Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

    Report Post
    Page 1 of 10 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 186
    1. #1
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15469
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2792

      Default SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Kama nilivosema nimeacha sex spesheli kabisa kwa kujiandaa kwa ndoa na mume ambae hadi
      dakika hii sijampata. Hadi najihisi bk kabisaa. Of coz kuna promising kandidets, hivo bado nafanyia kazi.
      Kuwatonya labda niseme shemeji yenu huyo naona atatoka hapa hapa jf. Raha iliojee?
      niko kwenye mchakato wa kuweka mambo sawa, mambo yakijibu habari kwa mtindo wa news alert fasta!

      Nikiwa najiandaa na ndoa ni mengi najifunza. Siku hizi wanandoa tunaiva kweli, wamekuwa
      marafiki zangu wakubwa! nipo kama katika research flani hivi ya kuhakikisha najua najiingiza
      kwenye nini na nini nitegemee. Kipengele cha kwanza kukifanyia utafiti ni sex in marriage.

      Risechi yangu haijakaa vyema. Wote ninao wauliza wanasema wana a wandafu sex life hata
      wale ambao nawafahamu wanacheat wake kwa waume! Nabaki na bumbuwazi Erotica mimi.
      Kama SEX ipo wandafu kama madai yao kwa nini acheat, kwa mwanaume utasema
      nature inamzingua (sentensi ambayo sinunui kwa bei yoyote, uzushi mtupu), mwanamke je nae
      ni nature yamzingua? Hata mimi ambae nilikuwa nabadilsha kama nguo nilikuwa nikipata anayeweza dhibiti,
      nakuwa kwa ajili yake tu na hapo wala hata hatuna promises zozote!

      Then ktk risechi yangu dada zangu wengine wananiambia lazima uwe mpole, mnyenyekevu na mfuata
      upepo dizaini unapo kuwa faragha na mume. Upole kwenye kiwanja? Naona kama mzaha vile!
      Kwani kuna ubaya gani nikileta kile kichaa changu ninachokuwa nacho ninapokuwa na ny.ge na wakati pale nang.noka? Na kujiachia kimatendo na kistarehe kwa kujua nipo kula chakula cha roho na cha K? mie sielewi ati.
      Wanandoa eti sex katika marriage iko vipi? Inatakiwa iwe vipi?



      Mwaaaaaah! Hata kama I feel lost!
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!



    2. #2
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,965
      Rep Power : 15153
      Likes Received
      7382
      Likes Given
      7056

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      sex kwenye marriage iko poa kabisa.....wala usisikilize watu....kila mtu ana ndoa yake.....
      ila Ticah....umeniacha hoi hoi.....wandafu ndio nini......?
      Erotica likes this.
      Life is too short to waste time hating anyone.........

    3. #3
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,710
      Rep Power : 47349
      Likes Received
      8342
      Likes Given
      7748

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Namuonea wivu atakayekuoa,maana.......
      Ndahani, Kaunga, Kongosho and 2 others like this.

    4. #4
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15469
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2792

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Preta View Post
      sex kwenye marriage iko poa kabisa.....wala usisikilize watu....kila mtu ana ndoa yake.....
      ila Ticah....umeniacha hoi hoi.....wandafu ndio nini......?

      bora mamito, nimeanza kupata hop sasa. mana wewe huzinguagi.

      si tuna miadi ya kukutana na kujirusha club? basi hapo nitakupa maana mamie.

      sasa kwa mshangao mkubwa kwa nini watu wanaigiza saana?
      Preta likes this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    5. #5
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6322
      Likes Given
      2418

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      ubunifu na utundu muhimu linapokuja kwenye ndoa, usisikilize maneno ya watu.........
      Erotica likes this.
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)


    6. #6
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15469
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2792

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Bishanga View Post
      Namuonea wivu atakayekuoa,maana.......


      acha kunigwaya papito. i don't bite! malizia maana........?
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    7. #7
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15469
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2792

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By BADILI TABIA View Post
      ubunifu na utundu muhimu linapokuja kwenye ndoa, usisikilize maneno ya watu.........

      Kwa hiyo hakuna tofauti na wakati wa uhawara? tofauti ni kuwa sasa mna haki mbele ya Mungu?
      Kaunga likes this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    8. #8
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Najua soon utakuja na thread nyingine ukisema watu wameshachukua tunda na kusepa..watch...bora unipe mapemma
      Erotica likes this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    9. #9
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,710
      Rep Power : 47349
      Likes Received
      8342
      Likes Given
      7748

      Default

      Quote By Erotica View Post
      acha kunigwaya papito. i don't bite! malizia maana........?
      Nshakwambia mwenzio naogopa utanitegua ka niniliyu kangu.
      super thinker and Kongosho like this.

    10. #10
      Rose1980's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Posts : 5,693
      Rep Power : 2030
      Likes Received
      1193
      Likes Given
      1426

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      naskia uko wanapeana kwa mwezi mara moja na mpk mume atake teh teh.....
      mwaJ, FirstLady1, bombu and 1 others like this.
      "NAJUA kwamba mimi ni mwerevu na mwenye akili,kwa sababu nafahamu kwamba HAKUNA NINACHOFAHAMU" socrates

    11. #11
      Malipo kwamungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 291
      Rep Power : 425
      Likes Received
      44
      Likes Given
      72

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Erotica View Post
      Kama nilivosema nimeacha sex spesheli kabisa kwa kujiandaa kwa ndoa na mume ambae hadi
      dakika hii sijampata. Hadi najihisi bk kabisaa. Of coz kuna promising kandidets, hivo bado nafanyia kazi.
      Kuwatonya labda niseme shemeji yenu huyo naona atatoka hapa hapa jf. Raha iliojee?
      niko kwenye mchakato wa kuweka mambo sawa, mambo yakijibu habari kwa mtindo wa news alert fasta!

      Nikiwa najiandaa na ndoa ni mengi najifunza. Siku hizi wanandoa tunaiva kweli, wamekuwa
      marafiki zangu wakubwa! nipo kama katika research flani hivi ya kuhakikisha najua najiingiza
      kwenye nini na nini nitegemee. Kipengele cha kwanza kukifanyia utafiti ni sex in marriage.

      Risechi yangu haijakaa vyema. Wote ninao wauliza wanasema wana a wandafu sex life hata
      wale ambao nawafahamu wanacheat wake kwa waume! Nabaki na bumbuwazi Erotica mimi.
      Kama SEX ipo wandafu kama madai yao kwa nini acheat, kwa mwanaume utasema
      nature inamzingua (sentensi ambayo sinunui kwa bei yoyote, uzushi mtupu), mwanamke je nae
      ni nature yamzingua? Hata mimi ambae nilikuwa nabadilsha kama nguo nilikuwa nikipata anayeweza dhibiti,
      nakuwa kwa ajili yake tu na hapo wala hata hatuna promises zozote!

      Then ktk risechi yangu dada zangu wengine wananiambia lazima uwe mpole, mnyenyekevu na mfuata
      upepo dizaini unapo kuwa faragha na mume. Upole kwenye kiwanja? Naona kama mzaha vile!
      Kwani kuna ubaya gani nikileta kile kichaa changu ninachokuwa nacho ninapokuwa na ny.ge na wakati pale nang.noka? Na kujiachia kimatendo na kistarehe kwa kujua nipo kula chakula cha roho na cha K? mie sielewi ati.
      Wanandoa eti sex katika marriage iko vipi? Inatakiwa iwe vipi?



      Mwaaaaaah! Hata kama I feel lost!
      Nimeipenda AVATAR yako !
      Erotica likes this.

    12. #12
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15469
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2792

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Saint Ivuga View Post
      Najua soon utakuja na thread nyingine ukisema watu wameshachukua tunda na kusepa..watch...bora unipe mapemma
      Saint Ivuga hakuna mtu anaruhusiwa kuchukua tunda langu. Nikiridhia unakula but unaliacha

      hapo hapo. hata akisepa sio shida kwangu mana sidhani kama nitataka wa kutia kambi kama kaja tu kula.

      afta al mie mlaji mzuri pia, ingawa kwa mtindo wa kumung'unya taratibu hadi point ya myeyusho.

      nisha fikisha 29, ningekupa but ndio hivo tena wa 30 ni mume wa kuishi na kuzaa nae.
      Saint Ivuga likes this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    13. #13
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15469
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2792

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Bishanga View Post
      Nshakwambia mwenzio naogopa utanitegua ka niniliyu kangu.
      Bishanga usiw na wasi wasi, mie nipo makini wewe!! teh teh teh.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    14. #14
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15469
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2792

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Rose1980 View Post
      naskia uko wanapeana kwa mwezi mara moja na mpk mume atake teh teh.....


      teh teh teh. unanitia majaribuni. nia ni kutolala nae hadi tufunge ndoa.

      hapo unaniambia mwezi mmoja kabla tujifungie kwa ajili ya majaribio? teh teh teh.

      kwa mimi ninae taka kila saa si msala?
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    15. #15
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15469
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2792

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Malipo kwamungu View Post
      Nimeipenda AVATAR yako !


      Mie nimependa jina lako. lipo so mwaaaaaah!
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    16. #16
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,661
      Rep Power : 4023
      Likes Received
      2944
      Likes Given
      5072

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Bishanga View Post
      Namuonea wivu atakayekuoa,maana.......
      Bishanga, mumewe anaweza kukimbia kwa kukosa usingizi...kila saa anadaiwa kufanya kazi. Akifika ofisini yuko hoi....grwaride lazima limshinde kwa binti huyu Erotica
      Erotica likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    17. #17
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15469
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2792

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Ndahani View Post
      Bishanga, mumewe anaweza kukimbia kwa kukosa usingizi...kila saa anadaiwa kufanya kazi. Akifika ofisini yuko hoi....grwaride lazima limshinde kwa binti huyu Erotica

      Ndahani kirusha roho sio kweli, acha kunikosesha mchumba hali wewe usha nikataa!

      usiku kucha si mwishowe atachubuka mana hata ute utakauka sasa. tutafanya responsively teh teh
      Ndahani and Kaunga like this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    18. #18
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,173
      Rep Power : 25450
      Likes Received
      14879
      Likes Given
      15834

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Hivi, bila sex hakuna marriage???
      What if spouse kapata maradhi, ruksa kucheat?
      Erotica likes this.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    19. #19
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,173
      Rep Power : 25450
      Likes Received
      14879
      Likes Given
      15834

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Mie namwonea wivu anayekuchoma sindano, maana ngozi lainiiii. mlenda mlenda hivi.

      Quote By Bishanga View Post
      Namuonea wivu atakayekuoa,maana.......
      Kaunga likes this.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    20. #20
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15469
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2792

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Kongosho View Post
      Hivi, bila sex hakuna marriage???
      What if spouse kapata maradhi, ruksa kucheat?

      si kuna mstari unaitwa for beta for worse? nadhani kabla hujajitumbukiza lazima uhakikishe it is beta.

      worse ikukute mbele kwa mbele. alafu wanasema love is selfless. kama una maradhi na unampenda

      spouse wako ina mana unamruhusu akapate kile ambacho wewe huwezi kumpatia. unaonaje hili Kongosho?

      ndio mana i want to mari for love. nipo kujifunza kupenda mtu mwengine kuliko ninavojipenda.
      Kongosho likes this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    Page 1 of 10 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...