Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

    Report Post
    Page 16 of 18 FirstFirst ... 61415161718 LastLast
    Results 301 to 320 of 359
    1. #1
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13924

      Default Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Wana MMU polen kwa ujenzi wa taifa na hongereni kwa mapumziko ya jioni.

      wapendwa hebu tudadavue hapa ni kweli kwamba hii dhana ya mtu fulan ni mtamu au siyo mtamu kunako majamboz ni kweli? mathalan utaskia wakaka wengi wakidai demu fulan mtamu sana sasa mimi hapa huwa nashindwa kuelewa kitu kwani extent ya pleasure unayoipata wakati wa climax inatofauti from one person to another?

      na je kwa wadada eti kuna tofauti kweli kati ya mkaka na mkaka katika kutoa raha provided kuwa orgasm utaifikia?

    2. Miaka 50

    3. #301
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,419
      Rep Power : 13320
      Likes Received
      7647
      Likes Given
      6909

      Default

      Quote By gfsonwin
      Kaunga kamata mwizzzzzzzzzzzzzz, men
      Yaani naumia hadi kuchani!
      gfsonwin likes this.

    4. #302
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,419
      Rep Power : 13320
      Likes Received
      7647
      Likes Given
      6909

      Default

      Quote By Kongosho
      ndo huyo anayejisema mwaminifu, kaona maneno tu, zikaponyoka.
      Yaani shetani ana nguvu nyie; ila ashindwe na kaubaridi ka my Eiyer kashindwe!

    5. #303
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6888
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By Kaunga
      Yaani naumia hadi kuchani!
      Nini kinakuuma laaziz?Am herd tell me!

    6. #304
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,419
      Rep Power : 13320
      Likes Received
      7647
      Likes Given
      6909

      Default

      Quote By Eiyer
      Jamani mke wangu,jiamini kuhisi kwangu baridi ni kwa sababu nakumbuka mauno yako na kile kilio chako..Lol!
      We nidanganye tu; halafu hiyo comment ilikuwa very honest kwani mwili ulisisimka na flow ya damu ikawa inakimbilia downwards.

      Ujue kuna kucheat kwa mawazo, maneno, matendo na kutonitimizia mimi! LOL

    7. #305
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13924

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By Kaunga
      Yaani naumia hadi kuchani!
      Eiyer please don't hurt Kaunga she is so innocent.

    8. Study Abroad

    9. #306
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6888
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Aaah!My love Kaunga,usihofu kabisa mwenye access na huu mwili ni wewe tu hakuna mwingine kabisa,we nenepa tu!

    10. #307
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6888
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By gfsonwin
      Eiyer please don't hurt Kaunga she is so innocent.
      Jamani,asijali laazizi wangu Kaunga yeye anenepe tu,aachane na mawazo mabaya!
      gfsonwin likes this.

    11. #308
      Bazazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Location : Mzururaji
      Posts : 1,312
      Rep Power : 810
      Likes Received
      338
      Likes Given
      110

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By gfsonwin
      Bazazi ................njoo uku uone mambo haya?
      gfsonwin! Mbona sionikitu zaidi ya FULAIZI kuwa wazi na simu ya NOKIA ya tochi? Kuna nini kwani
      gfsonwin likes this.
      Bibie! Usijisifu Kuwa Una Mimba: Msifie Aliyekupa Mimba.

    12. #309
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13924

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By Bazazi
      gfsonwin! Mbona sionikitu zaidi ya FULAIZI kuwa wazi na simu ya NOKIA ya tochi? Kuna nini kwani
      tatizo Bazazi umezidi kuzurura sana, ungekuwepo hapa siku ya tuko ungejonea mwenyewe bana.

    13. #310
      Bazazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Location : Mzururaji
      Posts : 1,312
      Rep Power : 810
      Likes Received
      338
      Likes Given
      110

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By gfsonwin
      tatizo Bazazi umezidi kuzurura sana,
      tangu tarehe 07/06 Bazazi alikuwa wilayani Mpwapwa Jimbo la KIBAKWE maeneo ya milimani kama WOTTA, LUFU, GALIGALI na MATONYA. Huko ni nje ya mtandao. Kwa kweli wa kulaumiwa sio mimi ni Mfumuko wa bei wa CCm ndio unanifanya niwe mzururaji.

      Lakini napenda kujua nini hapo zaidi ya kutofungwa kwa zip, nokia ya tochi na mipasuo kila mahali?

      Bazazi ni Bazazi!
      Bibie! Usijisifu Kuwa Una Mimba: Msifie Aliyekupa Mimba.

    14. #311
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13924

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By Bazazi
      tangu tarehe 07/06 Bazazi alikuwa wilayani Mpwapwa Jimbo la KIBAKWE maeneo ya milimani kama WOTTA, LUFU, GALIGALI na MATONYA. Huko ni nje ya mtandao. Kwa kweli wa kulaumiwa sio mimi ni Mfumuko wa bei wa CCm ndio unanifanya niwe mzururaji.

      Lakini napenda kujua nini hapo zaidi ya kutofungwa kwa zip, nokia ya tochi na mipasuo kila mahali?

      Bazazi ni Bazazi!
      no nilikuita uone aina ya akina dada ambao wapo kwa mtazamo wangu finyi tu hawa ndio tunao tegemea wazae watoto wawalee sasa kwa aina hii ya mwonekano pana kitu hapo? na kwa maisha ya mtanzania kujizira kwa namna hiyo ndo kuonekana uko juu au ninini? anyway nilikuita pia kwakua wewe uliwah kucomment kwenye post yangu moja kuwa wanawake tunajidhalilisha enewe so siwez kuwatetea, hivyo nkataka uproove sentensi yako kuwa uko right

    15. #312
      Bazazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Location : Mzururaji
      Posts : 1,312
      Rep Power : 810
      Likes Received
      338
      Likes Given
      110

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By gfsonwin
      no nilikuita uone aina ya akina dada ambao wapo kwa mtazamo wangu finyi tu hawa ndio tunao tegemea wazae watoto wawalee sasa kwa aina hii ya mwonekano pana kitu hapo? na kwa maisha ya mtanzania kujizira kwa namna hiyo ndo kuonekana uko juu au ninini? anyway nilikuita pia kwakua wewe uliwah kucomment kwenye post yangu moja kuwa wanawake tunajidhalilisha enewe so siwez kuwatetea, hivyo nkataka uproove sentensi yako kuwa uko right
      kwa kuacha zipu wazi ni kutotosha. No more comment
      gfsonwin likes this.
      Bibie! Usijisifu Kuwa Una Mimba: Msifie Aliyekupa Mimba.

    16. #313
      MwalimuZawadi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2007
      Posts : 623
      Rep Power : 723
      Likes Received
      50
      Likes Given
      3

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By MKUU WA KAYA
      Ni kweli mwanajamii na hasa wale wanawake wanaojisafisha sana sehemu za starehe huwa sio watamu Kabisaaa kwani huwa wanaondoa ule uhalisia Wa sehemu yenyewe (mnato),maana wengine wanaingiza kidole mpaka ndani kabisa karibu na Kizazi wakidhani ndio usafi Kumbe wanaharibu mazingira.
      Mkuu wa Kaya, wanaita kutoa utoko. Unajua sio suala la kuondoa mnato tu, bali ni khatari sana kwa afya. Usafi wa aina hiyo (kutoa utoko) unachangia kwa kiasi kikubwa wanawake kupata kansa ya kizazi. Wahimize waache kabisa!! Mbaya zaidi wengi wamefundishwa toka watoto eti ndo njia ya kujisafisha kwa mwanamke
      MKUU WA KAYA likes this.
      Sent from my Nokia rinGo using JamiiForums

    17. #314
      BIG Banned's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : Banned
      Posts : 263
      Rep Power : 407
      Likes Received
      63
      Likes Given
      77

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By gfsonwin
      Wana MMU polen kwa ujenzi wa taifa na hongereni kwa mapumziko ya jioni.

      wapendwa hebu tudadavue hapa ni kweli kwamba hii dhana ya mtu fulan ni mtamu au siyo mtamu kunako majamboz ni kweli? mathalan utaskia wakaka wengi wakidai demu fulan mtamu sana sasa mimi hapa huwa nashindwa kuelewa kitu kwani extent ya pleasure unayoipata wakati wa climax inatofauti from one person to another?


      na je kwa wadada eti kuna tofauti kweli kati ya mkaka na mkaka katika kutoa raha provided kuwa orgasm utaifikia?
      Mi sijui! nilijaribu mmoja na huyohuyo ndio nikaoa.
      gfsonwin likes this.
      Vua GAMBA Vaa GWANDA

    18. #315
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13924

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By BIG Banned
      Mi sijui! nilijaribu mmoja na huyohuyo ndio nikaoa.
      hongera lakini nikuulize swali la kizushi BB sasa utawezaje kula mboga hiyo hiyo kila siku?

    19. #316
      BIG Banned's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : Banned
      Posts : 263
      Rep Power : 407
      Likes Received
      63
      Likes Given
      77

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By gfsonwin
      hongera lakini nikuulize swali la kizushi BB sasa utawezaje kula mboga hiyo hiyo kila siku?
      Umejifunza wapi kama hiyo kitu inafananishwa na mboga. Usipaite mbogo rafiki, hapo ni mahali patakatifu, ukiwa unapachezea utazaa mashetani.
      gfsonwin likes this.
      Vua GAMBA Vaa GWANDA

    20. #317
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13924

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By BIG Banned
      Umejifunza wapi kama hiyo kitu inafananishwa na mboga. Usipaite mbogo rafiki, hapo ni mahali patakatifu, ukiwa unapachezea utazaa mashetani.
      BB mbona that is nahau? au wengine wanaita idiom sijui........... to me nafikir waweza nielewa nilichomaanisha. Na je ni kweli ukichezea utazaa mashetani? kwan binadam anaweza zaa mashetani? na kwanini uzae hayo kwani kusema hivyo kunahusiana vipi na mashetani? yaani nitafurah sana ukinijibu.

    21. #318
      BIG Banned's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : Banned
      Posts : 263
      Rep Power : 407
      Likes Received
      63
      Likes Given
      77

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      Quote By gfsonwin
      BB mbona that is nahau? au wengine wanaita idiom sijui........... to me nafikir waweza nielewa nilichomaanisha. Na je ni kweli ukichezea utazaa mashetani? kwan binadam anaweza zaa mashetani? na kwanini uzae hayo kwani kusema hivyo kunahusiana vipi na mashetani? yaani nitafurah sana ukinijibu.
      Hapo ni mahali patakatifu, na ni ruhusa tu pale utapokuwa umefunga ndoa takatifu, hivyo inakuwa ruhusa mbele ya jamii na mbele ya Mungu kufanya na huyo Mtu ambaye umefunga naye ndoa. Kinyume cha hapo unaharibu huo utakatifu na kumruhusu shetani kutawala hiyo sehemu yako. Na ndio mana watu ambao wameweza na wanalinda huo utakatifu wameweza kuzaa watoto wenye hekima na busara. Kinyume cha hapo utakuwa unaendelea kuwatia nuksi za maisha watoto wako ulio wazaa na unaotarajia kuwazaa. Kama ukiheshimu na kuujali huo utakatifu na Mungu atakubali wewe na vizazi vyako.
      Vua GAMBA Vaa GWANDA

    22. BAK
      #319
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,535
      Rep Power : 44951
      Likes Received
      8279
      Likes Given
      8280

      Default Re: Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

      [QUOTE=gfsonwin;4029373]hongera lakini nikuulize swali la kizushi BB sasa utawezaje kula mboga hiyo hiyo kila siku?[/QUOTE]


      Mhhhh! gfsonwin haya bana LOL!
      gfsonwin likes this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    23. #320
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6888
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By gfsonwin
      hongera lakini nikuulize swali la kizushi BB sasa utawezaje kula mboga hiyo hiyo kila siku?
      Dhana hii ilikuja baada ya baadhi ya wanandoa kudai kuwa wanawakinai wanandoa wao!Tatizo ni wao(wanandoa)kutokujua hasa nini kinasababisha hali hii.Tatizo likaongezeka pale ikawa inadhaniwa suluhu ambayo siyo!
      gfsonwin likes this.

    24. FemaTV & Radio
    Page 16 of 18 FirstFirst ... 61415161718 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...