Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Uko kwenye kundi gani kati ya haya? Kwa wewe mwenye ndoa

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      Latifaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th January 2012
      Posts : 100
      Rep Power : 394
      Likes Received
      14
      Likes Given
      13

      Default Uko kwenye kundi gani kati ya haya? Kwa wewe mwenye ndoa

      kwenye ndoa kuna makundi kama 5:
      1. Walioolewa
      2. Waliooana
      3. Wanaolazimisha ndoa
      4. Waliooa wanaume
      5. Wanaotumikia ndoa
      haya makundi ni ya wanawake ila wanaume pia
      mmeguswa.

      Hawa watu hawafanani hata kidogo japo wote ni wanandoa.
      1. Walioolewa: hawa wana wanaume wanaojielewa wako wapi na wanafanya nini na wanaelewa nafasi yao
      kwenye familia na wamesimamia nafasi zao bíla kutetereka na hawasaidiwi nje, nyumba zao zina msimamo na hawayumbi.
      Kwamfn. Mwanaume anafanya majukumu yake bila kutega, kama kulisha familia, kutoa adaya shule, kulipa bili
      zote, hela ya saluni ya mama, zawadi kwa mama na watoto, mafanikio yakitokea anajenga nyumba anafungua
      miradi nk. Hapelekwipelekwi na mkewe na siku mkewe akimletea zakuleta anarudi sha kwao.
      2. Waliooana: hapa ngoma droo, wife akiwa na hela anafanya maendeleo sawa na baba, unakuta baba ana biashara yake na mama ana yake kila mtu anajijua alipopata hela, muda wa kurudi home kila mtu anarudi anavyotaka na haulizwi, hapa mfumo dume hakuna chochote mnachonunua mnachanga
      sauti kati ya baba na mama zimelingana kila mtu na jeuri yake, swala la mapenzi ni makubaliano, kuzaa makubaliano , mwanamke hafukuzwi hapa ataakikosa wala0kunyanyaswa labda
      mtengane kabisa, ubabe kwakila mtu sio jambo la ajabu, ukiona hiyo hali jua hujaoa wala kuolewa hapo bali mmeoana

      hayo yaliyobaki nitamalizia kesho namba 3-5.

      Usingizi wakuu
      Rubesha Kipesha likes this.


    2. #2
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1899
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: Uko kwenye kundi gani kati ya haya? Kwa wewe mwenye ndoa

      Kundi langu halipo hapo,hebu ongezea kundi la sita la kulelewa(ndio mm)

    3. #3
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,177
      Rep Power : 640
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1569

      Default Re: Uko kwenye kundi gani kati ya haya? Kwa wewe mwenye ndoa

      Sawa tunasubiri makundi ya kesho, ila usisahau kuweka na lile kundi alilohalalisha obama
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    4. #4
      Latifaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th January 2012
      Posts : 100
      Rep Power : 394
      Likes Received
      14
      Likes Given
      13

      Default

      Quote By Yummy View Post
      Kundi langu halipo hapo,hebu ongezea kundi la sita la kulelewa(ndio mm)
      tulia kesho utajijua uko wapi, usiku mwema

    5. #5
      Rubesha Kipesha's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th March 2012
      Posts : 82
      Rep Power : 382
      Likes Received
      12
      Likes Given
      29

      Default Re: Uko kwenye kundi gani kati ya haya? Kwa wewe mwenye ndoa

      Quote By Yummy View Post
      Kundi langu halipo hapo,hebu ongezea kundi la sita la kulelewa(ndio mm)

      Yummy, lifafanue kidogo hilo kundi la kulelewa kwa manufaa ya wanajamvi.


    6. #6
      nyumba kubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 4,047
      Rep Power : 2309
      Likes Received
      2874
      Likes Given
      3980

      Default Re: Uko kwenye kundi gani kati ya haya? Kwa wewe mwenye ndoa

      Kumbe na wewe umeolewa/oana (whatever)? Mi kundi langu halipo hapo. Si unajua makundi hayawezi kuwa universal

    7. #7
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6320
      Likes Given
      2418

      Default Re: Uko kwenye kundi gani kati ya haya? Kwa wewe mwenye ndoa

      i see. . .

    8. BAK is offline
      BAK
      #8
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,827
      Rep Power : 45014
      Likes Received
      8684
      Likes Given
      8666

      Default Re: Uko kwenye kundi gani kati ya haya? Kwa wewe mwenye ndoa

      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    9. #9
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,850
      Rep Power : 29102
      Likes Received
      12265
      Likes Given
      4931

      Default Re: Uko kwenye kundi gani kati ya haya? Kwa wewe mwenye ndoa

      Kuna classification za ndoa pia? Kha!
      Na za wachumba ndo zipi, tafadhali ndugu mwandishi..

    10. #10
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2729
      Likes Received
      748
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By nyumba kubwa View Post
      Kumbe na wewe umeolewa/oana (whatever)?
      i hope she is talking from experience....
      Last edited by cartura; 3rd June 2012 at 18:46.

    11. #11
      leloch's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 317
      Rep Power : 458
      Likes Received
      40
      Likes Given
      0

      Default Re: Uko kwenye kundi gani kati ya haya? Kwa wewe mwenye ndoa

      la bnadam

    12. #12
      mtemiwaWandamba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Location : MTONI RUIPA
      Posts : 429
      Rep Power : 497
      Likes Received
      76
      Likes Given
      66

      Default Re: Uko kwenye kundi gani kati ya haya? Kwa wewe mwenye ndoa

      Latifaa, Bado hujaamka ? tunasubiri mwendelezo.
      Maajabu ya Kenge; anakimbia Mvua anaingia Mtoni.

    13. #13
      Latifaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th January 2012
      Posts : 100
      Rep Power : 394
      Likes Received
      14
      Likes Given
      13

      Default

      Quote By mtemiwaWandamba View Post
      Latifaa, Bado hujaamka ? tunasubiri mwendelezo.
      usijali, tulia kwanza narudi

    14. #14
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,163
      Rep Power : 25448
      Likes Received
      14875
      Likes Given
      15822

      Default Re: Uko kwenye kundi gani kati ya haya? Kwa wewe mwenye ndoa

      kwa hiyo ni vibaya kuwa kundini?

    15. #15
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,635
      Rep Power : 32119
      Likes Received
      14717
      Likes Given
      22280

      Default Re: Uko kwenye kundi gani kati ya haya? Kwa wewe mwenye ndoa

      Hivi leo ni jumangapi vile?

    16. #16
      Kaizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2008
      Posts : 14,444
      Rep Power : 21988
      Likes Received
      7370
      Likes Given
      8221

      Default

      Quote By King'asti View Post
      Kuna classification za ndoa pia? Kha!
      Na za wachumba ndo zipi, tafadhali ndugu mwandishi..
      Hakunaga.....,,

    17. #17
      Latifaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th January 2012
      Posts : 100
      Rep Power : 394
      Likes Received
      14
      Likes Given
      13

      Default

      Quote By Kongosho View Post
      kwa hiyo ni vibaya kuwa kundini?
      sio vibaya kuwa kundini ila sio mbaya kama utatujuza
      wewe kundi lako lipi?

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...