Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 64
    1. #1
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,972
      Rep Power : 857
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Zifuatazo ni sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume kamili anapenda kuziona ama kuzikuta kwa mwenza wake.

      1. Mwanamke anapaswa kuwa na maisha yake na sio maisha ya kuiga. Wapo wanawake ambao hupenda kuiga kile kinachofanywa na wanawake wenzake na kudhani hivyo ndivyo anavyopaswa kuwa. mwanamke mwenye tabia hiyo huwa hana mvuto kwa mwanaume kwani atakuwa ni mwana mke fake.

      2. Mwanamke anapaswa kuwa mtiifu na mwenye heshima na pia mwenye busara. Mwanamke hapaswi kuwa na kiburi na kutaka kuota mapembe ndani ya mahusiano. Heshima na utiifu haimaanishi kuwa tayari kunyanyaswa, hapana. Mwanamke anapaswa ampe mpenzi wake ama mumewe heshima inayotakiwa kama kichwa cha mahusiano yenu.

      3. Mwanamke anapaswa kuwa na uwezo wa kujitegemea. Hapa utata idogo, wapo wale wanaoamini kuwa mwanamke anapaswa kutegemea kila kitu toka kwa mwenza wake. lakini ukweli ni kwamba wanaume wengi wanapenda kuwa na uhusiano na mwanamke ambaye anaweza kusimama kwa miguu yake na kujitegemea pia.

      4.Mwanamke lazima awe anajiamini. Naam, hapa haimaanishi kuwa anatakiwa kuwa kiburi na mbishi, hapana. Isipokuwa mwanamke anapaswa aonyeshe kujiamini kwa kile anacosema na anachotenda. Kujiamini kunamfanya mwanaume ajue kuwa ana mpenzi ama mke ambaye anaweza kukabiliana na mikwaruzo mbalimbali inayohitaji hoja na utetezi.

      5. Mwisho, mwanamke anapaswa kuwa na mvuto. Hapa haimaanishi kuwa mrembo saaaana, hapana. Ina maana kuwa mwanamke anapaswa kuwa nadhifu kila wakati ili kumfanya mwanaume apende kuwa nawe na avutiwe kuwa nawe wakati wote.

      Sifa hizi tano akiwa nazo mwanamke, basi atambue fika kuwa Mwanaume atavutiwa nawe na uhusiano wenu unaweza kudumu na kudumu na kudumu. Unaweza kuongeza sifa nyingine hapa chini...........
      Don't break the LAW, just Bend It!

    2. Miaka 50

    3. #21
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 962
      Rep Power : 578
      Likes Received
      156
      Likes Given
      2

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      That's right
      Mwana Mpotevu likes this.

    4. #22
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Mwana Mpotevu
      hahaha hii ni muafaka kwa wanaume wanao-prefer hit and run
      am a member of that club,,,,,

    5. #23
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,972
      Rep Power : 857
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By Bajabiri
      namba 5 imekaa kimtazamo zaid,,,,,kila mtu ana mtazamo wake juu ya hilo,,,,,,,,namba 1 napo pana utata sana,,,,,,ila namba 3 wanaume wengi ndo HUTUKIMBIZA,,,,maana wao hutufanya atm,,,lakin namba moja imekaa kimakundi sana,,,mambo ya kuigana na pia mambo ya utandawaz,,,,haya mambo wanayo wanawake wasomi,na wasiosoma
      asante kwa kujadili, mkuu wanawake wengi sana wanaiga maisha na hawapo katika maisha yao ya kawaida. anataka kuvaa kama fulani, kwenda viwanja anavyokwenda fulani, kuishi maisha kama anayoishi fulani na mpenzi wake na vingine vingi vya kuiga. hawataki kuwa wenyewe
      Don't break the LAW, just Bend It!

    6. #24
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By King Kong III
      mpododo kwanza.
      hahahahaaa,,,,ushaanza kaka,,,,unaona semi hiyoo,,,ya futi 40
      Mwana Mpotevu likes this.

    7. #25
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Mwana Mpotevu
      asante kwa kujadili, mkuu wanawake wengi sana wanaiga maisha na hawapo katika maisha yao ya kawaida. anataka kuvaa kama fulani, kwenda viwanja anavyokwenda fulani, kuishi maisha kama anayoishi fulani na mpenzi wake na vingine vingi vya kuiga. hawataki kuwa wenyewe
      case study kwenye taasisi za elimu ya JUUU,,,,,,,,,
      UKIJA HUKU USWAZ MWANANYAMALA NAKO,,,,,,MIKANDA YA BONGO MOVIES NAYO IMEWAATHIRI SANA
      Mwana Mpotevu likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,972
      Rep Power : 857
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By Bajabiri
      lete leo hii hii,,,ndo wakat muafaka,,,unaweza kuzieleza hapa then tuendelee kuzijadil
      usiwe na haraka jitahidi kuwa na subira
      Don't break the LAW, just Bend It!

    10. #27
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,972
      Rep Power : 857
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By Bajabiri
      am a member of that club,,,,,
      hahahahahahaha umejipambanua Bajabiri ?
      Don't break the LAW, just Bend It!

    11. #28
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 571
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      141

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      kwa dunia ya leo kuwapata wenye hzo sifa mkuu kaazi ipo..na anaebahatshwa kuwa nazo atagandwa huyo usiombee....
      Mwana Mpotevu likes this.

    12. #29
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,972
      Rep Power : 857
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By Mapi
      kwa dunia ya leo kuwapata wenye hzo sifa mkuu kaazi ipo..na anaebahatshwa kuwa nazo atagandwa huyo usiombee....
      wapo tatizo wanaume wengi tuna papara
      Don't break the LAW, just Bend It!
      Reply With Quote

    13. #30
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,695
      Rep Power : 27094
      Likes Received
      10064
      Likes Given
      13972

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By Mwana Mpotevu
      hebu tupe hizo primary mbili ama tatu hivi kwa uchache
      Tabia ambazo ni za msingi sana kwa mwanamke yeyote anayefaa kuwa mke ni kama vile:-

      ajiheshimu:- hii ni sifa namba moja kwa mwanamke yeyote yule, heshima hii ni pana sana, kwamba aheshimu nafasi yake kama mwanamke kiasi kwamba awe tayari kumfurahisha mumewe zaid kuliko mwanaume mwingine yyte yule. pia aweze kuheshimu mwili wake, kwa mavazi ya heshima, mwonekano wa heshima na hata mwenendo tu wa heshima.
      Siku hizi utakuta mdada anapita tu unaskia huyu ni wa hit and run tu hana future at first site mtu aliona nini manake pengine hamjui huyu dada ila aliangalia mwonekano tu japo pia waweza kudanganya but mara nyingi husema kweli.

      awe msafi:- hapa tunaongelea usafi wa mazingira yote, siyo wa mwili tu. Jamani tena hapa huwa usafi hauangalii wakati au aweo. Kuna mwanamke mwingine unamwona mchafu tu hata gari analoendesha tu chafu toka ndani hadi nje, sasa hapo jiulize huko nyumbani vipi? pia mwili siyo minywele wigi wk 4 hadi linanuka, miguu makegeta na vumbi hadi kwenye ugoko lol. hii ni mbaya sana. Mwingine hata kula tu ni kwa uchafu anamwaga meza yote akishika glasi ya juis lol lazima ajimwagie kwenye nguo na wala hajali mwingine hata kiti tu cha kukalia hakagui anajikalisha tu kama pasi kujali. hii siyo tabia ya kike kabisa.

      ajue thamani yake kama mke au mchumba wa mtu:- hili ni gumu sana kwa baadhi ya wakina dada. utakuta she does't know how wealth she is as a woman. ukishajua thamani yako kama mama utajua unamzigo kiasi gani wa kulea so utaitafuta hekima zaid na busara kuliko mzaha. Tena utajua nini wajibu wako kwa familia yako.

      awe mkarimu:- ukarimu hauna mipaka ni kwa wale wa ndani na hata wale wa nje ya nyumba yako. Mwanamke mkarimu huwa habagui, wala haumii nafsi anapotoa kwa ajili ya watu wa nyumbani mwake hulisha, kuvesha kunywesha na kufariji wote pasi kunung'unika. silaha hii ikitumiwa vizuri huondoa umaskini, kutokufanikiwa, mikosi, na balaa. Huongeza ustawi wa familia, kipato,neema na mafanikio. hata siku moja huwez kosa ridhiki kwa kulisha watu wa nyumbani mwako, au kumkarimu mgeni.

      Awe na upendo wa kweli si tu kwa mumewe bali kwa wote aliopewa na Mungu wawe wake:- iwe ni ngugu wa mume, au ndugu zake iwe ni watumisha wake majirani na hata wageni. Hii ni silaha ambayo huwa ikitumiwa vizuri pasi unafiki hubomoa misingi yote ya chuki, mafarakano, mikosi,balaa na yote yakufanana na hayo. huongeza umoja wa kifamilia,mshikamano, furaha na amani.

      usafi wa mwili na mazingira-Yaani hili ni jambo la msingi sana, kwa mama yyte yule ambaye anaipenda familia yake. silaha hii hukinga familia dhidi ya magonjwa na pia hudumisha afya ya familia. ikitumiwa vizuri hupunguza matumizi ya fedha kwa kiasi kikubwa sana.

      awe na nidhamu katika matumizi ya hela:- mwanamke mzuri hayuko extra vagant na matumizi ya hela anajua kupanga resonable budget, na anajua resource utilization. hawez akatumia vitu hovyo pasi kujali kama vinaisha au vinaharibika. huwa ana mipango madhubuti juu ya vyombo vyake vya ndani, vyakula fedha na hata nishati kama gesi na umeme na hata maji.

      awe ni mcha mungu: this is prime quality kwa mwanamke yyte mwenye familia. kwani lazima anajue kuwa maadili na misingi ya familia yake inajengwa ndani ya mungu anayemwabudu. atawashawish watu wa nyumbani mwake kusali, na tawalea wanae katika njia nzuri.

      ishu ya kujua kufanya mapenzi ni secondary xstics kwani huwa tunategemea aanze kufanya tendo la ndoa baada ya ndoa so kujua ama kutokujua watajifunza wao wenyewe wawili kwa jinsi na namna wapendavyo wao wenyewe. huwez kuiga haya ingawa kuna common aspects but variation ni kubwa sana wapo ambao hawapendi vibrations but wapo wanaozipenda kama ndugu yangu Kongosho so watabuni aina yao wenyewe ya love making.

      all in all mwanamke aanawajibu wa kutambua kuwa yeye ndiye muumbaji ndani ya nyumba kwakua ndiye mwenye mikono inayofinyanga, anapaswa ajue hata mende aliyeko ndani mwake ni kwasababu yake na yy ndiye anayemlisha so she has to be very smart in whatever she is doing. tena asiwe mvivu, wala msengenyaji wala asiyejua wajibu wake wa familia.

      nimeyaandika haya kwa uchache tu but kama unataka zaid just sema

    14. #31
      Da Pretty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th December 2010
      Location : Bush Kwetu
      Posts : 676
      Rep Power : 563
      Likes Received
      149
      Likes Given
      83

      Default

      Quote By Mwana Mpotevu
      wapo tatizo wanaume wengi tuna papara
      Word!!!!
      Mwana Mpotevu likes this.

    15. #32
      Mapi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 571
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      141

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      sio papara mkuu..mitego mikali...we unadhani kitu kama alichokitupia The Boss hapo kikikubana vyema wangap watachomoka? Istoshe women ni ma actress wazur mno mkuu wanapohtaj kitu
      Mwana Mpotevu likes this.

    16. #33
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,306
      Rep Power : 13761
      Likes Received
      5150
      Likes Given
      4535

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Mnapotuchanganya ni hapo namab tatu, independent woman mnamwona ananata at the same time mnamtamani! Phweee!
      Mwana Mpotevu likes this.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    17. #34
      Da Pretty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th December 2010
      Location : Bush Kwetu
      Posts : 676
      Rep Power : 563
      Likes Received
      149
      Likes Given
      83

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Ahsante,mwenye sifa hizo anastahili mwanaume mwenye sifa zipi? Na kihalisia ipo hivyo au ni mtazamo tu?
      Mwana Mpotevu likes this.

    18. #35
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,972
      Rep Power : 857
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By Da Pretty
      Ahsante,mwenye sifa hizo anastahili mwanaume mwenye sifa zipi? Na kihalisia ipo hivyo au ni mtazamo tu?
      nitaleta sifa za mwanaume hapa Da Pretty usijali
      Don't break the LAW, just Bend It!

    19. #36
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,972
      Rep Power : 857
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By MwanajamiiOne
      Mnapotuchanganya ni hapo namab tatu, independent woman mnamwona ananata at the same time mnamtamani! Phweee!
      MwanajamiiOne hatuwachanganyi, sema ni nadra kumkuta mwanamke independent na asiyenata kama jinsi ilivyo nadra kumkuta mrembo sana asiyenata.
      Don't break the LAW, just Bend It!

    20. #37
      Nteko Vano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Location : Dar es salaam
      Posts : 428
      Rep Power : 450
      Likes Received
      90
      Likes Given
      26

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By Bajabiri
      am a member of that club,,,,,
      Unakamilisha usemi mmoja kuwa raha ya mapenzi ni ku**joa

    21. #38
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,972
      Rep Power : 857
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By Nteko Vano
      Unakamilisha usemi mmoja kuwa raha ya mapenzi ni ku**joa
      mkuu huo usemi sio sahihi, vinginevyo basi mastabesheni ingekuwa ndio kila kitu maana shughuli pale inaisha kama ulivyosema
      Don't break the LAW, just Bend It!

    22. #39
      Nteko Vano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Location : Dar es salaam
      Posts : 428
      Rep Power : 450
      Likes Received
      90
      Likes Given
      26

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By Mwana Mpotevu
      mkuu huo usemi sio sahihi, vinginevyo basi mastabesheni ingekuwa ndio kila kitu maana shughuli pale inaisha kama ulivyosema
      Sawa mkuu nimekupata, lakini katika mapenzi output yake ni kuk..joa ndio maana nikasema hivyo.

    23. #40
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,972
      Rep Power : 857
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona.......

      Quote By Nteko Vano
      Sawa mkuu nimekupata, lakini katika mapenzi output yake ni kuk..joa ndio maana nikasema hivyo.
      duh haya mkuu
      Don't break the LAW, just Bend It!

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...