Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 117
    1. #1
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,949
      Rep Power : 3697
      Likes Received
      3572
      Likes Given
      5739

      Default Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      Huyu mdada ni jirani yangu..

      Alikuwa na ka mtindo fulani kila siku anamsifia husband wake ooh ndoa yangu ni imara na ni kama paradise ndogo
      Mme wangu hawezi kurudi saa mbili usiku kama waume zenu wanavyofanya nashangaa mie.!
      Akitoka kazini moja kwa moja home
      Nawahurumia nyie waume zenu kurudi home saa tano..sita ,akiwahi sana saa nne mnawezaje haya maisha ..?
      Sifa nyingi zilimiminika kwa huyu dear husband
      ..Mama mmoja wa makamo alikuwa mara nyingi akimwambia temea mate chini mdogo wangu,
      Haya mambo omba mungu aendelee kumtunza mmeo
      LOL sasa limezuka la kuzuka
      Ghafla mme kaanza kurudi saa mbili eti ooh nilikuwa na washikaji
      Ikaenda saa sita kulikuwa na vikao vya dharula kazini nisamehe my wife
      Ikafikia sasa anarudi asubuhi ooh nilikuwa night shift siku hizi nimekuwa potential sana kazini wife
      Ghafla picha ya mrembo mmoja kwenye screen ya simu..oops
      Simu inakumbatiwa wakati zamani ilikuwa inakaa popote pale
      Mara trip za hapa na pale zikaendelea

      Vunja kazi mzee kamtakia wife Mie bila kumuoa huyo dada wa kwenye screen ya simu nitajiua ..makubwa ……
      ***Based on true story ****
      Jamani tuendelee kuwaweka kwenue maombi wenza wetu
      Tuziombeee ndoa na familia zetu
      Amani itawale daima

      Nawakilisha

      FL1- Mama Mwenye Nyumba
      Sikonge, Asprin, Allien and 11 others like this.
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,045
      Rep Power : 14518
      Likes Received
      6408
      Likes Given
      5000

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      FL1, pole yake! ila pia fundisho, ni kama uwe na mtoto wa kike ndani, halafu we kutwa kunanga majirani wenye watoto wa kike vicheche, wallah huwa yanarudi hapa hapa duniani, vyako vinakuwa si vicheche tena, bali nungunungu!
      FirstLady1 likes this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    4. #3
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,643
      Rep Power : 10160
      Likes Received
      5647
      Likes Given
      12664

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      Duh...kwa hiyo solution ni nini?
      Wapeni waume zenu mapenzi msiwabanie ila mkiombwa mchezo mmbaya kataeni kwani mtaharibiwa tu na kukimbiwa
      FirstLady1 likes this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    5. #4
      Vaislay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Location : Catch Africa
      Posts : 923
      Rep Power : 584
      Likes Received
      120
      Likes Given
      136

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      duuu.. m simwamini wangu hata siku moja...hahahaa pole yake huyo mtu...wanaume bana hta kama cheating ni nature inabidi tuibue na sisi cheating ni ATIFISHO mambo gan haya.
      FirstLady1 likes this.
      Catch me if you can....

    6. #5
      marrykate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 350
      Rep Power : 434
      Likes Received
      112
      Likes Given
      190

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      mi ndo maana sipendi kusemea nafsi ya mtu,
      Dark City likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Baba_Enock's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Bunju "B"
      Posts : 5,812
      Rep Power : 1898
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      964

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      "...Enyi akina mama waheshimuni waume zenu..."
      FirstLady1 and jouneGwalu like this.
      Ad Majorem Dei Gloriam - "For the greater glory of God"

    9. #7
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,107
      Rep Power : 13053
      Likes Received
      14067
      Likes Given
      14838

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      Duh, Eiyer atabisha
      Lazima aseme mke aombe talaka.
      FirstLady1 likes this.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    10. #8
      condorezaraisi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th September 2011
      Posts : 199
      Rep Power : 429
      Likes Received
      108
      Likes Given
      402

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      makubwa haya mambo ya kusifia sifia ovyo ni vyema kukaa kimya na kumshukuru mungu kwa yote
      Hii ndoa yangu ni paradise ndogo hii naona sasa inamtokea puani
      Apige goti chini na kuomba mungu
      FirstLady1 likes this.

    11. #9
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,089
      Rep Power : 27012
      Likes Received
      8214
      Likes Given
      17307

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      Nilishawahi kusema hapa wakati fulani kwamba wanawake wengi wanaumia kwenye ndoa kwa sababu ya kuwasifu waume zao kwa mashoga kupita kiasi, si vibaya kumsifia mumeo kwa mashoga lakini pale yanapotokea mabadiliko kama haya usione aibu kusema umeshindwa na kuangalia mustakabali wako upya, kila mtu ameoa au kuolewa kwa utashi wake na hamna sababu ya mahusiano yenu au ndoa yenu kushikiliwa na majirani, marafiki au ndugu, kama yamekushinda bwaga manyanga anza maisha mapya, mambo ya kuanza kuwaza eti,...... "hivi majirani, ndugu au marafiki watanionaje?" yamepitwa na wakati, ndoa ni yako na sio ya kwao, anayeumia ni wewe na wala sio wao, na kama wakikuzodoa kwa kukusimanga wakikwambia ........ "kiko wapi ulichokuwa ukiringia...." Wao haiwahusu kwani wao wana maisha yao na wewe una maisha yako, kama alikuwa na tabia nzuri ni wakati ule,.......... Sasa kama amebadilika na kuwa na tabia za kiasherati wewe ufanye nini.......? Mtu hukuzaliwa naye tumbo moja, amelelewa kwao na wewe umelelewa kwenu, mmekutana ukubwani, kisa cha kutoana roho kwa sononi na msongo wa mawazo ni nini....!?
      Kila mtu anaweza kuchukua ustaarabu wake kwani huo sio mwisho wa maisha.... na maisha ni popote, hata kama ukisemwa au kusengenywa na mashoga thamani yako iko pale pale wala haiondoki, ni wewe tu unayeweza kuiondoa kwa kujishusha na kujiona dhalili mbele ya binadamu wenzio..............

    12. #10
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,136
      Rep Power : 23368
      Likes Received
      8118
      Likes Given
      5853

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      wanaume kitu gani bwana...upuuuzi mtupu..
      Sikonge, Mtambuzi and FirstLady1 like this.
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    13. #11
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,524
      Rep Power : 23545
      Likes Received
      6952
      Likes Given
      11297

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      FL1,

      Mpe pole sana huyo dada. Bahati mbaya ni too late ila huu wimbo unamfaa sana!!



      Babu DC!!!
      FirstLady1 and KOKUTONA like this.
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    14. #12
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,045
      Rep Power : 14518
      Likes Received
      6408
      Likes Given
      5000

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      Quote By Mtambuzi
      Nilishawahi kusema hapa wakati fulani kwamba wanawake wengi wanaumia kwenye ndoa kwa sababu ya kuwasifu waume zao kwa mashoga kupita kiasi, si vibaya kumsifia mumeo kwa mashoga lakini pale yanapotokea mabadiliko kama haya usione aibu kusema umeshindwa na kuangalia mustakabali wako upya, kila mtu ameoa au kuolewa kwa utashi wake na hamna sababu ya mahusiano yenu au ndoa yenu kushikiliwa na majirani, marafiki au ndugu, kama yamekushinda bwaga manyanga anza maisha mapya, mambo ya kuanza kuwaza eti,...... "hivi majirani, ndugu au marafiki watanionaje?" yamepitwa na wakati, ndoa ni yako na sio ya kwao, anayeumia ni wewe na wala sio wao, na kama wakikuzodoa kwa kukusimanga wakikwambia ........ "kiko wapi ulichokuwa ukiringia...." Wao haiwahusu kwani wao wana maisha yao na wewe una maisha yako, kama alikuwa na tabia nzuri ni wakati ule,.......... Sasa kama amebadilika na kuwa na tabia za kiasherati wewe ufanye nini.......? Mtu hukuzaliwa naye tumbo moja, amelelewa kwao na wewe umelelewa kwenu, mmekutana ukubwani, kisa cha kutoana roho kwa sononi na msongo wa mawazo ni nini....!?
      Kila mtu anaweza kuchukua ustaarabu wake kwani huo sio mwisho wa maisha.... na maisha ni popote, hata kama ukisemwa au kusengenywa na mashoga thamani yako iko pale pale wala haiondoki, ni wewe tu unayeweza kuiondoa kwa kujishusha na kujiona dhalili mbele ya binadamu wenzio..............
      umenikuna haswa! umeongea ki.com haswaaaaaaaa! kudos babu mtambuzi!
      Mtambuzi likes this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    15. #13
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,277
      Rep Power : 605
      Likes Received
      329
      Likes Given
      58

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      Quote By Smile
      wanaume kitu gani bwana...upuuuzi mtupu..
      wanawake ndo kila kitu....

    16. #14
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,949
      Rep Power : 3697
      Likes Received
      3572
      Likes Given
      5739

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      Quote By cacico
      FL1, pole yake! ila pia fundisho, ni kama uwe na mtoto wa kike ndani, halafu we kutwa kunanga majirani wenye watoto wa kike vicheche, wallah huwa yanarudi hapa hapa duniani, vyako vinakuwa si vicheche tena, bali nungunungu!
      cacico mdada kabiki amechanganyikia ila duniani kweli kuna mambo ya ajabu sana
      Nikiwaza huyo mmewe wa ndoa leo anamtamkia bila kumuoa fulani najiua
      Wakati unasema hayo hukumbuki watoto,mke ,na ndugu zako
      Inashangaza sana
      Sikonge and cacico like this.
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    17. #15
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,524
      Rep Power : 23545
      Likes Received
      6952
      Likes Given
      11297

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      Quote By Mtambuzi
      Nilishawahi kusema hapa wakati fulani kwamba wanawake wengi wanaumia kwenye ndoa kwa sababu ya kuwasifu waume zao kwa mashoga kupita kiasi, si vibaya kumsifia mumeo kwa mashoga lakini pale yanapotokea mabadiliko kama haya usione aibu kusema umeshindwa na kuangalia mustakabali wako upya, kila mtu ameoa au kuolewa kwa utashi wake na hamna sababu ya mahusiano yenu au ndoa yenu kushikiliwa na majirani, marafiki au ndugu, kama yamekushinda bwaga manyanga anza maisha mapya, mambo ya kuanza kuwaza eti,...... "hivi majirani, ndugu au marafiki watanionaje?" yamepitwa na wakati, ndoa ni yako na sio ya kwao, anayeumia ni wewe na wala sio wao, na kama wakikuzodoa kwa kukusimanga wakikwambia ........ "kiko wapi ulichokuwa ukiringia...." Wao haiwahusu kwani wao wana maisha yao na wewe una maisha yako, kama alikuwa na tabia nzuri ni wakati ule,.......... Sasa kama amebadilika na kuwa na tabia za kiasherati wewe ufanye nini.......? Mtu hukuzaliwa naye tumbo moja, amelelewa kwao na wewe umelelewa kwenu, mmekutana ukubwani, kisa cha kutoana roho kwa sononi na msongo wa mawazo ni nini....!?
      Kila mtu anaweza kuchukua ustaarabu wake kwani huo sio mwisho wa maisha.... na maisha ni popote, hata kama ukisemwa au kusengenywa na mashoga thamani yako iko pale pale wala haiondoki, ni wewe tu unayeweza kuiondoa kwa kujishusha na kujiona dhalili mbele ya binadamu wenzio..............
      Sawa ila sasa huyo mwanamke alikuwa anajimwagia misifa kwa watu ili iweje?

      Hata wakimsimanga kwa sasa sitamuonea huruma!! Kama angechukulia mambo yake na mume wake kivyake vyake, kwa sasa angekuwa na mambo kidogo tu ya kumshughulisha....Ila sasa inabidi aanze kuhangaika na jinsi ya kudeal na hao majirano aliokuwa anawakoga....Malipo ni hapa hapa duniani!!

      Babu DC!!
      bombu likes this.
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    18. #16
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,949
      Rep Power : 3697
      Likes Received
      3572
      Likes Given
      5739

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      Quote By Saint Ivuga
      Duh...kwa hiyo solution ni nini?
      Wapeni waume zenu mapenzi msiwabanie ila mkiombwa mchezo mmbaya kataeni kwani mtaharibiwa tu na kukimbiwa
      Saint Ivuga kwani tunawanyima nini wakiomba ?ila wakishaonja huko nje ndo matatizo yanaanza ..
      Kuna kaka mmoja huwa anasema jamani mie nikioa mke wangu ruksa kuniwekea Libwata maana haka ka tabia niliko nako sijui kama nitakaacha....
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    19. #17
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,949
      Rep Power : 3697
      Likes Received
      3572
      Likes Given
      5739

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      Quote By Vaislay
      duuu.. m simwamini wangu hata siku moja...hahahaa pole yake huyo mtu...wanaume bana hta kama cheating ni nature inabidi tuibue na sisi cheating ni ATIFISHO mambo gan haya.
      Vaislay huyu baba ukimuona na vituko vyake ni vitu viwili tofauti kweli maisha hayatabiriki...
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    20. #18
      Blaine's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : on hiatus
      Posts : 1,482
      Rep Power : 3775
      Likes Received
      1037
      Likes Given
      369

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      watu wengi wanaosifiwa kupita kiasi huwa wana jambo zito wanalolificha.. nampa pole huyo dada
      FirstLady1 and Kongosho like this.
      on jf hiatus

    21. #19
      Dreamliner's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2010
      Location : Kijijini
      Posts : 1,968
      Rep Power : 868
      Likes Received
      167
      Likes Given
      166

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      Quote By Smile
      wanaume kitu gani bwana...upuuuzi mtupu..
      Wewe.... Tema mate chini..
      FirstLady1 and Smile like this.
      T0 test the SWEETNESS of life, you must have the power to forget the past.

    22. #20
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,949
      Rep Power : 3697
      Likes Received
      3572
      Likes Given
      5739

      Default re: Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

      Quote By Mtambuzi
      Nilishawahi kusema hapa wakati fulani kwamba wanawake wengi wanaumia kwenye ndoa kwa sababu ya kuwasifu waume zao kwa mashoga kupita kiasi, si vibaya kumsifia mumeo kwa mashoga lakini pale yanapotokea mabadiliko kama haya usione aibu kusema umeshindwa na kuangalia mustakabali wako upya, kila mtu ameoa au kuolewa kwa utashi wake na hamna sababu ya mahusiano yenu au ndoa yenu kushikiliwa na majirani, marafiki au ndugu, kama yamekushinda bwaga manyanga anza maisha mapya, mambo ya kuanza kuwaza eti,...... "hivi majirani, ndugu au marafiki watanionaje?" yamepitwa na wakati, ndoa ni yako na sio ya kwao, anayeumia ni wewe na wala sio wao, na kama wakikuzodoa kwa kukusimanga wakikwambia ........ "kiko wapi ulichokuwa ukiringia...." Wao haiwahusu kwani wao wana maisha yao na wewe una maisha yako, kama alikuwa na tabia nzuri ni wakati ule,.......... Sasa kama amebadilika na kuwa na tabia za kiasherati wewe ufanye nini.......? Mtu hukuzaliwa naye tumbo moja, amelelewa kwao na wewe umelelewa kwenu, mmekutana ukubwani, kisa cha kutoana roho kwa sononi na msongo wa mawazo ni nini....!?
      Kila mtu anaweza kuchukua ustaarabu wake kwani huo sio mwisho wa maisha.... na maisha ni popote, hata kama ukisemwa au kusengenywa na mashoga thamani yako iko pale pale wala haiondoki, ni wewe tu unayeweza kuiondoa kwa kujishusha na kujiona dhalili mbele ya binadamu wenzio..............
      Mtambuzi umeongea maneno mazuri na yenye hekima sana ikiwa na maana inatupasa tujitambue na tujue tunahitaji furaha maishani mwetu,,umenigusa moyoni barikiwa
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...