Wakuu M/mungu ashukuriwe,leo nimepata mtoto wa kiume,but bado wife bado hajaruhusiwa kutoka hospital AMANA.
Thanks god.
Wakuu M/mungu ashukuriwe,leo nimepata mtoto wa kiume,but bado wife bado hajaruhusiwa kutoka hospital AMANA.
Thanks god.
hongera mkuu...
.......Wow!! Many many congratulation to you all........welcome to the world little man.
A mother who is really a mother is never free.
umenitamanishaje?? hongera papito.
Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!
Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action
si mbaya kuwahi vipimo vya DNA kungali mapema... all in all congrats are in order...
Hongereni wazazi karibu mgeni
Hongera mkubwa make sure unamlea mtoto katika njia impasayo
Hongera sana.
Hongera sanaaaaaa
Catch me if you can....
Bwana ni mwema!
Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!
hongera sana.na mpe hongera mama watoto,maana ukijifungua salama,unashukuru
Hongera sana spika lol..............nakumbuka mbali sana. anyway mpe bi mkubwa pole sana kwa maumivu na Mungu awakuzie mwanenu. Mumlee uzuri aje awafae baadae.
Hongera..hii nikipimo tosha jinsi ulivyokuwa unajituma kwenye ukumbi wetu.
Congrats.
Follow Us Here