Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kudanganya......

    Report Post
    Page 7 of 10 FirstFirst ... 56789 ... LastLast
    Results 121 to 140 of 199
    1. Mbu
      #1
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9991
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default Kudanganya......

      .....:screwy: .....hivi, unapokuwa unamdanganya mtu, bila 'woga' kwamba ANAJUA unamdanganya, ...kusudio lako huwa nini?

      .....mimi bado sina tafsiri sahihi juu ya hili zaidi ya 'madharau' katika mapenzi. Au wewe waonaje? Mbu is only thinking ALOUD ....:what:

      Nipeni maoni yenu waungwana...

    2. FemaTV & Radio

    3. #121
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,555
      Rep Power : 23552
      Likes Received
      6973
      Likes Given
      11321

      Default Re: Kudanganya......

      Quote By Eiyer
      Nitarudi kujua kinachosemwa na Babu DC!

      Wewe Eiyer mbona unakimbia mjadala?

      Uliza kwanza ili tukupe ma uzoefu yetu!!

      Na kama huamini, basi siku ukienda mahakamani kama mshitakiwa na hakimu akakuuliza hivi, eti nikweli Eiyer umeiba...wewe jibu hiv, NDIYO MUHESHIMIWA NIMEIBA...Halafu baada ya hapo uje utupe feedback!!

      Babu DC!!
      Mbu likes this.
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    4. #122
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,306
      Rep Power : 13761
      Likes Received
      5150
      Likes Given
      4535

      Default Re: Kudanganya......

      Babu DC bwana
      Kuna ile danganya ambayo lazima udanganye kwa kuwa umeulizwa but kutokusema kila kitu inaweza kuwa rahisi klama hujaulizwa. But ukiulizwa ni lazima ujibu bana
      Mbu and Dark City like this.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    5. #123
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,555
      Rep Power : 23552
      Likes Received
      6973
      Likes Given
      11321

      Default Re: Kudanganya......

      Quote By MwanajamiiOne
      Babu DC bwana
      Kuna ile danganya ambayo lazima udanganye kwa kuwa umeulizwa but kutokusema kila kitu inaweza kuwa rahisi klama hujaulizwa. But ukiulizwa ni lazima ujibu bana

      Hahahahahahahahahahha,

      Yaani una manaa hapa utamwaga tu data...

      Mkuu wa kaya (MK): Soulmate ulikuwa unaongea na nani mbona simu ilikuwa busy muda mrefu?
      MJ1: Ni yule ex BF wangu wa USA. Kanipigia
      MK: Anasemaje?
      MJ1: Eti amenimiss sana...halafu anasema kuwa duuuu enzi zile tulitesa sana. Amenikumbusha jinsi tulivyoenda kujirusha Zanzibar baada ya kupewa zawadi ya birthday yake!...Yaani nimefurahi sana kwa kuwa tulikuwa hatujaongea muda mrefu!!
      MK: Ok, msalimie sana.
      MJ1: Poa soulmate, amesema atapiga tena J2!

      .....

      Babu DC!!
      Mbu, MwanajamiiOne and Maty like this.
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    6. #124
      MwalimuZawadi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2007
      Posts : 623
      Rep Power : 723
      Likes Received
      50
      Likes Given
      3

      Default Re: Kudanganya......

      Uongo una gharama, kwa watu wenye RAM ndogo na ubongo wa Mb 3 haufai!
      Mbu and Dark City like this.
      Sent from my Nokia rinGo using JamiiForums

    7. #125
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,306
      Rep Power : 13761
      Likes Received
      5150
      Likes Given
      4535

      Default Re: Kudanganya......

      Quote By Dark City
      Hahahahahahahahahahha,

      Yaani una manaa hapa utamwaga tu data...

      Mkuu wa kaya (MK): Soulmate ulikuwa unaongea na nani mbona simu ilikuwa busy muda mrefu?
      MJ1: Ni yule ex BF wangu wa USA. Kanipigia
      MK: Anasemaje?
      MJ1: Eti amenimiss sana...halafu anasema kuwa duuuu enzi zile tulitesa sana. Amenikumbusha jinsi tulivyoenda kujirusha Zanzibar baada ya kupewa zawadi ya birthday yake!...Yaani nimefurahi sana kwa kuwa tulikuwa hatujaongea muda mrefu!!
      MK: Ok, msalimie sana.
      MJ1: Poa soulmate, amesema atapiga tena J2!

      .....

      Babu DC!!
      Hahahahhaahaha Babu DC kwanza I do not entertain Exes! Pili ikitokea amenipigia definitely mazungumzo hayatokuwa ya aina hiyo, ni short and clear then hata kabla hajauliza nitakuwa nshajishtaki mwenyewe (na nlivyo mmbeya dah! yaani mdomo utakuwa wancheza hata kabla simu haijakatwa aisee)
      Mbu and Dark City like this.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    8. Miaka 50

    9. #126
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,555
      Rep Power : 23552
      Likes Received
      6973
      Likes Given
      11321

      Default Re: Kudanganya......

      Quote By MwanajamiiOne
      Hahahahhaahaha Nanu DC kwanza I do not entatain Exes! Pili ikitokea amenipigia definitely mazungumzo hayatokuwa ya aina hiyo, ni short and clear then hata kabla hajauliza nitakuwa nshajishtaki mwenyewe (na nlivyo mmbeya dah! yaani mdomo utakuwa wancheza hata kabla simu haijakatwa aisee)

      Unaona sasa unavyojiingiza mwenyewe?

      Hebu muulize mzee mwenzangu Asprin akukatia wasia kidogo!!

      Kuna wanaume ambao kitendo cha kujishitaki ni sawa na suicide bombing!

      Hii michezo nyie ione hivi hivi....Hakuna refa wala mchezaji anayeweza kujidai kuwa ni star!!

      Babu DC!!
      Mbu and Asprin like this.
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    10. #127
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,555
      Rep Power : 23552
      Likes Received
      6973
      Likes Given
      11321

      Default Re: Kudanganya......

      Quote By MwalimuZawadi
      Uongo una gharama, kwa watu wenye RAM ndogo na ubongo wa Mb 3 haufai!

      Hapa hatuongelei uongo wa kuandika kitabu kizima au ripoti kama za kamati za Bunge. Tunaongelea ule uongo unaoepusha shari na kuleta heri.

      katika mfano wangu kwa MJ1 hapo juu (post #123), unadhani angepewa jibu kuwa nilikuwa naongea na mama angesemaje?

      Babu DC!!
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    11. #128
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,306
      Rep Power : 13761
      Likes Received
      5150
      Likes Given
      4535

      Default Re: Kudanganya......

      Quote By Dark City
      Unaona sasa unavyojiingiza mwenyewe?

      Hebu muulize mzee mwenzangu Asprin akukatia wasia kidogo!!

      Kuna wanaume ambao kitendo cha kujishitaki ni sawa na suicide bombing!

      Hii michezo nyie ione hivi hivi....Hakuna refa wala mchezaji anayeweza kujidai kuwa ni star!!

      Babu DC!!
      Hahahaha Babu DC umesema kweli uzuri ni mwelewa so most of the time ...Umbeya... wangu huwa haucost sana haha (Sijui najifariji tu!!)

      Bahati mbaya Soulmate, browser yake imecrash I just wish angekuja afunguke hapa lol!
      Mbu and Dark City like this.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    12. #129
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,555
      Rep Power : 23552
      Likes Received
      6973
      Likes Given
      11321

      Default Re: Kudanganya......

      Quote By MwanajamiiOne
      Hahahaha Babu DC umesema kweli uzuri ni mwelewa so most of the time ...Umbeya... wangu huwa haucost sana haha (Sijui najifariji tu!!)

      Bahati mbaya Soulmate, browser yake imecrash I just wish angekuja afunguke hapa lol!
      Umeona enhhhhhhhhhhhhheeeeeeee,

      Hili game ni hovyo kabisa....utadhani wachezaji wote vichaa!

      Mie nidanganywe tu kwani sihitaji kujua vitu ambavyo havina tija!!

      Babu DC!!
      Mbu and MwanajamiiOne like this.
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    13. #130
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,306
      Rep Power : 13761
      Likes Received
      5150
      Likes Given
      4535

      Default Re: Kudanganya......

      Mwenyewe anauliza uongo na kudanganya mapenzini hakuepukiki? .... na ni wakati gani haifai kudanganyana na kusema uwongo?
      Mbu likes this.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    14. #131
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,613
      Rep Power : 1127
      Likes Received
      1389
      Likes Given
      1536

      Default Re: Kudanganya......

      Quote By Mbu
      .....:screwy: .....hivi, unapokuwa unamdanganya mtu, bila 'woga' kwamba ANAJUA unamdanganya, ...kusudio lako huwa nini?

      .....mimi bado sina tafsiri sahihi juu ya hili zaidi ya 'madharau' katika mapenzi. Au wewe waonaje? Mbu is only thinking ALOUD ....:what:

      Nipeni maoni yenu waungwana...
      Hii mbaya sana........ Ila ulivyoiongea ni lazima kuna kichomi cha kweli moyoni tena chanzo ki karibu
      Mbu, MwanajamiiOne and Dark City like this.
      Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa....

    15. #132
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,555
      Rep Power : 23552
      Likes Received
      6973
      Likes Given
      11321

      Default Re: Kudanganya......

      Quote By MwanajamiiOne
      Mwenyewe anauliza uongo na kudanganya mapenzini hakuepukiki? .... na ni wakati gani haifai kudanganyana na kusema uwongo?

      Sasa tujibu mara ngapi dada?

      Uongo ni muhimu sana pale ambapo utakusaidia kuepusha shari, kuleta heri na kuongeza dakika za kuishi hapa kwa duniani kwenu nyote!!

      Umeelewa mjukuu wangu?

      Babu DC!!
      Mbu likes this.
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    16. #133
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,555
      Rep Power : 23552
      Likes Received
      6973
      Likes Given
      11321

      Default Re: Kudanganya......

      Quote By Janjaweed
      Hii mbaya sana........ Ila ulivyoiongea ni lazima kuna kichomi cha kweli moyoni tena chanzo ki karibu

      Wewe Janjaweedkwa uchokozi sikuwezi!!

      kwani tamthilia huwa ni kweli?

      Babu DC!!
      Mbu likes this.
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    17. Mbu
      #134
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9991
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default

      .....enhe, swahiba Dark City....kwanza habari za huko?

      Ehh, umegusia suala la kudanganya 'live' ili kuepusha shari....nawe umejikubalisha.

      Je? Huna haja ya kuthibitisha ukweli uujuao na unaouamini kwa uongo unaoambiwa dhahiri? E bana ee....am lost hapo.
      Dark City likes this.

    18. RR
      #135
      RR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2007
      Location : Close
      Posts : 5,603
      Rep Power : 1743
      Likes Received
      1018
      Likes Given
      481

      Default

      Quote By Dark City
      Wewe Janjaweedkwa uchokozi sikuwezi!!

      kwani tamthilia huwa ni kweli?

      Babu DC!!
      Wanataka Mbu aingie mitini hapa
      Mbu and Dark City like this.

    19. Mbu
      #136
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9991
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default

      Quote By Dark City
      Sasa tujibu mara ngapi dada?

      Uongo ni muhimu sana pale ambapo utakusaidia kuepusha shari, kuleta heri na kuongeza dakika za kuishi hapa kwa duniani kwenu nyote!!

      Umeelewa mjukuu wangu?

      Babu DC!!
      Majuzi umeona mwenyewe soulmate 'kanifumania' live kitandani kwetu...

      Mwenyewe nilimtarajia arudi jumatatu, kumbe semina ilikatwa ruzuku, j'2 alfajr huyo....hodi mpaka chumbani.

      Nimemwomba msamaha na samahani zote, kwani ningejua atarudi mapema, nisingemleta yule binti (aliyening'ang'ania aje kuona tunapoishi).... utetezi wangu unauonaje hapo?

    20. #137
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,555
      Rep Power : 23552
      Likes Received
      6973
      Likes Given
      11321

      Default Re: Kudanganya......

      Quote By Mbu
      .....enhe, swahiba Dark City....kwanza habari za huko?

      Ehh, umegusia suala la kudanganya 'live' ili kuepusha shari....nawe umejikubalisha.

      Je? Huna haja ya kuthibitisha ukweli uujuao na unaouamini kwa uongo unaoambiwa dhahiri? E bana ee....am lost hapo.
      Nitahangaika kuthibisha kama jambo lenyewe lina tija....

      Babu DC!!!
      Mbu likes this.
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    21. #138
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6851

      Default Re: Kudanganya......

      Quote By Mbu
      .....:screwy: .....hivi, unapokuwa unamdanganya mtu, bila 'woga' kwamba ANAJUA unamdanganya, ...kusudio lako huwa nini?

      .....mimi bado sina tafsiri sahihi juu ya hili zaidi ya 'madharau' katika mapenzi. Au wewe waonaje? Mbu is only thinking ALOUD ....:what:

      Nipeni maoni yenu waungwana...
      Swahiba.... Sijui kwanini tunafanan kwenye hizi kitu!!!

      Mnhhhh, labda nianzie hapo wakati najipanga....

      Kudanganya ni aina ya psychosis ambayo inahitaji dawa, bahati nzuri, waongo wengi wanaonyesha kama vile ambavyo mental cases nyingine zinaonyesha, kuna macho, na body language ambazo hutoa facts, ndio maana hata lie detector hufanya kazi kirahisi
      Mbu likes this.
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    22. #139
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,555
      Rep Power : 23552
      Likes Received
      6973
      Likes Given
      11321

      Default Re: Kudanganya......

      Quote By Mbu
      Majuzi umeona mwenyewe soulmate 'kanifumania' live kitandani kwetu...

      Mwenyewe nilimtarajia arudi jumatatu, kumbe semina ilikatwa ruzuku, j'2 alfajr huyo....hodi mpaka chumbani.

      Nimemwomba msamaha na samahani zote, kwani ningejua atarudi mapema, nisingemleta yule binti (aliyening'ang'ania aje kuona tunapoishi).... utetezi wangu unauonaje hapo?
      Huu mfano unauotoa kaka uko nje kabisa ya mtazamo wa uongo tuonauongelea..

      Kama umeshakamatwa live, unadhani bado utakuwa na nafasi ya kudanganya?

      Ukifumaniwa pants down basi tulia kama vile unanyolewa, na kisha utegemee huruma ya yule uliyekuwa unamwita soulmate wako!!

      Babu DC!!
      Mbu and Mwali like this.
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    23. Mbu
      #140
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9991
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default

      Quote By RR
      Wanataka Mbu aingie mitini hapa
      Mbu is here to stay aisee....tutabanana humu humu...
      :thumbup:
      Dark City and Maty like this.

    Page 7 of 10 FirstFirst ... 56789 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...