Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kudanganya......

    Report Post
    Page 1 of 10 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 199
    1. Mbu
      #1
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9992
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default Kudanganya......

      .....:screwy: .....hivi, unapokuwa unamdanganya mtu, bila 'woga' kwamba ANAJUA unamdanganya, ...kusudio lako huwa nini?

      .....mimi bado sina tafsiri sahihi juu ya hili zaidi ya 'madharau' katika mapenzi. Au wewe waonaje? Mbu is only thinking ALOUD ....:what:

      Nipeni maoni yenu waungwana...

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,269
      Rep Power : 13086
      Likes Received
      14148
      Likes Given
      15016

      Default Re: Kudanganya......

      wakati mwingine kuepusha shari tu
      inakuwa si madharau.
      Mbu, Ndahani and MwanajamiiOne like this.

    4. #3
      Nehondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Location : dar slam
      Posts : 308
      Rep Power : 454
      Likes Received
      76
      Likes Given
      28

      Default Re: Kudanganya......

      Nikudharau tu upeo wa huyo mtu unamdanganya

    5. #4
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 15,274
      Rep Power : 31328
      Likes Received
      7555
      Likes Given
      7615

      Default Re: Kudanganya......

      maana yake ni kwamba uamini huo uongo na uchukulie poa tu!
      Mbu likes this.

    6. #5
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,220
      Rep Power : 28910
      Likes Received
      11710
      Likes Given
      4819

      Default Re: Kudanganya......

      Kuna watu wanadanganya kama hobby yaani! Hata kama ni kitu kisicho na impact, atadanganya tuuu!

      Mi naona ni kukosa kujiamini. Kama umefanya kosa na unajiamini u should be able kukiri na kujifanyia self analysis ili ujiongeze, period!

    7. Miaka 50

    8. #6
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14548
      Likes Given
      22033

      Default Re: Kudanganya......

      Inategemea na jinsia aisee.....


      Women cheat for reason (kulipiza visasi, kutoridhishwa na aliye naye, kuwa mbali na mpenzi wake, hali mbaya ya uchumi....nk nk nk)

      Men cheat for pleasure...a.k.a Kudumisha mila.. Mwanaume rijali hajawahi kuridhishwa na mwanamke mmoja: Ushahidi wa harakaharaka mabeberu na majogoo)

      Baada ya kusema hayo naomba kujulishwa hivi leo ni jumangapi?
      Mbu, Dark City and obsesd like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    9. LD
      #7
      LD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2010
      Location : Hapa
      Posts : 2,953
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      470
      Likes Given
      867

      Default Re: Kudanganya......

      Kuna wimbo nimeusikia kwenye daladala jana jioni....."Nidanganye nidanganye tu....ukiniambia ukweli nitaumia.....ha ha naona mengine nikudumisha Amani tu manake ukweli unauma wakati mwingiene mheshimiwa Mbu
      Mbu, RR and ha ha ha like this.
      Who knows what tomorrow has to offer?

    10. Mbu
      #8
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9992
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default

      Quote By Kongosho
      wakati mwingine kuepusha shari tu
      inakuwa si madharau.
      ....mnh? ...sasa hapo anayeepusha shari si mie Mbu?!

      ..najua wanidanganya lkn nakuacha na 'upuuzi' wako. Au weye watafsirije?

    11. #9
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,269
      Rep Power : 13086
      Likes Received
      14148
      Likes Given
      15016

      Default Re: Kudanganya......

      Labda niombe ufafanuzi, kudanganya hapa inahusisha hata kusaliti penzi, au ule uongo wa maneno tu?
      Mbu, BAK and Asprin like this.

    12. Mbu
      #10
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9992
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default

      Quote By Nehondo
      Nikudharau tu upeo wa huyo mtu unamdanganya
      ....hapa ndipo Mbu ninaposhangaa.
      Iwapo naujua ukweli, na mtu aja na story ya uwongo....maana yake ananiona "bw.ege" fulani au?....lol

    13. Mbu
      #11
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9992
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default

      Quote By watu8
      maana yake ni kwamba uamini huo uongo na uchukulie poa tu!
      ...aha ha ha....aisee....:D

    14. #12
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: Kudanganya......

      kudanganya muhimu, wewe mtu anataka ufuate kila ambavo anataka yeye kwake ndio

      anaona unampenda au kumjali. sometimes inaboa na kuchosha. kuwa it all has to be about yeye kila mara,

      yaani haoni raha kuingia line hadi ionekane inahuu yeye tu! unataka sex, anataka umbembeleze

      na umuoneshe unataka ukimuona yeye tu. ukimwambia tu ukweli hata angekuwepo mwengine itakuwa powa tu

      ujue una siku kadhaa za masuluhisho. what for? bora tu kudanganya. kunalipa sana.

      anaweza kuwa wa muhim but kuna wakati kuna ya muhimu kuliko yeye. hapo unamdangya tu kama mtoto.
      Mbu, Ndahani, LD and 1 others like this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    15. #13
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 727
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default Re: Kudanganya......

      Kwa wengine uongo ni kipaji hawawezi ishi bila kudanganya yaani uongo ndo unawaweka mjini..
      Mbu likes this.

    16. #14
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: Kudanganya......

      Sidhani kama nimekuelewa,sijui unazungumzia kudanganya kupi?Mlio tayari kwenye mahusiano au uongo ule wa mwanzo wakati wa kuambiana kuwa "nakupenda"?

    17. #15
      marrykate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 350
      Rep Power : 434
      Likes Received
      112
      Likes Given
      190

      Default Re: Kudanganya......

      ni kwa sababu hatujiamini ndo maana tunadanganya

    18. Mbu
      #16
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9992
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default

      Quote By King'asti
      Kuna watu wanadanganya kama hobby yaani! Hata kama ni kitu kisicho na impact, atadanganya tuuu!

      Mi naona ni kukosa kujiamini. Kama umefanya kosa na unajiamini u should be able kukiri na kujifanyia self analysis ili ujiongeze, period!
      ......low self-esteem .....mmn, umekwenda deep...kwenye psychoanalysis!

      ......phewww.....thx King'asti. Nakubaliana nawe, ila je? Iwapo utajitahidi kwa kila hali kumhakikishia "Only the truth will set you free!" ...kuna haja gani yeye kuendelea 'telling white lies?'....

      Sio madharau hayo? :D

    19. #17
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14548
      Likes Given
      22033

      Default Re: Kudanganya......

      Quote By Kongosho
      Labda niombe ufafanuzi, kudanganya hapa inahusisha hata kusaliti penzi, au ule uongo wa maneno tu?
      You are damn smart... wengine tulishakurupuka na kujiaminisha huyu moskwito anaposema kudanganya alimaanisha cheating a.k.a infidelity.

      Waweza kuta anamaanisha ule uongo wa "uko wapi" weye wajibu uko Shamba Mapinga kumbe uko Mbagala unakata kiu Dar Live.
      Mbu likes this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    20. Mbu
      #18
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9992
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default

      Quote By Asprin
      Inategemea na jinsia aisee.....


      Women cheat for reason (kulipiza visasi, kutoridhishwa na aliye naye, kuwa mbali na mpenzi wake, hali mbaya ya uchumi....nk nk nk)

      Men cheat for pleasure...a.k.a Kudumisha mila.. Mwanaume rijali hajawahi kuridhishwa na mwanamke mmoja: Ushahidi wa harakaharaka mabeberu na majogoo)

      Baada ya kusema hayo naomba kujulishwa hivi leo ni jumangapi?
      .....hahaha, mzee mwenzangu ume 'kategorelaizi' kabisa? Nice one...
      Ila, na doubt kama ina generalize vyema and 'fairly' hayo makundi.

      ....Mbu still believes uwongo ktk mapenzi ni mwiko. Ni bora mtu akawa mkweli, then akaeleweka 'madhaifu' yake....kuliko kudanganya jambo lililo na ukweli dhahiri.

      BTW, leo ni X-mas wallah....kesho Boxing day...haki ya nani aisee sikudanganyi!
      Kaunga likes this.

    21. RR
      #19
      RR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2007
      Location : Close
      Posts : 5,605
      Rep Power : 1744
      Likes Received
      1020
      Likes Given
      481

      Default Re: Kudanganya......

      Quote By King'asti
      Kuna watu wanadanganya kama hobby yaani! Hata kama ni kitu kisicho na impact, atadanganya tuuu!

      Mi naona ni kukosa kujiamini. Kama umefanya kosa na unajiamini u should be able kukiri na kujifanyia self analysis ili ujiongeze, period!
      Kila mtu, at some point, anadanganya kwa malengo tofauti.
      Mbu likes this.
      Bunge: Upuuzi unaolindwa na sheria...kwa kutumia hela za Watz!

    22. #20
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,292
      Rep Power : 23400
      Likes Received
      8225
      Likes Given
      5854

      Default Re: Kudanganya......

      uongo mtamu ....
      uongo unapunguza uchungu .....
      Mbu likes this.
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    Page 1 of 10 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...