Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Namuanzaje mamamkwe???

    Report Post
    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 112
    1. #1
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24029
      Likes Received
      2400
      Likes Given
      3298

      Default Namuanzaje mamamkwe???

      WanaMMU salaam mbele!
      Ni hivi..Niko na mchumbaangu na huu ni mwaka wa tatu na Mwenyezi Mungu akijaalia huenda mwaka huu tukajitia kitanzi (pingu za maisha). Lakini wajameni kuna kitu kimenishangaza kidogo ndo maana nikaja hapa walau mnisaidie kwa kulitizama kwa mapana jambo lenyewe!

      Kwa muda takribani miezi sita sasa nimekuwa nje ya Bongo, na kwa kuwa niko na wazazi wananitegemea na wako mbali na Dar ninakoishi niliamua kumuachia mchumbaangu ATM Card yangu ili awe ana'access' mshahara wangu kwa ajili ya kuwatumia wazee na wadogo zangu matumizi. Kwa kipindi kirefu sikuwa nimeona kama kuna walakini kwenye hesabu zangu coz mara moja moja nilikuwa naomba bank statement ili kujiridhisha kama mambo yanaenda vizuri ( ikumbukwe hizi ni pesa na zina vishawishi). Of course kuna wakt kumekuwa na vijimatumizi visivokuwa na kichwa wala miguu na kwa kuwa haikuwa figure kubwa sikuwa najali sana zaidi ya kumkumbusha tu awe makini.

      Kama miezi miwili iliyopita niliomba tena bank statement bahati mbaya nikakuta kuna hela kama laki tano imetolewa nje ya matumizi niliyomwidhinishia. Niliamua kumuuliza mchumbaangu kisa cha ku'draw' mkwanja huo. Cha ajabu alishtuka na kuniomba 'sorry' kuwa mamamkwe (yaan mamaake) aliziomba ili akatatulie matatizo ofisini kwao..yaan alikuwa na loss( she is an accountant). Na pia alimuambia asiniambie coz angezirudisha soon!..Nimekuwa nikimuuliza kama zimerudishwa na mpaka naandika huu uzi naona bado ni kimya...Sasa kwa kuwa huku nilipo sipigi deal wala nini na mkwanja wa huko Bongo ndo nautegemea (kumbuka kuna harusi hapa mbeleni) nimebaki nimeduwaa!..Natamani nimuulize mamamkwe but nakosa 'guts'..Je? Nimuamini tu mchumbaangu au nijikakamue tu nimuulize my mother in law???..sasa kumuuliza ndo naanzaje???
      Stommy likes this.
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear


    2. #41
      Nivea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,985
      Rep Power : 16312
      Likes Received
      3401
      Likes Given
      4342

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      MKUU HUU NDIO USHAURI AT LEAST WAKITAALAM ZAID UTAKUSAIDIA SANA ,HAWA WADADA AMBAO HAUJAMUOA OGOPA KAMA UKOMA ANAWEZA KUKUGEUKA USIDHANI NI YEYE SIOMBEI HIVYO ILA UAMINIFU NA MAISHA NILIYOYPITIA IMEKUWA NI VIGUMU KAMA SIO MUME WANGU WA NDOA NO ATM CARD SABABU NAJU AHATA AKIZIFUJA HELA ITAKULA KWETU LAZIMA .FANYA HIVI SASA ( KAMA UNA ACOUNT CRDB NI VIZURI UJIUNGE NA HUDUMA YA INTERNET BANKING AMBAYO INAKURUHUSU KUAMISHA FEDHA POPOTE ULIPO HATA KWENDA KWENYE M-PESA,T-PESA.THEN UNAUHAKIKA GANI NDUGUZO WANAHUDUMIWA SAWASAWA?CHUKUA HATUA UKITAKA KUSAFIRI UNAWEKA KIASI CRDB-BENK UNAKUWA UNAWAAMISHIA HELA .NAONA HATA MOYO UTATULIA.PIA ATM NI MAMBO CONFIDENCIAL SANA USIZOEE SANA KUSHEA NA WACHUMBA WATAZITAFUNA NA VIDUMU .kha utajuta weye!
      SnowBall likes this.
      Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.

    3. #42
      Ennie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Location : DAR ES SALAAAM
      Posts : 1,598
      Rep Power : 822
      Likes Received
      500
      Likes Given
      539

      Default

      Quote By DON
      KILLUMINATI;3990987
      Mkuu usikubali kabisa
      kusamehe huo mkwanja, kwanza kama mama mwenyewe ni accountant it means
      naye mambo yake si mabaya kama walivyo watanzania wengi, angekuwa ni
      mkulima wa jembe la mkono kule Bumbuli au Tandahimba ningekuambia
      msamehe.

      Otherwise include huo mkwanja kwenye Mahali kama bado hujatoa mahali,
      but otherwise dai chako aisee, ndo kwanza hata kumuoa bado, ukiisamehe
      hiyo jiandae kukutana na changamoto kibao mbeleni.
      What if bint amedanganya pesa hajampa mama yake na amemtaja tu akijua ndio atamaliza kesi.

    4. #43
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,718
      Rep Power : 23489
      Likes Received
      8523
      Likes Given
      5860

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By SnowBall View Post
      Ni Laki tano wala hujakosea kuona...na nje nilipo sio Somalia...unaweza kutizama hapo juu upande wa kulia!..Ukitazama hii thread kwa jicho moja utakuja na comment kama hii!!
      ujue mkuu tena huyo mchumba wako ni mzuri sana hilo zali la kumiliki ATM lingenifikia my dear sijui ingekuwaje... yaani hapo naona hajagusa kitu kabisa.... pia uache ubahili bwana ...sio fair wanaume mmeumbwa matesoo .... so relax
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    5. #44
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24029
      Likes Received
      2400
      Likes Given
      3298

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By nilkarish View Post
      pole. bora hio pesa uipotezee tu cuz ni kosa la kwanza
      siku nyengine ATM muachie dada au mama yako, hata wakichukua M1 haitokuma
      Nimekusoma japo hapo kwenye red sijui ulitaka kusemaje??..
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    6. #45
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,725
      Rep Power : 13386
      Likes Received
      8056
      Likes Given
      7426

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By Mbu View Post
      ....ahhh, .....jikubalishe hasara bana, BTW hayo ni makaratasi tu...mtakatana wenyewe mbele ya safari...

      Binti wa watu umemuamini na ATM card yako na acct...ya nini una panic sasa na kutaka kuharibu mambo? Learn from it....

      Mkweo to be huyo, it's too early for you to show your true colours
      Mwambie labda weye mwanamume mwenzake atakuelewa. Yaani mimi nishapata picha kuwa ni mtu wa namna gani. Snowball mahusiano ni pamoja na kuforego vitu kama hivi, after all hizo pesa zilitatua tatizo ambalo lingeweza pelekea mama mkwe wako akawa behind the bars. Sacrifice kwenye mahusiano ni kitu muhimu sana!
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua


    7. #46
      Kifulambute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Posts : 1,738
      Rep Power : 758
      Likes Received
      453
      Likes Given
      176

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      wala hakuna kuhangaika kama unakusudio la kumwoa huyo binti cha kufanya usiiombe hiyo pesa bali m-debit huyo mama mkwe na uta-recover kwenye mahali.
      SnowBall likes this.
      Ukikuta kuna njia inapitika jua kuna aliyeianzisha

    8. #47
      Nivea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,985
      Rep Power : 16312
      Likes Received
      3401
      Likes Given
      4342

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By smile View Post
      shemeji@mbu hiyo laki tano ni tsh au usd ... Maana sijaelewa
      kama ni tsh huyu jamaaa kwenye ndoa huyu mkewe atakoma maana vitunguu tu atadai receipt.... Kweli wanaume wazuri wa kuoa hawapo
      smile maisha yamekuwa magumu sana namtetea mtoa mada ameshakuambia an extended family,muelewe tu jamani sisi ni watanzania usimkosoe
      Smile and SnowBall like this.
      Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.

    9. #48
      Nivea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,985
      Rep Power : 16312
      Likes Received
      3401
      Likes Given
      4342

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By kaunga View Post
      mwambie labda weye mwanamume mwenzake atakuelewa. Yaani mimi nishapata picha kuwa ni mtu wa namna gani. Snowball mahusiano ni pamoja na kuforego vitu kama hivi, after all hizo pesa zilitatua tatizo ambalo lingeweza pelekea mama mkwe wako akawa behind the bars. Sacrifice kwenye mahusiano ni kitu muhimu sana!
      unatumia principle ya pesa makaratasi tumia yakuzoee sio .mtoa mada hajafikia hiyo advanced .
      Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.

    10. #49
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24029
      Likes Received
      2400
      Likes Given
      3298

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By Smile View Post
      ujue mkuu tena huyo mchumba wako ni mzuri sana hilo zali la kumiliki ATM lingenifikia my dear sijui ingekuwaje... yaani hapo naona hajagusa kitu kabisa.... pia uache ubahili bwana ...sio fair wanaume mmeumbwa matesoo .... so relax
      Kiukweli suala la kwamba nambana kuhusu matumizi halipo!..na mimi i made this as an experiment to test her trustfulness!..unajua kuna usemi kuwa ukitaka kumjua mtu tabia yake mpe pesa..so, that is what i did!.. conclusively, sijasema ametafuna pesa, but i wanted to be sure of whether what she is saying is true!..otherwise, bila ubahili saving haiwekeki!
      Mentor and Smile like this.
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    11. #50
      Bandabichi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2012
      Posts : 230
      Rep Power : 401
      Likes Received
      41
      Likes Given
      25

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Acha hizo ndg, ss laki tano unaleta JF na je ukiambiwa mama anaumwa matibabu India si ndo utamkimbia my wife wako mtarajiwa

    12. #51
      Kifulambute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Posts : 1,738
      Rep Power : 758
      Likes Received
      453
      Likes Given
      176

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      pesa ni noma kama 500,000 unaona ni kidogo jaribu kukwapua yangu 10,000 uone cha mtemakuni.
      SnowBall likes this.
      Ukikuta kuna njia inapitika jua kuna aliyeianzisha

    13. #52
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,718
      Rep Power : 23489
      Likes Received
      8523
      Likes Given
      5860

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By SnowBall View Post
      Kiukweli suala la kwamba nambana kuhusu matumizi halipo!..na mimi i made this as an experiment to test her trustfulness!..unajua kuna usemi kuwa ukitaka kumjua mtu tabia yake mpe pesa..so, that is what i did!.. conclusively, sijasema ametafuna pesa, but i wanted to be sure of whether what she is saying is true!..otherwise, bila ubahili saving haiwekeki!
      aya bwana ila mimi namuomba mungu mwanaume bahili anipitishie mbali maana sijui kama nitaweza ....
      SnowBall likes this.
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    14. #53
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24029
      Likes Received
      2400
      Likes Given
      3298

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By Kaunga View Post
      Mwambie labda weye mwanamume mwenzake atakuelewa. Yaani mimi nishapata picha kuwa ni mtu wa namna gani. Snowball mahusiano ni pamoja na kuforego vitu kama hivi, after all hizo pesa zilitatua tatizo ambalo lingeweza pelekea mama mkwe wako akawa behind the bars. Sacrifice kwenye mahusiano ni kitu muhimu sana!
      Nasikitika kuwa umejudge a book by its cover!!!..try me and you will see madame Kaunga.
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    15. #54
      bornagain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Location : Nyakanazi - Biharamulo
      Posts : 1,767
      Rep Power : 726
      Likes Received
      480
      Likes Given
      353

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Kaka kaka kaka nakushauri tena sana wewe piga kimya wala usiulizie tena hiyo ela, lakini cha kufanya tumia mbinu zozote uchukue ATM yako, yaani it was too early kumpatia ATM yako hata kama ungekua haupo TZ upo ulaya bado hiyo siyo sababu ya kumwachia mchumba wako ATM tena mtu mwenyewe hata mahari hujamtolea. Please usicheze na wasichana watakuliza utabaki unashangaa, hata kama huto mchumba wako atakuja kuwa mke mwema lakini ni kosa kabisa kumwachia ATM unless kama na yeye ana kazi yake ya maana but kama ana kazi ya kubangaiza au hana kazi ni mbaya sana
      There is a saying in aviation "You haven't crashed until you've crashed. Until then, keep flying the plane".

    16. #55
      BONGOLALA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 5,403
      Rep Power : 1581
      Likes Received
      1187
      Likes Given
      194

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      kaka hujaoa unakabidhi ATM?kupenda gani huko?huna ndugu yako wa kumkabidhi?angalia utakuja jenga ukweni

    17. #56
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,718
      Rep Power : 23489
      Likes Received
      8523
      Likes Given
      5860

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By nivea View Post
      smile maisha yamekuwa magumu sana namtetea mtoa mada ameshakuambia an extended family,muelewe tu jamani sisi ni watanzania usimkosoe
      nimemuelewa my dear... ila ningekuwa nimemiliki iyo card mimi ...mmmh story ingekuwa nyingine hapa...hata iyo hela ya kutunza a/c sijui kama ingekuwepo
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    18. #57
      Nivea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,985
      Rep Power : 16312
      Likes Received
      3401
      Likes Given
      4342

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By Smile View Post
      nimemuelewa my dear... ila ningekuwa nimemiliki iyo card mimi ...mmmh story ingekuwa nyingine hapa...hata iyo hela ya kutunza a/c sijui kama ingekuwepo
      hahahah umeniua mbavu zangu smile yani hata hiyo 5000 ungechukua du
      Smile likes this.
      Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.

    19. #58
      Bandabichi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2012
      Posts : 230
      Rep Power : 401
      Likes Received
      41
      Likes Given
      25

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Acha hizo ndg, ss laki tano unaleta JF na je ukiambiwa mama anaumwa matibabu India si ndo utamkimbia my wife wako mtarajiwa

    20. #59
      Mentor's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 14th October 2008
      Location : On my way to Heaven!
      Posts : 6,103
      Rep Power : 5299
      Likes Received
      3569
      Likes Given
      9794

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Hahahah..kweli kuna matawi tofauti kwenye mti huo huo...chukua ushauri unaoendana na umbali wa tawi lako.
      Though nachelea kuwaza wengine matawi ya juu ila yanaburuza chini tu..wanajikosha tu apa!!!!
      "Be an example.." 1 Timothy 4:12
      Irere lya Isembo ni ndeu - Benki ya mjinga ni tumbo lake.
      Mndu Kangikunda naware rero Lyako..John 14:23
      NACHO CHA RUWA
      !

    21. #60
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,718
      Rep Power : 23489
      Likes Received
      8523
      Likes Given
      5860

      Default Re: Namuanzaje mamamkwe???

      Quote By nivea View Post
      hahahah umeniua mbavu zangu smile yani hata hiyo 5000 ungechukua du
      wala sizingetosha my dear...wewe ungeacha?
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...