Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nimechoka Basi!!...

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 55
    1. #1
      Ringopet's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 388
      Likes Received
      17
      Likes Given
      27

      Default Nimechoka Basi!!...

      Nimechoka basi

      Nina Mpenz na mda mrefu naye kama miaka 6 hivi lakini kwasasa nimechoka.. sababu ziko nyingi lakini kubwa zaidi nikunitishia kuvunja uhusiano kama kunakitu kaniomba ni meshindwa kumtimizia.. nimeshaa kaanaye mara nyingi kumwambia lakini habadiliki kabisa na hiyo inasababishwa kwasababu anajua nampenda sana amefikia hatua ananiambia nisimtafute mpaka atakapo amua yeye kunitafuta,inapita mwezi nashindwa kuvumilia namtafuta ilituyamalize anakubali lakini siku tukitofautiana kidogo ananiambia kwani nilikuomba unitafute!

      Nimechoka na matendo yake natakakumwacha lakini kwa kusema kweli nampenda sana naomba ushauri wenu njia ya kumsahau kabisa...

    2. Miaka 50

    3. #2
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 15,073
      Rep Power : 31287
      Likes Received
      7470
      Likes Given
      7485

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      mbona kusahau ni jambo rahisi tu...
      mara nyingi mwanamke au mwanaume akiwa na majibu ya namna hiyo ujue kashapata mtu mwingine au hana future na huyo aliyenaye...
      binafsi sina la kuongea zaidi ya kukwambia fuata hisia za moyo wako
      "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"



    4. #3
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,973
      Rep Power : 1217
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      Mwanaume unaumia kiasi hicho usikute ukiwa mwenyewe huwa unaliaga wewe.Kamata kikuku kichinje wewe uone utakavyonenepa wamejaa namna hii unaumiza kichwa dahh wanaume tunatofautiana sana aisee
      Miss-Thang and Bufa like this.

    5. #4
      CORAL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 613
      Rep Power : 584
      Likes Received
      132
      Likes Given
      6

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      Miaka yote hiyo hujawahi kupata mwingine wa kukupoza moyo? Ni mwingine tu atakayekuponya na kukurahisishia kazi ya kumsahau huyo asiye na huruma.

    6. #5
      Billie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2011
      Posts : 1,741
      Rep Power : 802
      Likes Received
      444
      Likes Given
      186

      Default

      Quote By Ringopet
      Nimechoka basi

      Nina Mpenz na mda mrefu naye kama miaka 6 hivi lakini kwasasa nimechoka..
      sababu ziko nyingi lakini kubwa zaidi nikunitishia kuvunja uhusiano kama kunakitu kaniomba ni meshindwa kumtimizia..
      nimeshaa kaanaye mara nyingi kumwambia lakini habadiliki kabisa na hiyo inasababishwa kwasababu anajua nampenda sana
      amefikia hatua ananiambia nisimtafute mpaka atakapo amua yeye kunitafuta,inapita mwezi nashindwa kuvumilia namtafuta ilituyamalize anakubali lakini siku tukitofautiana kidogo ananiambia kwani nilikuomba unitafute!
      Nimechoka na matendo yake natakakumwacha lakini kwa kusema kweli nampenda sana
      naomba ushauri wenu njia ya kumsahau kabisa...
      Tafuta msichana mwingine uwe bize nae alafu usiwe unampigia simu

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 562
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      ni PM tuzoeane afu 2tapendana na kuwasahau wapenz we2 wanao2datisha namna hii.

    9. #7
      harakat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 1,253
      Rep Power : 784
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      we ni me au ni ke kama ni ke basi pm hapa tutamaliza hii kitu
      na uko mkoaa gani ?

    10. #8
      wiseboy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 641
      Rep Power : 542
      Likes Received
      169
      Likes Given
      29

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      jifikilishe mambo mengne wala usiruhusu kumfikilia hata chembe....akija akilini piga chini fasta na anza kujifikilisha mfano...foleni za magari dar, watu wanagombania kupanda daladala, then fikili kama vile uko kwenye foleni ya NMB....Gradualy cku itaisha na utamsahau

    11. #9
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,564
      Rep Power : 5615
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      hakuna jambo gumu kama penzi la upande mmoja.....
      Piga moyo konde........
      Kwa nini mtu mzima mmekutana wote mna meno 32 akusumbue? Kwani umezaliwa nae?
      Jipe muda utamsahau...
      Mambo gani hayo ya kuendeshwa kama gari bovu?

    12. #10
      Ringopet's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 388
      Likes Received
      17
      Likes Given
      27

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      Quote By watu8
      mbona kusahau ni jambo rahisi tu...
      mara nyingi mwanamke au mwanaume akiwa na majibu ya namna hiyo ujue kashapata mtu mwingine au hana future na huyo aliyenaye...
      binafsi sina la kuongea zaidi ya kukwambia fuata hisia za moyo wako
      Ahsante nitafuata lakini ujanipa njia za kumsahau..

    13. #11
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      Anakuchezea hisia zako huyo tena na hatari sana kukaa katika mahusiano ya namna hii maana maumivu yake yanakuathiri taratibu kisaikolojia,tupe kule vuta mwingine fasta.

    14. #12
      Ringopet's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 388
      Likes Received
      17
      Likes Given
      27

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      Quote By Mzinga
      Mwanaume unaumia kiasi hicho usikute ukiwa mwenyewe huwa unaliaga wewe.Kamata kikuku kichinje wewe uone utakavyonenepa wamejaa namna hii unaumiza kichwa dahh wanaume tunatofautiana sana aisee
      Kulia jambo lakawaida kwa mtu uliyekuwa na nia ya future naye au wewe hujawakupenda@Mzinga

    15. #13
      Ringopet's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 388
      Likes Received
      17
      Likes Given
      27

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      Quote By CORAL
      Miaka yote hiyo hujawahi kupata mwingine wa kukupoza moyo? Ni mwingine tu atakayekuponya na kukurahisishia kazi ya kumsahau huyo asiye na huruma.
      Nilikuwa na real love naye..,labla baadae awewangu wa maisha.

    16. #14
      Ringopet's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 388
      Likes Received
      17
      Likes Given
      27

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      Quote By Billie
      Tafuta msichana mwingine uwe bize nae alafu usiwe unampigia simu
      Ahsante nitafata ushauri wako mmoja wakuwa bize msichana mwingine yatakuwa yale yale..

    17. #15
      Ringopet's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 388
      Likes Received
      17
      Likes Given
      27

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      Quote By Kilahunja
      ni PM tuzoeane afu 2tapendana na kuwasahau wapenz we2 wanao2datisha namna hii.
      Nitaku PM Usihofu. Kilahunja.

    18. #16
      Ringopet's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 388
      Likes Received
      17
      Likes Given
      27

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      Quote By harakat
      we ni me au ni ke kama ni ke basi pm hapa tutamaliza hii kitu
      na uko mkoaa gani ?
      Me.. harakat.

    19. #17
      Ringopet's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 388
      Likes Received
      17
      Likes Given
      27

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      Quote By wiseboy
      jifikilishe mambo mengne wala usiruhusu kumfikilia hata chembe....akija akilini piga chini fasta na anza kujifikilisha mfano...foleni za magari dar, watu wanagombania kupanda daladala, then fikili kama vile uko kwenye foleni ya NMB....Gradualy cku itaisha na utamsahau
      Ahsante Sana.

    20. #18
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,161
      Rep Power : 13065
      Likes Received
      14099
      Likes Given
      14918

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      Moyo ni msaliti mkubwa sana ukiamua.
      Ringopet likes this.

    21. #19
      Ringopet's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 388
      Likes Received
      17
      Likes Given
      27

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      Quote By BADILI TABIA
      hakuna jambo gumu kama penzi la upande mmoja.....
      Piga moyo konde........
      Kwa nini mtu mzima mmekutana wote mna meno 32 akusumbue? Kwani umezaliwa nae?
      Jipe muda utamsahau...
      Mambo gani hayo ya kuendeshwa kama gari bovu?
      Ahsante Sana kwakunipa maneno yakunifariji..

    22. #20
      Ringopet's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 388
      Likes Received
      17
      Likes Given
      27

      Default Re: Nimechoka Basi!!...

      Quote By Mnama
      Anakuchezea hisia zako huyo tena na hatari sana kukaa katika mahusiano ya namna hii maana maumivu yake yanakuathiri taratibu kisaikolojia,tupe kule vuta mwingine fasta.
      Nafata Ushauri wako ahsante sana.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...