo ndo imekula kwako madhee. naomba mumlee mtoto kwa mapendo. mtu mzuri ni yule aliye lelewa na baba na mama. mwambie ahudhulie clinic. Mia

    18. #57
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,173
      Rep Power : 25450
      Likes Received
      14879
      Likes Given
      15834

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Kumbe ndo maana wewe ni philosopher?
      It's good though to have someone call you 'mom'

      Quote By Kaunga View Post
      Ndio maana nilisema ukweli mchungu.
      Mimi niljiachia kwa kuwa kwanza na tamu that way; lakini pia nilitaka mtoto, na sijawahi juta. He is a reason for everything right now, l mean my sonushka!
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    19. #58
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,725
      Rep Power : 13386
      Likes Received
      8056
      Likes Given
      7426

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Quote By Kongosho View Post
      Kaunga, kumbe wewe ndo huwa unanifuata? Eiyer, njoo umtoe huyu mkeo, kaniganda kama ruba lol
      He remind me of the boy l used to know.....
      Wimbo wa nani yule....

      Kweli tena hiyo kauli nilisharushiwa ya usoni, na one Fundikira son; huenda akawa huyu huyu Boss wako. Inabidi unipe ID yake ya ukwelii.
      The Boss and Kongosho like this.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    20. #59
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,724
      Rep Power : 23490
      Likes Received
      8529
      Likes Given
      5860

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Quote By Kaunga View Post
      Ndio maana nilisema ukweli mchungu.
      Mimi niljiachia kwa kuwa kwanza na tamu that way; lakini pia nilitaka mtoto, na sijawahi juta. He is a reason for everything right now, l mean my sonushka!
      kumbe tamuuu eeeh ngoja nijilipue na mimi siku moja nifaidi utamu..
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    21. #60
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,725
      Rep Power : 13386
      Likes Received
      8056
      Likes Given
      7426

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Quote By Kongosho View Post
      Kumbe ndo maana wewe ni philosopher?
      It's good though to have someone call you 'mom'
      You have no idea, ukishapata ndio utaelewa. He is big, 11 yrs now!

      Sio hivyo tu, anasema l am the best mom in the whole world!
      Kongosho likes this.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    Page 3 of 8 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...