Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 67
    1. #1
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,737
      Rep Power : 12927
      Likes Received
      4440
      Likes Given
      7465

      Default Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Mchungaji kapera hakuacha kuangaza-angaza macho
      Kwenye kwaya ya kanisa lake akajionea kitoweo murua
      Binti sura nyororo na rangi yake ni hudhurungi bila karaha
      Mchungaji kuona hivyo akaambuliwa suluba ya mahaba tele
      Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao!

      Binti sura yawaka lakini mwili wake kaufunika gubigubi la ushungi
      Wengi waliamini hayo ni maadili ya malezi bora aliyolelewa nayo
      Kumbe yeye ana lake jambo na siri kubwa alikuwa anaisetiri
      Hata umakini wa mchungaji haukufua dafu na mkenge kuingizwa
      Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao!

      Hayawi hayawi huwa, mchungaji akabeba chake bila ya mikwara
      Siku zikawa siku na Bi harusi kukwepa majukumu yake ya kitandani
      Visingizio kibao hasa majukumu kuwa ndiyo ghala la utetezi wake
      Asubuhi kudamka mapema na usiku kuchelea kulala akificha utupu wake
      Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao!


      Za mwizi ni arobaini na zilipofikia aliona cha moto kikimwakia
      Siri ikaanikwa hadharani kumbe mambo yote ni mchubuo!
      Mchungaji akajawa na hamaki asiamini alivyonyimwa unyumba
      Ama kwa hakika tatizo ni matarajio ya mchungaji kuyumbishwa
      Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao!


      Jisomee Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao
      Last edited by Rutashubanyuma; 8th June 2012 at 21:40.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    2. Miaka 50

    3. #2
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,777
      Rep Power : 27111
      Likes Received
      10111
      Likes Given
      14052

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      lololol! RUTTA leo nimekukumbuka kweli na haya mashair kumbe i was calling you thanks god you heard me.
      MziziMkavu and Rutashubanyuma like this.

    4. #3
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,273
      Rep Power : 13087
      Likes Received
      14152
      Likes Given
      15016

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      sijaelewa kitu, mchubuo?

    5. #4
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,737
      Rep Power : 12927
      Likes Received
      4440
      Likes Given
      7465

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      lololol! RUTTA leo nimekukumbuka kweli na haya mashair kumbe i was calling you thanks god you heard me.
      @ yeah back in business....
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    6. #5
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,737
      Rep Power : 12927
      Likes Received
      4440
      Likes Given
      7465

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      sijaelewa kitu, mchubuo?
      Kongosho nimekubandikia uzi wa kisa chote hiyo tenzi ni ufupisho wake tu labda jisomee utapata khabari yote...............
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,737
      Rep Power : 12927
      Likes Received
      4440
      Likes Given
      7465

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      sijaelewa kitu, mchubuo?
      Kongosho nimekubandikia uzi wa kisa chote hiyo tenzi ni ufupisho wake tu labda jisomee utapata khabari yote...............
      Bride’s ‘true colours’ emerge after wedding
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    9. #7
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,550
      Rep Power : 6992
      Likes Received
      1167
      Likes Given
      580

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      wallahi!!! nilitaka kupeleka uzi chitchat kuuliza kijana wa mashairi kaishiwa nini nimpe idea, by the way mchugaji bwana naye feki sa inakuaje anachukua mchumbuo wakati brandnew zipo au alizidiwa maunjanja?
      Rutashubanyuma likes this.
      ASIYEUMBA HAUMBUI

    10. #8
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,737
      Rep Power : 12927
      Likes Received
      4440
      Likes Given
      7465

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      wallahi!!! nilitaka kupeleka uzi chitchat kuuliza kijana wa mashairi kaishiwa nini nimpe idea, by the way mchugaji bwana naye feki sa inakuaje anachukua mchumbuo wakati brandnew zipo au alizidiwa maunjanja?
      ummu kulthum au ni kusakazie huyo mchungaji nini yuko Kenya............na sasa hivi boma lake liko tupu tu..........
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    11. #9
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,140
      Rep Power : 606
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Jamani sio kila king'aacho ni ..........! ndiyo maana siku hizi tumezinduka "TEST before TAKE"
      Rutashubanyuma likes this.

    12. #10
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,737
      Rep Power : 12927
      Likes Received
      4440
      Likes Given
      7465

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Jamani sio kila king'aacho ni ..........! ndiyo maana siku hizi tumezinduka "TEST before TAKE"
      Kyaiyembe huyu mchungaji hamjui Muumba ya kuwa kamwagiza ukisha beba mali yako hakuna kuitelekeza labda kwa sababu za uasherati............
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    13. #11
      KakaJambazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2009
      Posts : 4,363
      Rep Power : 2752
      Likes Received
      1098
      Likes Given
      935

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      We mkare.
      Rutashubanyuma likes this.
      ,,,,,,,,Jisachi

    14. #12
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,737
      Rep Power : 12927
      Likes Received
      4440
      Likes Given
      7465

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      We mkare.
      KakaJambazi nimerudi nyumbani
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    15. #13
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,140
      Rep Power : 606
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Quote By Rutashubanyuma
      Kyaiyembe huyu mchungaji hamjui Muumba ya kuwa kamwagiza ukisha beba mali yako hakuna kuitelekeza labda kwa sababu za uasherati............
      Wote Mchungaji na Kondoo wake walisoma kitabu kimoja tu katika BIBLIA nzima "WIMBO ULIO BORA".
      Hivyo mengine kuhusu mahusiano katika BIBLIA hayakuwahusu!
      Rutashubanyuma likes this.

    16. #14
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,140
      Rep Power : 606
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      “For the first week, I thought she was shy and still adjusting to marriage life because we were yet to consummate our marriage,” the pastor explained.
      Mkuu
      Rutashubanyuma
      unisaidie kidogo kwa taratibu za ndoa (hasa za kikristo).
      Hawa walikuwa wana ndoa kweli au ilikuwa bado haijafanyika?
      Rutashubanyuma likes this.

    17. awp
      #15
      awp's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Location : Around the Corner
      Posts : 923
      Rep Power : 535
      Likes Received
      273
      Likes Given
      1006

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      sijaielewa, mchubuowa bi harusi ndio nini
      Rutashubanyuma likes this.

    18. #16
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,733
      Rep Power : 5463
      Likes Received
      1962
      Likes Given
      2652

      Default

      Quote By Kyaiyembe
      “For the first week, I thought she was shy and still adjusting to marriage life because we were yet to consummate our marriage,” the pastor explained.
      Mkuu
      Rutashubanyuma
      unisaidie kidogo kwa taratibu za ndoa (hasa za kikristo).
      Hawa walikuwa wana ndoa kweli au ilikuwa bado haijafanyika?
      Kyaiyembe...jamaa alikuwa kishaoa, shughuli ilikuja wakati wa ku consummate hiyo kitu sura mirinda miguu pepsi
      Rutashubanyuma likes this.

    19. #17
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,140
      Rep Power : 606
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Quote By Elizabeth Dominic
      Kyaiyembe...jamaa alikuwa kishaoa, shughuli ilikuja wakati wa ku consummate hiyo kitu sura mirinda miguu pepsi
      Nina wasiwasi kidogo hebu soma hapa;
      But one night, he went to bed before her as usual but he was troubled so sleep evaded him.
      Thinking that the husband was fast asleep, she went to the bedroom and undressed.
      But before she could sneak into bed, her husband, who was fully awake, switched on the light to surprise her. To his shock, his ‘light-complexioned’ wife was dark in complexion, except for her face, part of her arms and legs.
      “You bleached your face? Is this why you are always wearing long dresses?” the shocked pastor asked.
      NAdhani huyu pastor ni KONDOO wa ukweli na sio KONDOO mcha MUNGU!.
      Rutashubanyuma likes this.

    20. #18
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,737
      Rep Power : 12927
      Likes Received
      4440
      Likes Given
      7465

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      “For the first week, I thought she was shy and still adjusting to marriage life because we were yet to consummate our marriage,” the pastor explained.
      Mkuu
      Rutashubanyuma
      unisaidie kidogo kwa taratibu za ndoa (hasa za kikristo).
      Hawa walikuwa wana ndoa kweli au ilikuwa bado haijafanyika?
      Kyaiyembe ni ndoa hiyo kwenye ukristu kuoana siyo lazima mfinyangane siku au wiki hiyohiyo..............wakati mwingine mazingira yanawabana mjizuie...tena inakubalika zaidi kama mm'eamua kufunga hilo swala............lol
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    21. #19
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,737
      Rep Power : 12927
      Likes Received
      4440
      Likes Given
      7465

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Kyaiyembe...jamaa alikuwa kishaoa, shughuli ilikuja wakati wa ku consummate hiyo kitu sura mirinda miguu pepsi
      @ ni kweli bi harusi alikuwa akikimbia mechi kwa kuhofia asije julikana yeye ni tetracycline..........sura ni nyingine na kiwiliwili ni sura nyingine.....................l akini alikuja kutiwa kitanzini
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    22. #20
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,737
      Rep Power : 12927
      Likes Received
      4440
      Likes Given
      7465

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Nina wasiwasi kidogo hebu soma hapa;
      But one night, he went to bed before her as usual but he was troubled so sleep evaded him.
      Thinking that the husband was fast asleep, she went to the bedroom and undressed.
      But before she could sneak into bed, her husband, who was fully awake, switched on the light to surprise her. To his shock, his ‘light-complexioned’ wife was dark in complexion, except for her face, part of her arms and legs.
      “You bleached your face? Is this why you are always wearing long dresses?” the shocked pastor asked.
      NAdhani huyu pastor ni KONDOO wa ukweli na sio KONDOO mcha MUNGU!.
      Kyaiyembe upo sahihi kama alijichubua uso wake alichotakiwa ni kumwambia sasa aache kwani kesha pata mume...........na ndoa za kikstristu hakuna talaka bali kwa sababu za zinaa tu.........
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...