Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

    Report Post
    Page 6 of 8 FirstFirst ... 45678 LastLast
    Results 101 to 120 of 149
    1. #1
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,294
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      400
      Likes Given
      2243

      Default Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Wakuu naomba msaada,maana leo nimepata drama ambayo sijawahi kuipata,nitaandika inshort tu,actual nilikuwa na mchumba niseme ambayo hivi mwezi wa saba narudi tuliplan maisha na kwenda kwa family,sasa kwa vile tupo mbali tukawa tunawasiliana sana na tukawa tuna share password zetu,basi ikafikia wakati nikaona mambo ya ajabu ajabu mara kachange password nikimuuliza hana sababu again ya kuniambia na attitude akawa anayo na dharau nyingi,hapo hapo tufahamu sijaanzana nae jana wala leo since nipo form 1 mda mrefu sana tupo wote.
      Kama 2 months ilifikia akaniambia mimi na wewe basi eti nina wanawake wengi sana nikamuuliza ume prove ninao??akawa hana la kunijibu,nikamwambia ok fine hamna tatizo na maisha mema,sasa week kama 3 zilizopita akaja kuniomba msamaha na kusema nimsamehe me nikamuelewa nikamsamehe coz sikutaka relationship ife hivi hivi nikakaza moyo nikamsamehe.

      Lakini tulivyokuwa tunawasiliana nikawa naona kuna somethin wrong sio normal nikamwambia akasema ananipenda sana hamna kitu. Na nimuamini nikamuuliza sasa mbona una tabia za ajabu ajabu anasema ndio nilivyo,basi me nikawa mpole sana na mvumilivu kwa kweli kwanza huwa sipendi kugombana kwa ajili ya vitu vidogo.

      Sasa leo hii nimepigiwa simu mchana majira ya saa kumi namsikia mchumba wangu ananiambia kwamba ongea na bf wangu nikamuuliza unasemaje??na wewe ni nani??akanitajia jina lake coz sikuamini kama ni yeye,akasema ongea na bf wangu mwambie kwamba mimi na wewe tumeachana,me nilishasemaga sitokuja kugombana kisa mwanamke.akampa simu jamaaa akawa anawaka vibaya sana nikamwambia kaka calm down sawa wala usijali,akaniambia nimeona sehemu fulani umetumiana message za ajabu ajabu na huyo msichana wewe ni nani??Nikamjibu kwanza hajakuambia mimi ni nani??akasema wewe ndio niambie nikamwambia niulize swali lingine kipindi hicho kichwa hakifanyi kazi,akaniambia huyu ni gf wangu na next week naenda kutoa mahali kwao,nikasema ohhh ok sawa nikamuuliza umeanzana nae lini akasema miaka 2 iliyopita,me nikakauka kimya,akasema basi naomba mawasiliano yaishe na mke wangu nikamjibu wewe ni ndugu yangu na sisi wote ni wanaume so mkuu usijali zaidi tuzidi kuwasiliana sisi wote ni ndugu,nimemjibu kisomi na sikuonyesha kupanic,

      Je wakuu wangu kuna mahali nimejibu vibaya??au yule alikuwa mchumba wangu kumbe mwanamke ana mwanaume mwingine kulikuwa na haja ya mimi kugombana na jamaa kwa ajili ya mwanamke??je majibu niliyomjibu kuepusha shari na kumuachia mwanamke nimefanya vizuri au nimekosea??
      Sal, Elli, Kaizer and 2 others like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #101
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,294
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      400
      Likes Given
      2243

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Quote By The Boss
      Dah pole saana
      but umefaulu hadi hapo
      Mkuu wangu hope mzima na unaendelea vizuri kabisa, yeah kwa kweli nimekuwa mstaarabu sana na jamaa atakaa na kujifikiria zaidi.

    4. #102
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,294
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      400
      Likes Given
      2243

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Quote By Bondpost
      Yashanikuta mie kwa mademu wawili, mmoja wakati nimemaliza chuo natafuta kazi akafanya the same issue, ilinichanganya coz nilikuwa nimepanga nikipata kazi nianze mchakato wa ndoa, mungu akanisaidia nikamove on, akaja mwingine pasua kichwa, nikamlipia na ada ya chuo mzumbe maana mama yake alikosa pesa, akaja nikapigiwa simu na mtu akanambia the same story nikamtimua nae. Leo wote wanalalamika hawajapata mwanaume kama mie, kwa bahati nzuri mie nishaoa, nina kijana wa kiume though i cant say am happy with marriage but am satisfied.
      Hongera sana kwa kuwa na family mkuu, yeah wa namna hiyo wengi wao wanakuwa hawafiki popote wanachezewa na kuachwa tu basi hamna mpya mkuu, ila hongera sana kaka kwa kujenga family na kuwa na mtoto.

    5. #103
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,294
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      400
      Likes Given
      2243

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Quote By SnowBall
      duh! ebwana una kifua..big up!!
      Nashukuru sana mkuu wangu, yeah ni ustaarabu tu mkuu wangu

    6. #104
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 726
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Kumbe na nyie wanaume hua yanawakuta enh?pole sana take heart and move on!
      Papizo likes this.

    7. #105
      ney kush's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2012
      Posts : 597
      Rep Power : 485
      Likes Received
      97
      Likes Given
      31

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Umemjibu vizuri kabisa ila kuhusu kuwasiliana na jamaa yake huyo nahisi kama utaonekana kuna jambo bado unalitaka kwao we wapotezee tu mkuu... those r gals mapenzi ni huku mnaonana daily mkikaaa miaka no kuonana baaasiiiii mtakua kila siku mnagombana bila sababu.......... ila nakupongeza sana kwa kuongea na mtwasi kiutu uzima me ningekata simu yenyewe na kubadili line 4rever
      Papizo likes this.

    8. Miaka 50

    9. #106
      marrykate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 350
      Rep Power : 433
      Likes Received
      112
      Likes Given
      190

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Quote By Papizo
      Duuuu wewe kweli noma aiseee sio mchezo kumbe ndio hivyo kwa hiyo naona kama haya mambo yangekukuta usingelaza damu si ndo??

      nisingelaza damu, yaani wewe watu wengine kauzu kweli, hapo ningeuchuna angejifanya kurudi as if hakuna kitu kilichotokea, tena na malawana kibao
      Papizo likes this.

    10. #107
      Prof Gamba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th June 2011
      Posts : 383
      Rep Power : 478
      Likes Received
      132
      Likes Given
      80

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Quote By Papizo
      Mkuu wangu nashukuru sana kwa mawazo yako naona ni the same story,na jamaa alitumia tu kigezo cha kusema anamuowa ila siwezi juwa kwa kweli,na sikutaka kutafuta ugomvi kabisaaa zaidi ya kuongea kwa utaarabu zaidi,yeah mkuu me zaidi nawatakia maisha mema kama walivyopanga.

      How is your baby boy mkuu,nifikishie salam zangu aisee

      Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
      Zimefika kaka. My baby boy is fine.
      Papizo likes this.
      When you feel like giving up, remember why you held on for so long in the first place.

    11. #108
      BelindaJacob's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2008
      Location : Санкт-Петербург
      Posts : 5,248
      Rep Power : 4144
      Likes Received
      1821
      Likes Given
      1286

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Mkuu Papizo pole sana kwa yaliyokukuta..I can imagine how you feel right now, be calm endelea na maisha yako vizuri.

      Mie ilinikuta mpenzi wangu tuliyekuwa kwenye harakati za kuoana alinichenjia mbele ya mwanamke mwingine out of blue kwa ghadhabu za hali ya juu tena akitamka kitasha 'I don't love you, I love her and she's carrying my boy' . Niliduwaa kama shoti imenipiga, binti wa watu nikajikaza kisabuni. Halafu nilikuwa nchi ya watu, kila mtu mji wake na familia zetu zinafahamiana.
      Mwanzo ilikuwa ngumu ila siku zilivyoenda uchungu ukapungua pole pole japo sitosahau...nilikaa mwaka na nusu bila relationship, nafurahi kuwa na mtu mwingine sasa hakika nashukuru kukutana na huyu kaka. I can't trade him for anything.

      Ndiyo changamoto za mapenzi hizo mkuu!!
      Papizo and Prof Gamba like this.
      Bésame Mucho...!!!

    12. #109
      PetCash's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2012
      Location : searching....
      Posts : 640
      Rep Power : 557
      Likes Received
      351
      Likes Given
      104

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Quote By Bishanga
      Mbona mi na wewe kila siku mapanga shaaa?
      @Bishanga kama unamaanisha kwa Lizzy nishaahirisha mipango ya kwenda kwenye pool yake coz kwa mujibu ya sredi moja ya juzijuzi nimegundua na yeye ni mpalestina, naogopa asije nikanumba bure! tena nackia kifo cha kwenye pool kibaya!
      You are what you eat

    13. #110
      Geofrey_1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th February 2012
      Posts : 271
      Rep Power : 480
      Likes Received
      30
      Likes Given
      2

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      ww ni jembe kk, big up kwa ulivomjibu
      Papizo likes this.
      !!gams "G" baby!!

    14. #111
      Losambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Location : Katikati
      Posts : 2,346
      Rep Power : 849
      Likes Received
      688
      Likes Given
      296

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Quote By Papizo
      Mkuu ni hatari sana hawa watu asikuambie mtu kabisaaa, na omba hii kitu isikutokee kabisaaa....inauma sana. alafu bila aibu kabisa
      Mkuu pole sana umenikumbusha mbali sana na mimi iliwahi kunitokea kama yako, nikawa mpole nikamalizana na huyo demu kishikaji na mpka leo ananimaindi lakini nilishamfungia vioo nafnya mabo mengine.

      Hata kama ungemjibu vibaya hakuna shida ingekuwa ni provocation tu, na huyo malaya alikuwa anajiosha kwa basha wake tu. Hafai na wala usimsamehe hata iweje indapo kikiwaka huko.
      Papizo likes this.

      Hakika biashara kichaa zipo nyingi sana, lakini biashara kichaa kubwa kuliko zote ni kupenda usipopendwa, haijalishi hata kama ni mkeo!!!!!

    15. #112
      Kaizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2008
      Posts : 13,975
      Rep Power : 21890
      Likes Received
      6928
      Likes Given
      7781

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Quote By Papizo
      Nashukuru sana kaka kwa ushauri wako mzuri na wa kutia moyo,ni kweli kabisa sielewi nini hasa kilikuwa kinaendelea I don't know serious,zaidi pamoja na hekima na vitu vyote nilivyofanya na kusema nafanya haya mambo coz nitakuwa nae for life then ndio nimeambulia haya yote,so zaidi me nawatakia mafanikio mema na yenye kheri, mkuu again thank u sana vile vile nikakaaa nikasema wanawake wapo wengi sana why niwe na kinyongo na mwanaume mwenzangu.



      Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
      Okay hiyo ndo hekima....piga moyo konde mkuu maisha lazima yaendelee
      Papizo likes this.
      "Bunduki bila risasi yaua namna gani"
      Email: [email protected]

    16. #113
      farkhina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2012
      Location : Toronto,CANADA
      Posts : 864
      Rep Power : 534
      Likes Received
      222
      Likes Given
      199

      Default

      Quote By Papizo
      Wakuu naomba msaada,maana leo nimepata drama ambayo sijawahi kuipata,nitaandika inshort tu,actual nilikuwa na mchumba niseme ambayo hivi mwezi wa saba narudi tuliplan maisha na kwenda kwa family,sasa kwa vile tupo mbali tukawa tunawasiliana sana na tukawa tuna share password zetu,basi ikafikia wakati nikaona mambo ya ajabu ajabu mara kachange password nikimuuliza hana sababu again ya kuniambia na attitude akawa anayo na dharau nyingi,hapo hapo tufahamu sijaanzana nae jana wala leo since nipo form 1 mda mrefu sana tupo wote.
      Kama 2 months ilifikia akaniambia mimi na wewe basi eti nina wanawake wengi sana nikamuuliza ume prove ninao??akawa hana la kunijibu,nikamwambia ok fine hamna tatizo na maisha mema,sasa week kama 3 zilizopita akaja kuniomba msamaha na kusema nimsamehe me nikamuelewa nikamsamehe coz sikutaka relationship ife hivi hivi nikakaza moyo nikamsamehe.

      Lakini tulivyokuwa tunawasiliana nikawa naona kuna somethin wrong sio normal nikamwambia akasema ananipenda sana hamna kitu. Na nimuamini nikamuuliza sasa mbona una tabia za ajabu ajabu anasema ndio nilivyo,basi me nikawa mpole sana na mvumilivu kwa kweli kwanza huwa sipendi kugombana kwa ajili ya vitu vidogo.

      Sasa leo hii nimepigiwa simu mchana majira ya saa kumi namsikia mchumba wangu ananiambia kwamba ongea na bf wangu nikamuuliza unasemaje??na wewe ni nani??akanitajia jina lake coz sikuamini kama ni yeye,akasema ongea na bf wangu mwambie kwamba mimi na wewe tumeachana,me nilishasemaga sitokuja kugombana kisa mwanamke.akampa simu jamaaa akawa anawaka vibaya sana nikamwambia kaka calm down sawa wala usijali,akaniambia nimeona sehemu fulani umetumiana message za ajabu ajabu na huyo msichana wewe ni nani??Nikamjibu kwanza hajakuambia mimi ni nani??akasema wewe ndio niambie nikamwambia niulize swali lingine kipindi hicho kichwa hakifanyi kazi,akaniambia huyu ni gf wangu na next week naenda kutoa mahali kwao,nikasema ohhh ok sawa nikamuuliza umeanzana nae lini akasema miaka 2 iliyopita,me nikakauka kimya,akasema basi naomba mawasiliano yaishe na mke wangu nikamjibu wewe ni ndugu yangu na sisi wote ni wanaume so mkuu usijali zaidi tuzidi kuwasiliana sisi wote ni ndugu,nimemjibu kisomi na sikuonyesha kupanic,

      Je wakuu wangu kuna mahali nimejibu vibaya??au yule alikuwa mchumba wangu kumbe mwanamke ana mwanaume mwingine kulikuwa na haja ya mimi kugombana na jamaa kwa ajili ya mwanamke??je majibu niliyomjibu kuepusha shari na kumuachia mwanamke nimefanya vizuri au nimekosea??
      hujafanya vibaya.umejibu kistaarabu yamekishwa n then ucjute maana wewe sio ulosababisha hayo yote
      Papizo likes this.

    17. #114
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,294
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      400
      Likes Given
      2243

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Quote By Purple
      Kumbe na nyie wanaume hua yanawakuta enh?pole sana take heart and move on!

      Yeah yapo mbona sana tu sio mimi tu ukifatilia hii thread utaona kuna wengine pia yamewakuta ila me naona ni kutokujua tu nini unataka ndio maana inakuwa hivi but nimesha move on

    18. #115
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,294
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      400
      Likes Given
      2243

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Quote By ney kush
      Umemjibu vizuri kabisa ila kuhusu kuwasiliana na jamaa yake huyo nahisi kama utaonekana kuna jambo bado unalitaka kwao we wapotezee tu mkuu... those r gals mapenzi ni huku mnaonana daily mkikaaa miaka no kuonana baaasiiiii mtakua kila siku mnagombana bila sababu.......... ila nakupongeza sana kwa kuongea na mtwasi kiutu uzima me ningekata simu yenyewe na kubadili line 4rever
      Yeah pale nilimjibu kisanii tu kumuonyesha as i dont care anything kimetokea kwangu me ni powa tu ndio maana,Nashukuru sana kwa mawazo yako ya kutia moyo. Mkuu ungekata simu na kubadili number ungeonekana as umekubali naunaogopa ndio maana

    19. #116
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,294
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      400
      Likes Given
      2243

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Quote By marrykate
      nisingelaza damu, yaani wewe watu wengine kauzu kweli, hapo ningeuchuna angejifanya kurudi as if hakuna kitu kilichotokea, tena na malawana kibao
      Basi wewe kiboko daaaa, ila ndio hivyo sasa unajuwa ukilipiza basi itaonekana kama una kinyongo fulani na haupo happy ndio maana nikasema wacha nipotezee na niyamalize kiutu uzima na kutokuwa na chuki yoyote maana yametokea basi.

    20. #117
      M-bongotz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2010
      Location : Kwa Mtogole
      Posts : 1,521
      Rep Power : 780
      Likes Received
      245
      Likes Given
      13

      Default

      Kuna siku moja atajikuta amekuwa mpenzi wa ule wimbo wa R-Kelly unaoitwa "If I could turn back the hands of time"
      Papizo likes this.

    21. #118
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,294
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      400
      Likes Given
      2243

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Quote By Prof Gamba
      Zimefika kaka. My baby boy is fine.
      Nashukuru sana mku wangu

    22. #119
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,294
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      400
      Likes Given
      2243

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Quote By BelindaJacob
      Mkuu Papizo pole sana kwa yaliyokukuta..I can imagine how you feel right now, be calm endelea na maisha yako vizuri.

      Mie ilinikuta mpenzi wangu tuliyekuwa kwenye harakati za kuoana alinichenjia mbele ya mwanamke mwingine out of blue kwa ghadhabu za hali ya juu tena akitamka kitasha 'I don't love you, I love her and she's carrying my boy' . Niliduwaa kama shoti imenipiga, binti wa watu nikajikaza kisabuni. Halafu nilikuwa nchi ya watu, kila mtu mji wake na familia zetu zinafahamiana.
      Mwanzo ilikuwa ngumu ila siku zilivyoenda uchungu ukapungua pole pole japo sitosahau...nilikaa mwaka na nusu bila relationship, nafurahi kuwa na mtu mwingine sasa hakika nashukuru kukutana na huyu kaka. I can't trade him for anything.

      Ndiyo changamoto za mapenzi hizo mkuu!!

      Kwa kweli acha tu hii kitu ni ya kuisikia kwa wengine ni kama unaanza maisha moja, ila ndio hivyo now nipo normal nashukkuru munngu na nimesha move on tayari, ila siku zote shida zinampata binadamu, ila ndio hivyo now nimeplan kutulia kwa mda kwanza na kuangalia kwanza maisha yanaendaje maana ni hatari

    23. #120
      YNNAH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 1,056
      Rep Power : 10610
      Likes Received
      587
      Likes Given
      563

      Default Re: Je nimemjibu jamaa vibaya kuhusu mchumba wangu??

      Pole kaka,ila likuepukalo linaheri nawe....
      Papizo likes this.

    24. Study Abroad
    Page 6 of 8 FirstFirst ... 45678 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...