Re: Am in love . . .

By
Bazazi
Kongosho! Nisidieni kwani penzi la hawara linataka kuvunja ndoa yangu. Mbaya zaidi nimenasa na kuitoa mimba yake ingawa tuligombana sana kwani hana mtoto na alitaka tuzae wote. Nilipata shida sana ili mume wangu asijue kama nina mimba. Ninasikitika stki kuDU na Mr kwani nahisi kama ninacheat kwa KUDUMU changu.
Hapa sijui imekaaje? Nisaidieni
Duh! ndoa hizi kazi kweli!!!!
Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action
Follow Us Here