Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: ni J2 njema tujenge ndoa zetu tena........

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 34 of 34
    1. #1
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,791
      Rep Power : 27114
      Likes Received
      10120
      Likes Given
      14059

      Default ni J2 njema tujenge ndoa zetu tena........

      wapendwa wana mmu. habari za jumapili? natumai ni njema sana kwani wengine mko kwenye sherehe za vipaimara na wengine mko na mechi ya spain na italy. yote ni heri tu katika kujipa raha.

      Leo nimekuja tena na mada hapa nataka tuidadavue kuhusu mahusiano yetu na wenzi wetu.
      Hivi ni kwanini wapenzi tunazoeana sana kiasi kwamba tunashindwa kabisa kudumisha mapenzi yetu? kwa nini inakuwepo dhana ya kuzoeana sana kuliko pitiliza kunakopelekea kuona mwenzi wangu ni mtu wa kawaida tu?

      mathalani mama/binti akishakaa na mwenzi wake baada ya muda hakuna tena hata kuflirt nae, akimtumia sms kama ni mchana basi ni ile ya kawaida tu ambayo haionyeshi kujali au haimuhamasishi mpenzi wako. Pia na wanume nao hivyo hivyo. kwanini?

      miye kungwi wenu kwa usukununu wangu nimegundua kuwa wanaotuibia wapenzi wetu wako makini sana mara zote anatuma sms kwa mpenzi kumbembeleza, kumsifia na wengine wanakumbushia hata mchezo walivyofaidi ili hali sisi tulioko ndani tumekaa kimya tunajua ni wangu tu, kwanini nimvizie na manati....lol jamani turudi nyuma tena tuanze kuweka vizuri mapenzi yetu.


      mwenye masikio na asikie neno hili.
      Young Master and Neiwa like this.

    2. Miaka 50

    3. #21
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,056
      Rep Power : 14521
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5006

      Default Re: ni J2 njema tujenge ndoa zetu tena........

      BADILI TABIA, kwani unavote big brother?? lol!
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    4. #22
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2726
      Likes Received
      747
      Likes Given
      6

      Default Re: ni J2 njema tujenge ndoa zetu tena........

      Quote By gfsonwin
      umeoina hiyo eeh! lkn hii kwa sisi wana physikia tunaita minimum factor of safety kama mwandisi utakuwa umenisoma. ile some flirting huwa ni kali sana best lakin ndipo mtu anapotolea uvivu wake au wengine wapo wasubirie hayo maneno matam wakacopy na kupaste kwa spouses wao.
      haya maneno matamu yakiendelea kuwa intense, hudhani kwamba mtu anaweza kuanza kuwa na second thoughts? yaani kwamba kama huyu dada/kaka anaweza kuninyegesha hivi online, probably tukikutana physically things could turn out real superb...
      gfsonwin likes this.
      If You Can't Fight Them, Join Them!

    5. #23
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: ni J2 njema tujenge ndoa zetu tena........

      gfsonwin,ni kweli naweza kuamua kuwa na wanawake wengi nitakavyo,lakini pia naweza nikaamua nikawa na mwanamke mmoja au kutokua na mwanamke kabisa.Ni jambo la kuamua tu.Ndo maana nikasema jambo la kuamua ucheat au la liko kwenye mamlaka yako.Na msimamo wangu ni huu,kucheat ni UJINGA kwa sababu ni UJINGA kucheat.That's all!
      gfsonwin likes this.

    6. #24
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2726
      Likes Received
      747
      Likes Given
      6

      Default Re: ni J2 njema tujenge ndoa zetu tena........

      Quote By gfsonwin
      Lakini pia wana mmu tusisahau kuwa mapenzi ya nje yananoga sana kwakua huyu muusika na mpenzi wake they dont meet oftenly, wao watakutana once in a week, ila kila siku wanabembeleza na sms kali na tamu. so wakikutana kila siku ni wapya ni stresses, hakuna kununiana ni full shangwe tu na hata game inakuwa surperb , kwani kila mmoja ana hamu na mwenziye na wamedumu wk nzima wakinyegeshana.
      I agree with you... kwanza kidume utajipeleleka kwa mpenzi/nyumba ndogo wakati uko vizuri siku hiyo financially (kama uko alosto utakuwa na visingizio kibao vya kutotia timu); mpenzi naye most probably atakuwa ameenda kujilipua salon; mtakuwa hamjaonana kitambo, so kila mmoja ana hamu na mwenzake; mtakuwa mshawekana tayari psychologically kwa vi-sms vya 'i miss you', 'i am dying to see you'; 'leo nna nyege sana' na uwongo uwongo mwingine kibao n.k.

      in contrast, nyumba kubwa mnaishi maisha real na mna-face real problems/situations: kuna kulipa bills, school fees, mna mgonjwa katoka kijijini kuja kutibiwa mjini, kodi ya nyumba imeisha (kama hamjajenga), mama/baba mnalala wote, mnaamka wote so unamuona jinsi alivyo in her/his natural state (kwa wale wanaoangalia big brother africa mtakuwa mmemuona barbz wa siku hizi na yule aliyeingia kwa mbwembwe siku ya kwanza, kwa sababu unamuona 24/7 na kuna wakati anakuwa kama ametoka kijijini leo).


      so maisha ya kukaa na mtu ndani ya ndoa (even hata cohabitation tu) yanahitaji effort ya pekee kufanya moto wa mapenzi uendelee kuwaka, la sivyo mnaweza ku-turn out kuwa mtu na dadake hivihivi...
      gfsonwin likes this.
      If You Can't Fight Them, Join Them!

    7. #25
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,791
      Rep Power : 27114
      Likes Received
      10120
      Likes Given
      14059

      Default Re: ni J2 njema tujenge ndoa zetu tena........

      Quote By cartura
      I agree with you... kwanza kidume utajipeleleka kwa mpenzi/nyumba ndogo wakati uko vizuri siku hiyo financially (kama uko alosto utakuwa na visingizio kibao vya kutotia timu); mpenzi naye most probably atakuwa ameenda kujilipua salon; mtakuwa hamjaonana kitambo, so kila mmoja ana hamu na mwenzake; mtakuwa mshawekana tayari psychologically kwa vi-sms vya 'i miss you', 'i am dying to see you'; 'leo nna nyege sana' na uwongo uwongo mwingine kibao n.k.

      in contrast, nyumba kubwa mnaishi maisha real na mna-face real problems/situations: kuna kulipa bills, school fees, mna mgonjwa katoka kijijini kuja kutibiwa mjini, kodi ya nyumba imeisha (kama hamjajenga), mama/baba mnalala wote, mnaamka wote so unamuona jinsi alivyo in her/his natural state (kwa wale wanaoangalia big brother africa mtakuwa mmemuona barbz wa siku hizi na yule aliyeingia kwa mbwembwe siku ya kwanza, kwa sababu unamuona 24/7 na kuna wakati anakuwa kama ametoka kijijini leo).


      so maisha ya kukaa na mtu ndani ya ndoa (even hata cohabitation tu) yanahitaji effort ya pekee kufanya moto wa mapenzi uendelee kuwaka, la sivyo mnaweza ku-turn out kuwa mtu na dadake hivihivi...

      now ma lovely bro cartura you said it correct. ok unafikir nini kifanyike kakaa ili haya mapenzi ya ndani yanoge kama hayo ya nje? kumbuka kabisa ni lazima wa ndani muonane tu, sasa ila kuonana kule kwenu kusiwe kunaboa what shd be done?
      hapo usiache kuconsider kwamba kunakukoseana, kuna ubize and so forth?


    8. #26
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,791
      Rep Power : 27114
      Likes Received
      10120
      Likes Given
      14059

      Default Re: ni J2 njema tujenge ndoa zetu tena........

      Quote By Eiyer
      gfsonwin,ni kweli naweza kuamua kuwa na wanawake wengi nitakavyo,lakini pia naweza nikaamua nikawa na mwanamke mmoja au kutokua na mwanamke kabisa.Ni jambo la kuamua tu.Ndo maana nikasema jambo la kuamua ucheat au la liko kwenye mamlaka yako.Na msimamo wangu ni huu,kucheat ni UJINGA kwa sababu ni UJINGA kucheat.That's all!
      Eiyer pokea like zangu 1000. i like what you said ma lito bro. Keep it up.

    9. #27
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2726
      Likes Received
      747
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By gfsonwin
      now ma lovely bro cartura you said it correct. ok unafikir nini kifanyike kakaa ili haya mapenzi ya ndani yanoge kama hayo ya nje?
      gfsonwin ndiyo maana nikasema inahitajika effort... siyo kwamba haiwezekani kufanya moto wa mapenzi uendelee kuwaka; in most cases tukishaingia ndani, hatufanyi effort tena... una-take for granted kwamba huyu ni mwenza na yupo tu whether i do it or not... tunakuwa swept away na changamoto za maisha, mambo ya mapenzi ndani ya nyumba inakuwa si priority tena; vidokezo ulivyotoa kwenye uzi wako ni very important katika kurudisha mahusiano kwenye level ambayo thrills, sparks. excitement, suspense etc vitarudi kunogesha majamboz...

    10. #28
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,791
      Rep Power : 27114
      Likes Received
      10120
      Likes Given
      14059

      Default Re: ni J2 njema tujenge ndoa zetu tena........

      Quote By cartura
      gfsonwin ndiyo maana nikasema inahitajika effort... siyo kwamba haiwezekani kufanya moto wa mapenzi uendelee kuwaka; in most cases tukishaingia ndani, hatufanyi effort tena... una-take for granted kwamba huyu ni mwenza na yupo tu whether i do it or not... tunakuwa swept away na changamoto za maisha, mambo ya mapenzi ndani ya nyumba inakuwa si priority tena; vidokezo ulivyotoa kwenye uzi wako ni very important katika kurudisha mahusiano kwenye level ambayo thrills, sparks. excitement, suspense etc vitarudi kunogesha majamboz...
      nimependa sana mchnago wako cartura lakin kuna swala ambalo limenijia tena nilipo kuwa nasoma hii comment yako je hii inategemeana na hela au kipato cha familia? lyaani ili kurudisha penzi ama kupalilia penzi kuna gharama in terms of cash?

    11. #29
      Msemaovyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 391
      Rep Power : 512
      Likes Received
      82
      Likes Given
      59

      Default Re: ni J2 njema tujenge ndoa zetu tena........

      Haka kauzi katamu na knanihusu kweli yaani especially kwenye hili la kuzoeana.Bila kuwa bias wanawake wanachangia sana kwenye hili coz mi mwenyewe kama mfano halisi uwezo wangu ulivyo ni kupiga mzigi daily yaani mapumziko ni siku zile tu za angani.
      Sasa tangu huyu mama apate mtoto kawa mvivu yaani nikiomba mzigo inakuwa vita wakati mwingine anawahi kulala ili nisimwamshe na asubuhi hataki kabisa kunisikia.
      To be honest hii kitu imenifanya nika-recruit kitu kipya so nikitoka job napitia napiga vyangu viwili nimirudi home maisha amani tele.So niliamua kutafuta amani nyumbani kwa style hii.
      Note kwamba nili-share naye kuwa hanitendei haki na kumkumbusha jinsi tulivyokuwa tukicheza mechi daily kabla kuwa pamoja ile hakuonesha kujali.

    12. #30
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2726
      Likes Received
      747
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By Msemaovyo
      Sasa tangu huyu mama apate mtoto kawa mvivu yaani nikiomba mzigo inakuwa vita wakati mwingine anawahi kulala ili nisimwamshe na asubuhi hataki kabisa kunisikia.
      To be honest hii kitu imenifanya nika-recruit kitu kipya so nikitoka job napitia napiga vyangu viwili nimirudi home maisha amani tele.So niliamua kutafuta amani nyumbani kwa style hii.
      very typical and vivid example...hii inatokea sana mkuu na solution ni kutafuta 'safety valve' kabla viluilui havigeuka kuwa vyura

    13. #31
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2726
      Likes Received
      747
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By gfsonwin
      ili kurudisha penzi ama kupalilia penzi kuna gharama in terms of cash?
      not necessarily... inategemea na standard na type ya maisha mnayoishi...babu yangu kule kijijini akimenyewa muhogo mbichi na bibi, akakaribishwa kwa bashasha na maneno matamu na probably babu badala ya kwenda kupata pombe za kienyeji akakaa na mkewe wanaota moto pamoja huku wanapiga stori za kukumbushana jinsi babu alivyokuwa ana uwezo wa kwenda round kadhaa bila kuchoka; that kind of little and priceless gestures could rekindle and keep the flame of their love burning bila kuhitaji loads of cash
      Last edited by cartura; 11th June 2012 at 23:01.
      gfsonwin likes this.

    14. #32
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By gfsonwin
      Eiyer pokea like zangu 1000. i like what you said ma lito bro. Keep it up.
      Senkiyu veri much gfsonwin!
      gfsonwin likes this.

    15. #33
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,791
      Rep Power : 27114
      Likes Received
      10120
      Likes Given
      14059

      Default Re: ni J2 njema tujenge ndoa zetu tena........

      Quote By cartura
      not necessarily... inategemea na standard na type ya maisha mnayoishi...babu yangu kule kijijini akimenyewa muhogo mbichi na bibi, akakaribishwa kwa bashasha na maneno matamu na probably babu badala ya kwenda kupata pombe za kienyeji akakaa na mkewe wanaota moto pamoja huku wanapiga stori za kukumbushana jinsi babu alivyokuwa ana uwezo wa kwenda round kadhaa bila kuchoka; that kind of little and priceless gestures could rekindle and keep the flame of their love burning bila kuhitaji loads of cash

      teh teh teh teh yaan babu na bibi tena.............lolz! i thought sasa hivi hawayaongei tena haya manake wamesha zeeka. kumbe bado lol, mapenzi kitu cha ajabu sana.

    16. #34
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2726
      Likes Received
      747
      Likes Given
      6

      Default Re: ni J2 njema tujenge ndoa zetu tena........

      Quote By gfsonwin
      teh teh teh teh yaan babu na bibi tena.............lolz! i thought sasa hivi hawayaongei tena haya manake wamesha zeeka. kumbe bado lol, mapenzi kitu cha ajabu sana.
      sina unajua tena gfsonwin mapenzi is not only that 'thing' eeh, so hata mmoja wa spouses aki-paralyse kiuno akashindwa ku-do, bado atahitaji mapenzi... (this is debatable katika ulimwengu huu wa dot.com, though)
      gfsonwin likes this.
      If You Can't Fight Them, Join Them!

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...