Siku za hivi karibuni nimekuwa nikiona vibao vinavyoelekeza wapi palipo na msiba...
Msiba unatokea sehemu fulani na waliofiwa wanachukua jitihada za kuweka "vibao vya matangazo" vinavyoelekeza ni wapi ulipo msiba...
"MSIBANI KWA XYZ.."
Hivi kama hujawahi kufika kwangu nikiwa hai kwanini ufike nyumbani kwangu nikiwa chumba cha kuhifadhia maiti?
Labda ni matokeo ya maendeleo... Labda ni maendeleo yenyewe...

Reply With Quote
A compliment is something like a kiss through a veil



Follow Us Here