Na wasiwasi ananiibia mume bora nimuachie kabisa.
Nimepewa ujumbe niwaletee!
Na wasiwasi ananiibia mume bora nimuachie kabisa.
Nimepewa ujumbe niwaletee!
Mnaleta siasa kwenye maisha! Mwachie nyumba hg uone! Na kila mara utawakimbia tu maana inaonekana una weakness flani ndo maana unakimbia. Dawa ya tatizo sio kukimbia ni kutafuta jinsi ya kukabiliana nalo. Kuwa jasiri na tafuta ni wapi unapokosea rekebisha na anza upya.
sijawahi kusikia kitu kama hichi yaani ww unamuachia hgirl mumeo?hongera yawezekana umemchoka ulikuwa unamtafutia sababu kwa akili za kawaida uko kwenye ile % 0 ya wanawake walioko kwenye ndoa wenye maamuzi kama yako
Hii kali hg kumpindua mwenye unyumba? Mimi kama mwanaume nilieoa naamin huyo mke kuna ujinga ameutenda hadi kufikia hg wake kuchukua credit kwa baba mwenye nyumba labda uvivu wa kumwandalia mzee mfn chakula maji ya kuoga kupika hata usafi wa chumbani mwao.Au hg wake ni mtundu kupindukia na mzee kalitambua hilo kujaribu ndo kabisaa kapotezwa na utundu na manjonjo ya hg wake.
MwanajamiiOne mwambie huyo bibie aniajiri mimi niwe housegirl wake ndipo afungashe vilago vyake. Mwanamke nyambafu huyu na hakufunzwa kulea mume.
* Nitashangaa kama hawa Watanzania watakataa kuasi. Kwanini wasiasi? * - Julius Kambarage Nyerere
Huyu mwanamke amekariri kuwa ukikuta manyoa basi ameliwa, inawezekana manyoya yalipunyuka wakati anajinasua kukimbia, pia huyu mwanamke hajui majukumu yake ndomana hg ameamua kumsaidia. Achape lapa aende zake.
Ni Afadhali Vita Inayotafuta Haki na Usawa Kuliko Amani Inayopumbaza na Kudhalilisha Utu wa Mwanadamu-G. Lema
Hana lolote huyo, labda kapata mwanamme nje.. Eti ukimbie nyumba sababu ya beki 3.. Lol.
T0 test the SWEETNESS of life, you must have the power to forget the past.
kwani alokutuma wewe kakuona-onaje??
Ukaniite siku ya mateso, Nitakuokoa na wewe utanitukuza :Zab (psalm)50:15
namuomba huku akisha muachia house girl nyumba......
hivi vrusi vya H.I.V na wewe nani mchokozi?
haaa ahaaaaaaaaaa haaaaaa naye ni mwanamke dada anacho kama chako sasa kazi kwako uendako.....
“For I know the plans I have for you,” declares the LORD, You will seek me and find me when you seek me with all your heart.” Jeremiah 29: 11-13
njoo kwangu nilishakuambia ona sasa
mwambie huyo mwenzako atulize kichwa yani akimbie nyumba kisa h/girl si amfukuze.
Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).
waowaji wenyewe siku hizi wako wapi?sema ukweli kuna mengine hili halinitoshi loly
Follow Us Here