Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 64
    1. #1
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,987
      Rep Power : 864
      Likes Received
      920
      Likes Given
      880

      Default Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Zifuatazo ni sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume kamili anapenda kuziona ama kuzikuta kwa mwenza wake.

      1. Mwanamke anapaswa kuwa na maisha yake na sio maisha ya kuiga. Wapo wanawake ambao hupenda kuiga kile kinachofanywa na wanawake wenzake na kudhani hivyo ndivyo anavyopaswa kuwa. mwanamke mwenye tabia hiyo huwa hana mvuto kwa mwanaume kwani atakuwa ni mwana mke fake.

      2. Mwanamke anapaswa kuwa mtiifu na mwenye heshima na pia mwenye busara. Mwanamke hapaswi kuwa na kiburi na kutaka kuota mapembe ndani ya mahusiano. Heshima na utiifu haimaanishi kuwa tayari kunyanyaswa, hapana. Mwanamke anapaswa ampe mpenzi wake ama mumewe heshima inayotakiwa kama kichwa cha mahusiano yenu.

      3. Mwanamke anapaswa kuwa na uwezo wa kujitegemea. Hapa utata idogo, wapo wale wanaoamini kuwa mwanamke anapaswa kutegemea kila kitu toka kwa mwenza wake. lakini ukweli ni kwamba wanaume wengi wanapenda kuwa na uhusiano na mwanamke ambaye anaweza kusimama kwa miguu yake na kujitegemea pia.

      4.Mwanamke lazima awe anajiamini. Naam, hapa haimaanishi kuwa anatakiwa kuwa kiburi na mbishi, hapana. Isipokuwa mwanamke anapaswa aonyeshe kujiamini kwa kile anacosema na anachotenda. Kujiamini kunamfanya mwanaume ajue kuwa ana mpenzi ama mke ambaye anaweza kukabiliana na mikwaruzo mbalimbali inayohitaji hoja na utetezi.

      5. Mwisho, mwanamke anapaswa kuwa na mvuto. Hapa haimaanishi kuwa mrembo saaaana, hapana. Ina maana kuwa mwanamke anapaswa kuwa nadhifu kila wakati ili kumfanya mwanaume apende kuwa nawe na avutiwe kuwa nawe wakati wote.

      Sifa hizi tano akiwa nazo mwanamke, basi atambue fika kuwa Mwanaume atavutiwa nawe na uhusiano wenu unaweza kudumu na kudumu na kudumu. Unaweza kuongeza sifa nyingine hapa chini...........
      Don't break the LAW, just Bend It!


    2. #2
      Adoe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th February 2011
      Posts : 176
      Rep Power : 456
      Likes Received
      35
      Likes Given
      133

      Default

      Quote By Mwana Mpotevu View Post
      Zifuatazo ni sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume kamili anapenda kuziona ama kuzikuta kwa mwenza wake.

      1. Mwanamke anapaswa kuwa na maisha yake na sio maisha ya kuiga. Wapo wanawake ambao hupenda kuiga kile kinachofanywa na wanawake wenzake na kudhani hivyo ndivyo anavyopaswa kuwa. mwanamke mwenye tabia hiyo huwa hana mvuto kwa mwanaume kwani atakuwa ni mwana mke fake.

      2. Mwanamke anapaswa kuwa mtiifu na mwenye heshima na pia mwenye busara. Mwanamke hapaswi kuwa na kiburi na kutaka kuota mapembe ndani ya mahusiano. Heshima na utiifu haimaanishi kuwa tayari kunyanyaswa, hapana. Mwanamke anapaswa ampe mpenzi wake ama mumewe heshima inayotakiwa kama kichwa cha mahusiano yenu.

      3. Mwanamke anapaswa kuwa na uwezo wa kujitegemea. Hapa utata idogo, wapo wale wanaoamini kuwa mwanamke anapaswa kutegemea kila kitu toka kwa mwenza wake. lakini ukweli ni kwamba wanaume wengi wanapenda kuwa na uhusiano na mwanamke ambaye anaweza kusimama kwa miguu yake na kujitegemea pia.

      4.Mwanamke lazima awe anajiamini. Naam, hapa haimaanishi kuwa anatakiwa kuwa kiburi na mbishi, hapana. Isipokuwa mwanamke anapaswa aonyeshe kujiamini kwa kile anacosema na anachotenda. Kujiamini kunamfanya mwanaume ajue kuwa ana mpenzi ama mke ambaye anaweza kukabiliana na mikwaruzo mbalimbali inayohitaji hoja na utetezi.

      5. Mwisho, mwanamke anapaswa kuwa na mvuto. Hapa haimaanishi kuwa mrembo saaaana, hapana. Ina maana kuwa mwanamke anapaswa kuwa nadhifu kila wakati ili kumfanya mwanaume apende kuwa nawe na avutiwe kuwa nawe wakati wote.

      Sifa hizi tano akiwa nazo mwanamke, basi atambue fika kuwa Mwanaume atavutiwa nawe na uhusiano wenu unaweza kudumu na kudumu na kudumu. Unaweza kuongeza sifa nyingine hapa chini...........
      Is it your analysis dude?

    3. #3
      kijana15's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Location : Chini ya muembe
      Posts : 158
      Rep Power : 444
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      maelezo namba 2, yanawashinda wanawake wengi. Lol
      Mwana Mpotevu likes this.

    4. #4
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,507
      Rep Power : 21688
      Likes Received
      13814
      Likes Given
      18061

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      wengine wakiona shepu tu inatosha....lol hawahitaji sifa zingine

      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    5. #5
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,402
      Rep Power : 5162
      Likes Received
      3345
      Likes Given
      2738

      Default

      Quote By the boss View Post
      wengine wakiona shepu tu inatosha....lol hawahitaji sifa zingine

      mpododo kwanza.
      Mwana Mpotevu likes this.


    6. #6
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,173
      Rep Power : 25450
      Likes Received
      14879
      Likes Given
      15834

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Na mwanamme aweje?

      Mwanamke awe na sifa zote hizo afu aangukie kwa marioo bora kuwa kilaza tu.
      Mwana Mpotevu likes this.

    7. #7
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,402
      Rep Power : 5162
      Likes Received
      3345
      Likes Given
      2738

      Default

      Quote By Kongosho View Post
      Na mwanamme aweje?

      Mwanamke awe na sifa zote hizo afu aangukie kwa marioo bora kuwa kilaza tu.
      Mwanamme pesa dushelele hata chizi analo.

    8. #8
      Nambe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Location : Kwa Bi Nyau
      Posts : 835
      Rep Power : 594
      Likes Received
      264
      Likes Given
      260

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      mvumilivu, mwaminifu na mwenye mapenz ya dhati, kuwapenda na kuwaheshmu ndg wa mume kama wa kwake ni muhimu, teh nyama ya ulimi pia inahusu
      Mwana Mpotevu likes this.

    9. #9
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,965
      Rep Power : 15153
      Likes Received
      7383
      Likes Given
      7056

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By Kongosho View Post
      Na mwanamme aweje?

      Mwanamke awe na sifa zote hizo afu aangukie kwa marioo bora kuwa kilaza tu.
      hapo umenena Kongosho wangu.......tunaolewa na wanaume wenye bahati zao bana........

      Mwana Mpotevu likes this.
      Life is too short to waste time hating anyone.........

    10. #10
      wahida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Posts : 384
      Rep Power : 482
      Likes Received
      122
      Likes Given
      158

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      hayo yote yanawezekana kwa mwanamke kuwa nayo .ila hakuna mkamilifu ,unaweza muona ana sifa zote ila maybe sio mzur wa sura wala umbo.. sasa vip ana faa au hafai sifa 5 hazijakamilika? na nyinyi men wa saiv huwa mtu akawa anatenda hayo yote ili kuwin penzi na kukutuliza bwana wake ila ana endup kuwa **** na just freak shit muna muona mshamba , na muna sababisha changes ya mwanamke kuwa vyengine sasa.
      Mwana Mpotevu likes this.

    11. #11
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 11,331
      Rep Power : 34416
      Likes Received
      10548
      Likes Given
      14624

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      inategemeana sana, zipo zile za msingi hizi ni secondary behaviours, bado hujataja primary
      Mwana Mpotevu likes this.

    12. #12
      nduu/mamaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Location : AROUND THE WORLD
      Posts : 2,274
      Rep Power : 1015
      Likes Received
      559
      Likes Given
      183

      Default

      Quote By The Boss View Post
      wengine wakiona shepu tu inatosha....lol hawahitaji sifa zingine

      The boss hii ni man made au God's made?

    13. #13
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,987
      Rep Power : 864
      Likes Received
      920
      Likes Given
      880

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By The Boss View Post
      wengine wakiona shepu tu inatosha....lol hawahitaji sifa zingine

      hahaha hii ni muafaka kwa wanaume wanao-prefer hit and run
      Don't break the LAW, just Bend It!

    14. #14
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,987
      Rep Power : 864
      Likes Received
      920
      Likes Given
      880

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By wahida View Post
      hayo yote yanawezekana kwa mwanamke kuwa nayo .ila hakuna mkamilifu ,unaweza muona ana sifa zote ila maybe sio mzur wa sura wala umbo.. sasa vip ana faa au hafai sifa 5 hazijakamilika? na nyinyi men wa saiv huwa mtu akawa anatenda hayo yote ili kuwin penzi na kukutuliza bwana wake ila ana endup kuwa **** na just freak shit muna muona mshamba , na muna sababisha changes ya mwanamke kuwa vyengine sasa.
      wahida urembo wa sura sio kigezo kikubwa sanaaa na ndio maana katika namba 5 hapo imeelezwa kuwa unadhifu wa mwanamke unatosha sana. next time nitaleta sifa za mwanaume bora tuzijadili pia
      wahida likes this.
      Don't break the LAW, just Bend It!

    15. #15
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,987
      Rep Power : 864
      Likes Received
      920
      Likes Given
      880

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By gfsonwin View Post
      inategemeana sana, zipo zile za msingi hizi ni secondary behaviours, bado hujataja primary
      hebu tupe hizo primary mbili ama tatu hivi kwa uchache
      Don't break the LAW, just Bend It!

    16. #16
      Kizamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th September 2011
      Posts : 398
      Rep Power : 472
      Likes Received
      101
      Likes Given
      3

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Hiyo ni china med.

    17. #17
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,987
      Rep Power : 864
      Likes Received
      920
      Likes Given
      880

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By King Kong III View Post
      Mwanamme pesa dushelele hata chizi analo.
      hahahahaha hasa kwa mwanamke aliyekaa kibiashara zaidi
      Don't break the LAW, just Bend It!

    18. #18
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,987
      Rep Power : 864
      Likes Received
      920
      Likes Given
      880

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By Kongosho View Post
      Na mwanamme aweje?

      Mwanamke awe na sifa zote hizo afu aangukie kwa marioo bora kuwa kilaza tu.
      Kongosho nitakuja in few days na sifa za mwanaume kamili na bora
      Don't break the LAW, just Bend It!

    19. #19
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Mwana Mpotevu View Post
      Zifuatazo ni sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume kamili anapenda kuziona ama kuzikuta kwa mwenza wake.

      1. Mwanamke anapaswa kuwa na maisha yake na sio maisha ya kuiga. Wapo wanawake ambao hupenda kuiga kile kinachofanywa na wanawake wenzake na kudhani hivyo ndivyo anavyopaswa kuwa. mwanamke mwenye tabia hiyo huwa hana mvuto kwa mwanaume kwani atakuwa ni mwana mke fake.

      2. Mwanamke anapaswa kuwa mtiifu na mwenye heshima na pia mwenye busara. Mwanamke hapaswi kuwa na kiburi na kutaka kuota mapembe ndani ya mahusiano. Heshima na utiifu haimaanishi kuwa tayari kunyanyaswa, hapana. Mwanamke anapaswa ampe mpenzi wake ama mumewe heshima inayotakiwa kama kichwa cha mahusiano yenu.

      3. Mwanamke anapaswa kuwa na uwezo wa kujitegemea. Hapa utata idogo, wapo wale wanaoamini kuwa mwanamke anapaswa kutegemea kila kitu toka kwa mwenza wake. lakini ukweli ni kwamba wanaume wengi wanapenda kuwa na uhusiano na mwanamke ambaye anaweza kusimama kwa miguu yake na kujitegemea pia.

      4.Mwanamke lazima awe anajiamini. Naam, hapa haimaanishi kuwa anatakiwa kuwa kiburi na mbishi, hapana. Isipokuwa mwanamke anapaswa aonyeshe kujiamini kwa kile anacosema na anachotenda. Kujiamini kunamfanya mwanaume ajue kuwa ana mpenzi ama mke ambaye anaweza kukabiliana na mikwaruzo mbalimbali inayohitaji hoja na utetezi.

      5. Mwisho, mwanamke anapaswa kuwa na mvuto. Hapa haimaanishi kuwa mrembo saaaana, hapana. Ina maana kuwa mwanamke anapaswa kuwa nadhifu kila wakati ili kumfanya mwanaume apende kuwa nawe na avutiwe kuwa nawe wakati wote.

      Sifa hizi tano akiwa nazo mwanamke, basi atambue fika kuwa Mwanaume atavutiwa nawe na uhusiano wenu unaweza kudumu na kudumu na kudumu. Unaweza kuongeza sifa nyingine hapa chini...........
      namba 5 imekaa kimtazamo zaid,,,,,kila mtu ana mtazamo wake juu ya hilo,,,,,,,,namba 1 napo pana utata sana,,,,,,ila namba 3 wanaume wengi ndo HUTUKIMBIZA,,,,maana wao hutufanya atm,,,lakin namba moja imekaa kimakundi sana,,,mambo ya kuigana na pia mambo ya utandawaz,,,,haya mambo wanayo wanawake wasomi,na wasiosoma
      Mwana Mpotevu likes this.

    20. #20
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Mwana Mpotevu View Post
      wahida urembo wa sura sio kigezo kikubwa sanaaa na ndio maana katika namba 5 hapo imeelezwa kuwa unadhifu wa mwanamke unatosha sana. next time nitaleta sifa za mwanaume bora tuzijadili pia
      lete leo hii hii,,,ndo wakat muafaka,,,unaweza kuzieleza hapa then tuendelee kuzijadil

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...