Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Namuanzaje mamamkwe???

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 112
    1. #1
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Namuanzaje mamamkwe???

      WanaMMU salaam mbele!
      Ni hivi..Niko na mchumbaangu na huu ni mwaka wa tatu na Mwenyezi Mungu akijaalia huenda mwaka huu tukajitia kitanzi (pingu za maisha). Lakini wajameni kuna kitu kimenishangaza kidogo ndo maana nikaja hapa walau mnisaidie kwa kulitizama kwa mapana jambo lenyewe!

      Kwa muda takribani miezi sita sasa nimekuwa nje ya Bongo, na kwa kuwa niko na wazazi wananitegemea na wako mbali na Dar ninakoishi niliamua kumuachia mchumbaangu ATM Card yangu ili awe ana'access' mshahara wangu kwa ajili ya kuwatumia wazee na wadogo zangu matumizi. Kwa kipindi kirefu sikuwa nimeona kama kuna walakini kwenye hesabu zangu coz mara moja moja nilikuwa naomba bank statement ili kujiridhisha kama mambo yanaenda vizuri ( ikumbukwe hizi ni pesa na zina vishawishi). Of course kuna wakt kumekuwa na vijimatumizi visivokuwa na kichwa wala miguu na kwa kuwa haikuwa figure kubwa sikuwa najali sana zaidi ya kumkumbusha tu awe makini.

      Kama miezi miwili iliyopita niliomba tena bank statement bahati mbaya nikakuta kuna hela kama laki tano imetolewa nje ya matumizi niliyomwidhinishia. Niliamua kumuuliza mchumbaangu kisa cha ku'draw' mkwanja huo. Cha ajabu alishtuka na kuniomba 'sorry' kuwa mamamkwe (yaan mamaake) aliziomba ili akatatulie matatizo ofisini kwao..yaan alikuwa na loss( she is an accountant). Na pia alimuambia asiniambie coz angezirudisha soon!..Nimekuwa nikimuuliza kama zimerudishwa na mpaka naandika huu uzi naona bado ni kimya...Sasa kwa kuwa huku nilipo sipigi deal wala nini na mkwanja wa huko Bongo ndo nautegemea (kumbuka kuna harusi hapa mbeleni) nimebaki nimeduwaa!..Natamani nimuulize mamamkwe but nakosa 'guts'..Je? Nimuamini tu mchumbaangu au nijikakamue tu nimuulize my mother in law???..sasa kumuuliza ndo naanzaje???
      Stommy likes this.
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    2. Miaka 50

    3. #2
      Vin Diesel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 5,866
      Rep Power : 19947
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      1615

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Kama wataka mke hizo laki 5 samehe tu mkuu....ni hela ndogo sana kulinganisha na thamani ya huyo ulienae....pia fanya haraka urudi na uchukue ATM yako....

    4. #3
      Gamaha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th July 2008
      Posts : 825
      Rep Power : 719
      Likes Received
      179
      Likes Given
      168

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Mkuu Snowball kwanza jina lako limenikumbusha kitabu cha animal farm lol. pili kuhusu hizo laki tano kwa kweli ni bora uachane nazo kama kweli unataka kuoa huyo mke. la sivyo zitaleta maneno ambayo hata hukutegemea, jitahidi tu ukiludi utafute zingine na nina uhakika utapata laki tano ni hela kidogo sana
      BAK and SnowBall like this.

    5. #4
      DON KILLUMINATI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd January 2011
      Location : Paramaribo, Suriname
      Posts : 172
      Rep Power : 459
      Likes Received
      63
      Likes Given
      6

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Mkuu usikubali kabisa kusamehe huo mkwanja, kwanza kama mama mwenyewe ni accountant it means naye mambo yake si mabaya kama walivyo watanzania wengi, angekuwa ni mkulima wa jembe la mkono kule Bumbuli au Tandahimba ningekuambia msamehe.

      Otherwise include huo mkwanja kwenye Mahali kama bado hujatoa mahali, but otherwise dai chako aisee, ndo kwanza hata kumuoa bado, ukiisamehe hiyo jiandae kukutana na changamoto kibao mbeleni.
      The Magnificent and SnowBall like this.
      WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA - Hosea 4:6

    6. #5
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,364
      Rep Power : 26649
      Likes Received
      2661
      Likes Given
      1562

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      pole mkuu namna ya kwenda kumwuliza mama mkwe mmmhhh pana ugumu.
      Swali je wakati unamwambia atoe pesa kwa ajili ya wazazi/ndugu zako kuna kiasi chochote ulikuwa unampatia kwa ajili ya wazazi wake pia?
      Be who you are and say what you feel because those who mind don't matter and those who matter don't mind - "Dr. Sues"

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,443
      Rep Power : 13325
      Likes Received
      7669
      Likes Given
      6911

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Jamani hiyo laki 5 tu unataka kuleta shida; tena umeambiwa ana matatizo kazini. Mimi kama mwanamke, ningetegemea mchumba wangu aseme hiyo pesa muachie tu mama mkwe atatue matatizo na wala asinirudishie.

      Najua yaweza kuwa ni nyingi lakini jua unachokitengeneza kina thamani zaidi ya hiyo laki 5. Mkijibana matumizi inaweza kuwa compesated rahisi tu.

      Khah! Ila umenisikitisha sana.
      BAK and SnowBall like this.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    9. #7
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By Vin Diesel
      Kama wataka mke hizo laki 5 samehe tu mkuu....ni hela ndogo sana kulinganisha na thamani ya huyo ulienae....pia fanya haraka urudi na uchukue ATM yako....
      Mkuu kusema ni hela kidogo au nyingi inategemea na kipato cha mtu husika. Binafsi sina kipato kikubwa kivile na pia si unajua maextended family. Nia yangu ilikuwa kujua kama ni kweli mamamkwe ndio kazikopa au bidada ananzingua..Na kusema niwahi kurudi kwa ajili ya ATM card naona bado ngumu..issue hapa ni uaminifu ndo nautafuta!
      Chapa Nalo Jr likes this.
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    10. #8
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,443
      Rep Power : 13325
      Likes Received
      7669
      Likes Given
      6911

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By Blaki Womani
      pole mkuu namna ya kwenda kumwuliza mama mkwe mmmhhh pana ugumu.
      Swali je wakati unamwambia atoe pesa kwa ajili ya wazazi/ndugu zako kuna kiasi chochote ulikuwa unampatia kwa ajili ya wazazi wake pia?
      Good one!
      Wanaume wengine du!
      SnowBall likes this.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    11. #9
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,443
      Rep Power : 13325
      Likes Received
      7669
      Likes Given
      6911

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By SnowBall
      Mkuu kusema ni hela kidogo au nyingi inategemea na kipato cha mtu husika. Binafsi sina kipato kikubwa kivile na pia si unajua maextended family. Nia yangu ilikuwa kujua kama ni kweli mamamkwe ndio kazikopa au bidada ananzingua..Na kusema niwahi kurudi kwa ajili ya ATM card naona bado ngumu..issue hapa ni uaminifu ndo nautafuta!
      Kama humuamini basi mpigie simu mama mkweo umuulize, halafu uone impression unayotengeneza. Unashauriwa vya maana lakini hutaki. Hata kama kipato ni kidogo bado hiyo laki 5 hainunui kiwanja, so ni pesa ndogo bado!
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    12. #10
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By Gamaha
      Mkuu Snowball kwanza jina lako limenikumbusha kitabu cha animal farm lol. pili kuhusu hizo laki tano kwa kweli ni bora uachane nazo kama kweli unataka kuoa huyo mke. la sivyo zitaleta maneno ambayo hata hukutegemea, jitahidi tu ukiludi utafute zingine na nina uhakika utapata laki tano ni hela kidogo sana
      Umenifurahisha sana na hiko kitabu cha animal farm..baki to ze topiki..kiasi nakubaliana na wewe kiasi nashindwa..coz nahofu isije kuwa kazitumia kwenye mambo mengine ila kwa kujua siwezi kumuuliza mamamkwe ndio maana kaamua kuniijia kiivi!..BTW i am still thinkin!
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    13. #11
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,589
      Rep Power : 5620
      Likes Received
      6214
      Likes Given
      2293

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      kosa la kwanza kumuachia mchumba wako atm card?
      wazazi wako wanaishi mahali kusiko na benki?
      kwa nini usingempeleka mama yako kumsigninsha?

      kwa vile ulishachemka kutoka mwanzo vumilia.....
      usikute wala sio mama mkwe aliyepokea huo mshiko..... si ajabu kakwambia mama mkwe akijua hutoweza kumdai...
      hapo imekula kwako mkuu potezea tu,.....
      ila usishangae mwezi ujao ukakuta milioni imeyeyuka..

      maana kawaida kama alikuwa anataka kuchukua kiasi kikubwa cha fedha ili kusolve tatizo angekuarifu wewe mwenyewe.........
      Papizo, Blaki Womani and SnowBall like this.
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    14. #12
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By Blaki Womani
      pole mkuu namna ya kwenda kumwuliza mama mkwe mmmhhh pana ugumu.
      Swali je wakati unamwambia atoe pesa kwa ajili ya wazazi/ndugu zako kuna kiasi chochote ulikuwa unampatia kwa ajili ya wazazi wake pia?
      SIdhani kama issue ni kuwa nikimpa mzazi wangu basi na yeye ampe wakwake..muhimu nadhani ni kuzingatia tulivyokubaliana!..Na yeye ndio angekuwa kaniachia mshahara angekubali kuona nafanya jambo kwa hela yake bila consultation??
      Blaki Womani likes this.
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    15. #13
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Ukisha mwachia mtu open account, usiulize zinatumikaje. Inabidi umuamini bila ya shaka yoyote.

      Unaonesha bado ni kijana mdogo sana na hujayajuwa maisha.

      Huwezi kumuuliza mama mkwe kwa kuwa si yeye uliyempa access ya account yako. Usimuingize kwenye mambo yako na hawara yako.
      SnowBall likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    16. #14
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By DON KILLUMINATI
      Mkuu usikubali kabisa kusamehe huo mkwanja, kwanza kama mama mwenyewe ni accountant it means naye mambo yake si mabaya kama walivyo watanzania wengi, angekuwa ni mkulima wa jembe la mkono kule Bumbuli au Tandahimba ningekuambia msamehe.
      Otherwise include huo mkwanja kwenye Mahali kama bado hujatoa mahali, but otherwise dai chako aisee, ndo kwanza hata kumuoa bado, ukiisamehe hiyo jiandae kukutana na changamoto kibao mbeleni.
      Kuinclude kwenye mahali??..duh!..otherwise nimekusoma
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    17. #15
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,047
      Rep Power : 610
      Likes Received
      442
      Likes Given
      1349

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By SnowBall
      WanaMMU salaam mbele!
      Ni hivi..Niko na mchumbaangu na huu ni mwaka wa tatu na Mwenyezi Mungu akijaalia huenda mwaka huu tukajitia kitanzi (pingu za maisha). Lakini wajameni kuna kitu kimenishangaza kidogo ndo maana nikaja hapa walau mnisaidie kwa kulitizama kwa mapana jambo lenyewe!

      Kwa muda takribani miezi sita sasa nimekuwa nje ya Bongo, na kwa kuwa niko na wazazi wananitegemea na wako mbali na Dar ninakoishi niliamua kumuachia mchumbaangu ATM Card yangu ili awe ana'access' mshahara wangu kwa ajili ya kuwatumia wazee na wadogo zangu matumizi. Kwa kipindi kirefu sikuwa nimeona kama kuna walakini kwenye hesabu zangu coz mara moja moja nilikuwa naomba bank statement ili kujiridhisha kama mambo yanaenda vizuri ( ikumbukwe hizi ni pesa na zina vishawishi). Of course kuna wakt kumekuwa na vijimatumizi visivokuwa na kichwa wala miguu na kwa kuwa haikuwa figure kubwa sikuwa najali sana zaidi ya kumkumbusha tu awe makini.

      Kama miezi miwili iliyopita niliomba tena bank statement bahati mbaya nikakuta kuna hela kama laki tano imetolewa nje ya matumizi niliyomwidhinishia. Niliamua kumuuliza mchumbaangu kisa cha ku'draw' mkwanja huo. Cha ajabu alishtuka na kuniomba 'sorry' kuwa mamamkwe (yaan mamaake) aliziomba ili akatatulie matatizo ofisini kwao..yaan alikuwa na loss( she is an accountant). Na pia alimuambia asiniambie coz angezirudisha soon!..Nimekuwa nikimuuliza kama zimerudishwa na mpaka naandika huu uzi naona bado ni kimya...Sasa kwa kuwa huku nilipo sipigi deal wala nini na mkwanja wa huko Bongo ndo nautegemea (kumbuka kuna harusi hapa mbeleni) nimebaki nimeduwaa!..Natamani nimuulize mamamkwe but nakosa 'guts'..Je? Nimuamini tu mchumbaangu au nijikakamue tu nimuulize my mother in law???..sasa kumuuliza ndo naanzaje???
      SnowBall ushauri wangu unazingatia hizo kauli kwnye red. Nahisi alishtuka kwa sababu hakutegemea kuwa utajua kabla mamake hajazirudisha hizo pesa - si umesema mwenyewe kuwa alitegemea zirudishwe soon.

      Sasa kwa kuwa lengo si kuchukua bali ni kukopa, mi nakushauri endelea kuwa patient, tena usithubutu kumuuliza mama mkwe coz hatajisikia vizuri kabisa! Kaa kimya hata usimuulize mchumba wako kwa sasa. Ila ukirudi bongo kabla hazijarudishwa ndo tafuta muda muafaka wa kuuliza mchumba wako. Tena ingekuwa vizuri umuulize wakati mnaongelea masuala yenu ya harusi, na hapo ndo utachomekea kwamba zinatakiwa kwa ajili ya shughuli ya harusi. Ila ukiona kuna hakuna muelekeo wa kuzilipa, achana nazo kabisa mkuu - sometime hizo ndo gharama za mapenzi, ila tu take that as a lesson.

      Kiujumla ulifanya makosa kumwachia kadi ya ATM, it's too early kufanya hivyo sasa, angekuwa mkeo tayari ingekuwa haina tatizo! Ila ktk stage ya uchumba - it's too risky mzee! Isitoshe unaanza ku-raise unnecessary expectations bure!
      SnowBall likes this.
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    18. #16
      mangulumbwisi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 370
      Likes Received
      16
      Likes Given
      26

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Usidai hiyo hela, uache kama utarudishiwa na kama hajakurudishia kaa kimya. Kwanza yawezekana wanakupima ukoje? huyo ni mkweo huwezi kumdai utaonekana huna nidhamu, japo kuwa ni halali yako Pili siyo vema sana kumkabidhi mchumba ATM card yako.sina ,maana mbaya, ila kwa taadhari huyo ni mchumba na sio mke uchumba huwa unabadilika wakati wowote. Ukiona ushauri unafaa fuata, ukiona haufai uache, siku njema

      Quote By DON KILLUMINATI
      Mkuu usikubali kabisa kusamehe huo mkwanja, kwanza kama mama mwenyewe ni accountant it means naye mambo yake si mabaya kama walivyo watanzania wengi, angekuwa ni mkulima wa jembe la mkono kule Bumbuli au Tandahimba ningekuambia msamehe.

      Otherwise include huo mkwanja kwenye Mahali kama bado hujatoa mahali, but otherwise dai chako aisee, ndo kwanza hata kumuoa bado, ukiisamehe hiyo jiandae kukutana na changamoto kibao mbeleni.
      SnowBall likes this.

    19. #17
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By Kaunga
      Kama humuamini basi mpigie simu mama mkweo umuulize, halafu uone impression unayotengeneza. Unashauriwa vya maana lakini hutaki. Hata kama kipato ni kidogo bado hiyo laki 5 hainunui kiwanja, so ni pesa ndogo bado!
      Dadaangu sijakataa ushauri la sivyo nisinglileta hapa...najaribu na mimi kutoa ideas zangu ili mjadala uwe mpana..Kumbuka hatujaoana, na kama tutaanza kutiliana mashaka kuanzia hapa unadhani huko mbeleni itakuwaje??..Natambua laki tano sio kubwa lakini inapotumika pale ambapo hujapanga lazima uulize bana!
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    20. #18
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,443
      Rep Power : 13325
      Likes Received
      7669
      Likes Given
      6911

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By SnowBall
      Dadaangu sijakataa ushauri la sivyo nisinglileta hapa...najaribu na mimi kutoa ideas zangu ili mjadala uwe mpana..Kumbuka hatujaoana, na kama tutaanza kutiliana mashaka kuanzia hapa unadhani huko mbeleni itakuwaje??..Natambua laki tano sio kubwa lakini inapotumika pale ambapo hujapanga lazima uulize bana!
      Nani anamtilia mashaka mwenzie, si wewe! Umeambiwa be patient, mama wa watu akiweka mambo sawa atarudisha; na hasa kama umemgombeza mwanawe; ningekuwa mimi (mama mkwe) ningekopa kungine ili nikulipe isiwe taabu!
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    21. #19
      Swts's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Location : Atlanta Georgia
      Posts : 1,726
      Rep Power : 713
      Likes Received
      559
      Likes Given
      265

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      hmm uyu mangi wangu kabisaa..Yesuuu na Maria...et akupe atm kiruu...atarusha tu western union au mpesa babangu....lols anyway usimulize but mtell asitoe tena ela kwani una mambo umepangilia uje uyafanye kwa ajili yenu,so asitoe hela hata iweje,ukienda bongo ndo u'l knw wat to do,
      IF U HAVE TO DO IT EVERYDAY.....LEARN TO DO IT BETTER

    22. #20
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      [QUOTE=BADILI TABIA;3991073]kosa la kwanza kumuachia mchumba wako atm card?
      wazazi wako wanaishi mahali kusiko na benki?
      kwa nini usingempeleka mama yako kumsigninsha?

      kwa vile ulishachemka kutoka mwanzo vumilia.....
      usikute wala sio mama mkwe aliyepokea huo mshiko..... si ajabu kakwambia mama mkwe akijua hutoweza kumdai...
      hapo imekula kwako mkuu potezea tu,.....
      ila usishangae mwezi ujao ukakuta milioni imeyeyuka..

      maana kawaida kama alikuwa anataka kuchukua kiasi kikubwa cha fedha ili kusolve tatizo angekuarifu wewe mwenyewe.........
      [/QUOTE

      Hapo ndio umeua kweli yaani!
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...