Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

    Report Post
    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 82
    1. #1
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,058
      Rep Power : 23352
      Likes Received
      8090
      Likes Given
      5852

      Default nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Jamani naombeni kuwaulizeni wanaume hivi huwa mnaoa ili nini?
      Labda -upate mtu wa kusex nae siku yoyote ukitaka?
      -au upate watoto?
      -au kuridhisha tu jamii na wewe ulioa au
      - Ulipata mwanamkeakakulazimisha umuo
      - ama ni nini?
      maana kiukwelipersonaly kila mtu ananipigia kelele niolewe lakini kiukweli sijui maana ya ndoa,wala nikiwauliza watu maana yake hawanipi majibu ya kuniridhisha…hata nikisemanijifunze kwa vitendo kwa kuangalia ndoa zenyewe ndo nabaki hoi kabisa…

      Yes… siwezi kusema maisha yangu yapo full satisfied …naitajihappiness but sijui kama ndoa ndo itakuwa jibu au solution ya kunipa furahamaishani.....
      Ngojeni niwape mifano..but msinielewe vibaya..one daynilikuwa natafuta nyumba ..nikapata nyumba moja huyo kijana alikuwa anatakakuhama ..akanitongoza lakini wiki mbili mbele ndo alikuwa anafunga ndoa ..kwelinilishangaa sana hadi sasa ananitakajust imagine ndoa changaaa eti anadai hakuniona mapema mimi wala sina uzuriwowote basi tu uzinzi wake ..nashindwa kuelewa ningekuwa na roho ya zinaanimkubali hii ndoa ingekuwaje?

      Kuna Yule jirani niliwaambia nae ndoa yake changaa…wanaitana honey honey mwanamke akigeuka tu anakukonyeza nahisi hata anammendeabeki 3 wangu….hadi nahama nyumba mwezi huu maana ni usumbufu mtupu…

      Nikiangalia na mashost zangu wenye ndoa ni vilio vitupu
      Hebu cheki hapa hi isms ni ya shoga yangu kanitumia jmos inimebaini kuwa mume wangu anatembea na msichana wakazi.Nimeligundua hilo kwa kuwa mume wangu hatulii room wakati wa ucku,nimeamuakumbana binti akanieleza ukweli ictoshe kwa sasa mi mjamzito nifanyeje best..kiukwelinilimshauri tu abaki na mumewe na amtimue beki 3 but daaah …ni story ndefu
      Hebu niambieni tu maana ya ndoawapendwa …au ndoa zilikuwa zamani?
      Maana kwa sasa kila mtu anaweza kutoka na yoyote mahali popote navoona…yaanimaisha ni mambo ya kambi popote sijui... naombeni majibu....
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    2. Study Abroad

    3. #21
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,628
      Rep Power : 11267
      Likes Received
      1457
      Likes Given
      570

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Cku zote kila kimlacho

      mwenzie hakika itakuwa ina

      njaa!

    4. #22
      Tata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2009
      Posts : 2,338
      Rep Power : 948
      Likes Received
      516
      Likes Given
      332

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Quote By Smile
      au ndoa zipigwe marufuku?
      Hii haitasaidia kitu kwani ukizipiga marufuku zitahamia "underground" na hali itakuwa mbaya zaidi kwani hazitakuwa na mwongozo wowote wa kimaadili. Yaani itakuwa ni sawa na kuvuta bangi au kunywa gongo a.k.a. chang'aa a.k.a konyagi mwitu.

    5. #23
      St. Paka Mweusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Location : Ukune,
      Posts : 5,289
      Rep Power : 1691
      Likes Received
      1564
      Likes Given
      3289

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Quote By LD
      Labda wahalalishe OPEN marriage....


      Mh,nitahitaji ufafanuzi wa hili tukikutana kulekule kwa kawaida..
      LD likes this.
      UKICHOKA KUFANYA SIRI,FUMANIWA TU YAISHE . By Simon Kitururu.

    6. #24
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 14,936
      Rep Power : 31260
      Likes Received
      7395
      Likes Given
      7385

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Kitendo cha Mungu kuumba mtu mke na mtu mume hapo inabidi usidoubt ndoa...ndivyo inatupasa tuishi otherwise ingeumbwa jinsia moja tu!
      "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"



    7. #25
      jamiif's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 956
      Rep Power : 546
      Likes Received
      242
      Likes Given
      511

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Quote By Smile
      Jamani naombeni kuwaulizeni wanaume hivi huwa mnaoa ili nini?
      Labda -upate mtu wa kusex nae siku yoyote ukitaka?
      -au upate watoto?
      -au kuridhisha tu jamii na wewe ulioa au
      - Ulipata mwanamkeakakulazimisha umuo
      - ama ni nini?
      maana kiukwelipersonaly kila mtu ananipigia kelele niolewe lakini kiukweli sijui maana ya ndoa,wala nikiwauliza watu maana yake hawanipi majibu ya kuniridhisha…hata nikisemanijifunze kwa vitendo kwa kuangalia ndoa zenyewe ndo nabaki hoi kabisa…

      Yes… siwezi kusema maisha yangu yapo full satisfied …naitajihappiness but sijui kama ndoa ndo itakuwa jibu au solution ya kunipa furahamaishani.....
      Ngojeni niwape mifano..but msinielewe vibaya..one daynilikuwa natafuta nyumba ..nikapata nyumba moja huyo kijana alikuwa anatakakuhama ..akanitongoza lakini wiki mbili mbele ndo alikuwa anafunga ndoa ..kwelinilishangaa sana hadi sasa ananitakajust imagine ndoa changaaa eti anadai hakuniona mapema mimi wala sina uzuriwowote basi tu uzinzi wake ..nashindwa kuelewa ningekuwa na roho ya zinaanimkubali hii ndoa ingekuwaje?

      Kuna Yule jirani niliwaambia nae ndoa yake changaa…wanaitana honey honey mwanamke akigeuka tu anakukonyeza nahisi hata anammendeabeki 3 wangu….hadi nahama nyumba mwezi huu maana ni usumbufu mtupu…

      Nikiangalia na mashost zangu wenye ndoa ni vilio vitupu
      Hebu cheki hapa hi isms ni ya shoga yangu kanitumia jmos inimebaini kuwa mume wangu anatembea na msichana wakazi.Nimeligundua hilo kwa kuwa mume wangu hatulii room wakati wa ucku,nimeamuakumbana binti akanieleza ukweli ictoshe kwa sasa mi mjamzito nifanyeje best..kiukwelinilimshauri tu abaki na mumewe na amtimue beki 3 but daaah …ni story ndefu
      Hebu niambieni tu maana ya ndoawapendwa …au ndoa zilikuwa zamani?
      Maana kwa sasa kila mtu anaweza kutoka na yoyote mahali popote navoona…yaanimaisha ni mambo ya kambi popote sijui... naombeni majibu....
      dada pole sana kwa kusikia BAD NEWS tU kuhusu suala la NDOA. Mimi ninachokushauri ni kumuomba Mungu kw aimani yako akujaalie mwenza wako mtakayeelewana na kudumu kwa furaha, upendo na uaminifu katika ndoa yenu. Pia ukae ukijua kuwa SIO NDOA ZOTE zinakuwa na matatizo na maloloso kila kukicha, kwani kuna baadhi ya ndoa ni PEPO NDOGO ya hapa duniani. Sasa basi, hili suala lote muachie MWENYEZI MUNGU ndiye mpangaji wa kila kitu. Si umeshawahi kusikia kuwa ooh, kabila fulani hawafai wahuni sa,a, au wachawi na ishu km hizo? ila kiukweli utakuta kwamba SIO WOTE kisa ni kabila hilo wana ishu hizo.....kuwa na amani ndugu yangu, mitihani katika maisha ipo sio katika ndoa tu hata nduguzo wa kuzaliwa mwawea kuwa mwatibuana na maisha yanaendelea salama tu. MUOMBE MUNGU KWA IMANI YAKO AKUJAALIE ATAKAYEKUFAA.
      queenkami likes this.

    8. Miaka 50

    9. #26
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,058
      Rep Power : 23352
      Likes Received
      8090
      Likes Given
      5852

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Quote By Kaunga
      Ndoa nyingi ni kwa ajili ya kuanzisha familia
      Kupata new purpose in life
      Kupata companion (mwenza, mtunza siri, mtu atakayekuuguza au kukuhudumia wakati una shida)
      Na pia mapenzi. (ingawa hii ndio imechakachuliwa sana)
      KWANI SIS bila ndoa huwezi kuwa na familia?
      kampany au mapenzi?
      Kaunga likes this.
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    10. #27
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10025
      Likes Given
      13923

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Dah! Smile mdogo wangu wa moyoni, kwanza hongera kwa kuamua kujua ukweli manake huo ni ujasiri sana. ILa pia nasikitishwa sana na haya maisha kwani yanapomfunza mtu basi mifano inayotumika ni migumu na hata kanuni pia hazi apply kabisa mwishowe unakuja gundua kuwa mwanafunzi hajaelewa na mfano bado ni complicated kwa muhusika.

      Sababu kubwa zinazomfanya mtu aolewe ni kwamba ili kupata mwenza wa kushirikiana naye katika maisha. nisemapo mwenza wa kushirikiana naye simaanish kitu kingine bali mwenza wa kukidhi haja yako ya kimwili(tendo la ndoa), na zaid yako upate mtu wa kushare naye yaani msiri wako. Mambo mengine kuzaa, kufanya kazi za ndani siyo ishu sana katika hili.

      Matatizo meng yanayojitokeza katika ndoa za siku hizi ni kwasababu tu ya mambo yafuatayo, mmomonyoko wa maadili kwa ujumla ila nikitaka kuyaweka mepesi sana nitasema tamaa zisizo na mpango. Binadamu tumekuwa hatuna tena hofu ya Mungu, hakuna menye kuheshimu utu wake na mwili wake. Kwangu mimi hili ni jambo baya sana.

      Mfano ukimuona baba bdani ya nyumba antembea na beki 3 jua basi anawez kutembea na mwanae wa kumzaa. Kwanini nasema hivi? Binti wa kazi za ndani ni kama mtoto wako manake unabeba full responsibility juu yake kama mzazi. sasa inapotokea ukamtamani skutofautish kama na kumtamani mwanao wa kumzaa au mtoto wa mkeo. Ni taba mbaya na ya kishenzi.

      Nirudi kwako mwenyewe Smile, wewe ni kwamba umefundishwa haya maisha kwa kutumia mifano migumu sana au la niseme maisha yalikufunza kabla hujafikia umri wa kupata shule. hapa naona hujanielewa.
      namaanisha mfano mtoto wa miaka 5, labda mzazi analazimisha asome darasa la 1 wakati mtoto huyu ni bado yuko mdogo kiakili na hata kiuwezo wa kupambanua mambo kiasi kwamba akiwa darasani alishazoea kuandka sentensi 2 tu huko nursery hapa lakwanza anatakiwa aandike 10 ni wazi kuwa atashindwa na atakomea kwenye hizi 2 tu. na ukimlazimisha mwisho wa siku utakuja kuua kabisa nia yake ya kupenda kusoma na matokeo nikama haya mtoto kuacha shule au kukata tamaa na shule kabisa.

      kwa mfano huo basi mimi nikwambie tu njia iliyotumika kwako ndio haikuwa nzuri katika kukufundisha juu ya maisha. Kuna wenye bahati mbaya ambao mwanzo mwisho wanakutana na mitihani baut hawa ni wachache na hivyo lazima wasikike sana manake wanakuwa wanahangaika katika kutafuta suluhisho la maisha yao. wale wanaopata raha ni wengi pia na hawa hawawez kusema hadharan kwan mgema akisifiwa tembo hutia maji.

      Ndoa inauzuri wake sana tu, atleast unapata mtu wa kukufichia siri, kushare na wewe misha na ambaye unabeba full responsibility juu yake. Tatizo ni kwamba inapotokea kitu kibaya basi sisi binadamu hukimbilia kulaumu ndoa kuliko kuangalia nini tatizo.

      Pia smile maisha haya ni Mungu tu ndiye anayeongoza na si utash wa mtu pekee. So kwakila kitu mwombe yeye na tamka unataka akufanyie nini basi na si vinginevyo. usipende sana kusikiliza ushuhuda wa kushindwa kama huwez kuutoa akilini kwani utakuharibia maisha yote ma dia.Unalo tatizo tu la kisaikolojia.

    11. #28
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4277
      Likes Given
      906

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Unajua watu wanatofautiana si kila mtu ana tabia kama za wanaume ulio waelezea hapo. Kwenye ndoa inatafutwa furaha na watoto, mambo mengine ni tabia ya mtu. Naamini hata ukisubiri kwa miaka 20 ijayo hutopata mtu parfect cha kufanya ni kuomba mungu akupe mtu anaye kufanana.

    12. #29
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,058
      Rep Power : 23352
      Likes Received
      8090
      Likes Given
      5852

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Quote By St. Paka Mweusi
      Mdogo wangu naomba usichanganywe na vituko unavyosikia toka kwa watu wengine kwani si kweli kwamba ndoa zote ziko hivyo.Tunashuhudia ndoa nyingi tu zenye mafanikio makubwa kimahusiano(familia) na kiuchumi pia.Kikubwa tu ni kuwa wakati wako wa kufunga ndoa utakapofika basi uwe na uhakika ni kipi unahitaji katika ndoa yako na ukumbuke kuwa ndoa inalelewa jambo ambalo watu wengi wanashindwa kulielewa.Jaribu kumwelewa mwenza wako anahitaji nini nawe kuwa wazi kwake juu ya kile unachohitaji toka kwake.Ukikosea mama utakuwa sawa na mtu aliyejibebesha mzigo wa miiba kisha mzigo huo ukampasukia.Kila la Kheri mama..
      yaani sijakuelewa hata tone mkuu
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    13. #30
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4277
      Likes Given
      906

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Unajua watu wanatofautiana si kila mtu ana tabia kama za wanaume ulio waelezea hapo. Kwenye ndoa inatafutwa furaha na watoto, mambo mengine ni tabia ya mtu. Naamini hata ukisubiri kwa miaka 20 ijayo hutopata mtu parfect cha kufanya ni kuomba mungu akupe mtu anaye kufanana.
      Smile do smile

    14. #31
      Blaine's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : on hiatus
      Posts : 1,482
      Rep Power : 3775
      Likes Received
      1037
      Likes Given
      369

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Quote By Smile
      kama hakuna good men kwa nini watu wanasisitiza ndoa? hii kitu si ipigwe marufuku?
      it worth it in the end, remember nothing good comes without a struggle

      Quote By St. Paka Mweusi
      Mdogo wangu naomba usichanganywe na vituko unavyosikia toka kwa watu wengine kwani si kweli kwamba ndoa zote ziko hivyo.Tunashuhudia ndoa nyingi tu zenye mafanikio makubwa kimahusiano(familia) na kiuchumi pia.Kikubwa tu ni kuwa wakati wako wa kufunga ndoa utakapofika basi uwe na uhakika ni kipi unahitaji katika ndoa yako na ukumbuke kuwa ndoa inalelewa jambo ambalo watu wengi wanashindwa kulielewa.Jaribu kumwelewa mwenza wako anahitaji nini nawe kuwa wazi kwake juu ya kile unachohitaji toka kwake.Ukikosea mama utakuwa sawa na mtu aliyejibebesha mzigo wa miiba kisha mzigo huo ukampasukia.Kila la Kheri mama..
      well said, let your expectations in a marriage be known and a compatible person will show up
      on jf hiatus

    15. #32
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,058
      Rep Power : 23352
      Likes Received
      8090
      Likes Given
      5852

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Quote By gfsonwin
      Dah! Smile mdogo wangu wa moyoni, kwanza hongera kwa kuamua kujua ukweli manake huo ni ujasiri sana. ILa pia nasikitishwa sana na haya maisha kwani yanapomfunza mtu basi mifano inayotumika ni migumu na hata kanuni pia hazi apply kabisa mwishowe unakuja gundua kuwa mwanafunzi hajaelewa na mfano bado ni complicated kwa muhusika.

      Sababu kubwa zinazomfanya mtu aolewe ni kwamba ili kupata mwenza wa kushirikiana naye katika maisha. nisemapo mwenza wa kushirikiana naye simaanish kitu kingine bali mwenza wa kukidhi haja yako ya kimwili(tendo la ndoa), na zaid yako upate mtu wa kushare naye yaani msiri wako. Mambo mengine kuzaa, kufanya kazi za ndani siyo ishu sana katika hili.

      Matatizo meng yanayojitokeza katika ndoa za siku hizi ni kwasababu tu ya mambo yafuatayo, mmomonyoko wa maadili kwa ujumla ila nikitaka kuyaweka mepesi sana nitasema tamaa zisizo na mpango. Binadamu tumekuwa hatuna tena hofu ya Mungu, hakuna menye kuheshimu utu wake na mwili wake. Kwangu mimi hili ni jambo baya sana.

      Mfano ukimuona baba bdani ya nyumba antembea na beki 3 jua basi anawez kutembea na mwanae wa kumzaa. Kwanini nasema hivi? Binti wa kazi za ndani ni kama mtoto wako manake unabeba full responsibility juu yake kama mzazi. sasa inapotokea ukamtamani skutofautish kama na kumtamani mwanao wa kumzaa au mtoto wa mkeo. Ni taba mbaya na ya kishenzi.

      Nirudi kwako mwenyewe Smile, wewe ni kwamba umefundishwa haya maisha kwa kutumia mifano migumu sana au la niseme maisha yalikufunza kabla hujafikia umri wa kupata shule. hapa naona hujanielewa.
      namaanisha mfano mtoto wa miaka 5, labda mzazi analazimisha asome darasa la 1 wakati mtoto huyu ni bado yuko mdogo kiakili na hata kiuwezo wa kupambanua mambo kiasi kwamba akiwa darasani alishazoea kuandka sentensi 2 tu huko nursery hapa lakwanza anatakiwa aandike 10 ni wazi kuwa atashindwa na atakomea kwenye hizi 2 tu. na ukimlazimisha mwisho wa siku utakuja kuua kabisa nia yake ya kupenda kusoma na matokeo nikama haya mtoto kuacha shule au kukata tamaa na shule kabisa.

      kwa mfano huo basi mimi nikwambie tu njia iliyotumika kwako ndio haikuwa nzuri katika kukufundisha juu ya maisha. Kuna wenye bahati mbaya ambao mwanzo mwisho wanakutana na mitihani baut hawa ni wachache na hivyo lazima wasikike sana manake wanakuwa wanahangaika katika kutafuta suluhisho la maisha yao. wale wanaopata raha ni wengi pia na hawa hawawez kusema hadharan kwan mgema akisifiwa tembo hutia maji.

      Ndoa inauzuri wake sana tu, atleast unapata mtu wa kukufichia siri, kushare na wewe misha na ambaye unabeba full responsibility juu yake. Tatizo ni kwamba inapotokea kitu kibaya basi sisi binadamu hukimbilia kulaumu ndoa kuliko kuangalia nini tatizo.

      Pia smile maisha haya ni Mungu tu ndiye anayeongoza na si utash wa mtu pekee. So kwakila kitu mwombe yeye na tamka unataka akufanyie nini basi na si vinginevyo. usipende sana kusikiliza ushuhuda wa kushindwa kama huwez kuutoa akilini kwani utakuharibia maisha yote ma dia.Unalo tatizo tu la kisaikolojia.
      kiukweli ushauri wako nimeusoma ila sijauelewa labda nina tatizo na huo msitari wa mwisho...dada
      gfsonwin likes this.
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    16. #33
      St. Paka Mweusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Location : Ukune,
      Posts : 5,289
      Rep Power : 1691
      Likes Received
      1564
      Likes Given
      3289

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Quote By Smile
      yaani sijakuelewa hata tone mkuu


      Nitarudi kukuelewesha zaidi nikitoka Lunch, kikubwa unieleze ni kipi hasa unachotaka kuelewa toka katika ujumbe huo mfupi..
      UKICHOKA KUFANYA SIRI,FUMANIWA TU YAISHE . By Simon Kitururu.
      nk" href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=90498" title="stroke is offline"> Reply With Quote Reply With Quote

    17. #34
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      kweli umechanganyikiwa, na unahitaji maombi ukemewe jini mahaba lililokuoa likuachie upate kuona umuhimu wa ndoa!! ingawa vitabu vya dini vinasema kuwaaaaaaaaaaa!! and don't take this as an authority....ukiamua kutoolewa , uwe msafi usifanye ngono..that means usiwe unagawa tuu kama peremende na kufanya uzinzi wako kwa kisingizio cha kupenda kuwa singo...kuharibika kwa sekta ya ndoa kunatokana na kuingiliwa kwa sekta hiyo kwa mdudu tamaa aliyepandikizwa na shetani ili kulivuruga lengo kuu la mungu la kuunganisha wanadamu!!! kuwa makini na mawazo haya ni ya kishetani...

    18. #35
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,058
      Rep Power : 23352
      Likes Received
      8090
      Likes Given
      5852

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Quote By ruttashobolwa
      Unajua watu wanatofautiana si kila mtu ana tabia kama za wanaume ulio waelezea hapo. Kwenye ndoa inatafutwa furaha na watoto, mambo mengine ni tabia ya mtu. Naamini hata ukisubiri kwa miaka 20 ijayo hutopata mtu parfect cha kufanya ni kuomba mungu akupe mtu anaye kufanana.
      Smile do smile
      unataka kusema hawa woooote wanaoteseka na ndoa hawakumuomba mungu? nitajuaje na mimi mungu atanijibu?
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    19. #36
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,408
      Rep Power : 13317
      Likes Received
      7625
      Likes Given
      6909

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Quote By Smile
      KWANI SIS bila ndoa huwezi kuwa na familia?
      kampany au mapenzi?
      Kuna umri unaweza pata hivyo lakini at some point unahitaji kusettle. Na kwa maumbile yetu sisi binadamu kila mtu anakaubinafsi yaani unataka changu, mume wangu, watoto wangu, penzi langu na si chetu au letu. Kuna umri ambao huwezi pata wanaume ambao hawajaoa, matokeo yake utaishia kuiba waume wa watu kwa ajili ya kutimiza matakwa ya ngono.

      Na kingine, mara nyingi mabaya ndio yanayosemwa hivyo mifano ya ndoa nzuri ipo tu ni swala la kumuomba Mungu. Look for real God fearing man, na si hawa wanaume ambao wengi tunakuwa attracted nao.
      Ndahani, Smile and gfsonwin like this.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    20. #37
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,089
      Rep Power : 13049
      Likes Received
      14064
      Likes Given
      14838

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Mie difinisheni ya ndoa inasainiwa na baraza la kichwa changu tu
      Huku kwingine utajitia presha bure.
      Ndahani and Smile like this.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    21. #38
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,058
      Rep Power : 23352
      Likes Received
      8090
      Likes Given
      5852

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Quote By Tata
      Hizo zote ulizoorodhesha ni sababu "valid" zinazopelekea wanaume na wanawake kuoana. Ila hiyo orodha yako siyo "exhaustive" kwani kama ambavyo wanaume na wanawake walivyo wengi duniani basi na sababu ziko nyingi tu za kuoa. Na mara nyingi wanaume na hata wanawake husukumwa na "combination" ya sababu zaidi ya moja kuingia kwenye ndoa.

      Ila jambo moja ni hakika. Bila kujali ni sababu ipi inakusukuma kuoa, ukishaoa/olewa tu utagundua kuwa ndoa siyo "event" ila ni "process" na inakuja ikiwa na "package" ya mambo mengine mengi ambayo hayapo kwenye vigezo vya kawaida vinavyowasukuma wanaume na wanawake kuingia kwenye ndoa. Na mara nyingi hapo ndio watu wengine wanaanza kuchanganyikiwa kwani wanasahau kuwa kuoa ni "process" inayoanza mara tu padre, mchungaji, shehe, mserikali au mzee wa kimila anapowatangaza rasmi kuwa nyie sasa ni bwana na bibi. Hapa sizungumzii hizi ndoa zenu za siku hizi za kujaribishana kwanza kabla hamjazirasmisha.

      Nitaongea zaidi kama utahitaji ufafanuzi kwani kuna mambo mazito ambayo itabidi tuulizane umri kwanza kabla sijaendelea.
      MIMI ni mtu mzima kabisa mkuu...ongea tu
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    22. #39
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,644
      Rep Power : 4014
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Quote By Smile
      au ndoa zipigwe marufuku?
      Halafu itakuwaje? Dar usiku si utakuwa busy kuliko mchana? Kona bar kiingereza kitatawala kuliko kiswahili maana tunaweza tukasahau line ya mwisho ya kitu tusichotakiwa kufanya. Kwa mfano wewe usipoolewa, haya mambo mengine unafanyaje? Au ni juu kwa juu tu!
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    23. #40
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,058
      Rep Power : 23352
      Likes Received
      8090
      Likes Given
      5852

      Default Re: nimechanganyikiwa ..naombeni ushauri wa ukweli wana JF

      Quote By Kaunga
      Kuna umri unaweza pata hivyo lakini at some point unahitaji kusettle. Na kwa maumbile yetu sisi binadamu kila mtu anakaubinafsi yaani unataka changu, mume wangu, watoto wangu, penzi langu na si chetu au letu. Kuna umri ambao huwezi pata wanaume ambao hawajaoa, matokeo yake utaishia kuiba waume wa watu kwa ajili ya kutimiza matakwa ya ngono.

      Na kingine, mara nyingi mabaya ndio yanayosemwa hivyo mifano ya ndoa nzuri ipo tu ni swala la kumuomba Mungu. Look for real God fearing man, na si hawa wanaume ambao wengi tunakuwa attracted nao.
      sasa ukiwa na mtu haupo attracted kwake si ndo itakuwa worse kabisa...
      Kaunga likes this.
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    24. FemaTV & Radio
    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...