Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Namuanzaje mamamkwe???

    Report Post
    Page 6 of 6 FirstFirst ... 456
    Results 101 to 112 of 112
    1. #1
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Namuanzaje mamamkwe???

      WanaMMU salaam mbele!
      Ni hivi..Niko na mchumbaangu na huu ni mwaka wa tatu na Mwenyezi Mungu akijaalia huenda mwaka huu tukajitia kitanzi (pingu za maisha). Lakini wajameni kuna kitu kimenishangaza kidogo ndo maana nikaja hapa walau mnisaidie kwa kulitizama kwa mapana jambo lenyewe!

      Kwa muda takribani miezi sita sasa nimekuwa nje ya Bongo, na kwa kuwa niko na wazazi wananitegemea na wako mbali na Dar ninakoishi niliamua kumuachia mchumbaangu ATM Card yangu ili awe ana'access' mshahara wangu kwa ajili ya kuwatumia wazee na wadogo zangu matumizi. Kwa kipindi kirefu sikuwa nimeona kama kuna walakini kwenye hesabu zangu coz mara moja moja nilikuwa naomba bank statement ili kujiridhisha kama mambo yanaenda vizuri ( ikumbukwe hizi ni pesa na zina vishawishi). Of course kuna wakt kumekuwa na vijimatumizi visivokuwa na kichwa wala miguu na kwa kuwa haikuwa figure kubwa sikuwa najali sana zaidi ya kumkumbusha tu awe makini.

      Kama miezi miwili iliyopita niliomba tena bank statement bahati mbaya nikakuta kuna hela kama laki tano imetolewa nje ya matumizi niliyomwidhinishia. Niliamua kumuuliza mchumbaangu kisa cha ku'draw' mkwanja huo. Cha ajabu alishtuka na kuniomba 'sorry' kuwa mamamkwe (yaan mamaake) aliziomba ili akatatulie matatizo ofisini kwao..yaan alikuwa na loss( she is an accountant). Na pia alimuambia asiniambie coz angezirudisha soon!..Nimekuwa nikimuuliza kama zimerudishwa na mpaka naandika huu uzi naona bado ni kimya...Sasa kwa kuwa huku nilipo sipigi deal wala nini na mkwanja wa huko Bongo ndo nautegemea (kumbuka kuna harusi hapa mbeleni) nimebaki nimeduwaa!..Natamani nimuulize mamamkwe but nakosa 'guts'..Je? Nimuamini tu mchumbaangu au nijikakamue tu nimuulize my mother in law???..sasa kumuuliza ndo naanzaje???
      Stommy likes this.
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    2. RukaaJuu Final

    3. #101
      blea's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Location : URU ONGOMA MAMBA
      Posts : 239
      Rep Power : 427
      Likes Received
      48
      Likes Given
      145

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Jaribu kuyashinda haya kwa kuwa mpole hasa ktk kipindi hiki ambacho wewe haupo karibu nae ukisharudi fanya uchunguzi wako kimya kimya naamini kuna utakalogundua. Ukilianzisha kwa sasa na ww uko mbali ni rahisi kupata hasara zaidi pia kuukosa ukweli wa huyo MCHUMBA WAKO.Kuwa na aman na tekeleza yaliyokupeleka huko then haya ya laki tano utayatatua ukiwa tayari NYUMBAN

    4. #102
      papag's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Posts : 228
      Rep Power : 544
      Likes Received
      31
      Likes Given
      93

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      mchumbaangu........ndio nini hii?
      SnowBall likes this.
      I don’t know what the key to success is, but the key to failure is trying to please everyone.
      - Bill Cosby

    5. #103
      Chapa Nalo Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2010
      Posts : 1,014
      Rep Power : 631
      Likes Received
      97
      Likes Given
      59

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Suala hapa ni uaminifu na sio ukubwa wa hela husika.

      Ukicheka na nyani sasa huko mbeleni utavuna mabua, maana atasema aah jamaa hana tatizo hata nikikomba hela zake bila taarifa.
      TONGONI likes this.
      Wapambanaji

    6. #104
      Tutor B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Location : Bukoba Municipal
      Posts : 1,993
      Rep Power : 1192
      Likes Received
      608
      Likes Given
      49

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Usidai ila punguza mazoea na Mama mkwe asije akakufanya shamba la bibi ukishamuoa binti yake!
      "Ukipendwa - penda, ipo siku utapenda - usipendwe"

    7. #105
      TONGONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2011
      Posts : 764
      Rep Power : 574
      Likes Received
      222
      Likes Given
      86

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Suala hapa ni uaminifu na sio ukubwa wa hela husika.

      Ukicheka na nyani sasa huko mbeleni utavuna mabua, maana atasema aah jamaa hana tatizo hata nikikomba hela zake bila taarifa.

      Mkuu hapa na copy & paste,mawazo yako kama yangu.Issue sio laki tano.

      Issue ni kile kitakacho jengeka hapa ukiinamisha kichwa chini,itakuja kukusumbua baadae,yaani mama mkwe asipate matatizo siku zote mpaka ulipo muachia mchumba ATM card?...Usiogope kumvimbia eti kwa vile unapenda,hata kama hatoweza kuzirudisha(kwa asilimia kubwa pesa katumia mchumba kwa kivulili cha Mama mkwe) basi weka clear kuwa hukupenda na asirudie tena.

      MwanajamiiOne likes this.

    8. Miaka 50

    9. #106
      Bondpost's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Posts : 1,090
      Rep Power : 602
      Likes Received
      246
      Likes Given
      540

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Dai pesa yako mpaka wakome! Laki tano sio pesa ya kupeana ni ya kukopeshana aisee! Laki tano watu wanaweka mortgage kabisa! Uliya wajasiriamali watakuambia! Mtu anaweka bond TV, radio, simu na heleni za gold!

    10. #107
      kijana15's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Location : Chini ya muembe
      Posts : 147
      Rep Power : 438
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      chakufanya hapo fanya mpango uchukue ATM YAKO NDIO MPANGO MZIMA. Mambo yakuuliza uliza mamamkwe yanaweza kukufanya ukose mke. Lol

    11. Sal
      #108
      Sal's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2008
      Location : Under the sky
      Posts : 366
      Rep Power : 657
      Likes Received
      129
      Likes Given
      458

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      wazazi wa mchumba wanamhusu nini wakati hata ndoa yenyewe bado. kila mtu abebe mzigo wako, ukipenda kuwasaidia sawa lakini si jukumu la huyu kaka.

      Quote By Blaki Womani
      pole mkuu namna ya kwenda kumwuliza mama mkwe mmmhhh pana ugumu.
      Swali je wakati unamwambia atoe pesa kwa ajili ya wazazi/ndugu zako kuna kiasi chochote ulikuwa unampatia kwa ajili ya wazazi wake pia?
      Where there is great love, there are always miracles

    12. Sal
      #109
      Sal's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2008
      Location : Under the sky
      Posts : 366
      Rep Power : 657
      Likes Received
      129
      Likes Given
      458

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      mimi naona tatizo umelianzisha wewe mwenyewe. iweje ATM card yakao umwachie mke mtarajiwa. watu wana ndoa na kila mtu ana ATM yake, wewe mwenzetu kulikoni? una uhakika hii itaendelea? maana usianzishe kitu halafu kiishie njiani. baadae ukafungua account nyingine ambayo hata mkeo haijui na hii ambayo yeye ana ATM usiweke pesa tena. huoni kama utakua umesababisha matatizo makubwa zaidi? kwa vile umelikoroga tangu mwanzo, linywe. kama ulivyosema mwenyewe pesa zina vishawishi, ndio hivi sasa. mama kapata short, mchumba mkwanja unatosha, kwanini nisimpe. unalalamika nini? si ndio matumizi ya pesa? ulitaka atumie ndio maana ukamwachia ATM card yako,matumizi yenyewe ndio kama haya.
      Where there is great love, there are always miracles

    13. #110
      MduduWashawasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Location : Dar es salaam
      Posts : 461
      Rep Power : 665
      Likes Received
      49
      Likes Given
      6

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Jielimishe kuhusiana na SIM Banking na faida.Ungekuwa unajua mapema ungejiunga na CRDB na matatizo hayo uliyonayo yasungekuwepo kabisa.POLE SANA

    14. #111
      Excellent's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 5,552
      Rep Power : 2283
      Likes Received
      2347
      Likes Given
      4030

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      una uhakika gani kwamba mama mke alizichukua kweli?

    15. #112
      Excellent's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 5,552
      Rep Power : 2283
      Likes Received
      2347
      Likes Given
      4030

      Default

      Quote By TONGONI
      Suala hapa ni uaminifu na sio ukubwa wa hela husika.

      Ukicheka na nyani sasa huko mbeleni utavuna mabua, maana atasema aah jamaa hana tatizo hata nikikomba hela zake bila taarifa.

      Mkuu hapa na copy & paste,mawazo yako kama yangu.Issue sio laki tano.

      Issue ni kile kitakacho jengeka hapa ukiinamisha kichwa chini,itakuja kukusumbua baadae,yaani mama mkwe asipate matatizo siku zote mpaka ulipo muachia mchumba ATM card?...Usiogope kumvimbia eti kwa vile unapenda,hata kama hatoweza kuzirudisha(kwa asilimia kubwa pesa katumia mchumba kwa kivulili cha Mama mkwe) basi weka clear kuwa hukupenda na asirudie tena.

      Mkuu anatakiwa kuchukua kadi yake kwa kigezo kwamba kwanini hakuambiwa wakati wanachukua?kwanini mpaka agundue mwenyewe.....hawa dada zetu bhana wanakosaga waume hivi hivi kwa uzembe,unakuta kanunulia hata laptop

    Page 6 of 6 FirstFirst ... 456

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...