Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 34
    1. #1
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,094
      Rep Power : 27014
      Likes Received
      8231
      Likes Given
      17325

      Default Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Kwa mujibu wa kitabu cha Biblia, ni kuwa Mungu alichukua ubavu wa mwanaume aitwae Adam na kumtengeneza mwanamke aitwae Eva. Hiyo ni dhana tosha kwa mtu wa kawaida kuamini kuwa mwanamke aliumbwa akiwa kipande kidogo kilichotoka kwenye umbo kamilifu la mwanaume. Hiyo ni sababu ya kinasaba kuwa; mwanamke humpenda mwanaume katika ukamili wake kwanza na kumtii halafu ndipo anaweza kudai vitu vingine vya nje ya maumbile ya mwanaume. Kwa sababu mwanaume anajua kuwa mwanamke ni kipande tu au sehemu ndogo kutoka sehemu kubwa ya mwanaume hivyo humpenda vipande vipande na kumhurumia.

      Na hivyo ndivyo mwanamke anavyojifahamu na kujitambua. Na mwanamke yeyote ambaye hajipendi vipande vipande hata wanawake wenzie lazima wamseme, wamponde na kumsimanga. Ushahidi uliopo, unaonesha kwamba mwanamke yuko tayari kupoteza pesa nyingi sana muda na rasilimali nyinginezo katika harakati za kuboresha au kukarabati sehemu au vipande vya mwili wake. Inaweza ikawa ni uso, nywele, kucha, nguo za kuonesha kitovu, matiti, kiuno nakadhalika…… Linapokuja suala la kutengeneza vipande huwa hawajali madhara au matokeo ya baadae ya kile wanachokifanya. Kwa mtazamo wa haraka haraka inaweza kudhaniwa kuwa wanatangaza bidhaa zao. La hasha. Ukweli ni kwamba kwa asili wao ni kipande tu cha ukamilifu wa utu, linapokuja suala la mwili, sio akili na hisia.

      Katika uhusiano na jamii kwa ujumla mwanmke hupenda kusifiwa vipande vipande. Kwa mfano ukimwambia mwanamke kwa ujumla wake kuwa yeye ni mzuri na amependeza; haoneshi kufurahi, bali ataishia tu kusema ‘ahsante.’ Lakini ukimwambia kuwa sehemu au kipande fulani cha mwili wake ni kizuri, mfano macho, nywele, kiuno, nk. Hapo atafurahi sana na kutoa kicheko cha aina fulani kuashiria kuwa sasa karidhika, hatimaye jamii imemtambua kuwa yeye ni mwenye kitu fulani bora kuliko wanawake wenzake.
      Jaywinz and sister like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,278
      Rep Power : 606
      Likes Received
      332
      Likes Given
      58

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      True said mkuu! naunga mkono hoja mia kwa mia...
      Mtambuzi likes this.

    4. #3
      HorsePower's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 2,649
      Rep Power : 3795
      Likes Received
      1667
      Likes Given
      1485

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Mtambuzi wewe ni mchambuzi pia! Ni kweli kuwa kwa baadhi ya imani na maandiko yanasema kuwa mwanamke ni sehemu ya mwanaume.

      Ukiacha haya, nauungana na wewe ktk tafiti zako kwa asilimia 100 kuwa ukamilifu wa mwanamke upo kwenye mkusanyiko wa vipande vipande na ndiyo maana hupenda kusifiwa kwa kutajiwa sehemu tu za mwili wake. Niliwahi kusoma andiko fulani mahali fulani kuwa ukamilifu wa mwanamke uko kwa mumewe -That is, how mume anavyohandle vipande vipande vya mkewe kumfanya awe mkamilifu!
      Last edited by HorsePower; 7th June 2012 at 12:46.
      Mtambuzi and sister like this.
      Don’t judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant.

    5. #4
      lolyz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 286
      Rep Power : 450
      Likes Received
      162
      Likes Given
      266

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Mtambuzi :i beg to differ....Mungu aliona Adam hajakamilika ndio maana akachomoa kambavu kamoja ili kufanya msaidizi aliona Adam yu mpweke mno...sababu ya kuchomoa mbavu ni simple ili wafanane na ndio maana wanandoa wakikaa sana kwenye mahusiano mwishowe watu huona wamefanana ...so mwanamke ndiye anayemkamilisha mwanaume na c vipande kama unavyodai.
      Mtambuzi, Kaunga, gfsonwin and 1 others like this.
      Ukaniite siku ya mateso, Nitakuokoa na wewe utanitukuza :Zab (psalm)50:15

    6. #5
      Rose1980's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Posts : 5,693
      Rep Power : 2026
      Likes Received
      1193
      Likes Given
      1426

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      mi sjaelewa
      Mtambuzi likes this.
      "NAJUA kwamba mimi ni mwerevu na mwenye akili,kwa sababu nafahamu kwamba HAKUNA NINACHOFAHAMU" socrates

    7. Miaka 50

    8. #6
      Ntuya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Posts : 113
      Rep Power : 445
      Likes Received
      14
      Likes Given
      2

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Kazi kweli kweli, mpambano maridadi kati ya KE na ME. Mpaka dunia inaisha naona watu watakuwa hawjapata majibu.
      Mtambuzi likes this.

    9. #7
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,094
      Rep Power : 27014
      Likes Received
      8231
      Likes Given
      17325

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By lolyz
      Mtambuzi :i beg to differ....Mungu aliona Adam hajakamilika ndio maana akachomoa kambavu kamoja ili kufanya msaidizi aliona Adam yu mpweke mno...sababu ya kuchomoa mbavu ni simple ili wafanane na ndio maana wanandoa wakikaa sana kwenye mahusiano mwishowe watu huona wamefanana ...so mwanamke ndiye anayemkamilisha mwanaume na c vipande kama unavyodai.
      lolyz ... nakubali kutofautiana kimtazamo na yeyote yule...... Sitaki kuigeuza mada hii kuwa ya kidini, kwani itapoteza uhalisia......
      Kuhusu wanandoa kufanana, naomba usome zaidi link hii hapa chini, niliwahi kuzungumzia jambo hilo wakati fulani.....

      http://www.jamiiforums.com/mahusiano...-baba-zao.html

    10. #8
      lolyz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 286
      Rep Power : 450
      Likes Received
      162
      Likes Given
      266

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By Mtambuzi
      lolyz ... nakubali kutofautiana kimtazamo na yeyote yule...... Sitaki kuigeuza mada hii kuwa ya kidini, kwani itapoteza uhalisia......
      Kuhusu wanandoa kufanana, naomba usome zaidi link hii hapa chini, niliwahi kuzungumzia jambo hilo wakati fulani.....

      http://www.jamiiforums.com/mahusiano...-baba-zao.html
      Ila naona kama itakuwa ngumu maana ile ndio source ..nwy goja nikaisome sasa hivi.
      Mtambuzi likes this.
      Ukaniite siku ya mateso, Nitakuokoa na wewe utanitukuza :Zab (psalm)50:15

    11. #9
      sister's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2011
      Location : MBEZI YA KIMARA, DSM
      Posts : 1,443
      Rep Power : 959
      Likes Received
      450
      Likes Given
      470

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      na ndiyo maana usipopata mwanaume mzuri hapa sizungumzii uzuri wa sura bali namaanisha real men nawe maisha yako hayatakuwa mazuri mana atashindwa kuunganisha vipande vilivyopo kwa mwanamke na kuwa mwanamke mkamilifu.
      Mtambuzi likes this.

    12. #10
      leroy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2010
      Posts : 327
      Rep Power : 587
      Likes Received
      89
      Likes Given
      94

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      (1 Timothy 2:12): "I do not permit a woman to teach or to have authority over a man.
      She must be quiet.
      "
      Mtambuzi and ndyoko like this.
      A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people.

    13. FP
      #11
      FP's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 30th September 2009
      Posts : 7,266
      Rep Power : 46353
      Likes Received
      6980
      Likes Given
      6881

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      ndo unavyowaza?
      Mtambuzi likes this.
      Don't wait for the Perfect Moment,
      Take the Moment and make it Perfect


    14. #12
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,585
      Rep Power : 5620
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2288

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      unajaribu kusema nini?
      kuwa sisi ambao hatujirembi kucha na kadhalika ni nini?
      Mtambuzi likes this.
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    15. #13
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,442
      Rep Power : 13325
      Likes Received
      7667
      Likes Given
      6911

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By lolyz
      Mtambuzi :i beg to differ....Mungu aliona Adam hajakamilika ndio maana akachomoa kambavu kamoja ili kufanya msaidizi aliona Adam yu mpweke mno...sababu ya kuchomoa mbavu ni simple ili wafanane na ndio maana wanandoa wakikaa sana kwenye mahusiano mwishowe watu huona wamefanana ...so mwanamke ndiye anayemkamilisha mwanaume na c vipande kama unavyodai.
      Wao wamekamilika bwana ndio maana siku hizi wanaoana wenyewe kwa wenyewe! They real dont need us at all; go guys Cameroon ameshawapa go ahead na wala si MUNGU.
      Mtambuzi and lolyz like this.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    16. #14
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Kuna jambo nitalisema,ngoja nije kwanza!
      Mtambuzi likes this.

    17. #15
      HorsePower's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 2,649
      Rep Power : 3795
      Likes Received
      1667
      Likes Given
      1485

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By Kaunga
      Wao wamekamilika bwana ndio maana siku hizi wanaoana wenyewe kwa wenyewe! They real dont need us at all; go guys Cameroon ameshawapa go ahead na wala si MUNGU.
      Kaunga mbona kama unatutusi tena wakaka? Ishu hapa siyo hoja ya ukamilifu wa wanaume na mambo ya ki-cameroon, uzi unazungumzia namna Mungu alivyoumba mwanamke na mwanaume na namna gani tafiti zinaonyesha jinsi ambavyo mwanamke anamtegemea mwanaume ktk ukamilifu wake! Mtambuzi amemention maeneo kadhaa ikiwemo namna ambavyo mwanamke anapenda kusifiwa kivipande vipande hoja ambayo ina ukweli ndani yake.

      Tutake radhi aisee!
      Mtambuzi, Kaunga and mgeni10 like this.
      Don’t judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant.

    18. #16
      KakaKiiza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Location : Here Where you see me!!
      Posts : 6,051
      Rep Power : 16330
      Likes Received
      2227
      Likes Given
      1265

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By Rose1980
      mi sjaelewa
      Utaelewa vipi na wewe unabeep??acha kukomnyeza uone kama haujaelewa!
      Mtambuzi likes this.
      Its only crazy who will be against to CDM!,only a fool who will fly CCM flag while is hungry!!

    19. #17
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,094
      Rep Power : 27014
      Likes Received
      8231
      Likes Given
      17325

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By BADILI TABIA
      unajaribu kusema nini?
      kuwa sisi ambao hatujirembi kucha na kadhalika ni nini?
      BADILI TABIA ....Swala hapa si kujiremba, swala ni wanawake kutaka kusifiwa eneo ambalo wanahisi ni zuri na linavutia kuangaliwa, kinachofanyika ni kuboresha eneo hilo kwa kujiremba au kwa mavazi.............

      Rejea makala yangu kuhusu jambo hilo kwa kubofya hapa chini:

      http://www.jamiiforums.com/mahusiano...%85%85%85.html

    20. #18
      lolyz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 286
      Rep Power : 450
      Likes Received
      162
      Likes Given
      266

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By HorsePower
      Kaunga mbona kama unatutusi tena wakaka? Ishu hapa siyo hoja ya ukamilifu wa wanaume na mambo ya ki-cameroon, uzi unazungumzia namna Mungu alivyoumba mwanamke na mwanaume na namna gani tafiti zinaonyesha jinsi ambavyo mwanamke anamtegemea mwanaume ktk ukamilifu wake! Mtambuzi amemention maeneo kadhaa ikiwemo namna ambavyo mwanamke anapenda kusifiwa kivipande vipande hoja ambayo ina ukweli ndani yake.

      Tutake radhi aisee!
      Horse power huo ukweli ndio upi kwa mfano? kujipodoa ni jadi ya mwanamke maana aliumbwa awe kama ua la dunia...kama ni kusifiwa hakuna asiyependa sifa Mungu mwenyewe anapenda sifa sembuse mimi mwanamke? Ukweli utabakia kuwa MWANAUME HAWEZI KUKAMILIKA BILA MWANAMKE hiyo ni nature,creator angekuwa wa kike amini usiamin angetengenezwa ke(she) wa kwanza.we cant change nature
      Mtambuzi and Kaunga like this.
      Ukaniite siku ya mateso, Nitakuokoa na wewe utanitukuza :Zab (psalm)50:15

    21. #19
      hero g blocks's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 4th June 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      ni kweli hata biblia hutumia neno wao kuw a n dhaifu so wanahtaji msaada,tunaona wao pia huhitaji msaada zaid zaidi katk mazngra ya kila siku ni wagumu kutoa maamuz magumu hutegemea zaid wanaume kwl wao ni vpand .
      Mtambuzi likes this.

    22. #20
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,442
      Rep Power : 13325
      Likes Received
      7667
      Likes Given
      6911

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By HorsePower
      Kaunga mbona kama unatutusi tena wakaka? Ishu hapa siyo hoja ya ukamilifu wa wanaume na mambo ya ki-cameroon, uzi unazungumzia namna Mungu alivyoumba mwanamke na mwanaume na namna gani tafiti zinaonyesha jinsi ambavyo mwanamke anamtegemea mwanaume ktk ukamilifu wake! Mtambuzi amemention maeneo kadhaa ikiwemo namna ambavyo mwanamke anapenda kusifiwa kivipande vipande hoja ambayo ina ukweli ndani yake.

      Tutake radhi aisee!
      Not this time broda; kama kupenda kusifiwa ndio ukipande pande then hata wanaume ni vipande pande pia.

      na hata kama huyo ya uumbaji kuwa sijui ubavu ulinyofolewa kwa mwanamume (which can be just a metaphor), then mwanamume naye hajakamilika coz he is less one ubavu (kama ulinyofolewa just one).
      HorsePower and Mtambuzi like this.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...