Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: *** Msibani kwa XYZ ***

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      Baba_Enock's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Bunju "B"
      Posts : 5,812
      Rep Power : 1898
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      964

      Default *** Msibani kwa XYZ ***

      Siku za hivi karibuni nimekuwa nikiona vibao vinavyoelekeza wapi palipo na msiba...
      Msiba unatokea sehemu fulani na waliofiwa wanachukua jitihada za kuweka "vibao vya matangazo" vinavyoelekeza ni wapi ulipo msiba...

      "MSIBANI KWA XYZ.."

      Hivi kama hujawahi kufika kwangu nikiwa hai kwanini ufike nyumbani kwangu nikiwa chumba cha kuhifadhia maiti?

      Labda ni matokeo ya maendeleo... Labda ni maendeleo yenyewe...
      CAMARADERIE and Kongosho like this.
      Ad Majorem Dei Gloriam - "For the greater glory of God"

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      CAMARADERIE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Location : 1 Luthuli Street
      Posts : 4,163
      Rep Power : 2719
      Likes Received
      1586
      Likes Given
      1145

      Default Re: *** Msibani kwa XYZ ***

      Watu wengi huficha wakaako mpaka kifo kikiwaumbua. Dereva wa ofisini kwetu alifiwa na mke na tulipofika home kwake wote tulishikwa na butwaa....hekalu kaka!
      Kinyamana likes this.
      A compliment is something like a kiss through a veil




    4. #3
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,547
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      6208
      Likes Given
      2281

      Default

      Quote By CAMARADERIE
      Watu wengi huficha wakaako mpaka kifo kikiwaumbua. Dereva wa ofisini kwetu alifiwa na mke na tulipofika home kwake wote tulishikwa na butwaa....hekalu kaka!
      ni kweli mkuu...
      Na binadamu kwa hila ndo maana wengi huficha wanapoishi kuepuka maneno maneno na fitina

    5. #4
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,089
      Rep Power : 13049
      Likes Received
      14065
      Likes Given
      14838

      Default Re: *** Msibani kwa XYZ ***

      Hivi, wote wanaokuja msibani unadhani wana mahusiano na wewe?

      Hivi unadhani kinachotupeleka msibani ni marehemu tu?

      Wakati mwingine tunakuja kuwasapoti waliobaki ambao tuko karibu nao.

      Mfano, mfanyakazi mwenzangu kafiwa baba, najua anapoishi mfanyakazi huyo ila sijui anapoishi baba yake.
      Kwa hiyo nisiende kumsapoti mfanyakazi mwenzangu sababu sijui anapoishi baba yake?

      Think Baba Enock Think.

      Hata marehemu anaweza kuwa kahamia makao mapya tofauti na nilikokujua.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    6. #5
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,946
      Rep Power : 3697
      Likes Received
      3572
      Likes Given
      5738

      Default Re: *** Msibani kwa XYZ ***

      Quote By Kongosho
      Hivi, wote wanaokuja msibani unadhani wana mahusiano na wewe?

      Hivi unadhani kinachotupeleka msibani ni marehemu tu?

      Wakati mwingine tunakuja kuwasapoti waliobaki ambao tuko karibu nao.

      Mfano, mfanyakazi mwenzangu kafiwa baba, najua anapoishi mfanyakazi huyo ila sijui anapoishi baba yake.
      Kwa hiyo nisiende kumsapoti mfanyakazi mwenzangu sababu sijui anapoishi baba yake?

      Think Baba Enock Think.

      Hata marehemu anaweza kuwa kahamia makao mapya tofauti na nilikokujua.
      Kongosho umesema vema sana...anaweza kuwa ni muumini mwenzio ambaye hamjawahi kuwa karibu
      Mfanya kazi mwenzio ambae hakuwa karibu na wewe imagine ofisi iwe na wafanyakazi more than 200 si rahisi kujua kila mmoja anakaa wapi..NK NK lakini tukio la msiba na harusi huwa wanakuja unaowafahamu na usiowafahamu pia
      Kinyamana and Kongosho like this.
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    7. Miaka 50

    8. #6
      Baba_Enock's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Bunju "B"
      Posts : 5,812
      Rep Power : 1898
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      964

      Default Re: *** Msibani kwa XYZ ***

      @ Kongosho

      Hawa unaokwenda kuwapa sapoti hawawezi kukuelekeza wapi msiba ulipo? I think I'm missing something somewhere...!
      Kongosho likes this.
      Ad Majorem Dei Gloriam - "For the greater glory of God"

    9. #7
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,353
      Rep Power : 26646
      Likes Received
      2654
      Likes Given
      1560

      Default

      Quote By CAMARADERIE
      Watu wengi huficha wakaako mpaka kifo kikiwaumbua. Dereva wa ofisini kwetu alifiwa na mke na tulipofika home kwake wote tulishikwa na butwaa....hekalu kaka!
      Kuna wengine wenye roho ya korosho ukiwaonyesha kwko na kibarua huna
      CAMARADERIE likes this.

    10. #8
      Ndachuwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2006
      Location : ARUSHA
      Posts : 2,654
      Rep Power : 1210
      Likes Received
      542
      Likes Given
      415

      Default Re: *** Msibani kwa XYZ ***

      Quote By Baba_Enock
      Siku za hivi karibuni nimekuwa nikiona vibao vinavyoelekeza wapi palipo na msiba...
      Msiba unatokea sehemu fulani na waliofiwa wanachukua jitihada za kuweka "vibao vya matangazo" vinavyoelekeza ni wapi ulipo msiba...

      "MSIBANI KWA XYZ.."

      Hivi kama hujawahi kufika kwangu nikiwa hai kwanini ufike nyumbani kwangu nikiwa chumba cha kuhifadhia maiti?

      Labda ni matokeo ya maendeleo... Labda ni maendeleo yenyewe...
      Hoja nzuri na ina mashiko; lakini si wote wanakuja kwenye msiba kwa mapenzi au ukaribu waliokuwa nao kwa marehemu. Wengi wanakuja kwa ukaribu walionao na wafiwa yaani ndugu na jamaa za marehemu.
      "Effective leadership is not about making speeches or being liked; leadership is defined by results not attributes" Peter Drucker

    11. #9
      Baba_Enock's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Bunju "B"
      Posts : 5,812
      Rep Power : 1898
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      964

      Default Re: *** Msibani kwa XYZ ***

      Quote By FirstLady1
      Kongosho umesema vema sana...anaweza kuwa ni muumini mwenzio ambaye hamjawahi kuwa karibu
      Mfanya kazi mwenzio ambae hakuwa karibu na wewe imagine ofisi iwe na wafanyakazi more than 200 si rahisi kujua kila mmoja anakaa wapi..NK NK
      Kwahiyo mabango ya matangazo ya nini? Unakwenda msibani kwa mfanyakazi mwenzio ambaye kwa vyovyote vile anafahamiana na mfanyakazi mwingine na mwingine... The bottom line ni lazima kutakuwa na mfanyakazi anayefahamu nyumbani kwa huyo aliyefikwa na mauti au aliyepotelewa na ndugu...
      FirstLady1 likes this.
      Ad Majorem Dei Gloriam - "For the greater glory of God"

    12. #10
      Asabaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 619
      Rep Power : 489
      Likes Received
      127
      Likes Given
      21

      Default Re: *** Msibani kwa XYZ ***

      Sioni kama mabango yakufahamisha watu wapi msiba ulipo ni tatizo,inawapa watu wepesi wakufika baada ya kusimama wakauliza nakupoteza time...

    13. #11
      Kinyamana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2008
      Posts : 771
      Rep Power : 719
      Likes Received
      106
      Likes Given
      291

      Default Re: *** Msibani kwa XYZ ***

      Quote By Baba_Enock
      Kwahiyo mabango ya matangazo ya nini? Unakwenda msibani kwa mfanyakazi mwenzio ambaye kwa vyovyote vile anafahamiana na mfanyakazi mwingine na mwingine... The bottom line ni lazima kutakuwa na mfanyakazi anayefahamu nyumbani kwa huyo aliyefikwa na mauti au aliyepotelewa na ndugu...
      Wakati mwingine siyo vyema kuanzisha thread ambazo hazina mashiko! kuna shida gani kuweka kibao kama kuna watu hawajawahi fika mahali msiba ulipo? huyo mwingine anayepajua kama hujaongozana naye kwasababu kila mmoja ana gari lake na mmeenda msibani katika muda tofauti huoni kama hivyo vibao vinarahisisha mtu kufika ku-compliment maelezo ya direction aliyopewa mwanzo? aaaaah bwana nahisi una tatizo wewe!!

    14. #12
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 14,957
      Rep Power : 31264
      Likes Received
      7400
      Likes Given
      7385

      Default Re: *** Msibani kwa XYZ ***

      Quote By Baba_Enock
      @ Kongosho

      Hawa unaokwenda kuwapa sapoti hawawezi kukuelekeza wapi msiba ulipo? I think I'm missing something somewhere...!
      Kiutamaduni nadhani hii itakuwepo kwa makabila mengi Tanzania na Afrika, mtu anapofariki ndugu na jamaa wengine hujumuika si tu kumlilia yule aliyefariki bali pia huwalilia jamaa wengine waliofariki kabla na kutangulia mbele za haki. Huu ni utamaduni ambao umekuwepo vizazi hata vizazi na ndio kinachoendelea kwa kiasi kidogo hata sasa. Kwa mlioishi vijijini mtakubaliana nami si haba kule kukuta watu wakiomboleza kwa staili kama, "eeeh oooh XXX kamsalimie fulani, mwambie nasi tutakuja".
      Vingine Kongosho kavielezea kwa mapana.
      Kongosho likes this.

    15. #13
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,107
      Rep Power : 28886
      Likes Received
      11615
      Likes Given
      4783

      Default

      Hapana baba, mie namlilia babangu, nahangaika na logistics na kuhakikisha mambo yanaenda sawa, unaweza kupiga simu yangu ikawa busy wakati wote ama isipokelewe. Kama kuna vibao inasaidia, saa zingine tunapigiana wa ofcn kuelekezana kwao king' ni wapi.

      Ila nadhani utaratibu wa kichaga ndo mzuri. Msiba ukitokea kikao kinafanyika Mwika bar, maiti inaagiwa lugalo! Nyumbani kwa marehemu, kama hekalu ama kibanda cha miti haihuuu.
      Quote By Baba_Enock
      @ Kongosho

      Hawa unaokwenda kuwapa sapoti hawawezi kukuelekeza wapi msiba ulipo? I think I'm missing something somewhere...!
      Kimey and Kongosho like this.

    16. #14
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,089
      Rep Power : 13049
      Likes Received
      14065
      Likes Given
      14838

      Default Re: *** Msibani kwa XYZ ***

      Unawaelekeza kwa ramani ya wapi?

      Masaki karibu na Sea Cliff? Tandale kwa Tumbo? Kimara bonyokwa? Madale? au Malamba mawili?

      Quote By Baba_Enock
      @ Kongosho

      Hawa unaokwenda kuwapa sapoti hawawezi kukuelekeza wapi msiba ulipo? I think I'm missing something somewhere...!
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    17. #15
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,946
      Rep Power : 3697
      Likes Received
      3572
      Likes Given
      5738

      Default Re: *** Msibani kwa XYZ ***

      Quote By Baba_Enock
      Kwahiyo mabango ya matangazo ya nini? Unakwenda msibani kwa mfanyakazi mwenzio ambaye kwa vyovyote vile anafahamiana na mfanyakazi mwingine na mwingine... The bottom line ni lazima kutakuwa na mfanyakazi anayefahamu nyumbani kwa huyo aliyefikwa na mauti au aliyepotelewa na ndugu...
      Baba Enock na wewe Bwana lol
      Kama kila mtu anayetaka kuja kwako anapiga simu kuelekezwa hii ni kazi sasa.
      Ndio maana watu wamegundua njia mbadala na rahisi
      Msiba ukiisha wanaondoa mabango
      Na si lazima watu wote mwende kwa muda mmoja kila mmoja anaenda kwa wakati wake katika eneo la tukio
      Mie binafsi sioni tatizo..
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    18. #16
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,547
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      6208
      Likes Given
      2281

      Default

      Quote By Baba_Enock
      Kwahiyo mabango ya matangazo ya nini? Unakwenda msibani kwa mfanyakazi mwenzio ambaye kwa vyovyote vile anafahamiana na mfanyakazi mwingine na mwingine... The bottom line ni lazima kutakuwa na mfanyakazi anayefahamu nyumbani kwa huyo aliyefikwa na mauti au aliyepotelewa na ndugu...
      inategemea na ukubwa wa ofisi kwa mtu mmoja awapeleke....
      Na uswahilini kwetu kulivyokaa, hakuna mipango mji unadhani bila vibao watu watafika? Ni muhimu kuelekeza direction, misiba ina mambo mengi hata kumpata mhusika nayo huwa isshu

    19. #17
      B'REAL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2010
      Location : streat
      Posts : 1,206
      Rep Power : 676
      Likes Received
      196
      Likes Given
      82

      Default Re: *** Msibani kwa XYZ ***

      kwa sisi wengineee tunasemaa msiba sio harusi hauna kadi...sikujui hunijuii ila nikiona msibaa naambatana na wafiwaaa.kislamu tunasema ni twawabu kumzika binadamu mwezako.

    20. Study Abroad

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...