Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mahaba niue!

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 23 of 23
    1. #1
      Mtaftaji's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Posts : 171
      Rep Power : 414
      Likes Received
      24
      Likes Given
      1

      Default Mahaba niue!

      Ndg zangu tenda wema uende zako,wahenga wamenena,jamani tamu ya penzi kupenda upendwapo,huko U.K kulikua na dada 1 aliku anafanya kazi maigration huyo dada ana asili ya kijamaika katika pita pita zake akakutana na dreva tax ambae ni mtanzania wakawa marafiki dada alickitishwa na maisha ya yule kaka kwakua yule kaka alikua analala kwenye tax yake, shida yote kwa kua alikua c raia wa kule,dada alikua ana nia safi ya kumsaidia ktk urafiki wakapendana dada akamwambia kaka waoane ili iwe raic kupata uraia basi ndugu zanguni wakaoana,lakin uhamiaji wakatia shaka kua ile ndoa ni ya kupanga kwakua mbona imefanyika ghafla,yule dada alikua na mapenzi jamani akapata akili ya kuzăa ili awathibitishie kua ni wanandoa na c wababaishaji,dada kabeba mimba ya kwanza ikatoka,ya2,ya3,ya4,zt zimetoka,hakukata tamaa kabeba ya 5 mungu ni mwema akazaa mapacha wakiume wa2 yule kaka akapa uraia wa U.K kwa sasa wanamiaka 16 katika ndoa ,mwanaume akadai kuwa anaham ya mtoto wa kike akapendekeza kua aliză mtoto TANZANIA wa kike akamuomba mkewe amfanyie mpango mwanawe nae aende huko walipo wao,mke ana true love akafanya mpango mtoto wa mume akagusa ardhi ya U.K,baada ya mda mume akataka waje na familia yao Tanzania ili aitambulishe kwa wazazi wake Bukoba,wakaja bht mby wakamkuta baba wa mume anaumwa mjamaika akauguza mpaka baba akafariki, mke alikua anapesa alimsaidia mume na familia ya mume,kule U.K mke aliacha kazi na maisha yao ya kawa TZ, wakpta mtoto mwengine wa kike anmiaka 7 sasa,mume akawa msaliti kwakua mke hajui kiswahili mume akawa ana tumia kiswahili kuwasiliana na kimada wa kitanga, gari za mwanamke zilikua 3 mume ăkauza na 1 akampa kmada, mke akawek bondi nyumba ya u.k ili kukidhi mahitaji kwani mume anakazi nzuri sasa u.k ila hana msăda kwa familia, sasa amempelekä kimada katika nyumba ya mke na kumhatarishia mke amani, kamtelekeza mke ugenini akiulizwa anasema hana mapenzi alitaka uraia wa U.K,watoto kawakana anasema si wake,wana jf uwanja wenu huyu mke anastahiki malipo hayo.
      Last edited by Mtaftaji; 9th June 2012 at 09:15.

    2. Study Abroad

    3. #21
      Bufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 337
      Rep Power : 427
      Likes Received
      56
      Likes Given
      161

      Default Re: Mahaba niue!

      "Karma is a bitch" inamaanisha umtendavyo mtu vivyo hivyo utatendewa. Jamaa asubiri tu malipo yake yanakuja upesi

    4. #22
      LARRYBWAY's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : Temeke
      Posts : 71
      Rep Power : 379
      Likes Received
      5
      Likes Given
      6

      Default Re: Mahaba niue!

      inackitsha sana..ila uyo dada atalipwa hapa hapa

    5. #23
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4279
      Likes Given
      906

      Default Re: Mahaba niue!

      Hastahili maana alionesha mapenzi ya kweli kwa jamaa,lakin jamaa hakuyaona hayo.
      Ina umiza sana kumthamini mtu ambaye hana shukrani.
      Kama vip huyo binti arudi kwao u.k

    6. FemaTV & Radio
    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...