Dada yangu Mpendwa Kongosho, sijaunganisha matukio bali nimejaribu kukukumbusha kuwa watu wote huanguka kirahisi katika mitego mibovu hasa baada ya WEYE kumshangaa huyo Mkulima. Ni kukukumbushana tu Mpendwa wangu.
Si bora ya ugali,kama ni msosi wewe ni makande tena ya usangi.halafu ujue we konnie wewe....halafu nenda kamsome erotica,kafungua uzi...'sex in marriage...
Mwache Erotica azike wafu wake, mie leo hadi kieleweke.
No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria
Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
"Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.
Bibie Kongosho asali ya ODM, hebu ambia ODM hii sredi bado ako Open au ako Klozd?
Afu pia uniambie leo ako jumangapi?
Bado haijawa klozd, namsubiri mhusika
Akitia timu tu, nakulozi topik afu nakuwa offline
By Bazazi
Dada yangu Mpendwa Kongosho, sijaunganisha matukio bali nimejaribu kukukumbusha kuwa watu wote huanguka kirahisi katika mitego mibovu hasa baada ya WEYE kumshangaa huyo Mkulima. Ni kukukumbushana tu Mpendwa wangu.
he he he he, kweli Bazazi, mie leo nimeanguka ila sijajikwaa
Naskia laa mie
By Bishanga
Timu yako inaitwaje manchesta au aseno?
Ina kuhu? labda majimaji uloshindwa kuifungia hata bao la mkono
No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities. Ralph Waldo Emerson
Umeaminishwa ni wizi mtupu ili usimuumize uliye naye, imagine ingekuwa ruksa, ndoa ngapi zingeumia? Maana waweza kuta wanandoa wako out of love au hawajawahi kuwa in love kabisa ila walipeana mimba tu ikabidi wajikusanye kuanza familia.
Nachojua Love is love bana, si kitu kinakuja kirahisi in a life time, i won't lose this opportunity for anything lol
By Ndahani
When do people stop falling in love? Maana kama umeoa au kuolewa halafu ukapenda tena, si ndo mambo ya wizi mtupu? Au ni mimi tu ndo nayefikiria hivyo
Umeaminishwa ni wizi mtupu ili usimuumize uliye naye, imagine ingekuwa ruksa, ndoa ngapi zingeumia? Maana waweza kuta wanandoa wako out of love au hawajawahi kuwa in love kabisa ila walipeana mimba tu ikabidi wajikusanye kuanza familia.
Nachojua Love is love bana, si kitu kinakuja kirahisi in a life time, i won't lose this opportunity for anything lol
Kongosho, are you in a commited relationship? Anyway kila mtu ana namna anavyoyapeleka mambo. Jana nilisoma kitabu kimoja kinaelezea why women are cheating....nikajikuta nacheka tu maana, mhhh!
Well,All the best maana mtu akishaamua kubadilisha mawazo kaaaazi
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities. Ralph Waldo Emerson
ila sijajua na nani
ila nasikia so much love inside
hasa nikipita maeneo fulani hivi
hadi kufika asubuhi nitakuwa tayari kutoa tamko lol
ni mke wa mtu alikuwa ananisimulia, nikabaki na maswali, hivi unaweza ukapenda wakati ushaolewa? Na ukapenda mtu mwingine zaidi ya mm wake?
Last edited by Kongosho; Yesterday at 22:21.
sickness beyond comprehension..... loving a ghost you hardly know.....what a joke.that is no love it is deceptive impression in your mind.................
Kongosho, are you in a commited relationship? Anyway kila mtu ana namna anavyoyapeleka mambo. Jana nilisoma kitabu kimoja kinaelezea why women are cheating....nikajikuta nacheka tu maana, mhhh! Well,All the best maana mtu akishaamua kubadilisha mawazo kaaaazi
Ndahani tuadithie bac kidogo na sie kwanini wanacheat!
Ruta bana, si kila wakati wa kula unanawa, sometimes unanawa baada ya kula, got that!
Bora wewe hujasema ni pepo, maana siku hizi mtu asipokuwa na jibu anajificha kwenye mgongo wa pepo.
Hapo pekundu, ohh yeah, penzi lenyewe tu ni ugonjwa tosha, achia mbali complications zinazoletwa na penzi.
Ruta, ulishamsikiliza vizuri Avril? Chukua kipande hiki
It's a damn cold night
Trying to figure out this life
Won't you take me by the hand
Take me somewhere new
I don't know who you are
But I... I'm with you
I'm with you
By Rutashubanyuma
sickness beyond comprehension..... loving a ghost you hardly know.....what a joke.that is no love it is deceptive impression in your mind.................
Ndahani tuadithie bac kidogo na sie kwanini wanacheat!
Dissatisfication from their relationships...kuna dada mmoja ni Phd holder, mke wa watoto watatu alikuwa anacheat na kababu kamoja kwenye chuo walichokuwa wanafunindisha wote for more than 10 years. Yule dada anasimulia kwamba alikaa kwenye relationship yake just because of the kids...but whenever she wanted to meet a really man, that kababu was the choice. Na kababu nacho kana familia yake yenye watoto wakubwa kama yule dada.
Kinachoniacha hoi, yule dada anakiri wazi kwamba lile buzi lake, was rude,jealosy and arrogant, but she gained alot from him than her husband. Mpaka anaandika ile relationship yake haikuwa kapuni, na wala haikuwahi kuhisiwa wala kujulikana ila she was like regretting....isipokuwa alikiri wazi kwamba kama atamuacha yule mzee,basi lazima atatafuta mtu mwingine ambaye atamfikisha pale anapotaka. Mmewe kama anavyodai, siyo mwanaume yule anayetaka awe amemzunguka....nikajiuliza kwahiyo aliataka mume awe rude and arrogant na good in bed ili atulie??? Nilichoka kabisa! Nikaamua kulala badala ya kuendelea kusoma kile kitabu maana akili iliwahi kuchoka, duuh!
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities. Ralph Waldo Emerson
Umeaminishwa ni wizi mtupu ili usimuumize uliye naye, imagine ingekuwa ruksa, ndoa ngapi zingeumia? Maana waweza kuta wanandoa wako out of love au hawajawahi kuwa in love kabisa ila walipeana mimba tu ikabidi wajikusanye kuanza familia.
Nachojua Love is love bana, si kitu kinakuja kirahisi in a life time, i won't lose this opportunity for anything lol
Lavu lavu lavuuuu unaijua lavu wewe au ndoto za mchana?
Kwanza wewe ni She?
Follow Us Here