Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 21
    1. #1
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,713
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      576
      Likes Given
      782

      Lightbulb Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

      Pengine usipokuwa makini huwezi kujua iwapo ninyi wawili (Mke na Mume) ni mwili mmoja.

      Mke ana kazi nzuri na mume nae mungu kamjali. wote mna msahhara ambao unalingana kama si kukaribia. (Asante Mungu), mwisho wa mwezi umefika, japo mlipanga mwanzoni mwa mwezi mambo ya kufanya, mwenzio anakueleza kuwa yeye mshahara wake tayari ana deni kwa fundi nguo (ni sare ya harusi ya mdogo wa rafiki yake), anadaiwa saloon, anadaiwa michango ya send off ya rafiki yake (hiyo huwezi kumlipia, hamkupanga) na amemtumia mama nyumbani kiasi na amepanga kutoa sadaka Fungu la Kumi. Umekwishaaa....

      Unastuka, "ehee vipi mbona hatuambizani kabla?"

      Anakujibu: "lakini kama mimi singekuwa na kazi usingenilisha, usingenivisha, usingeninywesha??..we kiacha wenzio watanigharimia!!!"

      mh. unatafakari , mwezi uliopita mliingia kwenye malumbano, mlileta msichana wa kazi wa kwanza akasema amfai, anajeuri,anamjibu hovyo, akamleta mwingine, akaka siku mbili akasema sio msafi, mwingine alikaa wiki anasema hajui kusoma atawaharibu watoto, akaleta mwingine "Mzimbabwe" ambae mshahara wake ni mkubwa sana lakini hakuhusisha mpaka wakati wa kumlipa.

      Anakuambia: " Leo Dada anadai mshahara wake..,

      Ulipouliza: " kwani ngapi??",

      Anajibu " Huyu ni laki na nusu tu ni Mzimbabwe na mchapakazi mzuri, nimempenda"..

      Unashtuka ..."mh. mbona wapo wengi wa hamsini kwa nini hivyo?"

      Anajibu: "hao wa hamsini ndio wakorofi!!, mimi siwezi labda ukae nao wewe"

      Tunalipaje?? imekula kwako hiyo...

      Pango la Nyumba Tshs. 250,000 (kwa mwezi)

      Umeme 50,000 (kwa mwezi)
      Mafuta ya gari 20,000 (kwa siku)
      Hela ya chakula 20,000 ( kwa siku)
      Bili ya Maji 30,000 (kwa mwezi)
      Gesi 58,000 (mtungi kwa mwezi)
      Bado hujala ofisini, hujanywa, hujatoa michango kwenye shughuli za kijamii nk. ONgeza na 150, 000 ya binti wa kazi za ndani!!! Kudadadeki! + Ada ya watoto wawili 880, 0000 (kwa term).

      Toa kwenye Mshahara wako ambao hauzidi Tshs. 700,000 kwa mwezi (take home).Jumlisha majukumu ya familia ya pande zote mbili (yako na Mkeo) + Vidonga vya tumbo + ka Presha kwa mbali!!

      Ikifikia hapo tambua Wewe Mume ni kichwa cha nyumba, ishi na Mkeo kwa Akili. Msigombane, mpatane, chukua nafasi yako, timiza wajibu wako, acha maisha yaende mbele...ukipata wasaa mkanyane..
      Last edited by ngoshwe; 1st June 2012 at 20:57.
      Meritta likes this.
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.


    2. #2
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2729
      Likes Received
      748
      Likes Given
      6

      Default Re: Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

      mmh, iko kazi... si afadhali uoe housewife tu ujue moja kuliko huyo 'mfanyakazi' ambaye kipato chake hakina mchango wowote ndani ya nyumba
      Last edited by cartura; 1st June 2012 at 21:04.
      ngoshwe likes this.

    3. #3
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14601
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default Re: Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

      20000 ya chakula nyumbani kila siku?
      Hiyo familia ni ya wazembe!!!
      ngoshwe likes this.

    4. #4
      Kipipi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Location : Sitimbi
      Posts : 7,361
      Rep Power : 26219
      Likes Received
      3002
      Likes Given
      3932

      Default Re: Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

      Kuliko akuache ukahonge.......ni bora muendelee kubanana hivyo hivyo!!
      ngoshwe likes this.
      Money only impress lazy girls.
      When a woman works hard, a man with money is just a bonus.


    5. #5
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,713
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      576
      Likes Given
      782

      Default Re: Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

      Quote By Lizzy View Post
      20000 ya chakula nyumbani kila siku?
      Hiyo familia ni ya wazembe!!!
      Ngapi, hapo ndio kiwango Lizzy!! kwa bei ya nyama kilo 5500, samaki 6500,ndizi tattu 500, fungu la mchicha fungu 300-500, maharagwe 2200, unga kilo 1200, mchele kilo 2300, maji ya kunywa 1500 (1.5 litre), mkate 1200- 1500, sukari 2200, majani ya chai, nk nk...Hujahesabu idadi ya wakaazi
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.


    6. #6
      Kipipi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Location : Sitimbi
      Posts : 7,361
      Rep Power : 26219
      Likes Received
      3002
      Likes Given
      3932

      Default Re: Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

      Quote By cartura View Post
      mmh, iko kazi... si afadhali uone housewife tu ujue moja kuliko huyo 'mfanyakazi' ambaye kipato chake hakina mchango wowote ndani ya nyumba
      Kama mnapata hadi za bajeti ya kwenda kuhonga nyumba ndogo na kuweka heshima bar kupitiliza.........kwanini msifanyiwe hivyo??
      ngoshwe likes this.
      Money only impress lazy girls.
      When a woman works hard, a man with money is just a bonus.


    7. #7
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 9,009
      Rep Power : 2642
      Likes Received
      2310
      Likes Given
      2083

      Default Re: Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

      ukichanganya na deni la mahari, na mkwe anakuulizia kila inapofika tarehe za mwisho wa mwezi aaahhhh usingizi haushuki kabisaaa
      ngoshwe likes this.
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    8. #8
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2729
      Likes Received
      748
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By Kipipi View Post
      Kama mnapata hadi za bajeti ya kwenda kuhonga nyumba ndogo na kuweka heshima bar kupitiliza.........kwanini msifanyiwe hivyo??
      it serves nothing kukomoana... kuna umuhimu wa akina mama nao kuonyesha a sense of responsibility ndani ya familia
      ngoshwe and Kipipi like this.

    9. #9
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,713
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      576
      Likes Given
      782

      Default Re: Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

      Quote By Kipipi View Post
      Kama mnapata hadi za bajeti ya kwenda kuhonga nyumba ndogo na kuweka heshima bar kupitiliza.........kwanini msifanyiwe hivyo??
      Quote By Elli View Post
      ukichanganya na deni la mahari, na mkwe anakuulizia kila inapofika tarehe za mwisho wa mwezi aaahhhh usingizi haushuki kabisaaa
      Quote By cartura View Post
      it serves nothing kukomoana... kuna umuhimu wa akina mama nao kuonyesha a sense of responsibility ndani ya familia
      Ndio visa vyenyewe hivyo, na kichwa cha nyuma ukifa mwelekeo kwa muda unakuwa KWISHNE>.. wanajipanga upya!!
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    10. #10
      Smarty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Posts : 580
      Rep Power : 537
      Likes Received
      141
      Likes Given
      69

      Default Re: Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

      Dunia yako chaguo lako.,chagua kuishi kifahari chagua kuishi kwa stres....
      Kipipi likes this.

    11. #11
      Kipipi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Location : Sitimbi
      Posts : 7,361
      Rep Power : 26219
      Likes Received
      3002
      Likes Given
      3932

      Default Re: Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

      Quote By cartura View Post
      it serves nothing kukomoana... kuna umuhimu wa akina mama nao kuonyesha a sense of responsibility ndani ya familia
      Mie sijakataa akina mama kuwa resiponsible na familia zao, ila kuna wanaume wengine wanadeserve kabisaa kutokana na mambo kama hayo hapo, na vilevile wengine mnawazoesha wenyewe!!
      Money only impress lazy girls.
      When a woman works hard, a man with money is just a bonus.


    12. #12
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14601
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By ngoshwe View Post
      Ngapi, hapo ndio kiwango Lizzy!! kwa bei ya nyama kilo 5500, samaki 6500,ndizi tattu 500, fungu la mchicha fungu 300-500, maharagwe 2200, unga kilo 1200, mchele kilo 2300, maji ya kunywa 1500 (1.5 litre), mkate 1200- 1500, sukari 2200, majani ya chai, nk nk...Hujahesabu idadi ya wakaazi
      Ngoswe hapa nilipo kuna watu wazima watano na watoto wawili wadogo wadogo.

      Matumizi. . .
      Nyama kg 1- 5500 (inatumika mara mbili kwasababu kuna mboga nyingine . . .maharage/mboga za majani na hamna anaenyosha kupunjika vinyago).
      Mchele kg 1 - 2300 (mlo mmoja na kiporo cha watoto kinabaki. . hapo kila mtu anajipakulia na kuongeza wakitaka hivyo hamna kusema labda watu hawashibi).
      Mboga za majani 1000 (zinalika mara mbili)
      Matunda ya 1000 (parachichi/ndizi/embe. . .mchana na jioni)
      Mafuta ya kupikia 500 milo yote
      Nyanya za 500
      Carrot, hoho, bamia 500
      Unga wa ugali kg 1 - 1800

      Mpaka hapo imetumika 12,600 tena kwa kununua vitu kila siku which we don't do. Kitu kinachonunuliwa siku husika ni nyanya pekee. Kwa maana hiyo hatuwezi kutumia zaidi ya sh. 10000 kwa milo yote pamoja na chai.

      Waambie wanunue vitu vya jumla (mchele, unga, mafuta, maharage, vitunguu vinakaa sana, viazi, carrot, nyanya ni kiasi cha kuchagua ambazo hazijaiva sana n.k).
      ngoshwe likes this.

    13. #13
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,713
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      576
      Likes Given
      782

      Default Re: Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

      Quote By Lizzy View Post
      Ngoswe hapa nilipo kuna watu wazima watano na watoto wawili wadogo wadogo.

      Matumizi. . .
      Nyama kg 1- 5500 (inatumika mara mbili kwasababu kuna mboga nyingine . . .maharage/mboga za majani na hamna anaenyosha kupunjika vinyago).
      Mchele kg 1 - 2300 (mlo mmoja na kiporo cha watoto kinabaki. . hapo kila mtu anajipakulia na kuongeza wakitaka hivyo hamna kusema labda watu hawashibi).
      Mboga za majani 1000 (zinalika mara mbili)
      Matunda ya 1000 (parachichi/ndizi/embe. . .mchana na jioni)
      Mafuta ya kupikia 500 milo yote
      Nyanya za 500
      Carrot, hoho, bamia 500
      Unga wa ugali kg 1 - 1800

      Mpaka hapo imetumika 12,600 tena kwa kununua vitu kila siku which we don't do. Kitu kinachonunuliwa siku husika ni nyanya pekee. Kwa maana hiyo hatuwezi kutumia zaidi ya sh. 10000 kwa milo yote pamoja na chai.

      Waambie wanunue vitu vya jumla (mchele, unga, mafuta, maharage, vitunguu vinakaa sana, viazi, carrot, nyanya ni kiasi cha kuchagua ambazo hazijaiva sana n.k).
      Lizzy haya mwengine tunaambiwa, hela ya kula kiasi kadhaaa...ukipiga hesabu wewe mwenyewe una kula 10,000 kwa siku, unafikiria watu watano haitoshi hta 15,000.
      May be kuna panga linatembea hapo, ukiacha kwa mama (mwanamke) anampa msichana wa kazi (mwanamke mwenzie) aweke mipango ya menyu ya siku.

      Ndio maaana tunaambiwa "tuishi na wake zetu kwa akili", (wana akili zaidi yetu) na kwa upane wao wanaambiwa "watupende" kama Kristo alivyolipenda kanisa.
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    14. #14
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 9,009
      Rep Power : 2642
      Likes Received
      2310
      Likes Given
      2083

      Default Re: Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

      ngoja nikalale zangu mie nipunguze stress
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    15. #15
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14601
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By ngoshwe View Post
      Lizzy haya mwengine tunaambiwa, hela ya kula kiasi kadhaaa...ukipiga hesabu wewe mwenyewe una kula 10,000 kwa siku, unafikiria watu watano haitoshi hta 15,000.
      May be kuna panga linatembea hapo, ukiacha kwa mama (mwanamke) anampa msichana wa kazi (mwanamke mwenzie) aweke mipango ya menyu ya siku.

      Ndio maaana tunaambiwa "tuishi na wake zetu kwa akili", (wana akili zaidi yetu) na kwa upane wao wanaambiwa "watupende" kama Kristo alivyolipenda kanisa.
      Sasa huko ni kukomoana. Vile vitu visivyoharibika ni vizuri vikanunuliwa kwa jumla. . .yani kwa siku mtu akiacha 10000 nyumbani ibaki chenji si chini ya sh. 3000.

      Mie ningekua hao wamama wanaochiwa 20 000 kila siku mbona ningesha-save kamtaji ka kishkaji. 10000 kila siku. . kwa wiki 70 000. Mwezi mzima naweka walau 250 000. Siku mwenzangu akiniambia mambo hayaeleweki namwambia usijali kuna kapesa nimekaficha sehemu. . mwenyewe atashagaa.

      Ila hiyo ni kama hamuishi maisha ya kukomoana.
      ngoshwe likes this.

    16. #16
      Meritta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2011
      Posts : 1,266
      Rep Power : 670
      Likes Received
      267
      Likes Given
      475

      Default Re: Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

      daah iyo kali, ila wapo pia wanaume pasua kichwa maana anataka alelewe na mkewe wakat na yeye kazi na mshahara mzur anapata ila kuonga anajua
      "Ni UPENDO tu"

    17. #17
      klorokwini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Pharmacy
      Posts : 8,720
      Rep Power : 7639
      Likes Received
      4926
      Likes Given
      7318

      Default Re: Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

      Unaweza ukaishi nao kwa akili na wakakutia changa la macho vile vile heehehe hawa viumbe wanazaliwa na phd zao sisi mpaka tuende shule

      Sasa jifanyeni kubisha muone nitakavyowalipua
      WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.


    18. #18
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,713
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      576
      Likes Given
      782

      Default Re: Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

      Quote By Lizzy View Post
      Sasa huko ni kukomoana. Vile vitu visivyoharibika ni vizuri vikanunuliwa kwa jumla. . .yani kwa siku mtu akiacha 10000 nyumbani ibaki chenji si chini ya sh. 3000.

      Mie ningekua hao wamama wanaochiwa 20 000 kila siku mbona ningesha-save kamtaji ka kishkaji. 10000 kila siku. . kwa wiki 70 000. Mwezi mzima naweka walau 250 000. Siku mwenzangu akiniambia mambo hayaeleweki namwambia usijali kuna kapesa nimekaficha sehemu. . mwenyewe atashagaa.

      Ila hiyo ni kama hamuishi maisha ya kukomoana.
      Watanzania wachache sana wanaoishi maisha halisi, wengi ni maumivu yenye kuhitaji msaada. Hata kama una msahara wa 1M take home kama si fisadi, masiha ni magumu sana. Ukipiga hesabu kama kila siku unaacha hela ya kula nyumbani 10,000 kwa mwezi inakuwa 300,000 + 20,000 ya mafuta kwa siku = 600,000 kwa mwezi + 5,000 ya chakula yako kwa siku = 150,000 kwa mwezi + 5,000 vocha = 150,000 kwa mwezi,
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    19. #19
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14601
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By ngoshwe View Post
      Watanzania wachache sana wanaoishi maisha halisi, wengi ni maumivu yenye kuhitaji msaada. Hata kama una msahara wa 1M take home kama si fisadi, masiha ni magumu sana. Ukipiga hesabu kama kila siku unaacha hela ya kula nyumbani 10,000 kwa mwezi inakuwa 300,000 + 20,000 ya mafuta kwa siku = 600,000 kwa mwezi + 5,000 ya chakula yako kwa siku = 150,000 kwa mwezi + 5,000 vocha = 150,000 kwa mwezi,
      Sasa na wewe. . . kama mtu pesa yake yenyewe ya kulenga kwa manati gari ya kazi gani? Si apande daladala/boda au hata bajaj?

      Maana kama mtu atatumia zaidi ya nusu ya mshahara (600 000/1000 000) kwenye kununua mafuta tuu, basi hatumii akili. Yani mpaka hapo yeye hajatumia akili ku-minimize cost ila yeye anaweza taka mke nyumbani afanye hivyo. . .aiseee hiyo hapana.

      Kama ni akili ya kupanga matumizi yapaswa muwe nayo wote au mfundishane, otherwise hamna la maana mtakalokaa mfanye.

    20. #20
      kekuwetu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Location : home
      Posts : 120
      Rep Power : 463
      Likes Received
      16
      Likes Given
      42

      Default Re: Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili

      hayo matumizi yako yako juu sana, wanawake wanapaswa kusaidia pia lakini wanaume ndio wahusika wakuu. mnafikiri mlivyoitwa vicha ni urembo? mnapaswa kuwakilisha, msipowajibika kwenye familia zenu mtawajibika kwenye nyumba ndogo? siku nzote furaha ya mke na watoto huleta baraka kwa baba.
      ngoshwe likes this.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...