Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 34 of 34
    1. #1
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,094
      Rep Power : 27013
      Likes Received
      8227
      Likes Given
      17325

      Default Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Kwa mujibu wa kitabu cha Biblia, ni kuwa Mungu alichukua ubavu wa mwanaume aitwae Adam na kumtengeneza mwanamke aitwae Eva. Hiyo ni dhana tosha kwa mtu wa kawaida kuamini kuwa mwanamke aliumbwa akiwa kipande kidogo kilichotoka kwenye umbo kamilifu la mwanaume. Hiyo ni sababu ya kinasaba kuwa; mwanamke humpenda mwanaume katika ukamili wake kwanza na kumtii halafu ndipo anaweza kudai vitu vingine vya nje ya maumbile ya mwanaume. Kwa sababu mwanaume anajua kuwa mwanamke ni kipande tu au sehemu ndogo kutoka sehemu kubwa ya mwanaume hivyo humpenda vipande vipande na kumhurumia.

      Na hivyo ndivyo mwanamke anavyojifahamu na kujitambua. Na mwanamke yeyote ambaye hajipendi vipande vipande hata wanawake wenzie lazima wamseme, wamponde na kumsimanga. Ushahidi uliopo, unaonesha kwamba mwanamke yuko tayari kupoteza pesa nyingi sana muda na rasilimali nyinginezo katika harakati za kuboresha au kukarabati sehemu au vipande vya mwili wake. Inaweza ikawa ni uso, nywele, kucha, nguo za kuonesha kitovu, matiti, kiuno nakadhalika…… Linapokuja suala la kutengeneza vipande huwa hawajali madhara au matokeo ya baadae ya kile wanachokifanya. Kwa mtazamo wa haraka haraka inaweza kudhaniwa kuwa wanatangaza bidhaa zao. La hasha. Ukweli ni kwamba kwa asili wao ni kipande tu cha ukamilifu wa utu, linapokuja suala la mwili, sio akili na hisia.

      Katika uhusiano na jamii kwa ujumla mwanmke hupenda kusifiwa vipande vipande. Kwa mfano ukimwambia mwanamke kwa ujumla wake kuwa yeye ni mzuri na amependeza; haoneshi kufurahi, bali ataishia tu kusema ‘ahsante.’ Lakini ukimwambia kuwa sehemu au kipande fulani cha mwili wake ni kizuri, mfano macho, nywele, kiuno, nk. Hapo atafurahi sana na kutoa kicheko cha aina fulani kuashiria kuwa sasa karidhika, hatimaye jamii imemtambua kuwa yeye ni mwenye kitu fulani bora kuliko wanawake wenzake.
      Jaywinz and sister like this.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,428
      Rep Power : 13322
      Likes Received
      7657
      Likes Given
      6911

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By Eiyer
      Kuna jambo nitalisema,ngoja nije kwanza!
      Honey, najua sijakamilika bila weye; kama vile weye hujakamilika bila mimi. Si ndicho ulichotaka kusema si eti eeh?
      Mwaah!
      Mtambuzi likes this.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    4. #22
      HorsePower's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 2,649
      Rep Power : 3795
      Likes Received
      1665
      Likes Given
      1485

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By HorsePower
      Kaunga mbona kama unatutusi tena wakaka? Ishu hapa siyo hoja ya ukamilifu wa wanaume na mambo ya ki-cameroon, uzi unazungumzia namna Mungu alivyoumba mwanamke na mwanaume na namna gani tafiti zinaonyesha jinsi ambavyo mwanamke anamtegemea mwanaume ktk ukamilifu wake! Mtambuzi amemention maeneo kadhaa ikiwemo namna ambavyo mwanamke anapenda kusifiwa kivipande vipande hoja ambayo ina ukweli ndani yake.

      Tutake radhi aisee!


      Quote By Kaunga
      Not this time broda; kama kupenda kusifiwa ndio ukipande pande then hata wanaume ni vipande pande pia.

      na hata kama huyo ya uumbaji kuwa sijui ubavu ulinyofolewa kwa mwanamume (which can be just a metaphor), then mwanamume naye hajakamilika coz he is less one ubavu (kama ulinyofolewa just one).
      Kaunga umechakachua huu uzi wa Mtambuzi, nachelea kuongeza neno lolote hapa ....
      Mtambuzi likes this.
      Don’t judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant.

    5. #23
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,094
      Rep Power : 27013
      Likes Received
      8227
      Likes Given
      17325

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By HorsePower
      Kaunga umechakachua huu uzi wa Mtambuzi, nachelea kuongeza neno lolote hapa ....
      Hata wewe umeona eh.............!

    6. #24
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3257
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By Mtambuzi
      lolyz ... nakubali kutofautiana kimtazamo na yeyote yule...... Sitaki kuigeuza mada hii kuwa ya kidini, kwani itapoteza uhalisia......
      Kuhusu wanandoa kufanana, naomba usome zaidi link hii hapa chini, niliwahi kuzungumzia jambo hilo wakati fulani.....

      http://www.jamiiforums.com/mahusiano...-baba-zao.html
      Mkuu, nimesoma huu uzi, na kwa kiasi fulani sipingani na watafiti hao, hasa kwa kuwa umeweka dhana ya jumla bila ya data. Lakini pia mimi ninao ushahidi wa mmoja ninayemjua (sitauita utafiti) wa rafiki yangu msichana, ambaye "kwa kukosa mapenzi ya baba utotoni, na kwa kukosa mahusiano mazuri na baba yake" ameishia kutafuta "yule baba aliyemkosa alipokuwa mtoto" ndani ya wanaume watu wazima sana kuliko yeye. Hii ni kwa kwa mujibu wa maneno yake mwenewe baada ya kumwuliza na kunielezea mkasa wake.
      Unaweza kuwa sahihi katika uchambuzi wako, lakini naogopa kuchangia kwa sababu sitaki ku"generalize".
      Mtambuzi likes this.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    7. #25
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,454
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      457
      Likes Given
      929

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      uko kweli mchunguzi hata siku moja wanawake hata iweje huwa hawajiamini ndio maana kutoka na hili somo naona kipande kipande kinawasababisha wasijiamini. hata kufurahia nini una mwambia maana yeye hujiona ni wadhamni muda wote hata akiwa ni polygon ukimsifia atajiona yuko juu sana
      Mtambuzi likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,094
      Rep Power : 27013
      Likes Received
      8227
      Likes Given
      17325

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By Fixed Point
      ndo unavyowaza?
      Fixed Point .... Na nimewaza kwa usahihi kabisa...........au?

    10. FP
      #27
      FP's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 30th September 2009
      Posts : 7,210
      Rep Power : 46341
      Likes Received
      6910
      Likes Given
      6832

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By Mtambuzi
      Fixed Point .... Na nimewaza kwa usahihi kabisa...........au?
      usi-generalize Mtambuzi, hii iishie kwa hao hao wanaojihisi vipande vipande, kuna wengine wengi tu tunajiona TUMEKAMILIKA.
      sioni kwa nini mtu uone furaha KUAMBIWA kiungo chako fulani au wewe ni mzuri na mtu mmoja, bila kujiridhisha mwenyewe, after all kizuri kwa mmoja kinaweza kuwa kibaya kwa mwingine.
      la maana hapa ni kujipenda mwenyewe, maoni ya watu woote hutayajali kama unajipenda the way you are
      Mtambuzi likes this.
      Don't wait for the Perfect Moment,
      Take the Moment and make it Perfect


    11. #28
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      We all need each other,that's all!
      Mtambuzi likes this.

    12. #29
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7767
      Likes Received
      1545
      Likes Given
      1793

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By lolyz
      Mtambuzi :i beg to differ....Mungu aliona Adam hajakamilika ndio maana akachomoa kambavu kamoja ili kufanya msaidizi aliona Adam yu mpweke mno...sababu ya kuchomoa mbavu ni simple ili wafanane na ndio maana wanandoa wakikaa sana kwenye mahusiano mwishowe watu huona wamefanana ...so mwanamke ndiye anayemkamilisha mwanaume na c vipande kama unavyodai.
      Tuko pampoja........Adamu hakukamilika ndio maana akaletewa Eva na Adamu akaijiona kamili na kutoa maneno..."hakika huyu ni nyama katika nyama yangu". Bila mwanamke mwanaume hajakamilika, huo ndio ukweli, wanawategemea wanawake mwa mambo mengi sana.
      lolyz likes this.

    13. #30
      Bufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 342
      Rep Power : 428
      Likes Received
      56
      Likes Given
      161

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      True that, naunga mkono hoja.

    14. #31
      Paul mathew's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 116
      Rep Power : 393
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default

      [QUOTE=Ntuya;4009354]Kazi kweli kweli, mpambano maridadi kati ya KE na ME. MI NIPO UPANDE WA ME, Tuanze mpambano. Wanawake hawajakamilika ndo maana mwaume akapewa uhead of the Family.

    15. #32
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,531
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By BADILI TABIA
      unajaribu kusema nini?
      kuwa sisi ambao hatujirembi kucha na kadhalika ni nini?
      kazi kweli kweli
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    16. #33
      Papa Mopao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th October 2009
      Posts : 1,740
      Rep Power : 837
      Likes Received
      248
      Likes Given
      344

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Naomba kuuliza swali, kwanini mwanaume kapewa head of the family?

    17. #34
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,505
      Rep Power : 1706
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1916

      Default re: Wanawake ni vipande vipande, wanangoja kukamilishwa...!

      Quote By Kaunga
      Wao wamekamilika bwana ndio maana siku hizi wanaoana wenyewe kwa wenyewe! They real dont need us at all; go guys Cameroon ameshawapa go ahead na wala si MUNGU.
      Tayari ikulu ishapigwa mawe!
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...