Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

    Report Post
    Page 1 of 18 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 359
    1. #1
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,729
      Rep Power : 27101
      Likes Received
      10088
      Likes Given
      14003

      Default Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Wana MMU polen kwa ujenzi wa taifa na hongereni kwa mapumziko ya jioni.

      wapendwa hebu tudadavue hapa ni kweli kwamba hii dhana ya mtu fulan ni mtamu au siyo mtamu kunako majamboz ni kweli? mathalan utaskia wakaka wengi wakidai demu fulan mtamu sana sasa mimi hapa huwa nashindwa kuelewa kitu kwani extent ya pleasure unayoipata wakati wa climax inatofauti from one person to another?

      na je kwa wadada eti kuna tofauti kweli kati ya mkaka na mkaka katika kutoa raha provided kuwa orgasm utaifikia?

    2. Miaka 50

    3. #2
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 604
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Eeh, ulikuwa hujui hilo!
      mjasiria and gfsonwin like this.

    4. #3
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 604
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Mambo kufundishana, kujifunza bhana!
      Mu-sir likes this.

    5. #4
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,438
      Rep Power : 13324
      Likes Received
      7667
      Likes Given
      6911

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Mimi naweza sema, fulani nampenda kuliko fulani!

      Na kwa ninaye mpenda love making inakuwa tamu. Maumbile ya sex organ hayahusiki sana, ingawa huge inaumiza; ndogo kama mwenye nayo anajua kuitumia haina shida. Kwangu kumpenda ndiyo determinant
      BAK, Azimio Jipya, Asprin and 10 others like this.

    6. #5
      hayaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 451
      Rep Power : 477
      Likes Received
      91
      Likes Given
      73

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      unauliza makofi polisi?
      gfsonwin likes this.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,729
      Rep Power : 27101
      Likes Received
      10088
      Likes Given
      14003

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By Doreen22
      Eeh, ulikuwa hujui hilo!
      nilikuwa sijui hebu nieleweshe tafadhali?

    9. #7
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2726
      Likes Received
      747
      Likes Given
      6

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      utamu wa pipi mate yako...
      Neiwa likes this.

    10. #8
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,438
      Rep Power : 13324
      Likes Received
      7667
      Likes Given
      6911

      Default

      Quote By cartura
      utamu wa pipi mate yako...
      I kinda like this one!
      XANDRIA likes this.

    11. #9
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,094
      Rep Power : 27014
      Likes Received
      8230
      Likes Given
      17325

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Naogopa kuchangia hii mada...................!
      HorsePower, LD, ndyoko and 1 others like this.

    12. #10
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,729
      Rep Power : 27101
      Likes Received
      10088
      Likes Given
      14003

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By Kaunga
      Mimi naweza sema, fulani nampenda kuliko fulani!

      Na kwa ninaye mpenda love making inakuwa tamu. Maumbile ya sex organ hayahusiki sana, ingawa huge inaumiza; ndogo kama mwenye nayo anajua kuitumia haina shida. Kwangu kumpenda ndiyo determinant
      you have logic Kaunga, mimi i believe in your theory. But to me extent of pleasure at climax is just the same so long as i love the person. But also nafikir ni utundu tu wa mtu ila si amin kama kuna mtu mtam zaid ya mwingine
      Asprin likes this.

    13. #11
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,169
      Rep Power : 21616
      Likes Received
      13493
      Likes Given
      17793

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      utamu.....mwili msafi
      mwili una afya..
      mwili umetunzwa vizuri..
      mwili uko kwenye 'zone ya sex'...
      unavutiwa nae pia
      UPOPO, nemic4u, SAWEBOY and 3 others like this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    14. #12
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,729
      Rep Power : 27101
      Likes Received
      10088
      Likes Given
      14003

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By Mtambuzi
      Naogopa kuchangia hii mada...................!
      Mtambuzi ukichangia utasaidia wengine.

    15. #13
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,729
      Rep Power : 27101
      Likes Received
      10088
      Likes Given
      14003

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By The Boss
      utamu.....mwili msafi
      mwili una afya..
      mwili umetunzwa vizuri..
      mwili uko kwenye 'zone ya sex'...
      unavutiwa nae pia
      assuming that all those factors are kept constant is there any difference from pleasure attained at climax from one person to another?

    16. #14
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,729
      Rep Power : 27101
      Likes Received
      10088
      Likes Given
      14003

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By hayaka
      unauliza makofi polisi?

      @hakaya kivipi?

    17. #15
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,795
      Rep Power : 2149
      Likes Received
      1222
      Likes Given
      545

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Uchangamfu wako ndo utamu wako km hamjui. Hawa mnaowaona na kuwasifia mademu bomba wengi kunako 6*6 ni wavivu saana tu. wanatosheka na uzuri wao wa nje, wanajua wanaume watakuja tuu! so mara nyingi wanaume wakila mzigo utawasikia wakilaani kwamba demu anasoma gazeti tu. Ni km hao mnaowaita ma Handsome, muda mwingi wanatumia kujipodoa tu na kujiweka smart outside ili wawavutie zaidi warembo, lkn kunako 6*6 wengine mpaka apate stimu kwanza. hata hapo utasikia akina dada wakilalamika mwanaume mzuri lkn kitandani mtupu. All in All jituime kitandani, kuwa mbunifu utakuwa mtamu sana tena sana. Sometimes km mnataka darasa mni PM niwafunde jinsi ya kucheza kunako 6*6
      Mfamaji, Mbaha, mamkindi and 1 others like this.

    18. #16
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,729
      Rep Power : 27101
      Likes Received
      10088
      Likes Given
      14003

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By cartura
      utamu wa pipi mate yako...
      hilo neo so kama nimekuelewa vizur unamaanisha kuwa tofauti ni utundu tu ila siyo raha yenyewe

    19. #17
      MKUU WA KAYA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th April 2012
      Posts : 189
      Rep Power : 395
      Likes Received
      48
      Likes Given
      45

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Ni kweli mwanajamii na hasa wale wanawake wanaojisafisha sana sehemu za starehe huwa sio watamu Kabisaaa kwani huwa wanaondoa ule uhalisia Wa sehemu yenyewe (mnato),maana wengine wanaingiza kidole mpaka ndani kabisa karibu na Kizazi wakidhani ndio usafi Kumbe wanaharibu mazingira.

    20. #18
      BONGOLALA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 4,854
      Rep Power : 1467
      Likes Received
      1004
      Likes Given
      128

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      ni sawa na Nyama ni ya ng'ombe kuna iliyonona na ambayo haijanona unapoila

    21. #19
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,729
      Rep Power : 27101
      Likes Received
      10088
      Likes Given
      14003

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By Chimunguru
      Uchangamfu wako ndo utamu wako km hamjui. Hawa mnaowaona na kuwasifia mademu bomba wengi kunako 6*6 ni wavivu saana tu. wanatosheka na uzuri wao wa nje, wanajua wanaume watakuja tuu! so mara nyingi wanaume wakila mzigo utawasikia wakilaani kwamba demu anasoma gazeti tu. Ni km hao mnaowaita ma Handsome, muda mwingi wanatumia kujipodoa tu na kujiweka smart outside ili wawavutie zaidi warembo, lkn kunako 6*6 wengine mpaka apate stimu kwanza. hata hapo utasikia akina dada wakilalamika mwanaume mzuri lkn kitandani mtupu. All in All jituime kitandani, kuwa mbunifu utakuwa mtamu sana tena sana. Sometimes km mnataka darasa mni PM niwafunde jinsi ya kucheza kunako 6*6
      sasa Chimunguru umesema mengi sana hapa ila kwenye ule mzizi wa swali langu kuna tofauti kweli eti mwanamke huyu ni mtau na huyu siyo mtamu and kwa wanaume pia? kwani kama mtu akikufikisha at climax utasema orgasm hii ilikuwa nzuri kuliko hii hivi kweli kuna hiyo tofauti?

    22. #20
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,573
      Rep Power : 5617
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2283

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      utamu wa pipi mate yako.....

      Ukute mwanaume/mwanamke hajishughulishi unafikiri utamu utapatikana hapo?
      Kifulambute and gfsonwin like this.

    Page 1 of 18 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...