Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

    Report Post
    Page 5 of 10 FirstFirst ... 34567 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 186
    1. #1
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Kama nilivosema nimeacha sex spesheli kabisa kwa kujiandaa kwa ndoa na mume ambae hadi
      dakika hii sijampata. Hadi najihisi bk kabisaa. Of coz kuna promising kandidets, hivo bado nafanyia kazi.
      Kuwatonya labda niseme shemeji yenu huyo naona atatoka hapa hapa jf. Raha iliojee?
      niko kwenye mchakato wa kuweka mambo sawa, mambo yakijibu habari kwa mtindo wa news alert fasta!

      Nikiwa najiandaa na ndoa ni mengi najifunza. Siku hizi wanandoa tunaiva kweli, wamekuwa
      marafiki zangu wakubwa! nipo kama katika research flani hivi ya kuhakikisha najua najiingiza
      kwenye nini na nini nitegemee. Kipengele cha kwanza kukifanyia utafiti ni sex in marriage.

      Risechi yangu haijakaa vyema. Wote ninao wauliza wanasema wana a wandafu sex life hata
      wale ambao nawafahamu wanacheat wake kwa waume! Nabaki na bumbuwazi Erotica mimi.
      Kama SEX ipo wandafu kama madai yao kwa nini acheat, kwa mwanaume utasema
      nature inamzingua (sentensi ambayo sinunui kwa bei yoyote, uzushi mtupu), mwanamke je nae
      ni nature yamzingua? Hata mimi ambae nilikuwa nabadilsha kama nguo nilikuwa nikipata anayeweza dhibiti,
      nakuwa kwa ajili yake tu na hapo wala hata hatuna promises zozote!

      Then ktk risechi yangu dada zangu wengine wananiambia lazima uwe mpole, mnyenyekevu na mfuata
      upepo dizaini unapo kuwa faragha na mume. Upole kwenye kiwanja? Naona kama mzaha vile!
      Kwani kuna ubaya gani nikileta kile kichaa changu ninachokuwa nacho ninapokuwa na ny.ge na wakati pale nang.noka? Na kujiachia kimatendo na kistarehe kwa kujua nipo kula chakula cha roho na cha K? mie sielewi ati.
      Wanandoa eti sex katika marriage iko vipi? Inatakiwa iwe vipi?



      Mwaaaaaah! Hata kama I feel lost!
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    2. RukaaJuu Final

    3. #81
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,976
      Rep Power : 3704
      Likes Received
      3581
      Likes Given
      5771

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Ndahani
      Mbona nimekuwa mkweli sana kwake FirstLady1...nimemwambia Erotica anipe hint ya namna gani mtu huwa anapendwa tena online, na hajafanya hivyo.
      Sijui aliziona six packs zangu kule mjimwema beach na akasikia jina langu? Hata sielewi inakuwaje...ila nashukuru umemuimbia huo wimbo....lakini hata hivyo naogopa kuwa no 30...ni list ndefu sana hiyo ukiwa kwenye mid 20's.

      I see Ndahani ......
      Ndahani likes this.
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    4. #82
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,366
      Rep Power : 26650
      Likes Received
      2661
      Likes Given
      1562

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Vin Diesel
      Bora akajifiche huko huko....muda wake umeisha na sasa ni mimi na mdada wangu mtamu mpaka tukufe.... Blaki Womani...
      Vin Diesel achana na mke wa mtu utajuta nakupa ushauri wa bure usisahau kikupacho utamu na uchungu kitakupa
      sweetlady likes this.
      Be who you are and say what you feel because those who mind don't matter and those who matter don't mind - "Dr. Sues"

    5. #83
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36534
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Bishanga
      Staili gani unapendelea?

      Mzinifu utamjua tu..... sasa staili hapa imekujaje Bishanga?
      SnowBall likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    6. #84
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36534
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Blaki Womani
      Vin Diesel achana na mke wa mtu utajuta nakupa ushauri wa bure usisahau kikupacho utamu na uchungu kitakupa
      Hahahahaha wifi bana lol.....naona umeamua kumtisha husband live bila chenga!
      Vin Diesel likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    7. #85
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,366
      Rep Power : 26650
      Likes Received
      2661
      Likes Given
      1562

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Ndahani
      Mbona nimekuwa mkweli sana kwake FirstLady1...nimemwambia Erotica anipe hint ya namna gani mtu huwa anapendwa tena online, na hajafanya hivyo.
      Sijui aliziona six packs zangu kule mjimwema beach na akasikia jina langu? Hata sielewi inakuwaje...ila nashukuru umemuimbia huo wimbo....lakini hata hivyo naogopa kuwa no 30...ni list ndefu sana hiyo ukiwa kwenye mid 20's.
      Ndahani list isikushtue ni namba tu hizo ukijilipua Ero yupo kwa ajili yako
      sweetlady likes this.
      Be who you are and say what you feel because those who mind don't matter and those who matter don't mind - "Dr. Sues"

    8. Miaka 50

    9. #86
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,647
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By FirstLady1
      I see Ndahani ......
      What have you see FirstLady1?
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    10. #87
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36534
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Blaki Womani
      sweetlady si ulisema kwa shida na raha au ilikuwa igizo
      Blaki Womani my darling wifi, nani kakudanganya kuwa siku hizi tunasema kwa shida na raha?.....nani anataka shida mpendwa......mie nilisema kwa raha tu sasa nilivyokuta kuna shida ikabidi nijiweke pembeni!
      Life without problems never make a strong and good person!

    11. #88
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,647
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Blaki Womani
      Ndahani list isikushtue ni namba tu hizo ukijilipua Ero yupo kwa ajili yako
      Kujilipua kunataka vigezo...nashindwa kujilipua hewani....and it takes two to dance blues... Blaki Womani, number is just a number...lakini kuna vigezo. Wengine tulisoma hesabu za ratios...na hatuja sahau
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    12. #89
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,366
      Rep Power : 26650
      Likes Received
      2661
      Likes Given
      1562

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By sweetlady
      Hahahahaha wifi bana lol.....naona umeamua kumtisha husband live bila chenga!

      nampa ukweli bila chenga chezea mke wa braza hajaona ile avatar yake nini hebu mwonyeshe
      sweetlady likes this.
      Be who you are and say what you feel because those who mind don't matter and those who matter don't mind - "Dr. Sues"

    13. #90
      Vin Diesel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 5,866
      Rep Power : 19947
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      1615

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Blaki Womani
      ulichezea shilingi chooni sasa naona umerudi kwa ari nguvu na kasi mpya kaa mbali kabla sijamwita Husninyo
      Niliidaka kabla haijadumbukia....ya kakayo ikazama moja kwa moja.....
      Nimerudi na nimejipanga sawa sawa....hawa kina klorokwini na nitonye hawaninyimi usingizi hata kidogo... Husninyo kajibanza zake mpwapwa...
      sweetlady likes this.
      Simulated Automated Breakthroughs....

    14. #91
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      ]
      Quote By sweetlady
      Mzinifu utamjua tu..... sasa staili hapa imekujaje Bishanga?
      Naona kanogewa na mada..hasa ukichukulia mada yenyewe inahusu mambo yetu yale!
      sweetlady and Erotica like this.
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    15. #92
      Vin Diesel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 5,866
      Rep Power : 19947
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      1615

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Blaki Womani
      Vin Diesel achana na mke wa mtu utajuta nakupa ushauri wa bure usisahau kikupacho utamu na uchungu kitakupa
      Bahati nzuri mie ndio mume na twapeana utamu tu....uchungu kaachiwa kaka yako Blaki Womani....
      sweetlady likes this.
      Simulated Automated Breakthroughs....

    16. #93
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,366
      Rep Power : 26650
      Likes Received
      2661
      Likes Given
      1562

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By sweetlady
      Blaki Womani my darling wifi, nani kakudanganya kuwa siku hizi tunasema kwa shida na raha?.....nani anataka shida mpendwa......mie nilisema kwa raha tu sasa nilivyokuta kuna shida ikabidi nijiweke pembeni!

      hahahahha my sweet wifi ni bingwa wa maigizo shida utakuwa umesababisha wewe baada ya kudai pesa za shopping kila siku ooohhh hujazoe kutembelea bebiwoka unataka Kilimo kwanza
      sweetlady likes this.
      Be who you are and say what you feel because those who mind don't matter and those who matter don't mind - "Dr. Sues"

    17. #94
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,366
      Rep Power : 26650
      Likes Received
      2661
      Likes Given
      1562

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Vin Diesel
      Niliidaka kabla haijadumbukia....ya kakayo ikazama moja kwa moja.....
      Nimerudi na nimejipanga sawa sawa....hawa kina klorokwini na nitonye hawaninyimi usingizi hata kidogo... Husninyo kajibanza zake mpwapwa...
      khaaa kimya kingi kina mshindo mkuu umekuja na ya Sumbawanga au? naona sweetlady anapoteza uwezo wa kujitambua
      sweetlady likes this.
      Be who you are and say what you feel because those who mind don't matter and those who matter don't mind - "Dr. Sues"

    18. #95
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36534
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Vin Diesel
      Niliidaka kabla haijadumbukia....ya kakayo ikazama moja kwa moja.....
      Nimerudi na nimejipanga sawa sawa....hawa kina klorokwini na nitonye hawaninyimi usingizi hata kidogo... Husninyo kajibanza zake mpwapwa...
      Hahahahaha nimeipenda hiyo ya kuidaka shilingi kabla haijadumbukia lol.
      Life without problems never make a strong and good person!

    19. #96
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36534
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By SnowBall
      ]

      Naona kanogewa na mada..hasa ukichukulia mada yenyewe inahusu mambo yetu yale!
      Mada kama hizi huwa zinahamisha sana akili ya Bishanga, hapo udenda unamshuka tu!
      SnowBall and Erotica like this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    20. #97
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36534
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Blaki Womani
      hahahahha my sweet wifi ni bingwa wa maigizo shida utakuwa umesababisha wewe baada ya kudai pesa za shopping kila siku ooohhh hujazoe kutembelea bebiwoka unataka Kilimo kwanza
      Sio siri hapa nimecheka mpaka machozi lol.....wifi umepinda wewe eti kilimo kwanza ....daah..... you made my day for real.....
      Life without problems never make a strong and good person!

    21. #98
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36534
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Vin Diesel
      Bahati nzuri mie ndio mume na twapeana utamu tu....uchungu kaachiwa kaka yako Blaki Womani....
      Atajibeba yeye na kaka ake lol.
      Life without problems never make a strong and good person!

    22. #99
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36534
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Blaki Womani
      khaaa kimya kingi kina mshindo mkuu umekuja na ya Sumbawanga au? naona sweetlady anapoteza uwezo wa kujitambua
      Hakuna cha sumbawanga hapa .....ni mapenzi ya dhati tu wifi.....tena nahisi kakako ndie aliniendea sumbawanga manake niliwezaje kumkubali na ile sura ngumu vile?.......
      Vin Diesel nisamehe sana my darling ile haikuwa akili yangu kabisa.....nakuahidi kuwa mtulivu daima!
      Fidel80 likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    23. #100
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36534
      Likes Received
      7486
      Likes Given
      4604

      Default Re: SEX in marriage. Kipi ni kipi?

      Quote By Vin Diesel
      Bora akajifiche huko huko....muda wake umeisha na sasa ni mimi na mdada wangu mtamu mpaka tukufe.... Blaki Womani...
      Hehehehe!......chezeiya kuachwa weye lol.....mjini hapakaliki ati!
      Life without problems never make a strong and good person!

    Page 5 of 10 FirstFirst ... 34567 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...