Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

    Report Post
    Page 2 of 8 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 154
    1. #1
      Chal's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 113
      Rep Power : 459
      Likes Received
      45
      Likes Given
      4

      Default Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      habari!
      Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 34, ni mwanafunzi wa Masters katika chuo kimoja hapa nchini. Nimehitimu chuo kikuu UCLAS (kwa sasa Ardhi University) mwaka 2008.Wakati nipo chuoni mwaka wa kwanza nilitokea kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi mwenzangu,mahusiano ambayo mwanzoni sikuona kama yangefika mbali kwani hata jinsi yalivyoanza ilikuwa katika mazingira ambayo hakuna hata mmoja wetu aliyetarajia.

      Tulihitimu chuo mwaka 2008 bahati nzuri kila mmoja wetu akapata kazi ingawa ni mikoa tofauti. Mara kadhaa nilimwambia umuhimu wa kuachana kwani nilihisi kuwa sitakuwa na furaha katika familia kama tutaoana lakini alipinga na kulia sana akidai kuwa yeye ananipenda sana. Nakumbuka wakati tuko chuoni alitaka hata kuacha chuo kwasababu yangu. Sikuwa tayari kuona hili linatokea hivyo niliendelea na mahusiano naye nikitafuta namna nitakavyoachana naye kwa amani.

      Tuliendelea na mahusiano hayo ingawa sikuwa na furaha nayo na bahati mbaya niseme mwezi februari mwaka huu amenambia ana ujauzito wangu. Sifikirii kabisa suala la yeye kutoa mimba kwani kwa umri wangu nataka kuwa na mtoto. Nakumbuka katika mahusiano yetu sikuwahi kuishi naye kama mke wangu mtarajiwa hivyo mambo ninayopenda mke wangu awe nayo na tabia ninazopenda wala sikumuhimiza ayafanye.

      Naomba ushauri nifanyeje nimechanganyikiwa, sitaki kuwa na watoto wa mama tofauti tofauti na pia nataka sana mtoto wake azaliwe salama?

      Last edited by Chal; 12th June 2012 at 20:28.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      wabukoba's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 75
      Rep Power : 408
      Likes Received
      10
      Likes Given
      15

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Miaka 34 ni umri mkubwa na hauwezi jua Mungu kakupangia vp make takea 2008 mpaka mwaka huu ni muda mrefu sana. kama haukuweza pata mwingine hapo katikati mpaka mimba ukampatia nakushauri Muombe mungu akupe moyo wa kumpenda na kumuoa ili mtunze mtoto wenu mtarajiwa. ni hayo tu.
      Maty likes this.

    4. #22
      LEGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2011
      Location : Mwenge dar es salaam
      Posts : 1,057
      Rep Power : 595
      Likes Received
      208
      Likes Given
      145

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Mkuu pole sana ?Sasa wewe unaomba ushauri gani kwa wanajamvi? Unataka wakupe ushauri gani sasa ikiwa majibu yote ambayo ingetakiwa ujibiwe ushayatolea maelezo?
      Mwanamke humpendi,ume mpa mimba,umekuwa naye 5yrs,

      wewe unampenda sana huyo mwanamke sema hujajua na hujijui ni kiasi gani unampenda..Hivi wew hushangai umekuwa naye kwa 5yrs tena mkiwa mikoa tofauti na umeweza kumpa mimba na mda wote huo hukumtafuta huyo unayezania kuwa unampenda au unapenda awe na sifa uzipendazo.

      Mim naomba unipe sababu ni kwanin unasema humpendi huyo mwanamke mwenye mimba yako ni nini? Au kipi kinachofanya usimpende?

      Ukitoa sababu ndiyo hapo watu watapata pakuanzia kukushauri.

      Kaa jipange upya mkuu ungejua ni jinsi gani unampenda huyo mwanamke hata usinge anzisha huu uzi hapa.Sema tatizo lako hujijui.
      Maty likes this.

    5. #23
      Mrembo by Nature's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2011
      Location : Ullentoppen
      Posts : 2,383
      Rep Power : 8906
      Likes Received
      1236
      Likes Given
      1410

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      ni wako huyo, kama hukumpenda why uliendelea kuchovya chovya?au hujui bandu bandu humaliza gogo? sasa ndo unaye huyo ubebe tu mazima. Ila mi hapa sipati point yani mtu humpendi uliwezaje kuwa na uhusiano nae kwa miaka almost 5??hainiingii akilini, ninachoona hapa ni unyama na kukosa fadhila kwa kumtumia binti wa watu kwa miaka 5 alafu leo unasema humpendi. Ungetafuta mazingira mazuri ya kumwambia ukweli mapema ambao haungeleta madhara ili uachane nae mapema aangalie ustaarabu wake na ajaribu bahati yake kwingine. Sasa by now ukiamua kumuacha ndo waweza sababisha madhara makubwa sana.

    6. #24
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1825
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Chal
      Nachelea kusema ni mtoto wa nje ya ndoa kwani bado sijaoa. Nawaza kutooa kabisa ili nisiwe na mke niseyekuwa na furaha naye na pia nisiwe na watoto wenye mama tofauti tofauti
      kama ni hivi mlipie basi mahari halafu mwache akae kwao uwe unazaa naye tu mpaka upate idadi kamili ya watoto unaohitaji
      Maty and conveter like this.

    7. #25
      Chal's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 113
      Rep Power : 459
      Likes Received
      45
      Likes Given
      4

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Quote By Angel Msoffe
      kama ni hivi mlipie basi mahari halafu mwache akae kwao uwe unazaa naye tu mpaka upate idadi kamili ya watoto unaohitaji
      Angel nashukuru kwa ushauri lakini hapo nitakuwa nimemgeuza mtoto wa watu kiwanda cha kunizalia watoto.

    8. Miaka 50

    9. #26
      MduduWashawasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Location : Dar es salaam
      Posts : 461
      Rep Power : 664
      Likes Received
      49
      Likes Given
      6

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Acha hizo wewe .ukishaachia mambo yako sasa unataka kusepa.utapata dem naye atakufanyia hivyo na hapo ndipo utakapokua

    10. #27
      Neylu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 1,481
      Rep Power : 648
      Likes Received
      624
      Likes Given
      606

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Hebu sema ukweli...Una mpenzi mwingine? Angalia usije ukaruka majivu ukaenda kukanyaga MOTO.!

    11. #28
      fabinyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th August 2011
      Posts : 1,809
      Rep Power : 816
      Likes Received
      351
      Likes Given
      278

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      hapo dawa ni wewe kuanza kumpenda,kwanza inaonekana wewe una hofu ya mungu which is good!!mungu awabariki sana
      Maty likes this.

    12. #29
      jamiif's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 956
      Rep Power : 547
      Likes Received
      242
      Likes Given
      511

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      mimi naona limuepukalo mtu lina kheri naye...huyu bwana mimi naona afuate moyo wake kwani ndoa sio ya kujaribisha kama nguo, asije akamuoa huyo dada 'basi tu' akaishia kumtesa dada wa watu..ebu tuangalie mbali kidigo. Pia inawezekana huyu bwana ana mtu wake mwingine anayempenda kwa dhati ndio maana anakuwa hajui anataka nini zaidi....ila NINIMLAUMU sana huyu jamaa kwa kumpotezea muda huyu dada, kwani ungemwambia na ukastick katika msimamoo wako kuwa hutegemei kuja kuwa naye km mke na mume ungepungukiwa nini? kuwa makini, muhimu hapo jicommit kumtunza mtoto, ila suala la mapenzi na huyo dada liweke wazi ili asije umia mtu either wewe, yeye au mtoto au huyo 'unayempenda' wewe....na hata ukija kuoa mwingine umjulishe kuwa una mtoto tayari usije fanya siri ikakutokea puani....kuwa muwazi, fuata moyo wako!

    13. #30
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,084
      Rep Power : 6540
      Likes Received
      2645
      Likes Given
      1301

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Wewe ndio unaconfuse the whole issue. Kumbe mlimaliza mwaka 2008 na ulifanya hivyo ili asiache chuo sasa baada ya hapo ulikuwa na ulazima nae gani. Inamaana ulipendezewa kupewa malovey dovey kwahiyo ni lazima uchukue majukumu yako ndio ishatokea kuwa utakuwa na mtoto wa nje.

      Endeleza uhusiano na kutunza mimba hii itasaidia kutokumdhuru mama na mtoto kutokana na hali yake ya ujauzito kwa sasa. Akishazaa ndio bwaga manyanga hiyo kitu ya kuwa hutaki watoto na mama tofauti hauko tena kwenye uwezo wako labda ukane mimba tokea sasa.

      Swali langu kumbe unajua unachokitaka kwanini uliishi nae goddamn more 5 years ya kumpa matumaini....halafu mnasoma Masters ambazo kufikiria logic things doesn't even help you.
      Maty likes this.
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    14. #31
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      watu wengine bwana ndio maana kuzimu watakutana wengi sana wa sampuli kama yako...sasa kutesa mwanadamu mwenzako kwakuwa anakupenda ndio ujanja?? sikusapoti kabisa ndugu.don't abuse her love for you..this is purely an abuse of which no reasonable man can agree with..

    15. #32
      The Listener's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 468
      Rep Power : 461
      Likes Received
      93
      Likes Given
      18

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      umenikumbusha ile statement ya 'sitaki nataka'. Inaweza kuwa vigumu sana kumuacha na hasa akiamua kung'ang'ania kwa kuwa ana kiumbe chako tumboni. Mimi nashindwa kuelewa sehemu moja tu. Unashindwaje kama mwanaume kukaa naye vizuri na kupata hitimisho la mahusiano yenu kama mlivyokaa mlipokutana hapo mwanzo wakati mnatongozana. Ustaarabu wa leo hii kuachana wala si ugomvi. Kaeni chini mpate suluhisho . Ukumbuke pia kwamba umri wako hausimami

    16. #33
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,099
      Rep Power : 14282
      Likes Received
      3985
      Likes Given
      3250

      Default

      Quote By Preta
      lakini jamaa hampendi....raha ya ndoa kupendana.....mapenzi ya kuoneana huruma hayafai....
      kaka mwenye thread.....nakushauri fuata moyo wako.....
      Preta preta preta, uliwahi kuona mtoto akilelewa na mama wa kambo au baba wa kambo? kosa ni la mleta mada kupiga kavukavu sasa asije akapelekea mateso kwa mtoto siku za baadae..
      Kaizer, Preta and Maty like this.

    17. #34
      Ngekewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2008
      Posts : 4,483
      Rep Power : 1450
      Likes Received
      388
      Likes Given
      181

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Quote By Chal
      habari!
      Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 34, ni mwanafunzi wa Masters katika chuo kimoja hapa nchini. Nimehitimu chuo kikuu UCLAS (kwa sasa Ardhi Univeversity) mwaka 2008.Wakati nipo chuoni mwaka wa kwanza nilitokea kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi mwenzangu,mahusiano ambayo mwanzoni sikuona kama yangefika mbali kwani hata jinsi yalivyoanza ilikuwa katika mazingira ambayo hakuna hata mmoja wetu aliyetarajia.

      Tulihitimu chuo mwaka 2008 bahati nzuri kila mmoja wetu akapata kazi ingawa ni mikoa tofauti. Mara kadhaa nilimwambia umuhimu wa kuachana kwani nilihisi kuwa sitakuwa na furaha katika familia hama tutaoana lakini alipinga na kulia sana akidai kuwa yeye ananipenda sana. Nakumbuka wakati tuko chuoni alitaka hata kuacha chuo kwasababu yangu. Sikuwa tayari kuona hili linatokea hivyo niliendelea na mahusiano naye nikitafuta namna nitakavyoachana naye kwa amani.

      Tuliendelea na mahusiano hayo ingawa sikuwa na furaha nayo na bahati mbaya niseme mwezi februari mwaka huu amenambia ana ujauzito wangu. Sifikirii kabisa suala la yeye kutoa mimba kwani kwa umri wangu nataka kuwa na mtoto. Nakumbuka katika mahusiano yetu sikuwahi kuishi naye kama mke wangu mtarajiwa hivyo mambo ninayopenda mke wangu awe nayo na tabia ninazopenda wala sikumuhimiza ayafanye.

      Naomba ushauri nifanyeje nimechanganyikiwa, sitaki kuwa na watoto wa mama tofauti tofauti na pia nataka sana mtoto wake azaliwe salama?


      Endelea nae mpaka ajifungue salama na umsaidie malezi ya mtoto na baadaye utafute unayemuhisi atakufaa kuwa mke wa ndowa. Tilia maanani kuwa kati ya sifa za huyo mke wako wa baadae utakaemtafuta, ni ya kuwa tayari kumlea mwanao.
      Hali uliyojiingiza haikupi uhuru wa kuamuwa kupata kila unachotaka hivyo lazima upangue matarajio yako yaende na hali inayokukabili. Kama utaamuwa kumfunza hayo mambo unayoyataka awe nayo mkeo mtarajiwa itakuwa solution nzuri zaidi.

    18. #35
      mangulumbwisi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 369
      Likes Received
      16
      Likes Given
      26

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      chal, hebu kaa chini kwanza uanze kufikiria upya, kwani unaweza jikuta unakataa pema, unakimbilia pabaya, Pili fikiria kama ingekuwa ni wewe ungejisikiaje?????????. Huyo ndio mke sahihi kwako. Kaeni chini mzungumze kama kunatofauti mzimalize muanze maisha upya. Niliwahi kukutana na tatizo kama lako ila mimi niliahidiwa ndoa, nikajitunza vema, nikitegemea sikumoja tutafunga ndoa. Matokeo yake niliachwa njia panda.Niliumia sana siku na jinsi, baadae nikaja kuolewa na ninafurahia maisha vema sana . Ila upande wa pili Mwenzangu yaliyompata mpaka leo anajuta, alishakuja na kunitolea machozi lakini ilikuwa toooo late. ameoa mke si mke ni matatizo, ukisikia ndoa ndoano ndiyo yake. So please kaa chini ufikirie usije juta baadae.
      Maty likes this.

    19. #36
      mandieta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Posts : 2,769
      Rep Power : 896
      Likes Received
      278
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Chal
      habari!
      Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 34, ni mwanafunzi wa Masters katika chuo kimoja hapa nchini. Nimehitimu chuo kikuu UCLAS (kwa sasa Ardhi Univeversity) mwaka 2008.Wakati nipo chuoni mwaka wa kwanza nilitokea kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanafunzi mwenzangu,mahusiano ambayo mwanzoni sikuona kama yangefika mbali kwani hata jinsi yalivyoanza ilikuwa katika mazingira ambayo hakuna hata mmoja wetu aliyetarajia.

      Tulihitimu chuo mwaka 2008 bahati nzuri kila mmoja wetu akapata kazi ingawa ni mikoa tofauti. Mara kadhaa nilimwambia umuhimu wa kuachana kwani nilihisi kuwa sitakuwa na furaha katika familia hama tutaoana lakini alipinga na kulia sana akidai kuwa yeye ananipenda sana. Nakumbuka wakati tuko chuoni alitaka hata kuacha chuo kwasababu yangu. Sikuwa tayari kuona hili linatokea hivyo niliendelea na mahusiano naye nikitafuta namna nitakavyoachana naye kwa amani.

      Tuliendelea na mahusiano hayo ingawa sikuwa na furaha nayo na bahati mbaya niseme mwezi februari mwaka huu amenambia ana ujauzito wangu. Sifikirii kabisa suala la yeye kutoa mimba kwani kwa umri wangu nataka kuwa na mtoto. Nakumbuka katika mahusiano yetu sikuwahi kuishi naye kama mke wangu mtarajiwa hivyo mambo ninayopenda mke wangu awe nayo na tabia ninazopenda wala sikumuhimiza ayafanye.

      Naomba ushauri nifanyeje nimechanganyikiwa, sitaki kuwa na watoto wa mama tofauti tofauti na pia nataka sana mtoto wake azaliwe salama?

      Kama hukumpenda mbona "uboho"wako ulisimama?na ukamuingizia mpaka kapata mimba binti wa watu?Kwani ukipanda korosho unatarajia kuvuna nn?au unataka kumtema kiaina?

    20. #37
      ESAM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2011
      Posts : 662
      Rep Power : 678
      Likes Received
      171
      Likes Given
      62

      Default

      Quote By Chal
      Nachelea kusema ni mtoto wa nje ya ndoa kwani bado sijaoa.
      Nawaza kutooa kabisa ili nisiwe na mke niseyekuwa na furaha naye na pia nisiwe na watoto wenye mama tofauti tofauti
      Acha utoto mdogo wangu, cha kufanya badili mawazo yako jitahidi na kumwomba Mungu akusaidie ili uanze kumpenda huyo dada mfunge ndoa na kuanza maisha ya pamoja kama mke na mume na kulea mtoto wenu. Natamani sana ningeonana na wewe nikakushauri sana. Kwa sababu unaposema humpendi lakini bado ulikuwa radhi kufanya naye ngono mpaka kumpa ujauzito, nadhani kuna tatizo moja tu kuna vitu au tabia unataka awe navyo ambavyo nafikiri ukimkubali utakuwa umetatua tatizo kubwa sana kwani hutaona tena mapungufu aliyo nayo kama unavyoona sasa. Kitu cha msingi ni kwamba yeye ni mwanadamu, tena mwanamke na wewe ni mwanaume. Kwa hiyo, huo ndio msingi (au katika falsafa yaani philosophy tunaita substance) hayo mengine ya mvuto, tabia, na mengine ni accidentals ambazo zingine zinaweza kujengwa kwa mazoea tu.
      Nakushauri na kukusihi sana usimwache huyo dada na kamwe kamwe msifikiri kufanya abortion kwani hapo mtakuwa mmedondoka shimoni kabisa. Cha msingi kubaliana na hali na ufute ndoto za kutooa kwani hutaweza na utaishi maisha ya kihuni kabisa.

    21. #38
      Caroline Danzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 2,712
      Rep Power : 1073
      Likes Received
      649
      Likes Given
      214

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Quote By The Boss
      haukuwahi kusikia matangazo ya kutumia kifudusi(condoms)??????????
      Kifudusi, umenipa msamiati leo. The boss mzima wewe? lol
      The Boss likes this.

    22. #39
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,954
      Rep Power : 3698
      Likes Received
      3574
      Likes Given
      5748

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      Duniani kuna kazi ...kwa nini mlikuwa mnabanjuana bila protection kama ulikuwa humpendi?
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    23. #40
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,173
      Rep Power : 23376
      Likes Received
      8140
      Likes Given
      5853

      Default Re: Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

      basi mpe sumu huyo dada maana hueleweki....
      wanaume wa siku hizi ndo maana k yangu ipo closed kwa muda....upepo sio mzuri kabisaaaaaaaaaa
      Maty and Kongosho like this.
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    Page 2 of 8 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...