Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nataka nijue ukweli...

    Report Post
    Results 1 to 18 of 18
    1. #1
      ISSA SHARAFI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th April 2012
      Posts : 89
      Rep Power : 377
      Likes Received
      9
      Likes Given
      6

      Default Nataka nijue ukweli...

      Habari za saa hizi ndugu wanaharakati wa jf nafikiri bado mnaendelea kukuna vichwa vyenu ili muweze kutukusanyia na kutuletea habari mbalimbali zinazotokea kila kukicha.
      Shida yangu ni kwamba ni muda mrefu sasa najaribu kufuatilia na kutafakari ili niweze kupata jibu lililosimama (kueleweka) ila bado inakuwa ngumu.
      Ndio maana nimeamua kuanika ktk ukurasa huu wa watu wa busara ili mnisaidie katka hili, Yaani nani mwenye mapenzi ya kweli (anayependa) zaidi kati ya mwanaume na mwanamke?


    2. #2
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,950
      Rep Power : 6902
      Likes Received
      2745
      Likes Given
      36

      Default Re: Nataka nijue ukweli..........

      Hakuna uhusiano kati ya jinsia na upendo!

    3. #3
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,142
      Rep Power : 25444
      Likes Received
      14847
      Likes Given
      15795

      Default Re: Nataka nijue ukweli..........

      wee kilichokuvutia kwenye hili swali ni nini?

    4. #4
      Never give up's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2009
      Location : miles from nowhere
      Posts : 3,725
      Rep Power : 1241
      Likes Received
      748
      Likes Given
      616

      Default Re: Nataka nijue ukweli..........

      inategemea.

    5. #5
      Neiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2012
      Location : My Profile
      Posts : 619
      Rep Power : 6936
      Likes Received
      460
      Likes Given
      553

      Default Re: Nataka nijue ukweli..........

      Hivi kupenda kumewekewa species moja tu? kuwa ni lazima awe mwanamke au mwanaume ndio anapenda zaidi? sio hivo Isaa, It dependes na watu wenyewe na mahusiano yenyewe.
      "Sometimes its Ok not to be Ok"


    6. #6
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24028
      Likes Received
      2400
      Likes Given
      3298

      Default Re: Nataka nijue ukweli...

      Mapenzi ya kweli??..
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    7. #7
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,137
      Rep Power : 7239
      Likes Received
      2870
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Kongosho
      wee kilichokuvutia kwenye hili swali ni nini?
      Kavutiwa na swali alilouliza.

    8. #8
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2729
      Likes Received
      748
      Likes Given
      6

      Default Re: Nataka nijue ukweli...

      same old question...yeyote anaweza kuwa au kutokuwa na mapenzi zaidi ya mwenzake

    9. #9
      Ninaweza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Location : bukonda moyo
      Posts : 2,218
      Rep Power : 884
      Likes Received
      327
      Likes Given
      746

      Default

      Quote By Neiwa
      Hivi kupenda kumewekewa species moja tu? kuwa ni lazima awe mwanamke au mwanaume ndio anapenda zaidi? sio hivo Isaa, It dependes na watu wenyewe na mahusiano yenyewe.
      Men & women belong in one specie, mambo vp lakini

    10. #10
      Neiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2012
      Location : My Profile
      Posts : 619
      Rep Power : 6936
      Likes Received
      460
      Likes Given
      553

      Default Re: Nataka nijue ukweli...

      Quote By Ninaweza
      Men & women belong in one specie, mambo vp lakini
      Ninaweza we are of the same species but completely different, I meant it in that sense.. sababu ni wazi women will never completely understand men and vice versa... Mambo salama. It is a weekend, yale mabaya unaweka tu 'pause' button.
      "Sometimes its Ok not to be Ok"

    11. #11
      promiseme's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2010
      Posts : 1,104
      Rep Power : 691
      Likes Received
      314
      Likes Given
      16

      Default Re: Nataka nijue ukweli...

      Mwanamke akipenda hua anapenda kweli...
      "It is better to be hated for what you are then to be loved for what you are not."

    12. #12
      Mirhea's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 127
      Rep Power : 394
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: Nataka nijue ukweli...

      let me think..

    13. #13
      segere's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : Morogoro
      Posts : 63
      Rep Power : 403
      Likes Received
      6
      Likes Given
      2

      Default Re: Nataka nijue ukweli...

      Kiukweli WANAUME ndo TUNAPENDA ila WANAWAKE wanatuhurumia tu, ila tatizo ni kwamba HURUMA ya mwanamke ni mara 12 ya KUPENDA kwa mwanaume. na ndo maana MAPENZI YA KWELI huanzia kwa MWANAMKE na baadaye kumwambukiza mwanaume..

    14. #14
      mgeni10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2010
      Posts : 466
      Rep Power : 527
      Likes Received
      109
      Likes Given
      506

      Default Re: Nataka nijue ukweli...

      promiseme, Hujaona/sikia mwanaume anajiua kwa sababu ya kupenda????

      Kwa hili wote wanapenda na wote hawapendi, Ni makundi ya watu Duniani, wala huwezi sema mmoja anawekeza kwenye kupenda kuliko mwingine kwa jinsia

    15. #15
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,264
      Rep Power : 1513
      Likes Received
      244
      Likes Given
      251

      Default Re: Nataka nijue ukweli...

      Kinakipimo kimoja kinaitwa LOVEMETER nenda kanunue upime utaona yupi anayependa zaidi sawa?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    16. #16
      MwalimuZawadi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2007
      Posts : 623
      Rep Power : 727
      Likes Received
      50
      Likes Given
      3

      Default Re: Nataka nijue ukweli...

      Utatafuta shamba Kariakoo?
      Sent from my Nokia rinGo using JamiiForums

    17. #17
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 593
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Nataka nijue ukweli...

      Memory is still loading hapo! Au swali labda halijakaa sawa.

    18. #18
      Bazazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Location : Mzururaji
      Posts : 1,318
      Rep Power : 816
      Likes Received
      351
      Likes Given
      111

      Default Re: Nataka nijue ukweli...

      Wenye upendo ni wanaume (viumbe vya kiume) na hivyo huugawa sana upendo wao. Upendo kuzidi Ndio sababu tuna POLYGAMY nyingi kuliko POLIANDRY.

      Bazazi ni Bazazi!
      Bibie! Usijisifu Kuwa Una Mimba: Msifie Aliyekupa Mimba.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...