Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 67
    1. #1
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Mchungaji kapera hakuacha kuangaza-angaza macho
      Kwenye kwaya ya kanisa lake akajionea kitoweo murua
      Binti sura nyororo na rangi yake ni hudhurungi bila karaha
      Mchungaji kuona hivyo akaambuliwa suluba ya mahaba tele
      Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao!

      Binti sura yawaka lakini mwili wake kaufunika gubigubi la ushungi
      Wengi waliamini hayo ni maadili ya malezi bora aliyolelewa nayo
      Kumbe yeye ana lake jambo na siri kubwa alikuwa anaisetiri
      Hata umakini wa mchungaji haukufua dafu na mkenge kuingizwa
      Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao!

      Hayawi hayawi huwa, mchungaji akabeba chake bila ya mikwara
      Siku zikawa siku na Bi harusi kukwepa majukumu yake ya kitandani
      Visingizio kibao hasa majukumu kuwa ndiyo ghala la utetezi wake
      Asubuhi kudamka mapema na usiku kuchelea kulala akificha utupu wake
      Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao!


      Za mwizi ni arobaini na zilipofikia aliona cha moto kikimwakia
      Siri ikaanikwa hadharani kumbe mambo yote ni mchubuo!
      Mchungaji akajawa na hamaki asiamini alivyonyimwa unyumba
      Ama kwa hakika tatizo ni matarajio ya mchungaji kuyumbishwa
      Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao!


      Jisomee Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao
      Last edited by Rutashubanyuma; 8th June 2012 at 21:40.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."


    2. #41
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Rutashubanyuma i know ni ngumu but ndio hivyo......
      maamuzi magumu hayo......... Elizabeth Dominic..lol
      Elizabeth Dominic likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    3. #42
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Huo ni ushahidi dada yangu!. Ndoa yenyewe inakuwa bado kutimizwa.
      ndoa siyo lazima itimizwe kitandani bali ni makubaliano ya kuishi nyote..........for better or for worse..................in most cases we vow in vain because when the real tests come along we falter miserably.......... Kyaiyembe
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    4. #43
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      haha ,mchungaji katoa talaka
      wahida modogo wangu kaa chonjo na hawa wachungaji kazi yao ni kumendea-mendea vifaranga kama wewe khalafu huvitia majaribuni na baada kuvikimbiza kichinjioni na baada ya kuvitafuna huvitafutia sababu ya kuvimwaga.......
      wahida likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    5. #44
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Kyaiyembe umesema hakuna ndoa nahuku ndoa mshaifunga? Inategemea mmefunga ndoa ya aina gani, kama ninayoijua mimi ndoa ipo kabisa...
      Elizabeth Dominic...that is the gospel truth...........
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    6. #45
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Hakuna ndoa kama JOGOO HAWIKI!. Elizabeth Dominic na Rutashubanyuma hilo mlitambue
      Kyaiyembe mwenzetu haya ya majogoo kuwika wayatoa wapi....nijuavyo ndoa ni kukubalina kuishi pamoja kw mazuri hata mabaya kama ya hayo majogoo yasiyowika........
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."


    7. #46
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Huo ni ushahidi dada yangu!. Ndoa yenyewe inakuwa bado kutimizwa.
      jogoo laweza kuwika na kufanya machahari yake yote na bado isiwe ni ndoa kama hajakubalina kuishi pamoja............ Kyaiyembe
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    8. #47
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      yeye alioa bila kujua anatatizo gani? huku ndio kujaribu jehanam hakutakiwa kufanya hivyo ila alitakiwa kuoa ndoa za msimu ili awe anatest kuona kama jogoo anawika nje ya hapo ni aibu
      Mwanaweja hivi tatizo ni jogoo hawiki au bi harusi kajidunika ndani ya mkorogo
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    9. #48
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,161
      Rep Power : 613
      Likes Received
      350
      Likes Given
      307

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      ndoa siyo lazima itimizwe kitandani bali ni makubaliano ya kuishi nyote..........for better or for worse..................in most cases we vow in vain because when the real tests come along we falter miserably.......... Kyaiyembe
      Ruta unasemea ndoa nje ya misisngi ya UKRISTO na UUMBAJI.
      Sijawahi kusikia watu waliofanya tendo la ndoa kanisani au msikitini.
      Hata kimila wazee wetu walikuwa nautaratibu mzuri kuhusu ndoa.
      Nijuavyo mimi ndoa ni makubaliano ya wawili waishi kama mke na mme!
      Sasa sijui kama unaelewa maana ya kuwa mke wa, na kuwa mme wa.
      Ruta katika kauli hizo hapo juu lazima kuwepo na kitendo maalmu.
      Na ikitokea mmojawapo akalalamika kuwa tendo hilo halifanyiki NDOA ubatilishwa!.

      Rutashubanyuma likes this.

    10. #49
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,161
      Rep Power : 613
      Likes Received
      350
      Likes Given
      307

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      Kyaiyembe mwenzetu haya ya majogoo kuwika wayatoa wapi....nijuavyo ndoa ni kukubalina kuishi pamoja kw mazuri hata mabaya kama ya hayo majogoo yasiyowika........
      Hata hizo za Uingereza, Marekani Afrika Kusini na kwingineko lazima kuna neno " I pronounce you HUSBAND and WIFE"
      Sasa ruta hata uwe BUSHOKE lakini jogoo lazima likwee mtungi bwana!.

    11. #50
      Kitoabu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th July 2011
      Posts : 2,205
      Rep Power : 1003
      Likes Received
      273
      Likes Given
      1

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      mhhh????????? We ruta mie jana nimefumaniwa embu nipigie mistari hapo.

    12. #51
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,161
      Rep Power : 613
      Likes Received
      350
      Likes Given
      307

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      jogoo laweza kuwika na kufanya machahari yake yote na bado isiwe ni ndoa kama hajakubalina kuishi pamoja............ Kyaiyembe
      Na likiwika wanao shuhudia watasema kuwa wahusika wamafanya tendo la ndoa!.
      Sasa katika suala la huyu mchungaji, yeye hana sababu za msingi kutengua makubaliano yake ya kuwa na ndoa.
      Lakini bado nasisitiza kama ni kweli hawakutimiza tendo la ndoa, basi ndoa yao ilikuwa bado kutimia!.

    13. #52
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,401
      Rep Power : 26661
      Likes Received
      2683
      Likes Given
      1563

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      Lemonade ni kweli bi harusi alikuwa akikimbia mechi kwa kuhofia asije julikana yeye ni tetracycline..........sura ni nyingine na kiwiliwili ni sura nyingine.....................l akini alikuja kutiwa kitanzini
      Rutashubanyuma kuna dada mmoja ameolewa na 0.5 yeye alikuwa mweusi kama lami looo ametumia mkorogo amefanana na mumewe usoni tatizo akivaa malapa ukimwangalia vidole vya miguu unapata mshangao
      Rutashubanyuma likes this.
      Be who you are and say what you feel because those who mind don't matter and those who matter don't mind - "Dr. Sues"

    14. #53
      mharakati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 934
      Rep Power : 576
      Likes Received
      258
      Likes Given
      245

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      Mchungaji kapera hakuacha kuangaza-angaza macho
      Kwenye kwaya ya kanisa lake akajionea kitoweo murua
      Binti sura nyororo na rangi yake ni hudhurungi bila karaha
      Mchungaji kuona hivyo akaambuliwa suluba ya mahaba tele
      Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao!

      Binti sura yawaka lakini mwili wake kaufunika gubigubi la ushungi
      Wengi waliamini hayo ni maadili ya malezi bora aliyolelewa nayo
      Kumbe yeye ana lake jambo na siri kubwa alikuwa anaisetiri
      Hata umakini wa mchungaji haukufua dafu na mkenge kuingizwa
      Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao!

      Hayawi hayawi huwa, mchungaji akabeba chake bila ya mikwara
      Siku zikawa siku na Bi harusi kukwepa majukumu yake ya kitandani
      Visingizio kibao hasa majukumu kuwa ndiyo ghala la utetezi wake
      Asubuhi kudamka mapema na usiku kuchelea kulala akificha utupu wake
      Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao!


      Za mwizi ni arobaini na zilipofikia aliona cha moto kikimwakia
      Siri ikaanikwa hadharani kumbe mambo yote ni mchubuo!
      Mchungaji akajawa na hamaki asiamini alivyonyimwa unyumba
      Ama kwa hakika tatizo ni matarajio ya mchungaji kuyumbishwa
      Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao!


      Jisomee Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao
      Mkuu kumbe huku ndiyo uwa unajificha mambo yakibana kule jukwaa la siasa
      Rutashubanyuma likes this.

    15. #54
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Ruta unasemea ndoa nje ya misisngi ya UKRISTO na UUMBAJI.
      Sijawahi kusikia watu waliofanya tendo la ndoa kanisani au msikitini.
      Hata kimila wazee wetu walikuwa nautaratibu mzuri kuhusu ndoa.
      Nijuavyo mimi ndoa ni makubaliano ya wawili waishi kama mke na mme!
      Sasa sijui kama unaelewa maana ya kuwa mke wa, na kuwa mme wa.
      Ruta katika kauli hizo hapo juu lazima kuwepo na kitendo maalmu.
      Na ikitokea mmojawapo akalalamika kuwa tendo hilo halifanyiki NDOA ubatilishwa!.
      Kyaiyembe ukweli ni kuwa mnapooana hamsemi kuwa mnakwenda kudu..........hay ni matunda yake na tena siyo yote.............mkishindwa kwa sababu ya kimaumbile siyo sababu ya kuachana.

      Hizo ndizo kafara zenyewe............until death us apart..............the Scriptures say
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    16. #55
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Mkuu kumbe huku ndiyo uwa unajificha mambo yakibana kule jukwaa la siasa
      mharakati mie niko kila mahali.....lol ..kila jukwaa utanikuta sichagui................kwani kule kwenye JS kuna kubanwa kule au kubanana?
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    17. #56
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Rutashubanyuma kuna dada mmoja ameolewa na 0.5 yeye alikuwa mweusi kama lami looo ametumia mkorogo amefanana na mumewe usoni tatizo akivaa malapa ukimwangalia vidole vya miguu unapata mshangao
      Blaki Womani " na 0.5" ndiyo nini ? Sijaelewa maana yake.................khalafu huyu mdada wa ajabu mume tayari anaye na kwani alikuwa hajui rangi yake.......................sas a hii khofu ya kujichubua yatoka wapi. Uzoefu wangu ni kuwa unapohangaika kutafuta rangi au maumbile tofauti ya yale uliyonayo unakhoji busara za Muumba kukupa alichoona ndicho stahili yako........na matokeo yake unachafua kazi murua ya maumbile yako. Khadi leo ninatafuta mchubuo mwenye mvuto kulikoni alivyokuwa awali bado sijakutana naye................am still searching, though............na sitarajii kukutana naye.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    18. #57
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,161
      Rep Power : 613
      Likes Received
      350
      Likes Given
      307

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      Kyaiyembe ukweli ni kuwa mnapooana hamsemi kuwa mnakwenda kudu..........hay ni matunda yake na tena siyo yote.............mkishindwa kwa sababu ya kimaumbile siyo sababu ya kuachana.

      Hizo ndizo kafara zenyewe............until death us apart..............the Scriptures say
      Samahani nisaidie kidogo, nipe tofauti ya ndoa hizi!
      1.Ndoa ya mwanamke na mwanamme
      2.Ndoa ya Mwanamme kwa mwanamme
      3.Ndoa ya Mwanamke kwa mawnamke
      Najua nyingine haziko wazi katika mazingira yetu lakini kutokana uelewa ulionao waweza nisaidia!.
      Rutashubanyuma likes this.

    19. #58
      Kimbweka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 7,923
      Rep Power : 7252
      Likes Received
      1302
      Likes Given
      109

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      mmmmmh Kashubuka wapi tena?
      "Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."

    20. #59
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,401
      Rep Power : 26661
      Likes Received
      2683
      Likes Given
      1563

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      Blaki Womani " na 0.5" ndiyo nini ? Sijaelewa maana yake.................khalafu huyu mdada wa ajabu mume tayari anaye na kwani alikuwa hajui rangi yake.......................sas a hii khofu ya kujichubua yatoka wapi. Uzoefu wangu ni kuwa unapohangaika kutafuta rangi au maumbile tofauti ya yale uliyonayo unakhoji busara za Muumba kukupa alichoona ndicho stahili yako........na matokeo yake unachafua kazi murua ya maumbile yako. Khadi leo ninatafuta mchubuo mwenye mvuto kulikoni alivyokuwa awali bado sijakutana naye................am still searching, though............na sitarajii kukutana naye.
      shombeshombe.....hahahahah anataka wakitoka wote naye aonekane shombe wa kigiriki
      Rutashubanyuma likes this.
      Be who you are and say what you feel because those who mind don't matter and those who matter don't mind - "Dr. Sues"

    21. #60
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 6,133
      Rep Power : 6511
      Likes Received
      1252
      Likes Given
      538

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Ila hata siku hizi si vijana mnapapatikia mikorogo? Na ndiyo maana mabinti wengi wa kileo wanapaka mikorogo class (creams) na ile ya mafuta ya transfoma na jiki!!!! Kweli tabu sana, inaeleke ndiyo wimbi kuwa weupe ndo unapendwa so ni kwa nini wasiwahadae? Na mzazi unapoona binti yako anaanza kubadilika sura ni kwa nini usimuase? Elezea watoto wako madhara ya mikorogo tangu wakiwa wadogo na wakikuwa hawatapaka kamwe. Parents play your role.
      Rutashubanyuma likes this.
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...