Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 67
    1. #1
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Mchungaji kapera hakuacha kuangaza-angaza macho
      Kwenye kwaya ya kanisa lake akajionea kitoweo murua
      Binti sura nyororo na rangi yake ni hudhurungi bila karaha
      Mchungaji kuona hivyo akaambuliwa suluba ya mahaba tele
      Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao!

      Binti sura yawaka lakini mwili wake kaufunika gubigubi la ushungi
      Wengi waliamini hayo ni maadili ya malezi bora aliyolelewa nayo
      Kumbe yeye ana lake jambo na siri kubwa alikuwa anaisetiri
      Hata umakini wa mchungaji haukufua dafu na mkenge kuingizwa
      Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao!

      Hayawi hayawi huwa, mchungaji akabeba chake bila ya mikwara
      Siku zikawa siku na Bi harusi kukwepa majukumu yake ya kitandani
      Visingizio kibao hasa majukumu kuwa ndiyo ghala la utetezi wake
      Asubuhi kudamka mapema na usiku kuchelea kulala akificha utupu wake
      Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao!


      Za mwizi ni arobaini na zilipofikia aliona cha moto kikimwakia
      Siri ikaanikwa hadharani kumbe mambo yote ni mchubuo!
      Mchungaji akajawa na hamaki asiamini alivyonyimwa unyumba
      Ama kwa hakika tatizo ni matarajio ya mchungaji kuyumbishwa
      Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao!


      Jisomee Mchubuo wa Bi harusi wamzalishia talaka yenye simango kibao
      Last edited by Rutashubanyuma; 8th June 2012 at 21:40.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    2. Study Abroad

    3. #21
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      sijaielewa, mchubuowa bi harusi ndio nini
      awp anachubua uso wake ili aonekane mweupe wakati yeye mweuzi tii.................na alikuwa akijichubua uso na baadhi ya sehemu za wazi za mikono na miggu lakini sehemu nyinginezo akiziachia kuendelea na rangi yake asilia...................
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    4. #22
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,135
      Rep Power : 604
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Quote By Rutashubanyuma
      Kyaiyembe ni ndoa hiyo kwenye ukristu kuoana siyo lazima mfinyangane siku au wiki hiyohiyo..............wakati mwingine mazingira yanawabana mjizuie...tena inakubalika zaidi kama mm'eamua kufunga hilo swala............lol
      Kumbe Obama na Cameroon wanaweza kuwa wamepatia!.
      Alafu kweli ndoa ni zaidi ya hilo maana pastor alikerwa na mchubuo japo nadhani alikuwa bado kufinyangana naye.
      Ndiyo maana akashauriwa hivi;
      "momatta8 June 2012 12:10 PMi suggest the pastor to find out if she is really a woman; Tha pastor might have married a man who pretends to be a female.....take her panties off"

    5. #23
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,729
      Rep Power : 5461
      Likes Received
      1959
      Likes Given
      2652

      Default

      Quote By Kyaiyembe
      Nina wasiwasi kidogo hebu soma hapa;
      But one night, he went to bed before her as usual but he was troubled so sleep evaded him.
      Thinking that the husband was fast asleep, she went to the bedroom and undressed.
      But before she could sneak into bed, her husband, who was fully awake, switched on the light to surprise her. To his shock, his ‘light-complexioned’ wife was dark in complexion, except for her face, part of her arms and legs.
      “You bleached your face? Is this why you are always wearing long dresses?” the shocked pastor asked.
      NAdhani huyu pastor ni KONDOO wa ukweli na sio KONDOO mcha MUNGU!.
      Rutashubanyuma inaeleke huijui mikorogo ilivyo na hiyana, sehemu zingine inadunda hata uchubue vipi..
      Halafu kwenye Ukristu hakuna talaka.....lol
      Rutashubanyuma likes this.

    6. #24
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,135
      Rep Power : 604
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Quote By Elizabeth Dominic
      Rutashubanyuma inaeleke huijui mikorogo ilivyo na hiyana, sehemu zingine inadunda hata uchubue vipi..
      Halafu kwenye Ukristu hakuna talaka.....lol
      Utafanya nini kama ukiolewa na mtu Jogoo Hawiki? acha talaka ya uzinifu aliyoruhusu YESU

    7. #25
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,729
      Rep Power : 5461
      Likes Received
      1959
      Likes Given
      2652

      Default

      Quote By Kyaiyembe
      Utafanya nini kama ukiolewa na mtu Jogoo Hawiki? acha talaka ya uzinifu aliyoruhusu YESU
      Kujitosa mazima?
      Hiyo itabidi tuende kwa Baba Paroko kupata kwanza ushauri wa kiroho....ukishafikia hatua ya Ndoa ina maana mko serious sana kwahiyo hilo ni suala la kuhangaika nalo tu
      Rutashubanyuma likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Wote Mchungaji na Kondoo wake walisoma kitabu kimoja tu katika BIBLIA nzima "WIMBO ULIO BORA".
      Hivyo mengine kuhusu mahusiano katika BIBLIA hayakuwahusu!
      Kyaiyembe kama ni hivyo basi huyo mchungaji yupo pale kujipatia mkate wa kila siku tu........
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    10. #27
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Kujitosa mazima?
      Hiyo itabidi tuende kwa Baba Paroko kupata kwanza ushauri wa kiroho....ukishafikia hatua ya Ndoa ina maana mko serious sana kwahiyo hilo ni suala la kuhangaika nalo tu
      @ we ndege mjanja sana.....baba paroko atafanya jogoo liwike?
      Kyaiyembe likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    11. #28
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Rutashubanyuma inaeleke huijui mikorogo ilivyo na hiyana, sehemu zingine inadunda hata uchubue vipi..
      Halafu kwenye Ukristu hakuna talaka.....lol
      Kyaiyembe mkorogo huo ambao siyo mwili mzima naona ndiyo ulileta tabu labda hakuwa na mfadhili wa kumwezesha ajikoroge mwili wote na mchungaji angelidhani kaoa mzungu hivi.....na suala la kumwacha mke kwa wakristu halipo sasa sijui huu ni ukristu wa wapi na ukizinatia baba paroko anadai naye ni mchunga kondoo............kuna uchafuzi mkubwa wa mazingira.....
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    12. #29
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Nina wasiwasi kidogo hebu soma hapa;
      But one night, he went to bed before her as usual but he was troubled so sleep evaded him.
      Thinking that the husband was fast asleep, she went to the bedroom and undressed.
      But before she could sneak into bed, her husband, who was fully awake, switched on the light to surprise her. To his shock, his ‘light-complexioned’ wife was dark in complexion, except for her face, part of her arms and legs.
      “You bleached your face? Is this why you are always wearing long dresses?” the shocked pastor asked.
      NAdhani huyu pastor ni KONDOO wa ukweli na sio KONDOO mcha MUNGU!.
      Kwahiyo Kyaiyembe unaonaje tukmimkokota hadi kichinjioni tu kule akafunzwe adabu huyu mbabaishaji..........
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    13. #30
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,729
      Rep Power : 5461
      Likes Received
      1959
      Likes Given
      2652

      Default

      Quote By Rutashubanyuma
      @ we ndege mjanja sana.....baba paroko atafanya jogoo liwike?
      ruta tatizo linakuja tayari uko kwenye ndoa....huwezi kukimbia cheaply kihivyo you take it head on si ni until death do you part? Hasa hapo maongozi ya kiroho yanahitajika...
      Rutashubanyuma likes this.

    14. #31
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,521
      Rep Power : 6985
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      577

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      ummu kulthum au ni kusakazie huyo mchungaji nini yuko Kenya............na sasa hivi boma lake liko tupu tu......
      subiri kwanza nijifunze karate af ntakupm ili akinilete za kuleta nampa full mkong'oto upo hapo rutashubanyuma

      Rutashubanyuma likes this.
      ASIYEUMBA HAUMBUI

    15. #32
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      subiri kwanza nijifunze karate af ntakupm ili akinilete za kuleta nampa full mkong'oto upo hapo rutashubanyuma
      ummu kulthum karate za nini na wewe una nguvu zile za asilia......zitumie kumwonyesha ya kuwa kwako ndiyo bureki yake.............hana pakutokea pale.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    16. #33
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      ruta tatizo linakuja tayari uko kwenye ndoa....huwezi kukimbia cheaply kihivyo you take it head on si ni until death do you part? Hasa hapo maongozi ya kiroho yanahitajika...
      Elizabeth Dominic .easier said than done in real life.................people look for easier ways out and forget spiritual diktats.........
      Elizabeth Dominic likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    17. #34
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,135
      Rep Power : 604
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Hakuna ndoa kama JOGOO HAWIKI!. Elizabeth Dominic na Rutashubanyuma hilo mlitambue
      Rutashubanyuma likes this.

    18. #35
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,447
      Rep Power : 1108
      Likes Received
      457
      Likes Given
      923

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      yeye alioa bila kujua anatatizo gani? huku ndio kujaribu jehanam hakutakiwa kufanya hivyo ila alitakiwa kuoa ndoa za msimu ili awe anatest kuona kama jogoo anawika nje ya hapo ni aibu
      Rutashubanyuma likes this.

    19. #36
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,729
      Rep Power : 5461
      Likes Received
      1959
      Likes Given
      2652

      Default

      Quote By Rutashubanyuma
      Elizabeth Dominic .easier said than done in real life.................people look for easier ways out and forget spiritual diktats.........
      Rutashubanyuma i know ni ngumu but ndio hivyo......
      Rutashubanyuma likes this.

    20. #37
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,729
      Rep Power : 5461
      Likes Received
      1959
      Likes Given
      2652

      Default

      Quote By Kyaiyembe
      Hakuna ndoa kama JOGOO HAWIKI!. Elizabeth Dominic na Rutashubanyuma hilo mlitambue
      Kyaiyembe umesema hakuna ndoa nahuku ndoa mshaifunga? Inategemea mmefunga ndoa ya aina gani, kama ninayoijua mimi ndoa ipo kabisa...
      Rutashubanyuma likes this.

    21. BAK
      #38
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,537
      Rep Power : 44951
      Likes Received
      8279
      Likes Given
      8280

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Si vyote ving'aavyo ni dhahabu.
      Rutashubanyuma likes this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    22. #39
      wahida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Posts : 384
      Rep Power : 478
      Likes Received
      122
      Likes Given
      158

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      haha ,mchungaji katoa talaka
      Rutashubanyuma likes this.

    23. #40
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,135
      Rep Power : 604
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default Re: Mchubuo wamzalishia talaka Bi harusi...

      Quote By Elizabeth Dominic
      Kyaiyembe umesema hakuna ndoa nahuku ndoa mshaifunga? Inategemea mmefunga ndoa ya aina gani, kama ninayoijua mimi ndoa ipo kabisa...
      Huo ni ushahidi dada yangu!. Ndoa yenyewe inakuwa bado kutimizwa.
      Rutashubanyuma likes this.

    24. Miaka 50
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...