Nina msichana wangu fulani ametembea na anko wangu tena amemwambia iwe siri sasa anko kaniambia,je nimlaumu nani?.
Nina msichana wangu fulani ametembea na anko wangu tena amemwambia iwe siri sasa anko kaniambia,je nimlaumu nani?.
Bibie! Usijisifu Kuwa Una Mimba: Msifie Aliyekupa Mimba.
we usimlaumu mtu we mwache anza mbele watoto wa tisin ndo zao hzo lol...pole
Catch me if you can....
Wote wanamakosa lakini kua muungwana wala usilipize mdharau tuu huyo Uncle wako, na huyo mwanamke malizana nae pia.
"It is better to be hated for what you are then to be loved for what you are not."
Wote wana makosa na wanapaswa kulaumiwa. Anko wako anapaswa kulaumiwa kwa kutembea na mpenzi wako huku akijua kuwa nyie mu wapenzi na huyo mpenzi wako pia naye anapaswa kulaumiwa kwanza kwa kumkubali anko wako wakati akijua kuwa wewe na anko wako ni ndugu lakini pia ili hali akijua kuwa nyie bado ni wapenzi. Kitendo cha kishetani, cha laana ambacho kinastahili adhabu kali.
Badala ya kuumia unapaswa kumshukuru Mungu kwa kukuonyesha tabia ya huyo msichana wako kabla hata hamjafunga ndoa huweiz jua pengine yangaeweza kuja kutokea makubwa zaidi hapo baadae ambayo yangeuvunja moyo wako. Mfano: hivi ungejisikiaje kama ungekuja kuambiwa kuwa huyo mpenzi ambaye kwa wakati huo ni mke wako ametembea na baba yako, kaka yako, mdogo wako, au pengine hata mtoto wako mwenyewe?
Kuna dosari ndogo ndogo katika tabia ya mtu ambazo zinaweza kuvumilika na kurekebishika lakini ukishaona tabia za ajabu ajabu kama hizo ujue hiyo ni taa nyekundu unawashiwa na unapaswa ukimbie mapema sana.
Ndoa si swala la kufanyiwa mzaha au majaribio. Once decide to do it, there is no turning back. Think about it kaka na uamue mapema before its too late.
Advertise your products, business & services with us 100% free |www.globaladverts.biz
Follow Us Here